0 Comments
路0 Shares
路40 Views
-
-
-
Mkuu wa Muungano wa Waasi ikiwemo Kundi la M23, Corneille Nangaa amesema kuwa kama Nchi ya TChad itakubali ombi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo la kutuma Jeshi lake Nchini DR Congo, itakuwa ni uhaini kama ilivyo kwa Rais wa DR Congo Félix Tshisekedi.
Nandaa ameimbia Tchad iachane na mpango huo kwasababu watakuwa wamefanya kosa kubwa maana wakifanya hivyo wajiandae kupokea Wanajeshi wake wakiwa wamepoteza maisha (wamekufa)
Mkuu wa Muungano wa Waasi ikiwemo Kundi la M23, Corneille Nangaa amesema kuwa kama Nchi ya TChad 馃嚬馃嚛 itakubali ombi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 馃嚚馃嚛 la kutuma Jeshi lake Nchini DR Congo, itakuwa ni uhaini kama ilivyo kwa Rais wa DR Congo Félix Tshisekedi. Nandaa ameimbia Tchad iachane na mpango huo kwasababu watakuwa wamefanya kosa kubwa maana wakifanya hivyo wajiandae kupokea Wanajeshi wake wakiwa wamepoteza maisha (wamekufa) -
-
0 Comments 路0 Shares 路3 Views
-
-