• Read More - https://eng-eng-burnpeak.com
    Looking for the latest Burn Peak price details? Discover updated 2026 pricing, package options, discounts, and refund policies for this popular weight loss supplement. Burn Peak is formulated to support metabolism, fat burning, and healthy energy levels using natural ingredients. In this guide, we break down cost per bottle, bundle savings, and where to buy safely online.
    #BurnPeak #BurnPeakPrice #WeightLossSupplement
    Read More - https://eng-eng-burnpeak.com Looking for the latest Burn Peak price details? Discover updated 2026 pricing, package options, discounts, and refund policies for this popular weight loss supplement. Burn Peak is formulated to support metabolism, fat burning, and healthy energy levels using natural ingredients. In this guide, we break down cost per bottle, bundle savings, and where to buy safely online. #BurnPeak #BurnPeakPrice #WeightLossSupplement
    ENG-ENG-BURNPEAK.COM
    Burn Peak™ | Official Website | Support Weight Management
    Burn Peak™ helps support fat burning, boost daily energy, and improve metabolism naturally. Order now from the official website and save 75% today.
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 15 Visualizações
  • Intelligent Sphygmomanometer Market: Overview, Growth, Trends & Analysis (2026–2034): https://www.theinsightpartners.com/reports/intelligent-sphygmomanometer-market
    Intelligent Sphygmomanometer Market: Overview, Growth, Trends & Analysis (2026–2034): https://www.theinsightpartners.com/reports/intelligent-sphygmomanometer-market
    WWW.THEINSIGHTPARTNERS.COM
    Intelligent Sphygmomanometer Market Growth, Trends, Analysis 2034
    The report on the intelligent sphygmomanometer market provides a detailed analysis of market size, forecast, and strategic insights for the 2026-2034 period.
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 81 Visualizações
  • DRC na Burundi zafungua rasmi mpaka wa Kavimvira–Gatumba.

    Leo hii Februari 23, 2026, Mpaka wa Kavimvira–Gatumba unaounganisha Nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Burundi umefunguliwa rasmi kuanzia asubuhi hii, katika hatua inayotajwa kuwa muhimu kwa uhusiano wa kikanda na ushirikiano wa kiuchumi kati ya mataifa hayo mawili.

    Ufunguzi huo unafuatia kipindi cha kusubiri kilichosababisha kusimama kwa sehemu ya shughuli za usafirishaji na biashara mpakani. Mamlaka za pande zote mbili zimesema hatua hiyo inalenga kurejesha hali ya kawaida katika mzunguko wa watu na bidhaa.

    Kwa mujibu wa taarifa za awali, kufunguliwa kwa mpaka huo kutaruhusu:

    - Kurejea kwa shughuli za kawaida za kibiashara

    - Kuimarika kwa usafiri wa wananchi wanaovuka mpaka

    - Kuongezeka kwa ubadilishanaji wa bidhaa na huduma

    - Kuimarisha uhusiano wa kijamii na kiuchumi kati ya jamii za mpakani

    Mashuhuda katika eneo la mpakani wameripoti kuongezeka kwa idadi ya Wasafiri na Wafanyabiashara tangu saa za mapema asubuhi, huku malori ya mizigo na mabasi yakianza kuvuka kwa utaratibu wa kawaida.

    Hata hivyo, mamlaka zimehimiza wananchi kuzingatia sheria na taratibu za mipakani ili kuhakikisha usalama na uendeshaji mzuri wa shughuli zote.

    Wachambuzi wa masuala ya kikanda wanasema hatua hiyo inaweza kuchochea ukuaji wa uchumi katika ukanda wa Maziwa Makuu, hususan kwa jamii zinazotegemea biashara ya kuvuka mpaka kati ya DRC na Burundi.

    Toa maoni yako
    #Habari
    DRC na Burundi zafungua rasmi mpaka wa Kavimvira–Gatumba. Leo hii Februari 23, 2026, Mpaka wa Kavimvira–Gatumba unaounganisha Nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Burundi umefunguliwa rasmi kuanzia asubuhi hii, katika hatua inayotajwa kuwa muhimu kwa uhusiano wa kikanda na ushirikiano wa kiuchumi kati ya mataifa hayo mawili. Ufunguzi huo unafuatia kipindi cha kusubiri kilichosababisha kusimama kwa sehemu ya shughuli za usafirishaji na biashara mpakani. Mamlaka za pande zote mbili zimesema hatua hiyo inalenga kurejesha hali ya kawaida katika mzunguko wa watu na bidhaa. Kwa mujibu wa taarifa za awali, kufunguliwa kwa mpaka huo kutaruhusu: - Kurejea kwa shughuli za kawaida za kibiashara - Kuimarika kwa usafiri wa wananchi wanaovuka mpaka - Kuongezeka kwa ubadilishanaji wa bidhaa na huduma - Kuimarisha uhusiano wa kijamii na kiuchumi kati ya jamii za mpakani Mashuhuda katika eneo la mpakani wameripoti kuongezeka kwa idadi ya Wasafiri na Wafanyabiashara tangu saa za mapema asubuhi, huku malori ya mizigo na mabasi yakianza kuvuka kwa utaratibu wa kawaida. Hata hivyo, mamlaka zimehimiza wananchi kuzingatia sheria na taratibu za mipakani ili kuhakikisha usalama na uendeshaji mzuri wa shughuli zote. Wachambuzi wa masuala ya kikanda wanasema hatua hiyo inaweza kuchochea ukuaji wa uchumi katika ukanda wa Maziwa Makuu, hususan kwa jamii zinazotegemea biashara ya kuvuka mpaka kati ya DRC na Burundi. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 97 Visualizações
  • Kesi ya uhaini dhidi ya Tundu Lissu yaahirishwa tena Mahakamani.

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeahirishwa hadi kesho baada ya Mahakama kushindwa kuendelea na usikilizwaji wake kufuatia mjadala mzito wa kisheria. Chanzo cha mvutano huo ni notisi iliyowasilishwa na upande wa Jamhuri ikieleza nia ya kuleta ushahidi mpya Mahakamani.

    Jamhuri: Notisi Iliwasilishwa kwa mujibu wa sheria.

    Upande wa Mashtaka umeeleza kuwa uliwasilisha notisi hiyo tarehe 20 Februari 2026 kwa mujibu wa kifungu cha 308 cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai. Wakili wa Serikali alidai kuwa notisi hiyo ina maudhui ya ushahidi unaokusudiwa kuongezwa kama nyongeza ya ushahidi uliowasilishwa awali na ACP Amini Mahamba.

    Kwa hoja ya Jamhuri:

    - Kifungu cha 308(1) kinatoa mwongozo wa kuwasilisha ushahidi wa ziada.

    - Kifungu cha 308(4) kinahusu ushahidi uliopo katika jalada la kesi.

    - ACP Mahamba alikuwa Mchunguzi wa matukio yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.

