• Mtu asiye wajibika ni mtu wa visingizio sana .

    Siku ya jana nimebahatika kusoma habari ya dada mmojaaliye itwa Herben Girma ambaye alikuwa haoni wala asikii lakini alikuwa dada wa kwanza kumaliza shahada ya sheria katika chuo kikuu maarufu sana nchini marekani na duniani si kingine bali ni havard university.

    Yeye binafsi alikuwa naulemavu huo lakini pia mama yake Haben alikuwa mkimbizi kutoka Eritea na alikimbia kutokana na vita iliyo kuwa imetokana miaka mingi huko nyuma.

    Kutokana na ulemavu wake na pia kutokana na familia aliyo tokea tulitegemea asubiri kupewa msaada na wasamalia wema ila yeye alikuwa tofauti aliamua kuwajibika kwa maisha yake .

    Herben anasema aliamua kuwajibika kikamilifu katika maisha yake namnukuu *"Nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanasheria maarufu sana na hakuona kinacho weza kumzuia na alifanikisha kufika ndoto hiyo ."*

    Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    .
    Kwakawaida kama angejionea huruma basi angebaki kuwa omba omba ila kwakuwa aliweza kuuwajibisha ubongo wake ukakubali na kumfanya mkuu.

    Kadiri unavyo laumu ndivyo unavyo uambia ubongo wako wewe siyo wa kuwajibika na wenyewe unachukua hivyo hivyo.

    Watu wa aina hii mdo watu wanao panga mipango na wanategemea wengine kuwatimilizia malengo yao.

    Ok unasema nini ngoja nikuonyeshe kwenye biblia jinsi watu walivyo taka kujitetea kuwajibika na jinsi Mungu alivyo wajibu.

    1.wakati Mungu anauona uwezo wa kishujaa na kikombozi ndani ya Gidion yeye akuona hivyo yeye alikuwa anaona kama awezi kuwajibika juu ya kazi aliyo itiwa.

    Waamuzi 6:15

    [15]Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? *Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase, na mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu*

    Gidion alikuwa anazani sababu ya kutoka katika koo masikini na ndogo kabisa lakini kumbe anawajibu mkubwa sana wakufanyika mkombozi na mwamuzi .

    Haikujalisha kuwa ametokea katika mazingira gani yeye akafanyika lango la uamsho kwa wenzake na kuwakomboa wenzake wote .

    Kwa uwezo gani ule ule wa kutumia upinde na mishare na akashinda .

    Ok kuna hadithi maarufu sana katika agano la kare inayo muhusu Daudi na Goliath ambayo Daudi akuwa war expert wala train soldier lakini Goliath alikua skill and trained soldier mwenye medani za kutosha lakini aliangushwa na Daudi kwa kutumia kombeo.

    Kumbe kuwajibika hakutokani na kiasi unacho pata bali kunatokana na utayari wako wa kuwajibika .

    Siku utakayo amua kuanza kuwajibika ndo siku utayo anza kuwa mshindi .

    Ukianza kuthubutu Mungu ataanza kukutumia katika ukuu ule ule na kukufanya kuwa moja ya wakuu katika taifa husika.

    Ok i hope umejifunza kitu na kujua kuwa hakuna kinacho weza kukuzuia ukiwa na jambo lako na hakika utaweza kuanza kuwajibika acha kupiga kelele sana maisha ni yako.

    Take care.naitwa sylvester kutoka (build new eden) ni mwalimu wa neno la Mungu .

    Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    .
    #build new eden
    #restore men position
    Mtu asiye wajibika ni mtu wa visingizio sana . Siku ya jana nimebahatika kusoma habari ya dada mmojaaliye itwa Herben Girma ambaye alikuwa haoni wala asikii lakini alikuwa dada wa kwanza kumaliza shahada ya sheria katika chuo kikuu maarufu sana nchini marekani na duniani si kingine bali ni havard university. Yeye binafsi alikuwa naulemavu huo lakini pia mama yake Haben alikuwa mkimbizi kutoka Eritea na alikimbia kutokana na vita iliyo kuwa imetokana miaka mingi huko nyuma. Kutokana na ulemavu wake na pia kutokana na familia aliyo tokea tulitegemea asubiri kupewa msaada na wasamalia wema ila yeye alikuwa tofauti aliamua kuwajibika kwa maisha yake . Herben anasema aliamua kuwajibika kikamilifu katika maisha yake namnukuu *"Nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanasheria maarufu sana na hakuona kinacho weza kumzuia na alifanikisha kufika ndoto hiyo ."* Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 . Kwakawaida kama angejionea huruma basi angebaki kuwa omba omba ila kwakuwa aliweza kuuwajibisha ubongo wake ukakubali na kumfanya mkuu. Kadiri unavyo laumu ndivyo unavyo uambia ubongo wako wewe siyo wa kuwajibika na wenyewe unachukua hivyo hivyo. Watu wa aina hii mdo watu wanao panga mipango na wanategemea wengine kuwatimilizia malengo yao. Ok unasema nini ngoja nikuonyeshe kwenye biblia jinsi watu walivyo taka kujitetea kuwajibika na jinsi Mungu alivyo wajibu. 1.wakati Mungu anauona uwezo wa kishujaa na kikombozi ndani ya Gidion yeye akuona hivyo yeye alikuwa anaona kama awezi kuwajibika juu ya kazi aliyo itiwa. Waamuzi 6:15 [15]Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? *Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase, na mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu* Gidion alikuwa anazani sababu ya kutoka katika koo masikini na ndogo kabisa lakini kumbe anawajibu mkubwa sana wakufanyika mkombozi na mwamuzi . Haikujalisha kuwa ametokea katika mazingira gani yeye akafanyika lango la uamsho kwa wenzake na kuwakomboa wenzake wote . Kwa uwezo gani ule ule wa kutumia upinde na mishare na akashinda . Ok kuna hadithi maarufu sana katika agano la kare inayo muhusu Daudi na Goliath ambayo Daudi akuwa war expert wala train soldier lakini Goliath alikua skill and trained soldier mwenye medani za kutosha lakini aliangushwa na Daudi kwa kutumia kombeo. Kumbe kuwajibika hakutokani na kiasi unacho pata bali kunatokana na utayari wako wa kuwajibika . Siku utakayo amua kuanza kuwajibika ndo siku utayo anza kuwa mshindi . Ukianza kuthubutu Mungu ataanza kukutumia katika ukuu ule ule na kukufanya kuwa moja ya wakuu katika taifa husika. Ok i hope umejifunza kitu na kujua kuwa hakuna kinacho weza kukuzuia ukiwa na jambo lako na hakika utaweza kuanza kuwajibika acha kupiga kelele sana maisha ni yako. Take care.naitwa sylvester kutoka (build new eden) ni mwalimu wa neno la Mungu . Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 . #build new eden #restore men position
    0 Reacties ·0 aandelen ·68 Views
  • 0 Reacties ·0 aandelen ·19 Views
  • 0 Reacties ·0 aandelen ·18 Views
  • 0 Reacties ·0 aandelen ·35 Views
  • 0 Reacties ·0 aandelen ·16 Views
  • 0 Reacties ·0 aandelen ·33 Views
  • Introducing the DUDUU_MENDEZ VCF Generator – Your Ultimate Contact Sharing Solution!

