• Alhamdulillah mashallah tumeiona Tena

    Leo ime siku ya KUTOA sadaka tulishe watoto wetu kwa kidogo tulicho barikiwa kwenye maisha yetU

    Watoto wanauhitaji WA UNGA NA MCHELE

    MCHELE KG 100 =200,000/TZSH
    UNGA KG 50 = 55000/tzsh

    0655987549
    Mixx but Yas/call
    Moza MohamedIjumaa nyongine Leo nzuri
    Alhamdulillah mashallah tumeiona Tena

    Leo ime siku ya KUTOA sadaka tulishe watoto wetu kwa kidogo tulicho barikiwa kwenye maisha yetU

    Watoto wanauhitaji WA UNGA NA MCHELE

    MCHELE KG 100 =200,000/TZSH
    UNGA KG 50 = 55000/tzsh

    0655987549
    Mixx but Yas/call
    Moza Mohamed
    Alhamdulillah mashallah tumeiona Tena Leo ime siku ya KUTOA sadaka tulishe watoto wetu kwa kidogo tulicho barikiwa kwenye maisha yetU Watoto wanauhitaji WA UNGA NA MCHELE MCHELE KG 100 =200,000/TZSH UNGA KG 50 = 55000/tzsh 0655987549 Mixx but Yas/call Moza MohamedIjumaa nyongine Leo nzuri Alhamdulillah mashallah tumeiona Tena Leo ime siku ya KUTOA sadaka tulishe watoto wetu kwa kidogo tulicho barikiwa kwenye maisha yetU Watoto wanauhitaji WA UNGA NA MCHELE MCHELE KG 100 =200,000/TZSH UNGA KG 50 = 55000/tzsh 0655987549 Mixx but Yas/call Moza Mohamed
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·460 Views
  • PIXEL 4

    Tsh275000
    PIXEL 4 RAM4 GB64 CLEAN *SANA PICHA KALI*
    Call: 0765850054
    PIXEL 4 RAM4 GB64 CLEAN *SANA PICHA KALI* Call: 0765850054
    In stock ·Used
    Iringa-Mafinga
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·408 Views
  • How can i call her
    How can i call her 😊
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·254 Views
  • Vitamins in winter cannot be obtained from pills called vitamins, but from real fruits and vegetables!
    Vitamins in winter cannot be obtained from pills called vitamins, but from real fruits and vegetables!
    0 Comments ·0 Shares ·380 Views
  • Nadhani hii Sasa Imevuka kwenye Quality .......

    Khalid Aucho anaweza akawa siyo yule tena in terms of Physically lakin Whenever Aucho is in the Pitch Yanga Africans are safe .

    -Akili ya Mpira
    -Composure
    -Technical Ability
    -Game Passing

    Huyu Mganda anatawala sana Dimba la kati ...Hilal wana watu wagumu na wana kasi lakin Fundi alikua anaokota moja moja pakihitajika Kuvunja kuni anavunja kweli kweli ...

    Juzi Kuna Mashabiki Kutoka Uganda Walicomment kwenye post yake wakimtakia kheri na mechi bora wakaenda mbali zaidi na Kusema ,

    "Tunaomba walau nusu ya Kiwango chako Ndani ya Yanga Sc utuonyeshe Ukiwa na timu yetu ya Uganda Cranes "

    Wanamtambua kama moja ya Viungo bora ambao wamewahi Kuwashuhudia .....Binafsi huyu ni Kipimo halisi cha Kiungo wa Chini au holding Mid ndani ya Ligi yetu .

    THE TANK FOR REASON .

    #neliudcosiah
    Nadhani hii Sasa Imevuka kwenye Quality ....... Khalid Aucho anaweza akawa siyo yule tena in terms of Physically lakin Whenever Aucho is in the Pitch Yanga Africans are safe 🤝. -Akili ya Mpira -Composure -Technical Ability -Game Passing Huyu Mganda anatawala sana Dimba la kati ...Hilal wana watu wagumu na wana kasi lakin Fundi alikua anaokota moja moja pakihitajika Kuvunja kuni anavunja kweli kweli ... Juzi Kuna Mashabiki Kutoka Uganda Walicomment kwenye post yake wakimtakia kheri na mechi bora wakaenda mbali zaidi na Kusema , "Tunaomba walau nusu ya Kiwango chako Ndani ya Yanga Sc utuonyeshe Ukiwa na timu yetu ya Uganda Cranes " Wanamtambua kama moja ya Viungo bora ambao wamewahi Kuwashuhudia .....Binafsi huyu ni Kipimo halisi cha Kiungo wa Chini au holding Mid ndani ya Ligi yetu . THE TANK FOR REASON ✅. #neliudcosiah
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·662 Views
  • Ni kweli Khalid Aucho anaongoza kucheza faulo nyingi but jana kacheza technically faulo ambazo zimesaidia kuibeba Yanga kwenye mchezo dhidi ya Al Hilal, kwa bahati mbaya umri wake unaenda but kwa miaka mitatu kaonyesha ubora wa hali ya juu

    #neliudcosiah
    Ni kweli Khalid Aucho anaongoza kucheza faulo nyingi but jana kacheza technically faulo ambazo zimesaidia kuibeba Yanga kwenye mchezo dhidi ya Al Hilal, kwa bahati mbaya umri wake unaenda but kwa miaka mitatu kaonyesha ubora wa hali ya juu #neliudcosiah
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·383 Views
  • TUJIKUMBUSHE MATUMIZI YA KALAMU KWA KUFUATA RANGI

    Nakuja tu na maswali chokonozi

    1. Hivi ni Kwa Nini Waalimu wanatumia kalamu ya rangi nyekundu na si bluu kama wanafunzi?

    2. Ni Kwa Nini pia Maraisi ndio Huandikia peni nyekundu?
    Kwa nini Wakaguzi aghalabu wa Hesabu hutumia peni ya kijani?
    3. Vipi Kuhusu Kalamu Nyeusi?

    nauliza hivi kwa sababu hizi rangi ukigeukia muktadha mwingine zinamaana tofauti sana mfano wengine husema unapotumia kalamu nyeusi inaa maana unatengeneza pesa na bluu maana yake unapoteza pesa ilihali nyekundu ikielekezwa zaidi kwenye mikosi

    MAJADILIANO COMPILED

    RANGI ZA KALAMU NA MATUMIZI YAKE .......@@!!!

    Mara Nyingi sana tumekuwa tukitumia pen bila kujipa angalizo fulani hivi ama kujua mantiki yake ..................

    1. Kalamu ya rangi ya Samawi/samawati (Bluu) ndiyo maarufu kutumika na wengi na hasa kwenye official document za kawaida (not mandated or authentic)
    We basically have two choices when it comes to pens: black or blue. Unless you are a teacher in which case you get to use red as well........."Of course blue pens. Because they contrast better with the documents you're writing on..................The modern tradition is THAT only blue ink for all in Government.

    2. Kalamu Nyeusi aghalabu hutumika kwenye miamala ya Kibiashara zaidi............."Black edges it on the grounds that it looks more professional and is a legal requirement for signing legal documents and form-filling............."Some entities are now requiring signatures in blue ink in order to differentiate the original from a copy.......Black ink is used ( where bold remarks are needed ) for business deals, display credit in a bank statement, headings etc.

    3. Kalamu Nyekundu Aghalabu Hutumiwa na wenye Mamlaka Katika Kusaini Official Documents na hasa Sheria na Hati fulani fulani na mara nyingi anayeruhusiwa kutumia kalamu nyekundu ni Mh Rais na Waalimu katika kujitofautisha na wanafunzi na kuweka msisitizo zaidi kwenye masahihisho ingawa utafiti uliofanywa Marekani umewezesha kupelekea kupigwa marufuku kwa kalamu nyekundu kwa wanafunzi kutokana na wengi kutaarifu kwamba zinawatisha (psychological trauma)
    http://www.dailymail.co.uk/news/article-2263874/Teachers-shouldnt-use-red-coloured-pens-mark-homework-like-shouting-upsets-pupils.html

    4. Kalamu ya Chanikiwiti (KIJANI) inatakiwa kutumiwa na Wakaguzi na hasa wa HESABU, aghalabu Peni ya kijani hutumiwa pia na Mawaziri...Majaji....ma RCs na Kamishna wa kiapo...aghalabu wataalamu wa dawa/wafamasia pia hutumia kalamu ya kijani .....Green ink is used by very senior bureaucrats as well as Ministers to sign files indicating their approval....also green color pen are used by Managers, gazetted officers, Judges and big people. Green testifies the high position and no one can question the authenticity when signed by the green color.

