• What is Revival?Revival is bringing new life to a person’s spirit through God’s power. It’s like waking up something that’s been asleep. Revival brings blessings, grace, and positive changes through the Holy Spirit. It starts with one person and then spreads to others

    .Example of King Josiah (2 Kings 22)
    Josiah became king after his father, Ahaziah, who did not please God. When Josiah found the Book of the Law (God’s Word), he read it and saw the mistakes of his ancestors. He decided to make changes:He asked God what to do (2 Kings 22:13).

    He gathered the leaders of Judah and shared God’s Word with them.He made a promise to God:To follow God.To obey His commands.

    To keep His teachings with all his heart.After Josiah made this promise, the people of Judah followed his example. He destroyed idols of false gods and removed priests who worshiped them. This brought true revival to his nation.Joshua’s Revival (Joshua 24:15-16)

    Joshua gave the Israelites a choice:

    serve God or false gods. He said, “My family and I will serve the Lord.” His decision inspired others to follow God.Revival Starts with You
    Revival isn’t for everyone at once. It begins with one person who decides to follow God fully. Like Josiah and Joshua, you need to:

    Let go of old ways that go against God.Make a promise to follow God.Be an example for others.

    Challenge
    Ask yourself: Have I decided to follow God like Josiah and Joshua? Or do I still have doubts? True revival starts when you choose to change and follow God.Learn More
    If you want to study God’s Word more,
    join this WhatsApp group:
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR

    Sylvester Mwakabende from Build New Eden.
    #BuildNewEden
    #RestoreMenPosition
    What is Revival?Revival is bringing new life to a person’s spirit through God’s power. It’s like waking up something that’s been asleep. Revival brings blessings, grace, and positive changes through the Holy Spirit. It starts with one person and then spreads to others .Example of King Josiah (2 Kings 22) Josiah became king after his father, Ahaziah, who did not please God. When Josiah found the Book of the Law (God’s Word), he read it and saw the mistakes of his ancestors. He decided to make changes:He asked God what to do (2 Kings 22:13). He gathered the leaders of Judah and shared God’s Word with them.He made a promise to God:To follow God.To obey His commands. To keep His teachings with all his heart.After Josiah made this promise, the people of Judah followed his example. He destroyed idols of false gods and removed priests who worshiped them. This brought true revival to his nation.Joshua’s Revival (Joshua 24:15-16) Joshua gave the Israelites a choice: serve God or false gods. He said, “My family and I will serve the Lord.” His decision inspired others to follow God.Revival Starts with You Revival isn’t for everyone at once. It begins with one person who decides to follow God fully. Like Josiah and Joshua, you need to: Let go of old ways that go against God.Make a promise to follow God.Be an example for others. Challenge Ask yourself: Have I decided to follow God like Josiah and Joshua? Or do I still have doubts? True revival starts when you choose to change and follow God.Learn More If you want to study God’s Word more, join this WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR Sylvester Mwakabende from Build New Eden. #BuildNewEden #RestoreMenPosition
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·109 Views
  • UAMSHO.
    Maana ni kurudi kwenye uzima.
    Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka.

    Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya.

    Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja .

    Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote.

    Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana.

    2 Wafalme 22:13
    [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa.

    Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa .

    [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda;

    [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike

    Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho.

    muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika .

    Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu.

    2wafalme 22:18-20.

    Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia .

    Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu.

    Yeye aliazimia mambo kazaa moja

    1.nikumfuata Bwana
    2.kuyashika maagizo yote.
    3.kuzifuata shuhuda zake .
    4.kuzifuata na kutii amri zake .
    5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote.

    Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano .

    Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako.

    Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia.

    Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka.

    Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa .

    Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia.

    Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana.

    Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake.

    Yoshua 24:15-16
    [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
    .
    [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine;

    Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu.

    Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka.

    Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    UAMSHO. Maana ni kurudi kwenye uzima. Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka. Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya. Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja . Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote. Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana. 2 Wafalme 22:13 [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa. Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa . [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda; [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho. muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika . Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu. 2wafalme 22:18-20. Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia . Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu. Yeye aliazimia mambo kazaa moja 1.nikumfuata Bwana 2.kuyashika maagizo yote. 3.kuzifuata shuhuda zake . 4.kuzifuata na kutii amri zake . 5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote. Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano . Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako. Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia. Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka. Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa . Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia. Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana. Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake. Yoshua 24:15-16 [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA. . [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine; Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu. Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka. Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden) #build new eden #restore men position
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·94 Views
  • Sauti ya Mungu na maelekezo ya Mungu imeandaliwa specific kwa wanadamu.