    Kwa mtazamo wa Jamhuri, ushahidi huo ni wa kuimarisha hoja zao na unafuata taratibu za kisheria.

    Lissu apinga: “Si shahidi mpya”

    Hata hivyo, Tundu Lissu alipinga vikali notisi hiyo akisema haikidhi matakwa ya kisheria.

    Kwa mujibu wa hoja yake:

    - Kifungu cha 308(1) kinahusu shahidi mpya ambaye ushahidi wake haukusomwa wakati wa hatua ya awali (committal proceedings).

    - Upande wa Jamhuri hauleti shahidi mpya, bali unataka kuongeza ushahidi wa shahidi ambaye tayari alishatoa ushahidi wake.

    - Notisi hiyo haimtaji shahidi mpya kama sheria inavyotaka.

    Lissu alisisitiza kuwa hatua hiyo ni kinyume cha utaratibu wa kisheria na inalenga kupanua wigo wa kesi nje ya hati ya mashtaka.

    Aidha, Lissu alieleza kuwa maelezo yanayohusu matukio ya uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 hayamo kwenye hati ya mashtaka.

    Alidai kuwa:

    - Serikali inaonekana kutaka kubadilisha hati ya mashtaka bila kufuata utaratibu.

    - Wakati wa matukio hayo, yeye alikuwa mahabusu kwa miezi sita na nusu.

    - Kuruhusu notisi hiyo ni sawa na kufungua “sanduku la Pandora” kwa kuingiza masuala mapya yasiyo kwenye mashtaka ya awali.

    Kutokana na mvutano huo wa kisheria, Mahakama ililazimika kuahirisha kesi hiyo hadi kesho ili kutoa mwongozo au uamuzi kuhusu uhalali wa notisi ya Jamhuri.

    Uamuzi utakaotolewa unaweza kuwa na athari kubwa katika mwelekeo wa kesi hiyo, hasa kuhusu tafsiri na matumizi ya kifungu cha 308 katika mazingira ya ushahidi wa ziada.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Kesi ya uhaini dhidi ya Tundu Lissu yaahirishwa tena Mahakamani. Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeahirishwa hadi kesho baada ya Mahakama kushindwa kuendelea na usikilizwaji wake kufuatia mjadala mzito wa kisheria. Chanzo cha mvutano huo ni notisi iliyowasilishwa na upande wa Jamhuri ikieleza nia ya kuleta ushahidi mpya Mahakamani. Jamhuri: Notisi Iliwasilishwa kwa mujibu wa sheria. Upande wa Mashtaka umeeleza kuwa uliwasilisha notisi hiyo tarehe 20 Februari 2026 kwa mujibu wa kifungu cha 308 cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai. Wakili wa Serikali alidai kuwa notisi hiyo ina maudhui ya ushahidi unaokusudiwa kuongezwa kama nyongeza ya ushahidi uliowasilishwa awali na ACP Amini Mahamba. Kwa hoja ya Jamhuri: - Kifungu cha 308(1) kinatoa mwongozo wa kuwasilisha ushahidi wa ziada. - Kifungu cha 308(4) kinahusu ushahidi uliopo katika jalada la kesi. - ACP Mahamba alikuwa Mchunguzi wa matukio yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025. Kwa mtazamo wa Jamhuri, ushahidi huo ni wa kuimarisha hoja zao na unafuata taratibu za kisheria. Lissu apinga: “Si shahidi mpya” Hata hivyo, Tundu Lissu alipinga vikali notisi hiyo akisema haikidhi matakwa ya kisheria. Kwa mujibu wa hoja yake: - Kifungu cha 308(1) kinahusu shahidi mpya ambaye ushahidi wake haukusomwa wakati wa hatua ya awali (committal proceedings). - Upande wa Jamhuri hauleti shahidi mpya, bali unataka kuongeza ushahidi wa shahidi ambaye tayari alishatoa ushahidi wake. - Notisi hiyo haimtaji shahidi mpya kama sheria inavyotaka. Lissu alisisitiza kuwa hatua hiyo ni kinyume cha utaratibu wa kisheria na inalenga kupanua wigo wa kesi nje ya hati ya mashtaka. Aidha, Lissu alieleza kuwa maelezo yanayohusu matukio ya uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 hayamo kwenye hati ya mashtaka. Alidai kuwa: - Serikali inaonekana kutaka kubadilisha hati ya mashtaka bila kufuata utaratibu. - Wakati wa matukio hayo, yeye alikuwa mahabusu kwa miezi sita na nusu. - Kuruhusu notisi hiyo ni sawa na kufungua “sanduku la Pandora” kwa kuingiza masuala mapya yasiyo kwenye mashtaka ya awali. Kutokana na mvutano huo wa kisheria, Mahakama ililazimika kuahirisha kesi hiyo hadi kesho ili kutoa mwongozo au uamuzi kuhusu uhalali wa notisi ya Jamhuri. Uamuzi utakaotolewa unaweza kuwa na athari kubwa katika mwelekeo wa kesi hiyo, hasa kuhusu tafsiri na matumizi ya kifungu cha 308 katika mazingira ya ushahidi wa ziada. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 75 Visualizações
  • Vita vya M23: Wiki ngumu kwa Waasi katika eneo la Masisi.

    Wiki hii imekuwa ya majaribu makubwa kwa Waasi wa M23 na washirika wao katika eneo la Masisi, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vya ndani, makundi hayo yanadaiwa kupata hasara kubwa katika mapigano dhidi ya vikosi vya ndani vinavyopambana nao.

    Leo hii Jumatatu, 23 Februari 2026, Muungano unaojumuisha Wazalendo, CMPDN na Pareco-FF ulitangaza kuwa umefanikiwa kuwaondoa wapiganaji wa M23 katika eneo la Kaniro. Hatua hiyo inaelezwa kuwa ya kimkakati, kwani sasa inawakaribisha wapiganaji hao karibu na Katale-centre, eneo lililo jirani na Masisi-centre.

    Kwa mujibu wa taarifa hizo, mafanikio hayo yanatajwa kuwa sehemu ya operesheni pana inayolenga kuisukuma M23 kutoka katika maeneo wanayodhibiti.

    Wakati huo huo, Mji wa madini wa Rubaya unaripotiwa kuwa karibu kuzingirwa na Wazalendo. Inadaiwa kuwa makundi hayo sasa yanadhibiti barabara na njia kadhaa muhimu zinazoelekea Mjini humo, zikiwemo Kinigi, Kilonge na Kaniro.

    Rubaya inachukuliwa kuwa kitovu muhimu cha uchimbaji madini katika eneo hilo. Taarifa za makadirio zinaonesha kuwa uchimbaji wake huzalisha zaidi ya dola milioni 2.5 za Marekani kwa mwezi, kwa kiwango cha uzalishaji kinachokadiriwa kufikia tani 110 hadi 120 za madini kila mwezi.

