• 0 Reacties ·0 aandelen ·1 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Tottenham imefikia makubaliano ya £55m juu ya dili la kumsajiri Mohammed Kudus kutoka West Ham

    Kudus lilikuwa ni chaguo la Tottenham kwa msimu ujao na amesaini miaka 6 ndani ya Spurs

    Vipimo vya afya atafanyiwa Alhamisi hii London
    @theathleticfc reports.

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Tottenham imefikia makubaliano ya £55m juu ya dili la kumsajiri Mohammed Kudus kutoka West Ham 🤍💣 Kudus lilikuwa ni chaguo la Tottenham kwa msimu ujao na amesaini miaka 6 ndani ya Spurs Vipimo vya afya atafanyiwa Alhamisi hii London @theathleticfc reports. #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·8 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆:Klabu za Bayer Leverkusen, Bournemouth, na Nottingham Forest zinavutiwa na huduma ya Winga Johan Bakayoko wa PSV Eindhoven.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆:Klabu za Bayer Leverkusen, Bournemouth, na Nottingham Forest zinavutiwa na huduma ya Winga Johan Bakayoko wa PSV Eindhoven. #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·5 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Marseille inapanga kumrudisha Pierre-Emerick Aubameyang klabuni hapo..
    Majadiliano yanaendelea baina yao

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Marseille inapanga kumrudisha Pierre-Emerick Aubameyang klabuni hapo.. Majadiliano yanaendelea baina yao #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·7 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: PSV imewasiliana na AZ Alkmaar ili kumsaini Ruben van Bommel (20)
    Kwa ada ya €16M na nyongeza ya 10% ya mauzo yake

    , reports @MikeVerweij. ⚪️

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇳🇱 PSV imewasiliana na AZ Alkmaar ili kumsaini Ruben van Bommel (20) Kwa ada ya €16M na nyongeza ya 10% ya mauzo yake , reports @MikeVerweij. 🔴⚪️ #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·8 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Isak Jansson yuko mbioni kujiunga na OGC Nice kutokeanSK Rapid kwa gharama ya €10M na nyongeza zaidi..

    Anatarajia kuwasili Ufaransa ndani ya masaa 24-48 kukamilisha uhamisho wake..

    Jansson pia alikuwa anafatiliwa na vilabu kama Celtic na timu za Italia kabla kufanya maamuzi Nice.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Isak Jansson yuko mbioni kujiunga na OGC Nice kutokeanSK Rapid kwa gharama ya €10M na nyongeza zaidi.. Anatarajia kuwasili Ufaransa ndani ya masaa 24-48 kukamilisha uhamisho wake.. Jansson pia alikuwa anafatiliwa na vilabu kama Celtic na timu za Italia kabla kufanya maamuzi Nice. #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·7 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Trent Alexander-Arnold huwenda ataukosa mchezo wao Kati ya PSG baada ya kupata majeraha hapo Jana mazoezini @miguelitocope

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Trent Alexander-Arnold huwenda ataukosa mchezo wao Kati ya PSG baada ya kupata majeraha hapo Jana mazoezini @miguelitocope #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·6 Views
  • Raisi wa Marekani Donald Trump atakuwepo kwenye fainali ya Club World Cup hapo Jumapili..

    (Source: ESPN)

    #SportsElite
    🚨 Raisi wa Marekani Donald Trump atakuwepo kwenye fainali ya Club World Cup hapo Jumapili.. 🇺🇸 (Source: ESPN) #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·6 Views
  • Simon Adringra kwenda Sunderland dili done.

    Kwa ada ya €21M na nyongeza €3M kwa Brighton.

    (Source: @FabrizioRomano)

    #SportsElite
    🚨 Simon Adringra kwenda Sunderland dili done. ✅ Kwa ada ya €21M na nyongeza €3M kwa Brighton. (Source: @FabrizioRomano) #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·6 Views
  • Jordan Henderson anatarajia kuondoka Ajax baada ya mkataba wake kutamatika

    Na vilabu vingi vya ulaya vinahitaji huduma yake..

    (Source: @_pauljoyce)
    🚨 Jordan Henderson anatarajia kuondoka Ajax baada ya mkataba wake kutamatika Na vilabu vingi vya ulaya vinahitaji huduma yake.. (Source: @_pauljoyce)
    0 Reacties ·0 aandelen ·5 Views