    5. Kimsingi na KISHERIA, UNATAKIWA KILA MTU KUWA NA PENI MAALUM YA SIGNATURE. tumewahi kupata kesi ya mtu ambaye saini yake ilidukuliwa na yeye kukiri dhahiri shari kwamba ni saini yake kabisaaaa ila kwenye utetezi akasema kwamba peni iliyotumika siyo peni yake kwani ana peni maalum ya kuweka saini nyaraka zake zote za kisheria
    https://keetonsonline.wordpress.com/2013/02/18/how-to-choose-the-right-pen/

    6. Si salama sana kutumia kalamu nyeusi kwenye maandishi meusi, kisheria hiyo ni kopi na si halisi, jitahidi sana kutumia kalamu ya bluu kwenye maandishi meusi na hasa typed (Many copiers are so good now that black ink can look like part of a photocopy."-

    7. Ball Pen ndiyo offical pen kwa nchi nyingi duniani. kumbuka Kama unatumia 'jel pen' basi ukitumia 'ball pen' mwandiko 'kitaalamu' unatofautiana (hasa kama kalamu hizo zikiwa na ukubwa wa maandishi unaotofautiana.)
    "bic, speedo, cello, etc" ndio ballpoint pens.Na jell pens ni kama zile kalamu za zamani za kuchovya wino "tulikuwa tunaziita fountain - ambazo siku hizi zimeboreshwa zinawekewa wino.

    8. Kuna Baadhi ya nchi;
    i. mwanafunz unaruhusiwa kuandika kwa penseli na kalamu ya rangi yeyote ile (bluu, kijani, nyekundu, nk).

    ii. Hawaruhusu kuweka sahihi (signature) kwa kalamu ya rangi nyingine yeyote ile isipokuwa 'bluu'. Kuna sehemu zingine hata kujaza fomu iliyochapwa ni lazima utumie kalamu ya rangi ya bluu......kalamu ya bluu ndiyo inayotambulika duniani kote (official pen)

    iii. Wanatumia kalamu nyekundu kuandika jina la mtu aliyefariki (marehemu). Yaani hairuhusiwi na huwezi kuandika jina la mtu aliyehai kwa kalamu nyekundu.Mathalani ukiwa Ureno na unatumia kalamu nyekundu unahesabika ni mkaidi ama mleta mikosi ( It's considered rude to write in red ink in Portugal.)

    iv: Jeshi la Marekani utatumia rangi kulingana na wadhifa (rank) wako Jeshini
    In US Navy there is a long tradition of prescribed ink colors for officers - blue color for officers, black color for departmental heads, green color for Executive officers and red color for commanding officers.

    v. Huko Ujerumani, rangi ya Hudhurungi (Brown) hutumika kuweka saini HUKUMU YA KIFO ILIHALI huko Pakistan wao hutumia kalamu nyekundu kwa lengo hilohilo-Brown color ink is used to sign death warrants in Germany and red color ink was used for same purpose in Pakistan.

    mfano nchi ya Australia officials pen ni NYEUSI TU! hata baadh ya benki hapa kwetu mfano NBC official pen ni nyeusi ingawa pia si salama sana kisheria .....NMB official ink ni blue,kwa documents zao....tofauti na hapo....hupokelewi.
    Exim.....nyeusi na blue, CRDB.....Blue ama nyeusi; nyekundu, kwa wenye uoni hafifu na maafisa wa benki hasa kuthibitisha nyaraka
    TUJIKUMBUSHE MATUMIZI YA KALAMU KWA KUFUATA RANGI Nakuja tu na maswali chokonozi 1. Hivi ni Kwa Nini Waalimu wanatumia kalamu ya rangi nyekundu na si bluu kama wanafunzi? 2. Ni Kwa Nini pia Maraisi ndio Huandikia peni nyekundu? Kwa nini Wakaguzi aghalabu wa Hesabu hutumia peni ya kijani? 3. Vipi Kuhusu Kalamu Nyeusi? nauliza hivi kwa sababu hizi rangi ukigeukia muktadha mwingine zinamaana tofauti sana mfano wengine husema unapotumia kalamu nyeusi inaa maana unatengeneza pesa na bluu maana yake unapoteza pesa ilihali nyekundu ikielekezwa zaidi kwenye mikosi MAJADILIANO COMPILED RANGI ZA KALAMU NA MATUMIZI YAKE .......@@!!! Mara Nyingi sana tumekuwa tukitumia pen bila kujipa angalizo fulani hivi ama kujua mantiki yake .................. 1. Kalamu ya rangi ya Samawi/samawati (Bluu) ndiyo maarufu kutumika na wengi na hasa kwenye official document za kawaida (not mandated or authentic) We basically have two choices when it comes to pens: black or blue. Unless you are a teacher in which case you get to use red as well........."Of course blue pens. Because they contrast better with the documents you're writing on..................The modern tradition is THAT only blue ink for all in Government. 2. Kalamu Nyeusi aghalabu hutumika kwenye miamala ya Kibiashara zaidi............."Black edges it on the grounds that it looks more professional and is a legal requirement for signing legal documents and form-filling............."Some entities are now requiring signatures in blue ink in order to differentiate the original from a copy.......Black ink is used ( where bold remarks are needed ) for business deals, display credit in a bank statement, headings etc. 3. Kalamu Nyekundu Aghalabu Hutumiwa na wenye Mamlaka Katika Kusaini Official Documents na hasa Sheria na Hati fulani fulani na mara nyingi anayeruhusiwa kutumia kalamu nyekundu ni Mh Rais na Waalimu katika kujitofautisha na wanafunzi na kuweka msisitizo zaidi kwenye masahihisho ingawa utafiti uliofanywa Marekani umewezesha kupelekea kupigwa marufuku kwa kalamu nyekundu kwa wanafunzi kutokana na wengi kutaarifu kwamba zinawatisha (psychological trauma) http://www.dailymail.co.uk/news/article-2263874/Teachers-shouldnt-use-red-coloured-pens-mark-homework-like-shouting-upsets-pupils.html 4. Kalamu ya Chanikiwiti (KIJANI) inatakiwa kutumiwa na Wakaguzi na hasa wa HESABU, aghalabu Peni ya kijani hutumiwa pia na Mawaziri...Majaji....ma RCs na Kamishna wa kiapo...aghalabu wataalamu wa dawa/wafamasia pia hutumia kalamu ya kijani .....Green ink is used by very senior bureaucrats as well as Ministers to sign files indicating their approval....also green color pen are used by Managers, gazetted officers, Judges and big people. Green testifies the high position and no one can question the authenticity when signed by the green color. 5. Kimsingi na KISHERIA, UNATAKIWA KILA MTU KUWA NA PENI MAALUM YA SIGNATURE. tumewahi kupata kesi ya mtu ambaye saini yake ilidukuliwa na yeye kukiri dhahiri shari kwamba ni saini yake kabisaaaa ila kwenye utetezi akasema kwamba peni iliyotumika siyo peni yake kwani ana peni maalum ya kuweka saini nyaraka zake zote za kisheria https://keetonsonline.wordpress.com/2013/02/18/how-to-choose-the-right-pen/ 6. Si salama sana kutumia kalamu nyeusi kwenye maandishi meusi, kisheria hiyo ni kopi na si halisi, jitahidi sana kutumia kalamu ya bluu kwenye maandishi meusi na hasa typed (Many copiers are so good now that black ink can look like part of a photocopy."- 7. Ball Pen ndiyo offical pen kwa nchi nyingi duniani. kumbuka Kama unatumia 'jel pen' basi ukitumia 'ball pen' mwandiko 'kitaalamu' unatofautiana (hasa kama kalamu hizo zikiwa na ukubwa wa maandishi unaotofautiana.) "bic, speedo, cello, etc" ndio ballpoint pens.Na jell pens ni kama zile kalamu za zamani za kuchovya wino "tulikuwa tunaziita fountain - ambazo siku hizi zimeboreshwa zinawekewa wino. 8. Kuna Baadhi ya nchi; i. mwanafunz unaruhusiwa kuandika kwa penseli na kalamu ya rangi yeyote ile (bluu, kijani, nyekundu, nk). ii. Hawaruhusu kuweka sahihi (signature) kwa kalamu ya rangi nyingine yeyote ile isipokuwa 'bluu'. Kuna sehemu zingine hata kujaza fomu iliyochapwa ni lazima utumie kalamu ya rangi ya bluu......kalamu ya bluu ndiyo inayotambulika duniani kote (official pen) iii. Wanatumia kalamu nyekundu kuandika jina la mtu aliyefariki (marehemu). Yaani hairuhusiwi na huwezi kuandika jina la mtu aliyehai kwa kalamu nyekundu.Mathalani ukiwa Ureno na unatumia kalamu nyekundu unahesabika ni mkaidi ama mleta mikosi ( It's considered rude to write in red ink in Portugal.) iv: Jeshi la Marekani utatumia rangi kulingana na wadhifa (rank) wako Jeshini In US Navy there is a long tradition of prescribed ink colors for officers - blue color for officers, black color for departmental heads, green color for Executive officers and red color for commanding officers. v. Huko Ujerumani, rangi ya Hudhurungi (Brown) hutumika kuweka saini HUKUMU YA KIFO ILIHALI huko Pakistan wao hutumia kalamu nyekundu kwa lengo hilohilo-Brown color ink is used to sign death warrants in Germany and red color ink was used for same purpose in Pakistan. mfano nchi ya Australia officials pen ni NYEUSI TU! hata baadh ya benki hapa kwetu mfano NBC official pen ni nyeusi ingawa pia si salama sana kisheria .....NMB official ink ni blue,kwa documents zao....tofauti na hapo....hupokelewi. Exim.....nyeusi na blue, CRDB.....Blue ama nyeusi; nyekundu, kwa wenye uoni hafifu na maafisa wa benki hasa kuthibitisha nyaraka
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Mwamuzi maarufu wa Italia Colina alipoulizwa kuhusu wakati mkubwa wa kazi yake:

    "Ilikuwa dakika mbili za mwisho, niliona wachezaji wa Bayern wakiwa kwenye benchi wakijiandaa kusherehekea ubingwa, mashabiki walifurahi uwanjani huku timu yao ikitawazwa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya.

    Ghafla, Manchester ilifunga mabao mawili katika dakika mbili na kubadilisha matokeo. Sitasahau jinsi timu ya Uingereza ilivyokuwa ikipasuka kwa kelele kubwa kana kwamba walikuwa simba wakinguruma, wakati kulikuwa na ukimya wa mazishi katika uwanja wa Bayern,

    Wachezaji wa Man United walikuwa wakisherehekea bao lao la pili kwa hysterically wakati niliona mchezaji wa Bayern akianguka chini bila matumaini na alikuwa anajisikia kukata tamaa sana. Nilimkaribia na sikupata chochote cha kumwambia isipokuwa, "Amka na upigane bado una sekunde ishirini!.

    Wakati huo, niliona sura ya kweli ya mpira wa miguu, kifo na maisha katika uwanja mmoja, watu wakisherehekea wazimu na watu wanaotamani kifo !! ”
    Mwamuzi maarufu wa Italia Colina alipoulizwa kuhusu wakati mkubwa wa kazi yake: "Ilikuwa dakika mbili za mwisho, niliona wachezaji wa Bayern wakiwa kwenye benchi wakijiandaa kusherehekea ubingwa, mashabiki walifurahi uwanjani huku timu yao ikitawazwa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya. Ghafla, Manchester ilifunga mabao mawili katika dakika mbili na kubadilisha matokeo. Sitasahau jinsi timu ya Uingereza ilivyokuwa ikipasuka kwa kelele kubwa kana kwamba walikuwa simba wakinguruma, wakati kulikuwa na ukimya wa mazishi katika uwanja wa Bayern, Wachezaji wa Man United walikuwa wakisherehekea bao lao la pili kwa hysterically wakati niliona mchezaji wa Bayern akianguka chini bila matumaini na alikuwa anajisikia kukata tamaa sana. Nilimkaribia na sikupata chochote cha kumwambia isipokuwa, "Amka na upigane bado una sekunde ishirini!. Wakati huo, niliona sura ya kweli ya mpira wa miguu, kifo na maisha katika uwanja mmoja, watu wakisherehekea wazimu na watu wanaotamani kifo !! ”
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·431 Views
  • SOMA HII.. Tajiri namba Moja Elon musk haja na smartphone kiboko haiitaji umeme unatumia internet wakati wote.

    Kampuni ya Tesla inayomilikiwa na bilionea Elon Musk, imetoa taarifa kwamba simu yake ya Tesla Pi inatarajiwa kuanza kupatikana kote duniani mwishoni mwa mwaka huu, 2024.

    Simu hiyo inatajwa kuja kuleta mapinduzi makubwa katika sekta ya mawasiliano kwa simu za mkononi, ikiwa na sifa kibao ambazo hazipo kwenye simu nyingine, kubwa ikiwa inatumia nishati ya jua kujichaji.

    Inaelezwa kuwa huenda simu hiyo ikaja kuleta upinzani mkubwa kwa simu za iPhone ambazo zinasifika duniani kote kutokana na ubora wake.

    Sifa za kipekee za simu hizo, ya kwanza ni kwamba kama ilivyoelezwa, hakuna haja ya kuchaji betri kwa sababu inajichaji yenyewe kwa kutumia nishati ya jua.

    Huna haja ya kuchomeka ‘charger’ kwenye umeme, unachotakiwa ni kuwa tu sehemu yenye jua au yenye mwanga kisha simu inaendelea kujichaji yenyewe ‘automatically’.

    Sifa yake ya pili ni kwamba hakuna haja ya kujiunga na intaneti ya kawaida kwani simu hizo zinaunganishwa moja kwa moja na mtandao wa Starlink uliosambaa duniani kote unaotumia satelite ili kupata intaneti.

    Sifa nyingine kubwa ni kwamba simu hiyo ina uwezo wa kuunganisha dunia, mwezi na sayari ya Mars, kwamba kama upo duniani na mtu mwingine yupo mwezini, basi unampata vizuri kabisa hewani ukimpigia simu.

    Inaelezwa kuwa simu za Tesla zinakuja kuleta mapinduzi makubwa katika ulimwengu wa teknolojia na kubadilisha kabisa jinsi watu wanavyotumia simu za kisasa.
    SOMA HII.. Tajiri namba Moja Elon musk haja na smartphone kiboko haiitaji umeme unatumia internet wakati wote. Kampuni ya Tesla inayomilikiwa na bilionea Elon Musk, imetoa taarifa kwamba simu yake ya Tesla Pi inatarajiwa kuanza kupatikana kote duniani mwishoni mwa mwaka huu, 2024. Simu hiyo inatajwa kuja kuleta mapinduzi makubwa katika sekta ya mawasiliano kwa simu za mkononi, ikiwa na sifa kibao ambazo hazipo kwenye simu nyingine, kubwa ikiwa inatumia nishati ya jua kujichaji. Inaelezwa kuwa huenda simu hiyo ikaja kuleta upinzani mkubwa kwa simu za iPhone ambazo zinasifika duniani kote kutokana na ubora wake. Sifa za kipekee za simu hizo, ya kwanza ni kwamba kama ilivyoelezwa, hakuna haja ya kuchaji betri kwa sababu inajichaji yenyewe kwa kutumia nishati ya jua. Huna haja ya kuchomeka ‘charger’ kwenye umeme, unachotakiwa ni kuwa tu sehemu yenye jua au yenye mwanga kisha simu inaendelea kujichaji yenyewe ‘automatically’. Sifa yake ya pili ni kwamba hakuna haja ya kujiunga na intaneti ya kawaida kwani simu hizo zinaunganishwa moja kwa moja na mtandao wa Starlink uliosambaa duniani kote unaotumia satelite ili kupata intaneti. Sifa nyingine kubwa ni kwamba simu hiyo ina uwezo wa kuunganisha dunia, mwezi na sayari ya Mars, kwamba kama upo duniani na mtu mwingine yupo mwezini, basi unampata vizuri kabisa hewani ukimpigia simu. Inaelezwa kuwa simu za Tesla zinakuja kuleta mapinduzi makubwa katika ulimwengu wa teknolojia na kubadilisha kabisa jinsi watu wanavyotumia simu za kisasa.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·746 Views
  • Important Shortcut Keys System