    Kwa mujibu wa vyanzo vya ndani, Kamanda wa M23, Sultani Makenga, aliripotiwa kufika Rubaya mapema leo hii Jumatatu kwa lengo la kusimamia binafsi operesheni za kijeshi. Taarifa zinaeleza kuwa kikosi cha M23 kilichokuwa kimepelekwa Kinigi kilisukumwa nyuma hadi Kibabi.

    Kutokana na presha ya mashambulizi, Makenga anadaiwa kushuka mstari wa mbele ili kujaribu kupanga upya vikosi vilivyokuwa vinayumba.

    Hata hivyo, kasi ya Wazalendo inaelezwa kupungua kutokana na uwepo wa silaha nzito za msaada, zikiwemo vipande vya mizinga na chokaa ya milimita 120, zilizowekwa Kalonge. Silaha hizo zinaripotiwa kushambulia maeneo ya Chugi, Kinigi/Bisunzu na Kilonge, jambo linalozuia kusonga mbele kwa haraka kwa wapiganaji wa Wazalendo.

    Kuimarishwa kwa vikosi vya Waasi ndani ya Rubaya kunaonekana kulenga kulinda Mji huo wa kimkakati, hasa kutokana na umuhimu wake wa kiuchumi. Hali ya usalama katika eneo la Masisi bado ni tete, huku pande zote zikijaribu kudhibiti maeneo yenye umuhimu wa kijeshi na kiuchumi.

    Kadri mapigano yanavyoendelea, macho ya wengi yanaelekezwa katika mustakabali wa Rubaya na iwapo Muungano wa Wazalendo utafanikiwa kuudhibiti Mji huo au la.

    Toa maoni yako
    #Habari
    🇨🇩Vita vya M23: Wiki ngumu kwa Waasi katika eneo la Masisi. Wiki hii imekuwa ya majaribu makubwa kwa Waasi wa M23 na washirika wao katika eneo la Masisi, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vya ndani, makundi hayo yanadaiwa kupata hasara kubwa katika mapigano dhidi ya vikosi vya ndani vinavyopambana nao. Leo hii Jumatatu, 23 Februari 2026, Muungano unaojumuisha Wazalendo, CMPDN na Pareco-FF ulitangaza kuwa umefanikiwa kuwaondoa wapiganaji wa M23 katika eneo la Kaniro. Hatua hiyo inaelezwa kuwa ya kimkakati, kwani sasa inawakaribisha wapiganaji hao karibu na Katale-centre, eneo lililo jirani na Masisi-centre. Kwa mujibu wa taarifa hizo, mafanikio hayo yanatajwa kuwa sehemu ya operesheni pana inayolenga kuisukuma M23 kutoka katika maeneo wanayodhibiti. Wakati huo huo, Mji wa madini wa Rubaya unaripotiwa kuwa karibu kuzingirwa na Wazalendo. Inadaiwa kuwa makundi hayo sasa yanadhibiti barabara na njia kadhaa muhimu zinazoelekea Mjini humo, zikiwemo Kinigi, Kilonge na Kaniro. Rubaya inachukuliwa kuwa kitovu muhimu cha uchimbaji madini katika eneo hilo. Taarifa za makadirio zinaonesha kuwa uchimbaji wake huzalisha zaidi ya dola milioni 2.5 za Marekani kwa mwezi, kwa kiwango cha uzalishaji kinachokadiriwa kufikia tani 110 hadi 120 za madini kila mwezi. Kwa mujibu wa vyanzo vya ndani, Kamanda wa M23, Sultani Makenga, aliripotiwa kufika Rubaya mapema leo hii Jumatatu kwa lengo la kusimamia binafsi operesheni za kijeshi. Taarifa zinaeleza kuwa kikosi cha M23 kilichokuwa kimepelekwa Kinigi kilisukumwa nyuma hadi Kibabi. Kutokana na presha ya mashambulizi, Makenga anadaiwa kushuka mstari wa mbele ili kujaribu kupanga upya vikosi vilivyokuwa vinayumba. Hata hivyo, kasi ya Wazalendo inaelezwa kupungua kutokana na uwepo wa silaha nzito za msaada, zikiwemo vipande vya mizinga na chokaa ya milimita 120, zilizowekwa Kalonge. Silaha hizo zinaripotiwa kushambulia maeneo ya Chugi, Kinigi/Bisunzu na Kilonge, jambo linalozuia kusonga mbele kwa haraka kwa wapiganaji wa Wazalendo. Kuimarishwa kwa vikosi vya Waasi ndani ya Rubaya kunaonekana kulenga kulinda Mji huo wa kimkakati, hasa kutokana na umuhimu wake wa kiuchumi. Hali ya usalama katika eneo la Masisi bado ni tete, huku pande zote zikijaribu kudhibiti maeneo yenye umuhimu wa kijeshi na kiuchumi. Kadri mapigano yanavyoendelea, macho ya wengi yanaelekezwa katika mustakabali wa Rubaya na iwapo Muungano wa Wazalendo utafanikiwa kuudhibiti Mji huo au la. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 125 Visualizações
  • Dentpure™ Reviews 2026 – Natural Support for Strong Teeth & Healthy Gums
    #Dentpure #DentpureReviews #OralHealth #HealthyGums #StrongTeeth
    https://www.shop-dentpure.us
    Dentpure™ Reviews 2026 – Natural Support for Strong Teeth & Healthy Gums #Dentpure #DentpureReviews #OralHealth #HealthyGums #StrongTeeth https://www.shop-dentpure.us
    WWW.SHOP-DENTPURE.US
    Dentpure™ Oral Care – Official Website | Natural Smile Aid
    Dentpure™ supports a cleaner, brighter smile naturally. Strengthen enamel, fight plaque, and freshen breath with our trusted formula. Official website.
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 196 Visualizações
  • UroFlow Reviews 2026 – Natural Support for Prostate & Urinary Health
    #UroFlow #UroFlowReviews #ProstateHealth #UrinarySupport #MensWellness
    https://www.uryflow.com
    UroFlow Reviews 2026 – Natural Support for Prostate & Urinary Health #UroFlow #UroFlowReviews #ProstateHealth #UrinarySupport #MensWellness https://www.uryflow.com
    WWW.URYFLOW.COM
    UroFlow™ | Support Prostate – Official Website
    Discover UroFlow™ at the Official Website—your natural solution to support prostate health, boost flow, and reclaim vitality. Feel the difference daily!
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 225 Visualizações
  • Looking to secure a high-income career in 2026? Our latest blog uncovers the top paying jobs in India, complete with detailed salary insights, required expertise, academic qualifications, and growth prospects. Learn which industries are booming, what skills are most valuable, and how you can strategically plan your career path. Make informed decisions and position yourself for success in India’s competitive and fast-changing job market.

