#PART5
Alimwambia, "Siku hizi wanawake hawana mapenzi ya kweli, Wanachoangalia ni pesa. Wanakuja kuchukua na kuondoka."
Chris Brown aliposikia hivyo, mpaka leo hajataka ndoa.
Ukitaka kuzaa na mtu, hakikisha unamjua kwa undani.
Maana unaweza ukadhani unazaa mtoto, kumbe unazaa silaha ya kukushambulia baadaye.
Na mwisho wa siku, mtoto akikua, atapambanua mwenyewe nani alikuwa na nia njema naye na nani alitumia chuki kama mtaji.
50 Cent alijua mwanaye atakua na kuona ukweli mwenyewe.
Na kweli, siku hizi mtoto ameanza kurudi kwa baba yake, maana ameanza kugundua kuwa mama yake alimtumia.
Siku zote, ukweli hauwezi kufichika milele.
Alimwambia, "Siku hizi wanawake hawana mapenzi ya kweli, Wanachoangalia ni pesa. Wanakuja kuchukua na kuondoka."
Chris Brown aliposikia hivyo, mpaka leo hajataka ndoa.
Ukitaka kuzaa na mtu, hakikisha unamjua kwa undani.
Maana unaweza ukadhani unazaa mtoto, kumbe unazaa silaha ya kukushambulia baadaye.
Na mwisho wa siku, mtoto akikua, atapambanua mwenyewe nani alikuwa na nia njema naye na nani alitumia chuki kama mtaji.
50 Cent alijua mwanaye atakua na kuona ukweli mwenyewe.
Na kweli, siku hizi mtoto ameanza kurudi kwa baba yake, maana ameanza kugundua kuwa mama yake alimtumia.
Siku zote, ukweli hauwezi kufichika milele.
#PART5
Alimwambia, "Siku hizi wanawake hawana mapenzi ya kweli, Wanachoangalia ni pesa. Wanakuja kuchukua na kuondoka."
Chris Brown aliposikia hivyo, mpaka leo hajataka ndoa.
Ukitaka kuzaa na mtu, hakikisha unamjua kwa undani.
Maana unaweza ukadhani unazaa mtoto, kumbe unazaa silaha ya kukushambulia baadaye.
Na mwisho wa siku, mtoto akikua, atapambanua mwenyewe nani alikuwa na nia njema naye na nani alitumia chuki kama mtaji.
50 Cent alijua mwanaye atakua na kuona ukweli mwenyewe.
Na kweli, siku hizi mtoto ameanza kurudi kwa baba yake, maana ameanza kugundua kuwa mama yake alimtumia.
Siku zote, ukweli hauwezi kufichika milele.
0 Comments
·0 Shares
·77 Views