    CTRL+A. . . . . . . . . . . . . . . . . Select All
    CTRL+C. . . . . . . . . . . . . . . . . Copy
    CTRL+X. . . . . . . . . . . . . . . . . Cut
    CTRL+V. . . . . . . . . . . . . . . . . Paste
    CTRL+Z. . . . . . . . . . . . . . . . . Undo
    CTRL+B. . . . . . . . . . . . . . . . . Bold
    CTRL+U. . . . . . . . . . . . . . . . . Underline
    CTRL+I . . . . . . . . . . . . . . . . . Italic
    F1 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Help
    F2 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Rename selected object
    F3 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Find all files
    F4 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Opens file list drop-down in dialogs
    F5 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Refresh current window
    F6 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Shifts focus in Windows Explorer
    F10 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Activates menu bar options
    ALT+TAB . . . . . . . . . . . . . . . . Cycles between open applications
    ALT+F4 . . . . . . . . . . . . . . . . . Quit program, close current window
    ALT+F6 . . . . . . . . . . . . . . . . . Switch between current program windows
    ALT+ENTER. . . . . . . . . . . . . . Opens properties dialog
    ALT+SPACE . . . . . . . . . . . . . . System menu for current window
    ALT+¢ . . . . . . . . . . . . . . . . . . opens drop-down lists in dialog boxes
    BACKSPACE . . . . . . . . . . . . . Switch to parent folder
    CTRL+ESC . . . . . . . . . . . . . . Opens Start menu
    CTRL+ALT+DEL . . . . . . . . . . Opens task manager, reboots the computer
    CTRL+TAB . . . . . . . . . . . . . . Move through property tabs
    CTRL+SHIFT+DRAG . . . . . . . Create shortcut (also right-click, drag)
    CTRL+DRAG . . . . . . . . . . . . . Copy File
    ESC . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Cancel last function
    SHIFT . . . . . . . . . . . . . . . . . . Press/hold SHIFT, insert CD-ROM to bypass auto-play
    SHIFT+DRAG . . . . . . . . . . . . Move file
    SHIFT+F10. . . . . . . . . . . . . . . Opens context menu (same as right-click)
    SHIFT+DELETE . . . . . . . . . . . Full wipe delete (bypasses Recycle Bin)
    ALT+underlined letter . . . . Opens the corresponding menu
    PC Keyboard Shortcuts
    Document Cursor Controls
    HOME . . . . . . . . . . . . . . to beginning of line or far left of field or screen
    END . . . . . . . . . . . . . . . . to end of line, or far right of field or screen
    CTRL+HOME . . . . . . . . to the top
    CTRL+END . . . . . . . . . . to the bottom
    PAGE UP . . . . . . . . . . . . moves document or dialog box up one page
    PAGE DOWN . . . . . . . . moves document or dialog down one page
    ARROW KEYS . . . . . . . move focus in documents, dialogs, etc.
    CTRL+ > . . . . . . . . . . . . next word
    CTRL+SHIFT+ > . . . . . . selects word
    Windows Explorer Tree Control
    Numeric Keypad * . . . Expand all under current selection
    Numeric Keypad + . . . Expands current selection
    Numeric Keypad – . . . Collapses current selection
    ¦ . . . . . . . . . . . . . . . . . . Expand current selection or go to first child
    ‰ . . . . . . . . . . . . . . . . . . Collapse current selection or go to parent
    Special Characters
    ‘ Opening single quote . . . alt 0145
    ’ Closing single quote . . . . alt 0146
    “ Opening double quote . . . alt 0147
    “ Closing double quote. . . . alt 0148
    – En dash. . . . . . . . . . . . . . . alt 0150
    — Em dash . . . . . . . . . . . . . . alt 0151
    … Ellipsis. . . . . . . . . . . . . . . . alt 0133
    • Bullet . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0149
    ® Registration Mark . . . . . . . alt 0174
    © Copyright . . . . . . . . . . . . . alt 0169
    ™ Trademark . . . . . . . . . . . . alt 0153
    ° Degree symbol. . . . . . . . . alt 0176
    ¢ Cent sign . . . . . . . . . . . . . alt 0162
    1⁄4 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0188
    1⁄2 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0189
    3⁄4 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0190
    PC Keyboard Shortcuts
    Creating unique images in a uniform world! Creating unique images in a uniform world!
    é . . . . . . . . . . . . . . . alt 0233
    É . . . . . . . . . . . . . . . alt 0201
    ñ . . . . . . . . . . . . . . . alt 0241
    ÷ . . . . . . . . . . . . . . . alt 0247
    File menu options in current program
    Alt + E Edit options in current program
    F1 Universal help (for all programs)
    Ctrl + A Select all text
    Ctrl + X Cut selected item
    Shift + Del Cut selected item
    Ctrl + C Copy selected item
    Ctrl + Ins Copy selected item
    Ctrl + V Paste
    Shift + Ins Paste
    Home Go to beginning of current line
    Ctrl + Home Go to beginning of document
    End Go to end of current line
    Ctrl + End Go to end of document
    Shift + Home Highlight from current position to beginning of line
    Shift + End Highlight from current position to end of line
    Ctrl + f Move one word to the left at a time
    Ctrl + g Move one word to the right at a time
    MICROSOFT® WINDOWS® SHORTCUT KEYS
    Alt + Tab Switch between open applications
    Alt +
    Shift + Tab
    Switch backwards between open
    applications
    Alt + Print
    Screen
    Create screen shot for current program
    Ctrl + Alt + Del Reboot/Windows® task manager
    Ctrl + Esc Bring up start menu
    Alt + Esc Switch between applications on taskbar
    F2 Rename selected icon
    F3 Start find from desktop
    F4 Open the drive selection when browsing
    F5 Refresh contents
    Alt + F4 Close current open program
    Ctrl + F4 Close window in program
    Ctrl + Plus
    Key
    Automatically adjust widths of all columns
    in Windows Explorer
    Alt + Enter Open properties window of selected icon
    or program
    Shift + F10 Simulate right-click on selected item
    Shift + Del Delete programs/files permanently
    Holding Shift
    During Bootup
    Boot safe mode or bypass system files
    Holding Shift
    During Bootup
    When putting in an audio CD, will prevent
    CD Player from playing
    WINKEY SHORTCUTS
    WINKEY + D Bring desktop to the top of other windows
    WINKEY + M Minimize all windows
    WINKEY +
    SHIFT + M
    Undo the minimize done by WINKEY + M
    and WINKEY + D
    WINKEY + E Open Microsoft Explorer
    WINKEY + Tab Cycle through open programs on taskbar
    WINKEY + F Display the Windows® Search/Find feature
    WINKEY +
    CTRL + F
    Display the search for computers window
    WINKEY + F1 Display the Microsoft® Windows® help
    WINKEY + R Open the run window
    WINKEY +
    Pause /Break
    Open the system properties window
    WINKEY + U Open utility manager
    WINKEY + L Lock the computer (Windows XP® & later)
    OUTLOOK® SHORTCUT KEYS
    Alt + S Send the email
    Ctrl + C Copy selected text
    Ctrl + X Cut selected text
    Ctrl + P Open print dialog box
    Ctrl + K Complete name/email typed in address bar
    Ctrl + B Bold highlighted selection
    Ctrl + I Italicize highlighted selection
    Ctrl + U Underline highlighted selection
    Ctrl + R Reply to an email
    Ctrl + F Forward an email
    Ctrl + N Create a new email
    Ctrl + Shift + A Create a new appointment to your calendar
    Ctrl + Shift + O Open the outbox
    Ctrl + Shift + I Open the inbox
    Ctrl + Shift + K Add a new task
    Ctrl + Shift + C Create a new contact
    Ctrl + Shift+ J Create a new journal entry
    WORD® SHORTCUT KEYS
    Ctrl + A Select all contents of the page
    Ctrl + B Bold highlighted selection
    Ctrl + C Copy selected text
    Ctrl + X Cut selected text
    Ctrl + N Open new/blank document
    Ctrl + O Open options
    Ctrl + P Open the print window
    Ctrl + F Open find box
    Ctrl + I Italicize highlighted selection
    Ctrl + K Insert link
    Ctrl + U Underline highlighted selection
    Ctrl + V Paste
    Ctrl + Y Redo the last action performed
    Ctrl + Z Undo last action
    Ctrl + G Find and replace options
    Ctrl + H Find and replace options
    Ctrl + J Justify paragraph alignment
    Ctrl + L Align selected text or line to the left
    Ctrl + Q Align selected paragraph to the left
    Ctrl + E Align selected
    Important Shortcut Keys System CTRL+A. . . . . . . . . . . . . . . . . Select All CTRL+C. . . . . . . . . . . . . . . . . Copy CTRL+X. . . . . . . . . . . . . . . . . Cut CTRL+V. . . . . . . . . . . . . . . . . Paste CTRL+Z. . . . . . . . . . . . . . . . . Undo CTRL+B. . . . . . . . . . . . . . . . . Bold CTRL+U. . . . . . . . . . . . . . . . . Underline CTRL+I . . . . . . . . . . . . . . . . . Italic F1 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Help F2 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Rename selected object F3 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Find all files F4 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Opens file list drop-down in dialogs F5 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Refresh current window F6 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Shifts focus in Windows Explorer F10 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Activates menu bar options ALT+TAB . . . . . . . . . . . . . . . . Cycles between open applications ALT+F4 . . . . . . . . . . . . . . . . . Quit program, close current window ALT+F6 . . . . . . . . . . . . . . . . . Switch between current program windows ALT+ENTER. . . . . . . . . . . . . . Opens properties dialog ALT+SPACE . . . . . . . . . . . . . . System menu for current window ALT+¢ . . . . . . . . . . . . . . . . . . opens drop-down lists in dialog boxes BACKSPACE . . . . . . . . . . . . . Switch to parent folder CTRL+ESC . . . . . . . . . . . . . . Opens Start menu CTRL+ALT+DEL . . . . . . . . . . Opens task manager, reboots the computer CTRL+TAB . . . . . . . . . . . . . . Move through property tabs CTRL+SHIFT+DRAG . . . . . . . Create shortcut (also right-click, drag) CTRL+DRAG . . . . . . . . . . . . . Copy File ESC . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Cancel last function SHIFT . . . . . . . . . . . . . . . . . . Press/hold SHIFT, insert CD-ROM to bypass auto-play SHIFT+DRAG . . . . . . . . . . . . Move file SHIFT+F10. . . . . . . . . . . . . . . Opens context menu (same as right-click) SHIFT+DELETE . . . . . . . . . . . Full wipe delete (bypasses Recycle Bin) ALT+underlined letter . . . . Opens the corresponding menu PC Keyboard Shortcuts Document Cursor Controls HOME . . . . . . . . . . . . . . to beginning of line or far left of field or screen END . . . . . . . . . . . . . . . . to end of line, or far right of field or screen CTRL+HOME . . . . . . . . to the top CTRL+END . . . . . . . . . . to the bottom PAGE UP . . . . . . . . . . . . moves document or dialog box up one page PAGE DOWN . . . . . . . . moves document or dialog down one page ARROW KEYS . . . . . . . move focus in documents, dialogs, etc. CTRL+ > . . . . . . . . . . . . next word CTRL+SHIFT+ > . . . . . . selects word Windows Explorer Tree Control Numeric Keypad * . . . Expand all under current selection Numeric Keypad + . . . Expands current selection Numeric Keypad – . . . Collapses current selection ¦ . . . . . . . . . . . . . . . . . . Expand current selection or go to first child ‰ . . . . . . . . . . . . . . . . . . Collapse current selection or go to parent Special Characters ‘ Opening single quote . . . alt 0145 ’ Closing single quote . . . . alt 0146 “ Opening double quote . . . alt 0147 “ Closing double quote. . . . alt 0148 – En dash. . . . . . . . . . . . . . . alt 0150 — Em dash . . . . . . . . . . . . . . alt 0151 … Ellipsis. . . . . . . . . . . . . . . . alt 0133 • Bullet . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0149 ® Registration Mark . . . . . . . alt 0174 © Copyright . . . . . . . . . . . . . alt 0169 ™ Trademark . . . . . . . . . . . . alt 0153 ° Degree symbol. . . . . . . . . alt 0176 ¢ Cent sign . . . . . . . . . . . . . alt 0162 1⁄4 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0188 1⁄2 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0189 3⁄4 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . alt 0190 PC Keyboard Shortcuts Creating unique images in a uniform world! Creating unique images in a uniform world! é . . . . . . . . . . . . . . . alt 0233 É . . . . . . . . . . . . . . . alt 0201 ñ . . . . . . . . . . . . . . . alt 0241 ÷ . . . . . . . . . . . . . . . alt 0247 File menu options in current program Alt + E Edit options in current program F1 Universal help (for all programs) Ctrl + A Select all text Ctrl + X Cut selected item Shift + Del Cut selected item Ctrl + C Copy selected item Ctrl + Ins Copy selected item Ctrl + V Paste Shift + Ins Paste Home Go to beginning of current line Ctrl + Home Go to beginning of document End Go to end of current line Ctrl + End Go to end of document Shift + Home Highlight from current position to beginning of line Shift + End Highlight from current position to end of line Ctrl + f Move one word to the left at a time Ctrl + g Move one word to the right at a time MICROSOFT® WINDOWS® SHORTCUT KEYS Alt + Tab Switch between open applications Alt + Shift + Tab Switch backwards between open applications Alt + Print Screen Create screen shot for current program Ctrl + Alt + Del Reboot/Windows® task manager Ctrl + Esc Bring up start menu Alt + Esc Switch between applications on taskbar F2 Rename selected icon F3 Start find from desktop F4 Open the drive selection when browsing F5 Refresh contents Alt + F4 Close current open program Ctrl + F4 Close window in program Ctrl + Plus Key Automatically adjust widths of all columns in Windows Explorer Alt + Enter Open properties window of selected icon or program Shift + F10 Simulate right-click on selected item Shift + Del Delete programs/files permanently Holding Shift During Bootup Boot safe mode or bypass system files Holding Shift During Bootup When putting in an audio CD, will prevent CD Player from playing WINKEY SHORTCUTS WINKEY + D Bring desktop to the top of other windows WINKEY + M Minimize all windows WINKEY + SHIFT + M Undo the minimize done by WINKEY + M and WINKEY + D WINKEY + E Open Microsoft Explorer WINKEY + Tab Cycle through open programs on taskbar WINKEY + F Display the Windows® Search/Find feature WINKEY + CTRL + F Display the search for computers window WINKEY + F1 Display the Microsoft® Windows® help WINKEY + R Open the run window WINKEY + Pause /Break Open the system properties window WINKEY + U Open utility manager WINKEY + L Lock the computer (Windows XP® & later) OUTLOOK® SHORTCUT KEYS Alt + S Send the email Ctrl + C Copy selected text Ctrl + X Cut selected text Ctrl + P Open print dialog box Ctrl + K Complete name/email typed in address bar Ctrl + B Bold highlighted selection Ctrl + I Italicize highlighted selection Ctrl + U Underline highlighted selection Ctrl + R Reply to an email Ctrl + F Forward an email Ctrl + N Create a new email Ctrl + Shift + A Create a new appointment to your calendar Ctrl + Shift + O Open the outbox Ctrl + Shift + I Open the inbox Ctrl + Shift + K Add a new task Ctrl + Shift + C Create a new contact Ctrl + Shift+ J Create a new journal entry WORD® SHORTCUT KEYS Ctrl + A Select all contents of the page Ctrl + B Bold highlighted selection Ctrl + C Copy selected text Ctrl + X Cut selected text Ctrl + N Open new/blank document Ctrl + O Open options Ctrl + P Open the print window Ctrl + F Open find box Ctrl + I Italicize highlighted selection Ctrl + K Insert link Ctrl + U Underline highlighted selection Ctrl + V Paste Ctrl + Y Redo the last action performed Ctrl + Z Undo last action Ctrl + G Find and replace options Ctrl + H Find and replace options Ctrl + J Justify paragraph alignment Ctrl + L Align selected text or line to the left Ctrl + Q Align selected paragraph to the left Ctrl + E Align selected
    Love
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·861 Views
  • Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA )

    ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ?

    1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ?

    2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free .

    3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji

    ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili .

    NOTE

    1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri

    2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi )

    3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses )

    4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo

    5: Bacca + Job

    6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka

    7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga )

    8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy )

    FT: Yanga 3-1 TP Mazembe

    Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA ) ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ? 1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ? 2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free . 3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili . NOTE 1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri 2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi ) 3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses ) 4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo 5: Bacca + Job 🔥🔥 6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka🔥 7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga ) 8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 🔥💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy ) FT: Yanga 3-1 TP Mazembe
    0 Comments ·0 Shares ·582 Views
  • ✍🏻Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA )

    ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ?

    1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ?

    2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free .

    3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji

    ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili .

    NOTE

    1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri

    2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi )

    3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses )

    4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo

    5: Bacca + Job

    6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka

    7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga )

    8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy )
    #neliudcosiah
    ✍🏻Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA ) ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ? 1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ? 2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free . 3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili . NOTE 1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri 2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi ) 3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses ) 4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo 5: Bacca + Job 🔥🔥 6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka🔥 7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga ) 8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 🔥💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy ) #neliudcosiah
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·602 Views
  • .Dear Customer your ATM Card has been BL0CKED because you have NoT updated yet. If you want to keep using your ATM card please Call our number at ..92146993


    Ndugu zangu mkipata message hiyo hapo juu
    msiwapigie, ni *waongo na wezi*
    usitoe maelezo yako ya bank wala ATM CARD YAKO YA BANK !