    https://www.mymudra.com/blog/highest-paying-jobs-in-india
    Looking to secure a high-income career in 2026? Our latest blog uncovers the top paying jobs in India, complete with detailed salary insights, required expertise, academic qualifications, and growth prospects. Learn which industries are booming, what skills are most valuable, and how you can strategically plan your career path. Make informed decisions and position yourself for success in India’s competitive and fast-changing job market. https://www.mymudra.com/blog/highest-paying-jobs-in-india
    WWW.MYMUDRA.COM
    Highest Paying Jobs in India in 2026
    Discover the highest paying jobs in India in 2026, including salary insights, required skills, qualifications, and career paths. Explore top careers in our blog.
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 163 Visualizações
  • What worked for traditional SEO just a few short years ago is now a quickly fading memory, making way for a profoundly different landscape by 2026.

    https://genwrite.co/ai-writing-tool
    https://genwrite.co/ai-blog-writer

    https://genwrite.co/automated-on-page-seo-writing

    #technology #technologies #aiseotools #socialmedia
    What worked for traditional SEO just a few short years ago is now a quickly fading memory, making way for a profoundly different landscape by 2026. https://genwrite.co/ai-writing-tool https://genwrite.co/ai-blog-writer https://genwrite.co/automated-on-page-seo-writing #technology #technologies #aiseotools #socialmedia
    GENWRITE.CO
    AI Writing Tool for SEO Content & Marketing | GenWrite | GenWrite
    GenWrite is an AI writing tool to create blogs, SEO content, ads & marketing copy faster. Generate high-quality content in minutes.
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 288 Visualizações
  • What are the most effective AI writing tools for SEO in 2026, and why are they essential for ranking in an AI-dominated search landscape

    https://genwrite.co/

    #technology #technologies #aiseotools #socialmedia
    What are the most effective AI writing tools for SEO in 2026, and why are they essential for ranking in an AI-dominated search landscape https://genwrite.co/ #technology #technologies #aiseotools #socialmedia
    GENWRITE.CO
    SEO AI Tools for Content Creation & Blog Writing | AI SEO Blog Generator
    Learn how SEO AI tools help create optimized content and blogs. Explore AI SEO blog generators and SEO AI writers designed to improve visibility and performance in search engines.
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 276 Visualizações
  • Familia ya Kiongozi wa upinzani wa Uganda Bobi Wine yafunguka kukimbia Nchi kufuatia matukio ya siasa na usalama.

    Katika taarifa iliyotolewa, Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi Ssentamu, maarufu kama Bobi Wine, amethibitisha mbele ya Wakaguzi wa haki za binadamu Mjini Geneva kwamba Mke wake, Barbie Itungo Kyagulanyi, na Watoto wao wametoka Uganda kwa sababu za hofu ya maisha yao kufuatia hali tete inayojitokeza nchini mwao baada ya uchaguzi wa Rais.

    Katika hotuba yake kupitia video mbele ya Geneva Summit for Human Rights and Democracy, Bobi Wine alisema wazi: “Mke wangu na Watoto walilazimika kukimbia nchi kwa hofu ya maisha yao.” - Bobi Wine.

    Alifafanua kuwa usalama wa familia yake uliathirika sana kutokana na operesheni za vikosi vya usalama zilizoendelea mara tu baada ya uchaguzi wa 15 Januari 2026, ambapo serikali ilitangaza ushindi wa Rais Yoweri Museveni ambayo Bobi Wine ameipinga kwa madai ya udanganyifu wa kura na ukandamizaji wa upinzani.

    Bobi Wine pia alidai kwamba vikosi vya usalama: “Vilivamia nyumba yangu, vikamtesa Mke wangu, kumfanya asiwe na chaguo ila kuondoka na Watoto wakiwa nje ya nchi.” amesema

    Habari kwamba familia yake imeondoka Uganda na si tu kutoroka nyumba yao ya Magere imetolewa mara tu baada ya miezi ya mvutano mkali, ikiwa ni pamoja na madai ya mashambulizi, ulinzi mkali wa nyumba yao na vitisho vilivyowekwa na baadhi ya Afisa wa usalama.

    Katika maneno yake Mjini Geneva, Bobi Wine pia alijumuisha ombi kwa Jumuiya ya kimataifa kuhusu hatua za kulinda haki za binadamu na kuzuia ukandamizaji wa upinzani nchini Uganda.

    Taarifa hii inakuja katika wakati ambapo Uganda iko chini ya uangalizi wa kimataifa kufuatia ripoti za ghasia, mashambulizi dhidi ya wapinzani wa kisiasa, na madai ya upendeleo wa vyombo vya usalama kuelekea chama tawala.

    Kwa sasa, bado haijafahamika kwa umma ni nchi gani hasa Barbie Itungo Kyagulanyi na Watoto hao wamekwenda, ila uamuzi wao wa kukimbia unachukuliwa kama hatua ya kulinda usalama wa familia katika mzozo wa kisiasa unaoendelea nchini Uganda.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Familia ya Kiongozi wa upinzani wa Uganda Bobi Wine yafunguka kukimbia Nchi kufuatia matukio ya siasa na usalama. Katika taarifa iliyotolewa, Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi Ssentamu, maarufu kama Bobi Wine, amethibitisha mbele ya Wakaguzi wa haki za binadamu Mjini Geneva kwamba Mke wake, Barbie Itungo Kyagulanyi, na Watoto wao wametoka Uganda kwa sababu za hofu ya maisha yao kufuatia hali tete inayojitokeza nchini mwao baada ya uchaguzi wa Rais. Katika hotuba yake kupitia video mbele ya Geneva Summit for Human Rights and Democracy, Bobi Wine alisema wazi: “Mke wangu na Watoto walilazimika kukimbia nchi kwa hofu ya maisha yao.” - Bobi Wine. Alifafanua kuwa usalama wa familia yake uliathirika sana kutokana na operesheni za vikosi vya usalama zilizoendelea mara tu baada ya uchaguzi wa 15 Januari 2026, ambapo serikali ilitangaza ushindi wa Rais Yoweri Museveni ambayo Bobi Wine ameipinga kwa madai ya udanganyifu wa kura na ukandamizaji wa upinzani. Bobi Wine pia alidai kwamba vikosi vya usalama: “Vilivamia nyumba yangu, vikamtesa Mke wangu, kumfanya asiwe na chaguo ila kuondoka na Watoto wakiwa nje ya nchi.” amesema Habari kwamba familia yake imeondoka Uganda na si tu kutoroka nyumba yao ya Magere imetolewa mara tu baada ya miezi ya mvutano mkali, ikiwa ni pamoja na madai ya mashambulizi, ulinzi mkali wa nyumba yao na vitisho vilivyowekwa na baadhi ya Afisa wa usalama. Katika maneno yake Mjini Geneva, Bobi Wine pia alijumuisha ombi kwa Jumuiya ya kimataifa kuhusu hatua za kulinda haki za binadamu na kuzuia ukandamizaji wa upinzani nchini Uganda. Taarifa hii inakuja katika wakati ambapo Uganda iko chini ya uangalizi wa kimataifa kufuatia ripoti za ghasia, mashambulizi dhidi ya wapinzani wa kisiasa, na madai ya upendeleo wa vyombo vya usalama kuelekea chama tawala. Kwa sasa, bado haijafahamika kwa umma ni nchi gani hasa Barbie Itungo Kyagulanyi na Watoto hao wamekwenda, ila uamuzi wao wa kukimbia unachukuliwa kama hatua ya kulinda usalama wa familia katika mzozo wa kisiasa unaoendelea nchini Uganda. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 268 Visualizações
  • Active B12 Test Market Growth, Trends, and Analysis by 2034:
    https://www.theinsightpartners.com/reports/active-b12-test-market

