• Sad
    1
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·556 Views
  • Newcastle win
    Liverpool win or draw
    Borussia Dotmund win or draw
    Odds 2.9
    Newcastle win Liverpool win or draw Borussia Dotmund win or draw Odds 2.9
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·663 Views
  • Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·188 Views
  • Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·171 Views
  • Mkutano wa Kilele wa Marais wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) uliofanyika hivi karibuni umemtaka Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Félix Tshisekedi, kukaa meza moja na Waasi wa M23 kwa ajili ya mazungumzo ya pamoja ili kutafuta suluhu ya amani katika taifa hilo.

    Taarifa iliyotolewa na Mjumbe wa Mkutano huo, ambaye pia ni Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X (Twitter), ilieleza kuwa Viongozi hao walikutana Januari 29, chini ya Uenyekiti wa Rais wa Kenya, William Ruto, kujadili hali ya usalama Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo .

    Miongoni mwa makubaliano ya mkutano huo ni pendekezo la Rais Tshisekedi kushiriki mazungumzo na kundi la M23. Kadhalika, Viongozi hao walikubaliana kuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) inapaswa kuitisha mkutano wa dharura na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ili kutafuta suluhisho la kudumu kwa mgogoro huo.

    Museveni aliambatanisha taarifa hiyo na orodha ya Viongozi waliohudhuria mkutano huo, wakiwemo Rais wa Kenya William Ruto, Rais wa Somalia Hassan Mohamud, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir, Rais wa Rwanda Paul Kagame, na mwenyeji wao, Rais wa Uganda Yoweri Museveni.

    Mkutano wa Kilele wa Marais wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) uliofanyika hivi karibuni umemtaka Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Félix Tshisekedi, kukaa meza moja na Waasi wa M23 kwa ajili ya mazungumzo ya pamoja ili kutafuta suluhu ya amani katika taifa hilo. Taarifa iliyotolewa na Mjumbe wa Mkutano huo, ambaye pia ni Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X (Twitter), ilieleza kuwa Viongozi hao walikutana Januari 29, chini ya Uenyekiti wa Rais wa Kenya, William Ruto, kujadili hali ya usalama Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩. Miongoni mwa makubaliano ya mkutano huo ni pendekezo la Rais Tshisekedi kushiriki mazungumzo na kundi la M23. Kadhalika, Viongozi hao walikubaliana kuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) inapaswa kuitisha mkutano wa dharura na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ili kutafuta suluhisho la kudumu kwa mgogoro huo. Museveni aliambatanisha taarifa hiyo na orodha ya Viongozi waliohudhuria mkutano huo, wakiwemo Rais wa Kenya William Ruto, Rais wa Somalia Hassan Mohamud, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir, Rais wa Rwanda Paul Kagame, na mwenyeji wao, Rais wa Uganda Yoweri Museveni.
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·929 Views
  • Jeshi la Uganda (UPDF) limesema Wanajeshi wake walioko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , watatafuta mbinu ya kujiimarisha kiulinzi ili kuyazuwia makundi mengine ya Waasi kuingia mashariki mwa Taifa hilo.

    Hali inazidi kuwa tete mashariki mwa Kongo, huku Waasi wa kujndi la M23 wanaosemekana kuungwa mkono na Rwanda wakiendelea kuyadhibiti maeneo kadhaa ya eneo hilo ukiwemo Mji wa Goma, hali iliyoisababisha Uganda kupitia Jeshi lake kusema inataka kujipanga upya kiulinzi, katika eneo inayofanyia operesheni zake hadi mzozo huo wa DR Congo utakapotulia. Imesema nia yake ni kuyazuwia makundi mengine ya Waasi yasitumie mwanya wa vita kuingia mashariki mwa Taifa hilo. 

    Nchi ya Uganda ina jukumu muhimu katika kanda hiyo. Inafanya kazi pamoja na Wanajeshi wa Kongo katika mpango wa Operesheni Shujaa dhidi ya makundi yaliyo na itikadi kali kama Allied Democratic Forces, ADF, ambalo limekuwa likifungamanishwa na kundi la dola la kiislamu. Lakini kando na hayo, Uganda pia imekuwa ikishutumiwa na Wataalamu wa Umoja wa Mataifa na mashirika mengine kwa kuwaunga mkono Waasi wa M23 kwa kuwaruhusu kutumia ardhi yake kupitisha silaha zake madai ambayo Uganda imeyakanusha vikali.

