#DoneDeal Tumefikia makubaliano na klabu ya @mcalger.officiel ya Algeria kumuuza kiungo mshambuliaji wetu, @kipre_junior10.
Kipre Jr, tayari ameshasaini mkataba wa miaka minne na klabu hiyo baada ya kufaulu vipimo vya afya.
Azam FC tunamshukuru @kipre_junior10, kwa mchango wake ndani ya klabu kwa misimu miwili aliyokaa nasi na tunamtakia kila la kheri katika safari yake ya soka.
Adieu @kipre_junior10!
#weareazamfc #timuborabidhaabora
#cktvtanzania
Kipre Jr, tayari ameshasaini mkataba wa miaka minne na klabu hiyo baada ya kufaulu vipimo vya afya.
Azam FC tunamshukuru @kipre_junior10, kwa mchango wake ndani ya klabu kwa misimu miwili aliyokaa nasi na tunamtakia kila la kheri katika safari yake ya soka.
Adieu @kipre_junior10!
#weareazamfc #timuborabidhaabora
#cktvtanzania
#DoneDeal Tumefikia makubaliano na klabu ya @mcalger.officiel ya Algeria kumuuza kiungo mshambuliaji wetu, @kipre_junior10.
Kipre Jr, tayari ameshasaini mkataba wa miaka minne na klabu hiyo baada ya kufaulu vipimo vya afya.
Azam FC tunamshukuru @kipre_junior10, kwa mchango wake ndani ya klabu kwa misimu miwili aliyokaa nasi na tunamtakia kila la kheri katika safari yake ya soka.
Adieu @kipre_junior10! ๐๐๐
#weareazamfc #timuborabidhaabora
#cktvtanzania