    The Global Healthcare Diagnostics landscape is witnessing a notable transformation, and one of its most quietly significant chapters is being written by the Active B12 Test market. According to a comprehensive report published by The Insight Partners, the Active B12 Test Market is anticipated to expand at a CAGR of 6.3% from 2026 to 2034, reflecting a steady and promising growth trajectory that stakeholders across the diagnostics, pharmaceutical, and healthcare sectors are closely monitoring.

    What Is Active B12 Testing?
    Unlike standard total B12 tests, active B12 testing — also known as holotranscobalamin (HoloTC) testing — measures the biologically available form of vitamin B12 that cells can actually absorb and utilize. This makes it a far more precise and clinically meaningful diagnostic tool than conventional B12 assays. As precision medicine gains traction globally, the relevance and demand for active B12 testing are growing in tandem.
    Active B12 Test Market Growth, Trends, and Analysis by 2034: https://www.theinsightpartners.com/reports/active-b12-test-market The Global Healthcare Diagnostics landscape is witnessing a notable transformation, and one of its most quietly significant chapters is being written by the Active B12 Test market. According to a comprehensive report published by The Insight Partners, the Active B12 Test Market is anticipated to expand at a CAGR of 6.3% from 2026 to 2034, reflecting a steady and promising growth trajectory that stakeholders across the diagnostics, pharmaceutical, and healthcare sectors are closely monitoring. What Is Active B12 Testing? Unlike standard total B12 tests, active B12 testing — also known as holotranscobalamin (HoloTC) testing — measures the biologically available form of vitamin B12 that cells can actually absorb and utilize. This makes it a far more precise and clinically meaningful diagnostic tool than conventional B12 assays. As precision medicine gains traction globally, the relevance and demand for active B12 testing are growing in tandem.
    WWW.THEINSIGHTPARTNERS.COM
    Active B12 Test Market Size, Growth & Opportunities | 2034 Report
    Active b12 test market outlook reveals an expected size of high revenue by 2034, with a high CAGR value for the period. The report covers key segments
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 328 Visualizações
  • Msanii wa Afrobeats Simi aibua mjadala mzito kuhusu adhabu kwa Wabakaji wa Watoto.

    Msanii wa muziki wa Afrobeats, Simisola Kosoko maarufu kama Simi, amezua mjadala mkubwa katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii baada ya kutoa wito wa kuchukuliwa hatua kali dhidi ya Wanaume wanaobaka Watoto na Wasichana.

    Kwa mujibu wa taarifa zilizoripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini Nigeria, nchi hiyo kwa sasa inapitia kipindi kigumu kutokana na ongezeko la matukio ya ukatili wa kijinsia. Visa vya ubakaji dhidi ya Wanawake na Watoto vimeripotiwa katika maeneo tofauti ndani ya wiki za hivi karibuni, jambo lililoibua hasira na maumivu miongoni mwa Wananchi.

    Kupitia ujumbe aliouchapisha katika mtandao wa X usiku wa Jumanne, tarehe 17 Februari 2026, Simi alionyesha wazi ghadhabu yake dhidi ya vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia, hasa vinavyowalenga Watoto wa kike. Msanii huyo aliitaka serikali pamoja na jamii kwa ujumla kuchukua hatua madhubuti kukomesha uhalifu huo.

    Katika ujumbe wake, aliandika: "Nimechoka na nimekasirika sana. Acheni kubaka Wanawake na Watoto. Wanaume wanaobaka Watoto na Wasichana wanapaswa kuhasiwa na kuchomwa moto wakiwa hai.”

    Kauli hiyo imeibua mjadala mpana mtandaoni, huku baadhi ya watu wakimuunga mkono kwa kuonesha uchungu na hasira juu ya matukio ya ubakaji, na wengine wakipinga aina ya adhabu aliyoipendekeza wakisisitiza umuhimu wa kufuata misingi ya sheria na haki za binadamu.

    Wachambuzi wa masuala ya kijamii wanasema kauli ya Simi inaakisi hisia kali za Wananchi wengi wanaohisi mfumo wa haki jinai haujachukua hatua za kutosha kukabiliana na ongezeko la uhalifu wa kijinsia. Hata hivyo, wanasisitiza kuwa mapambano dhidi ya ubakaji yanahitaji mchanganyiko wa hatua za kisheria, elimu ya jamii, pamoja na ulinzi madhubuti kwa waathirika.

    Mjadala unaoendelea unaweka shinikizo kwa mamlaka husika kuimarisha sheria, kuharakisha mashauri ya kesi za ubakaji, na kuhakikisha Wahusika wanawajibishwa kwa mujibu wa sheria za nchi.