    WATUMIE WENGINE MESSAGE HII WASIOJUA, WASIJE KUIBIWA PESA ZAO !
    .Dear Customer your ATM Card has been BL0CKED because you have NoT updated yet. If you want to keep using your ATM card please Call our number at ..92146993 Ndugu zangu mkipata message hiyo hapo juu msiwapigie, ni *waongo na wezi* usitoe maelezo yako ya bank wala ATM CARD YAKO YA BANK ! WATUMIE WENGINE MESSAGE HII WASIOJUA, WASIJE KUIBIWA PESA ZAO !
    Like
    Love
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·497 Views
  • MAELEZO KUHUSU ACCOUNT YA HEROKU NA BOT DEPLOYMENT

    𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1

    Wale wanao nunua ACCOUNT za heroku, wanapewa account ambayo tiyari ishawekewa kadi ya bank na ipo tiyari kwa kutengeneza Bot idadi utakayo

    Kama tiyari account ya heroku unayo kuna njia mbili za kupata access ya kutengeneza bot Njia ni
    1. Utaleta account yako kisha mtaalam wetu akuwekee kadi ya bank katika account yako utengeneze bot idadi utakayo
    2. Utaalikwa kwenye team yetu ambayo ukisha alikwa unaweza kutengeneza Bot mwisho 5 kwa mwezi mmoja

    Hivyo ndivyo huduma za heroku zilivyo, kufikia huduma hizo https://shorturl.at/wobqv

    Kama unataka kuunganishiwa Bot, karibu pia tukuhudumie, utawekewa Bot utakayo baada ya kufanya malipo hapo https://shorturl.at/5l7Y3

    Ukishalipia utaonekana automatically kwenye mfumo kuwa umelipia hivyo utaenda kufanya confirmation hapa https://shorturl.at/msEf1


    Kama utakuwa na shida wasiliana nasi kupitia https://wa.me/255713840267


    NEXT WEEK DUDUU_MENDEZ STRING V4 will released

    WhatsApp channel
    https://whatsapp.com/channel/0029VacgCaPKmCPGmTmrnT04

    Telegram Channel
    https://t.me/duduu_mendez_store

    Telegram direct contact with main admin
    https://t.me/DUDUU_MENDEZ_BOT

    Credit
    > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1
    ▶︎ ●────────── 0:41
    MAELEZO KUHUSU ACCOUNT YA HEROKU NA BOT DEPLOYMENT 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1 Wale wanao nunua ACCOUNT za heroku, wanapewa account ambayo tiyari ishawekewa kadi ya bank na ipo tiyari kwa kutengeneza Bot idadi utakayo Kama tiyari account ya heroku unayo kuna njia mbili za kupata access ya kutengeneza bot Njia ni 1. Utaleta account yako kisha mtaalam wetu akuwekee kadi ya bank katika account yako utengeneze bot idadi utakayo 2. Utaalikwa kwenye team yetu ambayo ukisha alikwa unaweza kutengeneza Bot mwisho 5 kwa mwezi mmoja Hivyo ndivyo huduma za heroku zilivyo, kufikia huduma hizo 👉👉https://shorturl.at/wobqv Kama unataka kuunganishiwa Bot, karibu pia tukuhudumie, utawekewa Bot utakayo baada ya kufanya malipo hapo 👉👉https://shorturl.at/5l7Y3 Ukishalipia utaonekana automatically kwenye mfumo kuwa umelipia hivyo utaenda kufanya confirmation hapa 👉👉https://shorturl.at/msEf1 Kama utakuwa na shida wasiliana nasi kupitia https://wa.me/255713840267 NEXT WEEK DUDUU_MENDEZ STRING V4 will released WhatsApp channel https://whatsapp.com/channel/0029VacgCaPKmCPGmTmrnT04 Telegram Channel https://t.me/duduu_mendez_store Telegram direct contact with main admin https://t.me/DUDUU_MENDEZ_BOT Credit > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1 ▶︎ ●────────── 0:41
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·743 Views
  • HUDUMA YA CALL FORWARDING

    • Piga *21*0684898194#
    Mtu Akikupigia Ataambiwa “Namba Unayopiga Haipo”

    • Piga *21*0683961067#
    Mtu Akikupigia Ataambiwa “Namba Unayoipigia Imesitishiwa Huduma”

    • Piga *21*06787777#
    Mtu Akikupigia Ataambiwa “Tafadhali Hakikisha Namba ya Mteja Unayopiga na Upige tena”

    • Piga *21*0694100100#
    Mtu Akikupigia Simu yake Itaanza Kuzungumza kama Amewapigia Huduma kwa Wateja Airtel.

    • Piga *21*0754100100#
    Mtu Akikupigia Simu yake Itaanza Kuzungumza kama Amepiga Huduma kwa Wateja Vodacom

    • Piga *21*0662100100#
    Mtu Akikupigia Simu yake Itajikata Automatically Bila Kupewa Jibu lolote lile.

    • Piga *21*Weka Namba Unayotaka Simu zielekee#
    Set hivi kama Utakuwa Mbali na Line Moja unataka Simu zikiingia Zikufikie kwenye Line nyingine au unataka Kujua Simu za Mwingine au Unataka Kupokea Simu za Mtu Mwingine

    -------------------------------

    • Kujitoa au Kujiondoa na Huduma zote Juu au Yoyote Mojawapo Piga
    ##21#

    -------------------------------

    HUDUMA YA CALL FORWARDING • Piga *21*0684898194# 👇 Mtu Akikupigia Ataambiwa “Namba Unayopiga Haipo” • Piga *21*0683961067# 👇 Mtu Akikupigia Ataambiwa “Namba Unayoipigia Imesitishiwa Huduma” • Piga *21*06787777# 👇 Mtu Akikupigia Ataambiwa “Tafadhali Hakikisha Namba ya Mteja Unayopiga na Upige tena” • Piga *21*0694100100# 👇 Mtu Akikupigia Simu yake Itaanza Kuzungumza kama Amewapigia Huduma kwa Wateja Airtel. • Piga *21*0754100100# 👇 Mtu Akikupigia Simu yake Itaanza Kuzungumza kama Amepiga Huduma kwa Wateja Vodacom • Piga *21*0662100100# 👇 Mtu Akikupigia Simu yake Itajikata Automatically Bila Kupewa Jibu lolote lile. • Piga *21*Weka Namba Unayotaka Simu zielekee# 👇 Set hivi kama Utakuwa Mbali na Line Moja unataka Simu zikiingia Zikufikie kwenye Line nyingine au unataka Kujua Simu za Mwingine au Unataka Kupokea Simu za Mtu Mwingine ------------------------------- • Kujitoa au Kujiondoa na Huduma zote Juu au Yoyote Mojawapo Piga 👇 ##21# ------------------------------- 💧💧
    Like
    Love
    3
    · 2 Comments ·0 Shares ·312 Views
  • Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC, Privaldinho amjia juu Wilson Orumo.

    "Ukiniuliza miongoni mwa wachambuzi wenye uelewa mzuri wa soka nisipotaja jina la @wilsonoruma_ basi ulizia natumia kinywaji gani muda pengine nimepiga vyombo.

    Namfahamu Udom. Najua uwezo wake. Sijui shida gani imempata. Anyway twende kwenye hoja yake.

    Kwamba kumkejeli Pacome hujagusa biashara ya watu? Sijaona ukiongelea hili bali umejikita kwenye ishu ya mtengeneza jezi. Kuna nyakati tuliitwa maiti? Kuna nyakati walisema jezi zetu ni mbaya mno. Je mzee wangu ulikemea? Je Yanga tulisema chochote?

    Iko hivi

    Utani wa jadi ni mbwembwe za Makolo na mabingwa wa kihistoria. Ni kama mchezo wa ngumi tu. Mbwembwembwe na kejeli zeru ndio tambo zetu. Ipo hivo miaka na miaka. Kama hutaki kutaniwa usije kwenye hizi timu mbili. Pengine kauze suti za wanasheria huko kidogo kuna maadili.

    Uvumilivu wa utani wa jadi umegusa wengi. Huyu Oruma mwenyewe amewahi kuingia kwenye utani wa jadi. Mara kadhaa ametumia maneno makali dhidi ya Yanga na Yanga haijawahi kumgusa.

    Oruma ni bingwa kuitania Yanga ametuita gongo wazi. Hakuna mtu kutoka Yanga aliyewahi kwenda mahakamani. Gongo wazi ni neno la kejeli kwa Yanga.

    Pengine basi kwa kuwa anaharibu brand ya Yanga twende mahakamani na invoice? Mtu ambaye tulitegemea awe mchambuzi na mtenda haki anaingia kwenye utani na Yanga inaona sawa tu. Lakini walipohisi ally amemlenga mtu wao wanatoka na Mapanga.

    Oruma, ni mtu mwenye akili na uelewa mkubwa wa mambo. Kwa bahati mbaya hivi karibuni amechagua njia ambayo binafsi simwelewi. Ni kama anapigana na Yanga hadharani.

    Ni rafiki yangu na mara kadhaa huwa namwambia. Uwezo wake wa kuchanganua mambo ni hazina kubwa kwa taifa letu. Lakini matumizi yake amejikita kwenye siasa za mpira ambazo mara nyingi kwangu sioni kama zina afya.