    Mithali 8:4
    [4]Enyi watu, nawaita ninyi;
    Na sauti yangu ni kwa wanadamu.

    Mwanadamu anaye sikia sauti ya Mungu ndiye anayekuwa mtawala wa kila kitu.

    Mwanzo 1:26
    [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

    Kama ukiweza kuishi katika mapenzi ya Mungu basi yeye ni kila kitu .

    Mtu baada ya kuokoka anaznza kutembea katka kusudi la Mungu,kusikia sauti ya Mungu lazima la atapata zaidi ya vile aombavyo.

    Kanuni ya kupata katokeo unaposikia sauti ya Mungu.

    Mali ni zawadi ,nyumba ni zawadi lakini ili upate izo zawadi lazima ufuate kanuni ya kumcha MUNGU.

    Mithali 8:13
    [13]Kumcha BWANA ni kuchukia uovu;
    Kiburi na majivuno, na njia mbovu,
    Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.

    Kumbz ili ufike kusema unamcha Bwana lazima uwe mtu wa kuchukia uovu kwa moyo wote .

    Na mtu ili awe wake Mungu au afanyike kuwa mwana lazima achukie uovu seriously kabisa.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    Kwa mafundisho zaidi unaweza kujiungaletu la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #Build new eden
    #Restoremenposition
    Sauti ya Mungu na maelekezo ya Mungu imeandaliwa specific kwa wanadamu. Mithali 8:4 [4]Enyi watu, nawaita ninyi; Na sauti yangu ni kwa wanadamu. Mwanadamu anaye sikia sauti ya Mungu ndiye anayekuwa mtawala wa kila kitu. Mwanzo 1:26 [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Kama ukiweza kuishi katika mapenzi ya Mungu basi yeye ni kila kitu . Mtu baada ya kuokoka anaznza kutembea katka kusudi la Mungu,kusikia sauti ya Mungu lazima la atapata zaidi ya vile aombavyo. Kanuni ya kupata katokeo unaposikia sauti ya Mungu. Mali ni zawadi ,nyumba ni zawadi lakini ili upate izo zawadi lazima ufuate kanuni ya kumcha MUNGU. Mithali 8:13 [13]Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kumbz ili ufike kusema unamcha Bwana lazima uwe mtu wa kuchukia uovu kwa moyo wote . Na mtu ili awe wake Mungu au afanyike kuwa mwana lazima achukie uovu seriously kabisa. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Kwa mafundisho zaidi unaweza kujiungaletu la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Build new eden #Restoremenposition
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·136 Views
  • .Wafilipi 4:13
    [13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.

    Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza.

    Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia.

    Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa

    -Msaada wote ni katika Bwana.
    Zaburi 121:2
    Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.

    -lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia
    Mika 7:7
    Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia.

    -Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo .
    Yakobo 5:18
    Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao

    Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana.

    Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi.

    Zaburi 126:5-6
    Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake

    Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi .

    Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana.

    -Tumaini lako liwe kwa bwana tu
    Ombolezo 3:25
    Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.*

    Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu.

    Mfano ayubu alijua siri hii pia
    Ayubu 14:7
    “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.

    Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana .

    Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu .

    *wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.*

    Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema .

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden).

    Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    #Build new eden
    #Restoremenposition
    .Wafilipi 4:13 [13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu. Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza. Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia. Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa -Msaada wote ni katika Bwana. Zaburi 121:2 Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi. -lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia Mika 7:7 Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia. -Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo . Yakobo 5:18 Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana. Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi. Zaburi 126:5-6 Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi . Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana. -Tumaini lako liwe kwa bwana tu Ombolezo 3:25 Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.* Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu. Mfano ayubu alijua siri hii pia Ayubu 14:7 “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma. Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana . Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu . *wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.* Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema . Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden). Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Build new eden #Restoremenposition
    Sad
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·228 Views
  • IDD AL ADHA
    CHARITY TOUR
    Awamu hii tutatembelea watoto wetu yatima siku ya tarehe 7/6/2025


    Activity
    1) KUPIKA
    2) Kula na kusherehekea idd nao
    2) Kupeleka zawadi (vifaa shule) na mavazi