    Toa maoni yako
    #Music
    #Habari
    Msanii wa Afrobeats Simi aibua mjadala mzito kuhusu adhabu kwa Wabakaji wa Watoto. Msanii wa muziki wa Afrobeats, Simisola Kosoko maarufu kama Simi, amezua mjadala mkubwa katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii baada ya kutoa wito wa kuchukuliwa hatua kali dhidi ya Wanaume wanaobaka Watoto na Wasichana. Kwa mujibu wa taarifa zilizoripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini Nigeria, nchi hiyo kwa sasa inapitia kipindi kigumu kutokana na ongezeko la matukio ya ukatili wa kijinsia. Visa vya ubakaji dhidi ya Wanawake na Watoto vimeripotiwa katika maeneo tofauti ndani ya wiki za hivi karibuni, jambo lililoibua hasira na maumivu miongoni mwa Wananchi. Kupitia ujumbe aliouchapisha katika mtandao wa X usiku wa Jumanne, tarehe 17 Februari 2026, Simi alionyesha wazi ghadhabu yake dhidi ya vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia, hasa vinavyowalenga Watoto wa kike. Msanii huyo aliitaka serikali pamoja na jamii kwa ujumla kuchukua hatua madhubuti kukomesha uhalifu huo. Katika ujumbe wake, aliandika: "Nimechoka na nimekasirika sana. Acheni kubaka Wanawake na Watoto. Wanaume wanaobaka Watoto na Wasichana wanapaswa kuhasiwa na kuchomwa moto wakiwa hai.” Kauli hiyo imeibua mjadala mpana mtandaoni, huku baadhi ya watu wakimuunga mkono kwa kuonesha uchungu na hasira juu ya matukio ya ubakaji, na wengine wakipinga aina ya adhabu aliyoipendekeza wakisisitiza umuhimu wa kufuata misingi ya sheria na haki za binadamu. Wachambuzi wa masuala ya kijamii wanasema kauli ya Simi inaakisi hisia kali za Wananchi wengi wanaohisi mfumo wa haki jinai haujachukua hatua za kutosha kukabiliana na ongezeko la uhalifu wa kijinsia. Hata hivyo, wanasisitiza kuwa mapambano dhidi ya ubakaji yanahitaji mchanganyiko wa hatua za kisheria, elimu ya jamii, pamoja na ulinzi madhubuti kwa waathirika. Mjadala unaoendelea unaweka shinikizo kwa mamlaka husika kuimarisha sheria, kuharakisha mashauri ya kesi za ubakaji, na kuhakikisha Wahusika wanawajibishwa kwa mujibu wa sheria za nchi. Toa maoni yako #Music #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 201 Visualizações
  • Pitbull ataka kuweka rekodi ya Dunia kupitia Guinness World Records.

    Rapa maarufu duniani, Pitbull, ametangaza mpango wa kuandika historia mpya katika Guinness World Records akishirikiana na mashabiki wake watakaohudhuria tamasha lake Jijini London, Uingereza.

    Msanii huyo mwenye umri wa miaka 45, anayejulikana pia kwa jina la kisanii Mr. Worldwide, anataka kuweka rekodi ya dunia kwa kuwa na “kundi kubwa zaidi la watu waliovaa kofia maalum zinazoiga kipara (bald caps)” katika tukio moja.

    Jaribio hilo linatarajiwa kufanyika wakati wa tamasha kubwa la muziki la BST Hyde Park, litakalofanyika tarehe 10 Julai 2026 Jijini London, ambapo Pitbull atakuwa Msanii mkuu wa siku hiyo.

    Wazo hilo limechochewa na utamaduni ulioenea katika maonyesho yake ya hivi karibuni, ambapo mashabiki wengi hujitokeza wakiwa wamevaa bald caps, miwani mikubwa aina ya aviators, pamoja na suti au makoti yanayokaa mwilini kwa umaridadi, mtindo unaoiga mwonekano rasmi wa Pitbull anapokuwa jukwaani.

    Akizungumza kuhusu mpango huo, Pitbull ameeleza kuwa “tunataka kuonyesha nguvu ya mashabiki na kuandika historia pamoja.”

    Mpango huo ulipata nguvu zaidi baada ya kuungwa mkono na Mtangazaji wa BBC Radio 1 Breakfast, Greg James, ambaye alihamasisha hadhira kuunga mkono jaribio hilo la kuvunja rekodi ya dunia.

    Kwa mujibu wa Waandaaji, endapo idadi ya mashabiki watakaovaa kofia hizo itafikia kiwango kinachotakiwa na Waamuzi wa Guinness World Records, basi Pitbull ataingia rasmi kwenye vitabu vya historia kama Msanii aliyeongoza tukio la kipekee zaidi la aina yake.

    Iwapo jaribio hilo litafanikiwa, litakuwa si tu ushindi kwa Pitbull binafsi, bali pia kwa mashabiki wake wanaojulikana kwa ubunifu na mshikamano mkubwa katika matamasha yake duniani.

    Toa maoni yako
    #Music
    #Habari
    Pitbull ataka kuweka rekodi ya Dunia kupitia Guinness World Records. Rapa maarufu duniani, Pitbull, ametangaza mpango wa kuandika historia mpya katika Guinness World Records akishirikiana na mashabiki wake watakaohudhuria tamasha lake Jijini London, Uingereza. Msanii huyo mwenye umri wa miaka 45, anayejulikana pia kwa jina la kisanii Mr. Worldwide, anataka kuweka rekodi ya dunia kwa kuwa na “kundi kubwa zaidi la watu waliovaa kofia maalum zinazoiga kipara (bald caps)” katika tukio moja. Jaribio hilo linatarajiwa kufanyika wakati wa tamasha kubwa la muziki la BST Hyde Park, litakalofanyika tarehe 10 Julai 2026 Jijini London, ambapo Pitbull atakuwa Msanii mkuu wa siku hiyo. Wazo hilo limechochewa na utamaduni ulioenea katika maonyesho yake ya hivi karibuni, ambapo mashabiki wengi hujitokeza wakiwa wamevaa bald caps, miwani mikubwa aina ya aviators, pamoja na suti au makoti yanayokaa mwilini kwa umaridadi, mtindo unaoiga mwonekano rasmi wa Pitbull anapokuwa jukwaani. Akizungumza kuhusu mpango huo, Pitbull ameeleza kuwa “tunataka kuonyesha nguvu ya mashabiki na kuandika historia pamoja.” Mpango huo ulipata nguvu zaidi baada ya kuungwa mkono na Mtangazaji wa BBC Radio 1 Breakfast, Greg James, ambaye alihamasisha hadhira kuunga mkono jaribio hilo la kuvunja rekodi ya dunia. Kwa mujibu wa Waandaaji, endapo idadi ya mashabiki watakaovaa kofia hizo itafikia kiwango kinachotakiwa na Waamuzi wa Guinness World Records, basi Pitbull ataingia rasmi kwenye vitabu vya historia kama Msanii aliyeongoza tukio la kipekee zaidi la aina yake. Iwapo jaribio hilo litafanikiwa, litakuwa si tu ushindi kwa Pitbull binafsi, bali pia kwa mashabiki wake wanaojulikana kwa ubunifu na mshikamano mkubwa katika matamasha yake duniani. Toa maoni yako #Music #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 181 Visualizações
  • Top Commercial Exit & Emergency Lighting Brands USA

    This blog lists the Top 10 Commercial Exit & Emergency Lighting Companies USA, helping facility managers and building owners find trusted lighting brands. It gives an easy overview of leading manufacturers and what each company offers.

    You’ll see key technical details like battery backup types, UL safety ratings, lumen output, mounting styles, and energy specs. The guide also covers code compliance and performance features to help you compare exit and emergency lighting options for your building safely.

