
-
-
Mabosi wa KMC wapo katika mazungumzo ya kupata saini ya nyota wa Simba, Salehe Masoud Karabaka kwa mkopo wa miezi sita baada ya kutokuwa na uhakika wa kucheza kikosi cha kwanza cha timu hiyo chini ya kocha mkuu raia wa Afrika Kusini, Fadlu Davids.
.
Chanzo changu kutoka Simba kimesema, Karabaka ni miongoni wa wachezaji watakaotolewa kwa mkopo dirisha hili dogo la usajili litakalofunguliwa Disemba 15, ili akapate nafasi zaidi ya kucheza kwenye kikosi cha kwanza.
#paulswaiMabosi wa KMC wapo katika mazungumzo ya kupata saini ya nyota wa Simba, Salehe Masoud Karabaka kwa mkopo wa miezi sita baada ya kutokuwa na uhakika wa kucheza kikosi cha kwanza cha timu hiyo chini ya kocha mkuu raia wa Afrika Kusini, Fadlu Davids. . Chanzo changu kutoka Simba kimesema, Karabaka ni miongoni wa wachezaji watakaotolewa kwa mkopo dirisha hili dogo la usajili litakalofunguliwa Disemba 15, ili akapate nafasi zaidi ya kucheza kwenye kikosi cha kwanza. #paulswai -
Aliyekuwa kipa namba moja wa Simba, Ayoub Lakred ameanza kupaki mizigo kujiandaa kuondoka klabu hapo dirisha dogo la usajili litakapofunguliwa Jumapili hii ili kumpisha winga teleza, Elie Mpanzu.
Simba ilishamalizana na Mpanzu siku chache baada ya dirisha kubwa la usajili kufungwa Agosti 31 na kwa sasa anajiandaa kuanza kuitumikia timu hiyo,
#paulswai📝 Aliyekuwa kipa namba moja wa Simba, Ayoub Lakred ameanza kupaki mizigo kujiandaa kuondoka klabu hapo dirisha dogo la usajili litakapofunguliwa Jumapili hii ili kumpisha winga teleza, Elie Mpanzu. 📝Simba ilishamalizana na Mpanzu siku chache baada ya dirisha kubwa la usajili kufungwa Agosti 31 na kwa sasa anajiandaa kuanza kuitumikia timu hiyo, ✍️ #paulswai -
-
-
-
𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙
Karibu Ujifunze vitu mbalimbali kama
- Kutengeneza WhatsApp Bot kwa njia mbalimbali na nyepesi
- Jifunze namna ya kupata Followers,likes, na comments kwa mitandao ya tiktok na instagram
- Kutengeneza viruses
- Kutengeneza international phone Numbers
- Namna ya kuhack Social media zote
- Wifi Hacking
- Bluetooth hacking
UTAPATA VITU KAMA
1. Azam Max Pro
2. Dstv Premium
3. Startimes Premium
Join WhatsApp channel
https://whatsapp.com/channel/0029VacgCaPKmCPGmTmrnT04
Telegram Channel
https://t.me/duduu_mendez_store
Kama telegram yako inasumbua fanya hivi https://whatsapp.com/channel/0029VacgCaPKmCPGmTmrnT04/153
Namna ya kufungua link za telegram bila shida
https://whatsapp.com/channel/0029VacgCaPKmCPGmTmrnT04/152
once MENDEZ forever MENDEZ
> 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1
▶︎ ●────────── 0:41𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 Karibu Ujifunze vitu mbalimbali kama - Kutengeneza WhatsApp Bot kwa njia mbalimbali na nyepesi - Jifunze namna ya kupata Followers,likes, na comments kwa mitandao ya tiktok na instagram - Kutengeneza viruses - Kutengeneza international phone Numbers - Namna ya kuhack Social media zote - Wifi Hacking - Bluetooth hacking UTAPATA VITU KAMA 1. Azam Max Pro 2. Dstv Premium 3. Startimes Premium Join WhatsApp channel https://whatsapp.com/channel/0029VacgCaPKmCPGmTmrnT04 Telegram Channel https://t.me/duduu_mendez_store Kama telegram yako inasumbua fanya hivi https://whatsapp.com/channel/0029VacgCaPKmCPGmTmrnT04/153 Namna ya kufungua link za telegram bila shida https://whatsapp.com/channel/0029VacgCaPKmCPGmTmrnT04/152 once MENDEZ forever MENDEZ > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1 ▶︎ ●────────── 0:41 -
-