DEAL DONE: Klabu Bora namba 5 kwa Ubora Afrika, Simba SC imethibitisha kuinasa saini ya mlinzi wa kati Karaboue Chamou raia wa Ivory Coast ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ kutoka klabu ya Racing Club d’ Abidjan kwa mkataba wa miaka miwili.
.
Karaboue ana urefu wa futi 6.2 na yuko vizuri kwenye kucheza mipira ya juu kuzuia na kuanzisha mashambulizi.
๐Ÿšจ DEAL DONE: Klabu Bora namba 5 kwa Ubora Afrika, Simba SC imethibitisha kuinasa saini ya mlinzi wa kati Karaboue Chamou raia wa Ivory Coast ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ kutoka klabu ya Racing Club d’ Abidjan kwa mkataba wa miaka miwili. . Karaboue ana urefu wa futi 6.2 na yuko vizuri kwenye kucheza mipira ya juu kuzuia na kuanzisha mashambulizi.
Like
1
ยท 0 Comments ยท1 Shares ยท354 Views