    Moja kati ya wachambuzi ambao wangeamua kujikita kwenye tactically analysis angesaidia sana TAIFA hili. Leo hii anaita Yanga Gongowazi hivi na sisi tukiamua kuitafutia jina baya EFM atakaa kimya?

    Mimi nafikiri rafiki yangu huyu afanye tafakuri ya kutosha. Kwanza afaham kuwa taifa linamhitaji zaidi kuliko vijana wanaochipukia wanavyosaka comments na likes. Atafakari vyema njia zake.

    Shalom."
    Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC, Privaldinho amjia juu Wilson Orumo. "Ukiniuliza miongoni mwa wachambuzi wenye uelewa mzuri wa soka nisipotaja jina la @wilsonoruma_ basi ulizia natumia kinywaji gani muda pengine nimepiga vyombo. Namfahamu Udom. Najua uwezo wake. Sijui shida gani imempata. Anyway twende kwenye hoja yake. Kwamba kumkejeli Pacome hujagusa biashara ya watu? Sijaona ukiongelea hili bali umejikita kwenye ishu ya mtengeneza jezi. Kuna nyakati tuliitwa maiti? Kuna nyakati walisema jezi zetu ni mbaya mno. Je mzee wangu ulikemea? Je Yanga tulisema chochote? Iko hivi Utani wa jadi ni mbwembwe za Makolo na mabingwa wa kihistoria. Ni kama mchezo wa ngumi tu. Mbwembwembwe na kejeli zeru ndio tambo zetu. Ipo hivo miaka na miaka. Kama hutaki kutaniwa usije kwenye hizi timu mbili. Pengine kauze suti za wanasheria huko kidogo kuna maadili. Uvumilivu wa utani wa jadi umegusa wengi. Huyu Oruma mwenyewe amewahi kuingia kwenye utani wa jadi. Mara kadhaa ametumia maneno makali dhidi ya Yanga na Yanga haijawahi kumgusa. Oruma ni bingwa kuitania Yanga ametuita gongo wazi. Hakuna mtu kutoka Yanga aliyewahi kwenda mahakamani. Gongo wazi ni neno la kejeli kwa Yanga. Pengine basi kwa kuwa anaharibu brand ya Yanga twende mahakamani na invoice? Mtu ambaye tulitegemea awe mchambuzi na mtenda haki anaingia kwenye utani na Yanga inaona sawa tu. Lakini walipohisi ally amemlenga mtu wao wanatoka na Mapanga. Oruma, ni mtu mwenye akili na uelewa mkubwa wa mambo. Kwa bahati mbaya hivi karibuni amechagua njia ambayo binafsi simwelewi. Ni kama anapigana na Yanga hadharani. Ni rafiki yangu na mara kadhaa huwa namwambia. Uwezo wake wa kuchanganua mambo ni hazina kubwa kwa taifa letu. Lakini matumizi yake amejikita kwenye siasa za mpira ambazo mara nyingi kwangu sioni kama zina afya. Moja kati ya wachambuzi ambao wangeamua kujikita kwenye tactically analysis angesaidia sana TAIFA hili. Leo hii anaita Yanga Gongowazi hivi na sisi tukiamua kuitafutia jina baya EFM atakaa kimya? Mimi nafikiri rafiki yangu huyu afanye tafakuri ya kutosha. Kwanza afaham kuwa taifa linamhitaji zaidi kuliko vijana wanaochipukia wanavyosaka comments na likes. Atafakari vyema njia zake. Shalom."
    0 Comments ·0 Shares ·781 Views
  • HOW TO GET U.S NUMBER FOR WHATSAPP

    1 .Download Primo app below

    2. Install and Open the app

    3. Once Opened, it will ask you to register an Account, Just enter your real Mobile Number and click on the submit button.

    4. Enter the OTP and verify your Mobile Number in the Primo App.

    5. Complete the verification process.

    6. Now, Click on the Activate button next to “Primo US Phone Number” option.

    7. Now it will show a US Number, Just note it down or copy it.

    8. Note down that US number or copy it, We will need it in the next step for verifying it in WhatsApp with OTP or One Time Password.

    9. Now, Open WhatsApp.

    10. Tap on “AGREE AND CONTINUE”

    11. Select Country code as +1 select country as the United States and type your US Number that we copied earlier from the Primo app and click on Continue.

    12. Wait for some time and you will see a “Call Me” option in WhatsApp, just click on it.

    13. Now call will come to your Phone via Primo App from WhatsApp.

    14. Attend the call and note down your Verification Code.

    15. Now enter the Code in WhatsApp and verify your Mobile Number

    HOW TO GET U.S NUMBER FOR WHATSAPP 1 .Download Primo app below👇👇 2. Install and Open the app 3. Once Opened, it will ask you to register an Account, Just enter your real Mobile Number and click on the submit button. 4. Enter the OTP and verify your Mobile Number in the Primo App. 5. Complete the verification process. 6. Now, Click on the Activate button next to “Primo US Phone Number” option. 7. Now it will show a US Number, Just note it down or copy it. 8. Note down that US number or copy it, We will need it in the next step for verifying it in WhatsApp with OTP or One Time Password. 9. Now, Open WhatsApp. 10. Tap on “AGREE AND CONTINUE” 11. Select Country code as +1 select country as the United States and type your US Number that we copied earlier from the Primo app and click on Continue. 12. Wait for some time and you will see a “Call Me” option in WhatsApp, just click on it. 13. Now call will come to your Phone via Primo App from WhatsApp. 14. Attend the call and note down your Verification Code. 15. Now enter the Code in WhatsApp and verify your Mobile Number👍
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·645 Views
  • Je simu yako intaneti Iko slow?
    Unahitaji kuongeza kasi? Simu kuwa slow kwenye
    intaneti ni jambo linalochukiza sana.

    Akuna mtu anayependa Unajikuta umenunua kifurushi
    chako Cha intaneti shida ukiwasha data

    • unatuma ujumbe Whatsapp inakataa
    • status hazifunguki
    • unatizama YouTube video ina ganda ganda
    • unafungua tovuti mbalimbali zinachelewa ina load
    sana.
    • unafungua Instagram kutizama picha au kupata
    update ya post mpya inachelewa.
    • unapakua kitu mtandaoni kina ganda nk

    Nini ufanye kuongeza kasi ya intaneti
    1️⃣ clear cache
    Ni kweli ku clear cache akuongezi nafasi kwenye
    internal storage ya simu yako lakini kunaongeza kasi
    ya intaneti. Kama upendelei kufanya clear cache kwa
    muda mrefu utasababisha simu kuwa slow pamoja
    na intaneti.

    2️⃣ close your app
    Kuna wakati intaneti inakua slow kwenye simu
    kutokana na baadhi ya app kutumika bila wewe kujua
    labda ulizifungua na ulipomaliza kutumia ukuzifunga
    zikawa zinatumika bila wewe kujua ivyo ni muhimu
    kuzifunga.

    3️⃣ Uninstall apps
    Kama Kuna app ambayo utumi kwenye simu yako
    basi iondoe au fanya ku disable maana kuna baadhi
    ya program zinakula sana bando ata kama utumi
    kwenye simu yako

    4️⃣ tumia browser/ app tofauti
    Sio kwamba utaongeza kasi tu ya intaneti pia
    itakusaidia kuondokana na matumiizi ya kutumia
    bando kubwa kwenye simu yako, kwani program za
    lite version zinatumia data ndogo kuliko zile original.

    Pendelea pia kutumia browser tofauti tofauti kama
    vile Opera mini, uc browser, Mozilla lite sio kutumia
    browser moja TU.

    5️⃣ reset network yako
    Kuwa na tabia ya kureseti network kila baada ya
    mwenzi utafanya simu yako kuwa na kasi kwenye
    upande wa intaneti Kuna mtu toka anunue simu
    hawajai ku reset network.

    ingia setting >> system>> reset option >> reset wifi,
    mobile & Bluetooth utaweka password au pattern
    yako Kisha itaji reset.

