0 Comments
路0 Shares
路558 Views
-
-
.Panapo majaliwa tarehe 17/6/2024 itakuwa idd ya kuchinja! Tutakula na watoto yatima
kama ilivyo kawaida
TUTAWALISHA NA KUWANYWESHA WATOTO WETU NA KUWAVISHA!! Tumebakisha masiku machache mno NAOMBA KWA UMOJA WETU KUSHILIKI KWA KIDOGO AU KIKUBWA KUREJESHA TABASAMU KWA WATOTO WETU
NAHITAJI MUHIMU
*MBUZI 1
*MCHELE KG35
*JUICE CATONI 8
*MAFUTA LIT 5
MAVAZI! tunawatoto 5 idd gawakupata nguo za idd wote ni wakiume basi mnaponunulia watoto wetu walioko majumbani hawa tusiwasahau
0655987549
TIGOPESA
MOZA MOHAMED
Kutoa ni moyo si utajiri.Panapo majaliwa tarehe 17/6/2024 itakuwa idd ya kuchinja! Tutakula na watoto yatima kama ilivyo kawaida TUTAWALISHA NA KUWANYWESHA WATOTO WETU NA KUWAVISHA!! Tumebakisha masiku machache mno NAOMBA KWA UMOJA WETU KUSHILIKI KWA KIDOGO AU KIKUBWA KUREJESHA TABASAMU KWA WATOTO WETU NAHITAJI MUHIMU *MBUZI 1 *MCHELE KG35 *JUICE CATONI 8 *MAFUTA LIT 5 MAVAZI! tunawatoto 5 idd gawakupata nguo za idd wote ni wakiume basi mnaponunulia watoto wetu walioko majumbani hawa tusiwasahau 0655987549 TIGOPESA MOZA MOHAMED Kutoa ni moyo si utajiri -
-
-
-
-
-
-
#everyone follow me on TikTok account by one fashion quotes you#everyone follow me on TikTok account by one fashion quotes 馃檹馃憖 you