    What is a VCF File?
    A VCF (vCard File) is a digital business card that stores contact details (name, phone, email, etc.). It’s universally compatible with phones (Android/iOS), email clients, and CRM tools—making contact sharing quick and professional!

    Why Use Our VCF Generator?
    **Easy Sharing**: Create and download VCF files in seconds.
    **Bulk Contacts**: Collect multiple contacts via forms (great for events, teams, or businesses).
    **Track & Analyze**: Monitor form submissions in real-time on your dashboard.
    **Secure & Control**: Delete forms or data anytime.

    How It Works:
    1️⃣ **Visit**: [https://duduumendez.xyz/service/vcf-generator]
    2️⃣ **Login/Signup**: Create a free account.
    3️⃣ **Build Your Form**: Add fields (name, phone, email, etc.).
    4️⃣ **Share the Form**: Let others submit their details.
    5️⃣ **Download VCF**: Get all contacts in a single file!

    ** Perfect For:**
    Businesses collecting client details.
    Event organizers managing attendees.
    Teams streamlining contact sharing.

    ** Get Started Now**:
    [https://duduumendez.xyz/service/vcf-generator]

    Join the DUDUU_MENDEZ COMMUNITY today and simplify contact management!

    #VCF #DigitalBusinessCard #ContactManagement #TechTools
    #Duduumendez #DUDUU_MENDEZ #mendez
    🚀 Introducing the DUDUU_MENDEZ VCF Generator – Your Ultimate Contact Sharing Solution! 📌 What is a VCF File? A VCF (vCard File) is a digital business card that stores contact details (name, phone, email, etc.). It’s universally compatible with phones (Android/iOS), email clients, and CRM tools—making contact sharing quick and professional! ✨ Why Use Our VCF Generator? ✅ **Easy Sharing**: Create and download VCF files in seconds. ✅ **Bulk Contacts**: Collect multiple contacts via forms (great for events, teams, or businesses). ✅ **Track & Analyze**: Monitor form submissions in real-time on your dashboard. ✅ **Secure & Control**: Delete forms or data anytime. 🌐 How It Works: 1️⃣ **Visit**: [https://duduumendez.xyz/service/vcf-generator] 2️⃣ **Login/Signup**: Create a free account. 3️⃣ **Build Your Form**: Add fields (name, phone, email, etc.). 4️⃣ **Share the Form**: Let others submit their details. 5️⃣ **Download VCF**: Get all contacts in a single file! **💡 Perfect For:** ✔️ Businesses collecting client details. ✔️ Event organizers managing attendees. ✔️ Teams streamlining contact sharing. **🔗 Get Started Now**: 👉 [https://duduumendez.xyz/service/vcf-generator] Join the DUDUU_MENDEZ COMMUNITY today and simplify contact management! 🚀 #VCF #DigitalBusinessCard #ContactManagement #TechTools #Duduumendez #DUDUU_MENDEZ #mendez
    Like
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·61 Views
  • 0 Reacties ·0 aandelen ·19 Views
  • Top BAMS Colleges in India: Eligibility, Ranking & Admission Guide


    Looking for the best BAMS colleges in India? Here's a detailed list of top Ayurvedic colleges with updated 2025 rankings, eligibility criteria, and admission details. Whether you're preparing for NEET-UG or planning a career in Ayurveda, this guide will help you choose the right BAMS college. Learn about the best institutions like BHU, NIA Jaipur, and Gujarat Ayurved University, including academic strengths, locations, and how to apply. # BAMS colleges in India, top Ayurvedic colleges, best BAMS institutes
    Top BAMS Colleges in India: Eligibility, Ranking & Admission Guide Looking for the best BAMS colleges in India? Here's a detailed list of top Ayurvedic colleges with updated 2025 rankings, eligibility criteria, and admission details. Whether you're preparing for NEET-UG or planning a career in Ayurveda, this guide will help you choose the right BAMS college. Learn about the best institutions like BHU, NIA Jaipur, and Gujarat Ayurved University, including academic strengths, locations, and how to apply. # BAMS colleges in India, top Ayurvedic colleges, best BAMS institutes
    0 Reacties ·0 aandelen ·35 Views
  • 0 Reacties ·0 aandelen ·20 Views