Leia mais
Adhabu ya Raia kutoka Nchini Kenya 🇰🇪 ambaye alikuwa anyongwe mpaka kifo baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya aina ya cocaine Nchini Vietnam 🇻🇳 imepunguzwa baada ya jitihada nyingi za Viongozi wa Kenya 🇰🇪 kuomba sana kwa Serikali hiyo impunguzie adhabu ya Magreth Nduta. Kwa sasa adhabu ya Magret Nduta imesogezwa mpaka mwezi June ili kuona kama Vietnam 🇻🇳 watakubali Magreth kurudishwa ili aje apewe kifungo na nchi yake ya Kenya 🇰🇪. Ikumbukwe kuwa Vietnam 🇻🇳 ni moja ya Nchi yenye misimamo mikali sana kuhusu Wauzaji na Wasambazaji wa madawa ya kulevya ambapo adhabu yake ni kufa.
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·26 Visualizações