    #ExitandEmergencyLighting
    #CommercialExitEmergencyLighting
    #IndoorLightingFixtures

    https://americanlightingsystems.blogspot.com/2026/02/top-10-commercial-exit-emergency-lighting-companies-usa.html
    Top Commercial Exit & Emergency Lighting Brands USA This blog lists the Top 10 Commercial Exit & Emergency Lighting Companies USA, helping facility managers and building owners find trusted lighting brands. It gives an easy overview of leading manufacturers and what each company offers. You’ll see key technical details like battery backup types, UL safety ratings, lumen output, mounting styles, and energy specs. The guide also covers code compliance and performance features to help you compare exit and emergency lighting options for your building safely. #ExitandEmergencyLighting #CommercialExitEmergencyLighting #IndoorLightingFixtures https://americanlightingsystems.blogspot.com/2026/02/top-10-commercial-exit-emergency-lighting-companies-usa.html
    AMERICANLIGHTINGSYSTEMS.BLOGSPOT.COM
    Top 10 Commercial Exit & Emergency Lighting Companies USA
    When the power cuts out in a commercial building, everything changes in seconds. Offices go dark. Warehouses lose visibility. Customers in r...
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 215 Visualizações
  • Saudi Arabia thibitisha kuonekana kwa Mwezi wa Ramadhani 1447 AH, kufunga kuanza Kesho.

    Mamlaka nchini Saudi Arabia yamethibitisha rasmi kwamba mwezi wa Ramadhani umeonekana, jambo linalothibitisha kuanza kwa mwezi mtukufu wa kufunga. Kwa mujibu wa tamko rasmi na kuthibitishwa kuonekana kwa Mwezi, na hivyo kesho, Jumatano, tarehe 18 Februari 2026, itakuwa siku ya kwanza ya Ramadhani 1447 Hijiria

    Ramadhani, mwezi ni wa tisa katika kalenda ya Kiislamu, hufungwa na Waislamu duniani kote kwa kuswali, kufanya ibada, na kufunga (kujizuia) kuanzia alfajiri hadi machweo ya jua. Kuonekana kwa mwezi wa Ramadhani ni kiashiria cha kuanza kwa ibada hii ya kiroho.

    Mamlaka za kidini katika mataifa mengine ya GCC pia zimethibitisha uamuzi huu, huku baadhi ya nchi zikitarajiwa kuanza kufunga siku moja baadae, kulingana na muda na mahali ambapo mwezi umeonekana. Hii ni kuonyesha umuhimu wa kalenda ya Kiislamu (Hijiria) katika kuamua siku za ibada na sherehe za kidini.

    Waislamu wanashauriwa kujiandaa kwa siku ya kwanza ya kufunga, kuimarisha imani na kufanya matendo mema, huku wakizingatia tamko la mamlaka husika.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Saudi Arabia thibitisha kuonekana kwa Mwezi wa Ramadhani 1447 AH, kufunga kuanza Kesho. Mamlaka nchini Saudi Arabia yamethibitisha rasmi kwamba mwezi wa Ramadhani umeonekana, jambo linalothibitisha kuanza kwa mwezi mtukufu wa kufunga. Kwa mujibu wa tamko rasmi na kuthibitishwa kuonekana kwa Mwezi, na hivyo kesho, Jumatano, tarehe 18 Februari 2026, itakuwa siku ya kwanza ya Ramadhani 1447 Hijiria Ramadhani, mwezi ni wa tisa katika kalenda ya Kiislamu, hufungwa na Waislamu duniani kote kwa kuswali, kufanya ibada, na kufunga (kujizuia) kuanzia alfajiri hadi machweo ya jua. Kuonekana kwa mwezi wa Ramadhani ni kiashiria cha kuanza kwa ibada hii ya kiroho. Mamlaka za kidini katika mataifa mengine ya GCC pia zimethibitisha uamuzi huu, huku baadhi ya nchi zikitarajiwa kuanza kufunga siku moja baadae, kulingana na muda na mahali ambapo mwezi umeonekana. Hii ni kuonyesha umuhimu wa kalenda ya Kiislamu (Hijiria) katika kuamua siku za ibada na sherehe za kidini. Waislamu wanashauriwa kujiandaa kwa siku ya kwanza ya kufunga, kuimarisha imani na kufanya matendo mema, huku wakizingatia tamko la mamlaka husika. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 121 Visualizações
  • https://devlopmentsolutions.blogspot.com/2026/02/healthcare-app-development-complete.html
    https://devlopmentsolutions.blogspot.com/2026/02/healthcare-app-development-complete.html
    DEVLOPMENTSOLUTIONS.BLOGSPOT.COM
    Healthcare App Development – A Complete Guide for 2026
    The healthcare sector is shifting to digital at speed and mobile software now forms the main link between patients, doctors, hospitals ...
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 164 Visualizações
  • Katibu Mkuu wa UN asema Afrika lazima iwe na uwawakilishi kamili kwenye meza ya Dunia.

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesisitiza umuhimu wa bara la Afrika katika maamuzi ya kimataifa, akisisitiza kuwa bara hilo linastahili uwakilishi wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

    Akihutubia kwenye Mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) Mjini Addis Ababa, Guterres alisema: “Afrika lazima iwe mezani.”

    Kauli hiyo inatokana na hali ya dunia iliyogawanyika na migogoro mingi, ambapo Guterres alibainisha kuwa Umoja wa Afrika ni mhimili muhimu wa ushirikiano wa kimataifa. Alisisitiza kuwa ukosefu wa uwakilishi wa kudumu wa Afrika katika Baraza la Usalama hauna msingi wa haki wala mantiki: “Huu ni mwaka 2026, si 1946.”

    Aidha, Katibu Mkuu wa UN alitoa wito wa amani na utulivu katika maeneo yaliyo hatarini barani Afrika, ikiwemo Sudan na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Pia alisisitiza umuhimu wa mageuzi ya kifedha ya kimataifa na kuchukua hatua madhubuti za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, akisema: “Afrika itaendelea kuwa kipaumbele cha Umoja wa Mataifa.”

    Kauli hizi zinaonesha msukumo wa Umoja wa Mataifa kushirikisha bara la Afrika kikamilifu katika maamuzi makuu ya kimataifa, huku likipatiwa nafasi sawa na mataifa mengine katika masuala ya usalama, uchumi, na mazingira.