    Pia Ingia tena setting >> Mobile network>> chagua
    line yako kama tigo, Airtel, voda, halotel >>choose
    network >> ondoa automatically Restart simu yako.

    washikaji tujifunze
    Je simu yako intaneti Iko slow? Unahitaji kuongeza kasi? Simu kuwa slow kwenye intaneti ni jambo linalochukiza sana. Akuna mtu anayependa Unajikuta umenunua kifurushi chako Cha intaneti shida ukiwasha data • unatuma ujumbe Whatsapp inakataa • status hazifunguki • unatizama YouTube video ina ganda ganda • unafungua tovuti mbalimbali zinachelewa ina load sana. • unafungua Instagram kutizama picha au kupata update ya post mpya inachelewa. • unapakua kitu mtandaoni kina ganda nk Nini ufanye kuongeza kasi ya intaneti 1️⃣ clear cache Ni kweli ku clear cache akuongezi nafasi kwenye internal storage ya simu yako lakini kunaongeza kasi ya intaneti. Kama upendelei kufanya clear cache kwa muda mrefu utasababisha simu kuwa slow pamoja na intaneti. 2️⃣ close your app Kuna wakati intaneti inakua slow kwenye simu kutokana na baadhi ya app kutumika bila wewe kujua labda ulizifungua na ulipomaliza kutumia ukuzifunga zikawa zinatumika bila wewe kujua ivyo ni muhimu kuzifunga. 3️⃣ Uninstall apps Kama Kuna app ambayo utumi kwenye simu yako basi iondoe au fanya ku disable maana kuna baadhi ya program zinakula sana bando ata kama utumi kwenye simu yako 4️⃣ tumia browser/ app tofauti Sio kwamba utaongeza kasi tu ya intaneti pia itakusaidia kuondokana na matumiizi ya kutumia bando kubwa kwenye simu yako, kwani program za lite version zinatumia data ndogo kuliko zile original. Pendelea pia kutumia browser tofauti tofauti kama vile Opera mini, uc browser, Mozilla lite sio kutumia browser moja TU. 5️⃣ reset network yako Kuwa na tabia ya kureseti network kila baada ya mwenzi utafanya simu yako kuwa na kasi kwenye upande wa intaneti Kuna mtu toka anunue simu hawajai ku reset network. ingia setting >> system>> reset option >> reset wifi, mobile & Bluetooth utaweka password au pattern yako Kisha itaji reset. Pia Ingia tena setting >> Mobile network>> chagua line yako kama tigo, Airtel, voda, halotel >>choose network >> ondoa automatically Restart simu yako. washikaji tujifunze 😇😇😇
    0 Comments ·0 Shares ·523 Views
  • HIVI UMESHAWAHI KUKUTANA NA ACCOUNT YA MTU FACEBOOK KUNA POST YENYE PICHA ZA PORN CONTENT! NA BILA YEYE KUJUA ?

    Hizo ni Phishing Links ambazo zinakuwa Designed na ni Special kupora/Grab Personal Details za Account iliyokusudiwa only kwa kutumia Link tu Mara Mlengwa atakapo Gusa Link yenye Phishing ndani Yake.

    Siku zote Phishing Links huwaga ni zile links za Kuvutia na Kumtamanisha Mlengwa aiguse ili Aweze kukipata alicho Waza angekiona Baada kugusa Link...Especially wanatumia Picha za Wanawake Wazuri Walio Naked ili Kuwavutia Vijana Wa Hovyo Waweze Kunasa Kwenye Mtego alio Upanga.

    Sasa Hutegemea target ya Link yake alitaka Kupata Taarifa gani kutoka Kwako...ila Baadhi zao Huwaga Baada ya Mlengwa Kuzigusa Hizo Links tu! Basi itamuomba Permission moja Kati ya Hizi :- Location,Gallery,Contacts,Username & Password,Camera,Notification access,run in Background...na Nyinginezo nyingi

    Mara tu Mlengwa (Targeted user) atakapo Grant Permission Moja kati ya Hizo,Automatically bila yeye kujua Hio Post yenye Maudhui ya Porn Content inaweza Kujipost Kwenye Account yake ikionekana kama Amepost yeye Kumbe wala Hana Taarifa...

    Kuwa Makini nazo Links hizo..ukiwa kama Team WOLF hutakiwi kuwa na Mawenge na hizo Phishing Links kwani una Aibisha Brand.
    HIVI UMESHAWAHI KUKUTANA NA ACCOUNT YA MTU FACEBOOK KUNA POST YENYE PICHA ZA PORN CONTENT! NA BILA YEYE KUJUA ? Hizo ni Phishing Links ambazo zinakuwa Designed na ni Special kupora/Grab Personal Details za Account iliyokusudiwa only kwa kutumia Link tu Mara Mlengwa atakapo Gusa Link yenye Phishing ndani Yake. Siku zote Phishing Links huwaga ni zile links za Kuvutia na Kumtamanisha Mlengwa aiguse ili Aweze kukipata alicho Waza angekiona Baada kugusa Link...Especially wanatumia Picha za Wanawake Wazuri Walio Naked ili Kuwavutia Vijana Wa Hovyo Waweze Kunasa Kwenye Mtego alio Upanga. Sasa Hutegemea target ya Link yake alitaka Kupata Taarifa gani kutoka Kwako...ila Baadhi zao Huwaga Baada ya Mlengwa Kuzigusa Hizo Links tu! Basi itamuomba Permission moja Kati ya Hizi :- Location,Gallery,Contacts,Username & Password,Camera,Notification access,run in Background...na Nyinginezo nyingi Mara tu Mlengwa (Targeted user) atakapo Grant Permission Moja kati ya Hizo,Automatically bila yeye kujua Hio Post yenye Maudhui ya Porn Content inaweza Kujipost Kwenye Account yake ikionekana kama Amepost yeye Kumbe wala Hana Taarifa... Kuwa Makini nazo Links hizo..ukiwa kama Team WOLF hutakiwi kuwa na Mawenge na hizo Phishing Links kwani una Aibisha Brand. 😏
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·616 Views
  • HIVI UMESHAWAHI KUKUTANA NA ACCOUNT YA MTU FACEBOOK KUNA POST YENYE PICHA ZA PORN CONTENT! NA BILA YEYE KUJUA ?

    Hizo ni Phishing Links ambazo zinakuwa Designed na ni Special kupora/Grab Personal Details za Account iliyokusudiwa only kwa kutumia Link tu Mara Mlengwa atakapo Gusa Link yenye Phishing ndani Yake.

    Siku zote Phishing Links huwaga ni zile links za Kuvutia na Kumtamanisha Mlengwa aiguse ili Aweze kukipata alicho Waza angekiona Baada kugusa Link...Especially wanatumia Picha za Wanawake Wazuri Walio Naked ili Kuwavutia Vijana Wa Hovyo Waweze Kunasa Kwenye Mtego alio Upanga.

    Sasa Hutegemea target ya Link yake alitaka Kupata Taarifa gani kutoka Kwako...ila Baadhi zao Huwaga Baada ya Mlengwa Kuzigusa Hizo Links tu! Basi itamuomba Permission moja Kati ya Hizi :- Location,Gallery,Contacts,Username & Password,Camera,Notification access,run in Background...na Nyinginezo nyingi

    Mara tu Mlengwa (Targeted user) atakapo Grant Permission Moja kati ya Hizo,Automatically bila yeye kujua Hio Post yenye Maudhui ya Porn Content inaweza Kujipost Kwenye Account yake ikionekana kama Amepost yeye Kumbe wala Hana Taarifa...

    Kuwa Makini nazo Links hizo..ukiwa kama Team WOLF hutakiwi kuwa na Mawenge na hizo Phishing Links kwani una Aibisha Brand.
    HIVI UMESHAWAHI KUKUTANA NA ACCOUNT YA MTU FACEBOOK KUNA POST YENYE PICHA ZA PORN CONTENT! NA BILA YEYE KUJUA ? Hizo ni Phishing Links ambazo zinakuwa Designed na ni Special kupora/Grab Personal Details za Account iliyokusudiwa only kwa kutumia Link tu Mara Mlengwa atakapo Gusa Link yenye Phishing ndani Yake. Siku zote Phishing Links huwaga ni zile links za Kuvutia na Kumtamanisha Mlengwa aiguse ili Aweze kukipata alicho Waza angekiona Baada kugusa Link...Especially wanatumia Picha za Wanawake Wazuri Walio Naked ili Kuwavutia Vijana Wa Hovyo Waweze Kunasa Kwenye Mtego alio Upanga. Sasa Hutegemea target ya Link yake alitaka Kupata Taarifa gani kutoka Kwako...ila Baadhi zao Huwaga Baada ya Mlengwa Kuzigusa Hizo Links tu! Basi itamuomba Permission moja Kati ya Hizi :- Location,Gallery,Contacts,Username & Password,Camera,Notification access,run in Background...na Nyinginezo nyingi Mara tu Mlengwa (Targeted user) atakapo Grant Permission Moja kati ya Hizo,Automatically bila yeye kujua Hio Post yenye Maudhui ya Porn Content inaweza Kujipost Kwenye Account yake ikionekana kama Amepost yeye Kumbe wala Hana Taarifa... Kuwa Makini nazo Links hizo..ukiwa kama Team WOLF hutakiwi kuwa na Mawenge na hizo Phishing Links kwani una Aibisha Brand. 😏
    Like
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·508 Views
More Results