    Jeshi la Uganda 🇺🇬 (UPDF) limesema Wanajeshi wake walioko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, watatafuta mbinu ya kujiimarisha kiulinzi ili kuyazuwia makundi mengine ya Waasi kuingia mashariki mwa Taifa hilo. Hali inazidi kuwa tete mashariki mwa Kongo, huku Waasi wa kujndi la M23 wanaosemekana kuungwa mkono na Rwanda 🇷🇼 wakiendelea kuyadhibiti maeneo kadhaa ya eneo hilo ukiwemo Mji wa Goma, hali iliyoisababisha Uganda kupitia Jeshi lake kusema inataka kujipanga upya kiulinzi, katika eneo inayofanyia operesheni zake hadi mzozo huo wa DR Congo utakapotulia. Imesema nia yake ni kuyazuwia makundi mengine ya Waasi yasitumie mwanya wa vita kuingia mashariki mwa Taifa hilo.  Nchi ya Uganda ina jukumu muhimu katika kanda hiyo. Inafanya kazi pamoja na Wanajeshi wa Kongo katika mpango wa Operesheni Shujaa dhidi ya makundi yaliyo na itikadi kali kama Allied Democratic Forces, ADF, ambalo limekuwa likifungamanishwa na kundi la dola la kiislamu. Lakini kando na hayo, Uganda pia imekuwa ikishutumiwa na Wataalamu wa Umoja wa Mataifa na mashirika mengine kwa kuwaunga mkono Waasi wa M23 kwa kuwaruhusu kutumia ardhi yake kupitisha silaha zake madai ambayo Uganda imeyakanusha vikali.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·716 Views
  • Mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) umesema lengo la Wanachama wa Jumuiya hiyo ni kuona amani inarejea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo .

    Kauli hiyo imetolewa na Rais wa Zimbabwe , Emmerson Mnangagwa ambaye ni Mwenyekiti wa SADC wakati wa mkutano wa dharura wa Jumuiya hiyo ulioitishwa Jijini Harare, Zimbabwe kwa lengo la kujadili kutetereka kwa amani Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

    Hali ya usalama ilianza kuyumba Nchini Kongo baada ya kundi la Waasi wa M23 kuanza uvamizi na kuyashikilia maeneo ya mashariki mwa Kongo ikiwemo Mji wa Goma. Kwa mujibu wa Mnangagwa, suala la ulinzi wa Raia Nchini humo si la hiari, bali la kisheria kwa mujibu wa makubaliano yaliyosainiwa na Nchi Wanachama wa SADC.

    “Ni kwa bahati mbaya nasema kwamba tangu mkutano wetu wa mwisho hali ya amani imetetereka nchini DRC. Mashambulizi ya M23 yamegharimu maisha ya wanajeshi wetu wanaolinda amani DRC chini ya SAMIDRC na kuwaacha wengine wakiwa wamejeruhiwa vibaya,” - Mnangagwa.

    Amempongeza Rais wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan kwa kuchukua hatua za haraka za kuitisha mkutano wa dharura na Wakuu wa Nchi na Serikali kupitia Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Troika).

    Mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) umesema lengo la Wanachama wa Jumuiya hiyo ni kuona amani inarejea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩. Kauli hiyo imetolewa na Rais wa Zimbabwe 🇿🇼, Emmerson Mnangagwa ambaye ni Mwenyekiti wa SADC wakati wa mkutano wa dharura wa Jumuiya hiyo ulioitishwa Jijini Harare, Zimbabwe kwa lengo la kujadili kutetereka kwa amani Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Hali ya usalama ilianza kuyumba Nchini Kongo baada ya kundi la Waasi wa M23 kuanza uvamizi na kuyashikilia maeneo ya mashariki mwa Kongo ikiwemo Mji wa Goma. Kwa mujibu wa Mnangagwa, suala la ulinzi wa Raia Nchini humo si la hiari, bali la kisheria kwa mujibu wa makubaliano yaliyosainiwa na Nchi Wanachama wa SADC. “Ni kwa bahati mbaya nasema kwamba tangu mkutano wetu wa mwisho hali ya amani imetetereka nchini DRC. Mashambulizi ya M23 yamegharimu maisha ya wanajeshi wetu wanaolinda amani DRC chini ya SAMIDRC na kuwaacha wengine wakiwa wamejeruhiwa vibaya,” - Mnangagwa. Amempongeza Rais wa Tanzania 🇹🇿, Samia Suluhu Hassan kwa kuchukua hatua za haraka za kuitisha mkutano wa dharura na Wakuu wa Nchi na Serikali kupitia Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Troika).
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·442 Views
  • 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·180 Views
  • Like
    Love
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·182 Views
  • 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·190 Views