    Hii ni sehemu ya jitihada zinazoongeza msukumo wa mabadiliko ya kimfumo, na kutoa ishara kwamba dunia inatambua Afrika kama mchezaji muhimu wa kimataifa.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Katibu Mkuu wa UN asema Afrika lazima iwe na uwawakilishi kamili kwenye meza ya Dunia. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesisitiza umuhimu wa bara la Afrika katika maamuzi ya kimataifa, akisisitiza kuwa bara hilo linastahili uwakilishi wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Akihutubia kwenye Mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) Mjini Addis Ababa, Guterres alisema: “Afrika lazima iwe mezani.” Kauli hiyo inatokana na hali ya dunia iliyogawanyika na migogoro mingi, ambapo Guterres alibainisha kuwa Umoja wa Afrika ni mhimili muhimu wa ushirikiano wa kimataifa. Alisisitiza kuwa ukosefu wa uwakilishi wa kudumu wa Afrika katika Baraza la Usalama hauna msingi wa haki wala mantiki: “Huu ni mwaka 2026, si 1946.” Aidha, Katibu Mkuu wa UN alitoa wito wa amani na utulivu katika maeneo yaliyo hatarini barani Afrika, ikiwemo Sudan na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Pia alisisitiza umuhimu wa mageuzi ya kifedha ya kimataifa na kuchukua hatua madhubuti za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, akisema: “Afrika itaendelea kuwa kipaumbele cha Umoja wa Mataifa.” Kauli hizi zinaonesha msukumo wa Umoja wa Mataifa kushirikisha bara la Afrika kikamilifu katika maamuzi makuu ya kimataifa, huku likipatiwa nafasi sawa na mataifa mengine katika masuala ya usalama, uchumi, na mazingira. Hii ni sehemu ya jitihada zinazoongeza msukumo wa mabadiliko ya kimfumo, na kutoa ishara kwamba dunia inatambua Afrika kama mchezaji muhimu wa kimataifa. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 63 Visualizações
  • Koffi Olomide atangaza tamasha kubwa Ubelgiji baada ya kufutwa matamasha yake Ufaransa.

    Mwanamuziki Nguli wa rumba ya Congo, Koffi Olomide, ametangaza rasmi kufanya tamasha kubwa katika Ubelgiji, baada ya kukumbana na changamoto ya kufutwa kwa matamasha kadhaa nchini Ufaransa.

    Tamasha hilo limepangwa kufanyika tarehe 11 Julai 2026 katika Uwanja maarufu wa Stade Roi Baudouin uliopo Jijini Brussels. Tangazo hili limeibua msisimko mkubwa miongoni mwa mashabiki wa muziki wa Congo na rumba kwa ujumla barani Ulaya na Afrika.

    Kupitia matangazo yake ya moja kwa moja kwenye TikTok, Msanii huyo alieleza dhamira yake ya kuifanya siku hiyo kuwa ya kipekee katika maisha yake ya muziki.

    Amesema kuwa anataka tarehe hiyo iwe tukio la kihistoria, akisherehekea miaka yake 70 ya kuzaliwa akiwa pamoja na mashabiki wake.

    Tamasha hilo linatajwa kuwa uzalishaji mkubwa (grande production) unaotarajiwa kuvuta maelfu ya watu katika Uwanja huo wenye historia ya kuandaa matukio makubwa ya kimataifa ya michezo na burudani.

    Hatua hii inakuja baada ya kufutwa kwa matamasha kadhaa ya Msanii huyo nchini Ufaransa, jambo lililozua mjadala mpana katika tasnia ya muziki. Hata hivyo, tangazo la Brussels linaonekana kama kurejea kwa nguvu kwa Gwiji huyo wa rumba, akionyesha kuwa bado ana ushawishi mkubwa na soko imara barani Ulaya.

    Kwa wapenzi wa rumba na muziki wa Congo, tukio hili tayari linaonekana kuwa miongoni mwa matamasha makubwa zaidi ya mwaka 2026. Kwa historia ndefu ya Koffi Olomide katika muziki, tamasha hili linatarajiwa kuwa zaidi ya burudani bali ni sherehe ya urithi, mafanikio na mchango wake katika kukuza rumba ya Kongo kimataifa.

    Mashabiki sasa wanasubiri kwa hamu maandalizi rasmi, mauzo ya tiketi na orodha ya Wasanii watakaoshiriki katika usiku huo unaotarajiwa kuwa wa kipekee.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Koffi Olomide atangaza tamasha kubwa Ubelgiji baada ya kufutwa matamasha yake Ufaransa. Mwanamuziki Nguli wa rumba ya Congo, Koffi Olomide, ametangaza rasmi kufanya tamasha kubwa katika Ubelgiji, baada ya kukumbana na changamoto ya kufutwa kwa matamasha kadhaa nchini Ufaransa. Tamasha hilo limepangwa kufanyika tarehe 11 Julai 2026 katika Uwanja maarufu wa Stade Roi Baudouin uliopo Jijini Brussels. Tangazo hili limeibua msisimko mkubwa miongoni mwa mashabiki wa muziki wa Congo na rumba kwa ujumla barani Ulaya na Afrika. Kupitia matangazo yake ya moja kwa moja kwenye TikTok, Msanii huyo alieleza dhamira yake ya kuifanya siku hiyo kuwa ya kipekee katika maisha yake ya muziki. Amesema kuwa anataka tarehe hiyo iwe tukio la kihistoria, akisherehekea miaka yake 70 ya kuzaliwa akiwa pamoja na mashabiki wake. Tamasha hilo linatajwa kuwa uzalishaji mkubwa (grande production) unaotarajiwa kuvuta maelfu ya watu katika Uwanja huo wenye historia ya kuandaa matukio makubwa ya kimataifa ya michezo na burudani. Hatua hii inakuja baada ya kufutwa kwa matamasha kadhaa ya Msanii huyo nchini Ufaransa, jambo lililozua mjadala mpana katika tasnia ya muziki. Hata hivyo, tangazo la Brussels linaonekana kama kurejea kwa nguvu kwa Gwiji huyo wa rumba, akionyesha kuwa bado ana ushawishi mkubwa na soko imara barani Ulaya. Kwa wapenzi wa rumba na muziki wa Congo, tukio hili tayari linaonekana kuwa miongoni mwa matamasha makubwa zaidi ya mwaka 2026. Kwa historia ndefu ya Koffi Olomide katika muziki, tamasha hili linatarajiwa kuwa zaidi ya burudani bali ni sherehe ya urithi, mafanikio na mchango wake katika kukuza rumba ya Kongo kimataifa. Mashabiki sasa wanasubiri kwa hamu maandalizi rasmi, mauzo ya tiketi na orodha ya Wasanii watakaoshiriki katika usiku huo unaotarajiwa kuwa wa kipekee. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 65 Visualizações
  • Stay ahead in 2026 by choosing the best virtual Visa and Mastercard cards in India. Compare instant virtual card options built for fast online payments, secure checkouts, and subscription management. Discover which providers offer strong encryption, user-friendly apps, spending limits, and international usability for smarter, safer digital transactions.

    https://www.mymudra.com/blog/virtual-visa-mastercard-cards-india
    Stay ahead in 2026 by choosing the best virtual Visa and Mastercard cards in India. Compare instant virtual card options built for fast online payments, secure checkouts, and subscription management. Discover which providers offer strong encryption, user-friendly apps, spending limits, and international usability for smarter, safer digital transactions. https://www.mymudra.com/blog/virtual-visa-mastercard-cards-india
    WWW.MYMUDRA.COM
    Best Virtual Visa & Mastercard Cards in India (2026)
    Discover the best virtual Visa and Mastercard cards in India for 2026. Compare instant virtual cards for online payments, subscriptions, and security.
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 339 Visualizações
Páginas Impulsionadas