    MAHITAJI
    MCHELE
    NYAMA
    MAFUTA
    SUKARI
    UNGA
    MAHARAGE
    NGANO

    :_ MADAFTARI
    UNFORM
    KALAM NA PENI
    BAGS NA RANGI



    ENEO (MBEZI MALAMBA MAWILI)
    KITUO : MACHO KWA JAMII


    NAMBA YA KUCHANGIA NA WHATSAPP
    0655987549
    MIXBYYAS
    MOZA MOHAMED

    KUTOA NI MOYO SI UTAJIRI
    IDD AL ADHA CHARITY TOUR‼️ Awamu hii tutatembelea watoto wetu yatima siku ya tarehe 7/6/2025 Activity 1) KUPIKA 2) Kula na kusherehekea idd nao 2) Kupeleka zawadi (vifaa shule) na mavazi MAHITAJI MCHELE NYAMA MAFUTA SUKARI UNGA MAHARAGE NGANO :_ MADAFTARI UNFORM KALAM NA PENI BAGS NA RANGI ENEO (MBEZI MALAMBA MAWILI) KITUO : MACHO KWA JAMII NAMBA YA KUCHANGIA NA WHATSAPP 0655987549 MIXBYYAS MOZA MOHAMED KUTOA NI MOYO SI UTAJIRI 📌
    Like
    Love
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·141 Views
  • IDD AL ADHA
    CHARITY TOUR
    Awamu hii tutatembelea watoto wetu yatima siku ya tarehe 7/6/2025


    Activity
    1) KUPIKA
    2) Kula na kusherehekea idd
    2) Kupeleka zawadi za shule na mavazi


    MAHITAJI
    MCHELE
    NYAMA
    MAFUTA
    SUKARI
    UNGA
    MAHARAGE
    NGANO

    :_ MADAFTARI
    UNFORM
    KALAM NA PENI
    BAGS NA RANGI



    ENEO (MBEZI MALAMBA MAWILI)
    KITUO : MACHO KWA JAMII


    NAMBA YA KUCHANGIA NA WHATSAPP
    0655987549
    MIXBYYAS
    MOZA MOHAMED

    KUTOA NI MOYO SI UTAJIRI
    IDD AL ADHA CHARITY TOUR‼️ Awamu hii tutatembelea watoto wetu yatima siku ya tarehe 7/6/2025 Activity 1) KUPIKA 2) Kula na kusherehekea idd 2) Kupeleka zawadi za shule na mavazi MAHITAJI MCHELE NYAMA MAFUTA SUKARI UNGA MAHARAGE NGANO :_ MADAFTARI UNFORM KALAM NA PENI BAGS NA RANGI ENEO (MBEZI MALAMBA MAWILI) KITUO : MACHO KWA JAMII NAMBA YA KUCHANGIA NA WHATSAPP 0655987549 MIXBYYAS MOZA MOHAMED KUTOA NI MOYO SI UTAJIRI 📌
    Love
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·141 Views
  • HOW TO DEPLOY WHATSAPP BOT LEVANTER MD USING PANEL

    Video link
    https://youtu.be/I4-u25mx_5I?si=Qv7VJw0gGanQeFY-


    REQUIREMENTS

    Bot file
    https://t.me/duduu_mendez_store/386

    OR

    https://mega.nz/file/atQDCRCR#J_MJbYwF-nwL9t-LCqwZlcqEOl6pdu8v8bI69s_YlS4

    Session ID Link:
    https://qr-hazel-alpha.vercel.app/md


    New Panel SITE:
    https://bot-hosting.net/






    Don't forget to subscribe, Like and Also Share

    #Duduumendez
    #Dml_Tech
    HOW TO DEPLOY WHATSAPP BOT LEVANTER MD USING PANEL Video link https://youtu.be/I4-u25mx_5I?si=Qv7VJw0gGanQeFY- REQUIREMENTS Bot file https://t.me/duduu_mendez_store/386 OR https://mega.nz/file/atQDCRCR#J_MJbYwF-nwL9t-LCqwZlcqEOl6pdu8v8bI69s_YlS4 Session ID Link: https://qr-hazel-alpha.vercel.app/md New Panel SITE: https://bot-hosting.net/ Don't forget to subscribe, Like and Also Share❤️ #Duduumendez #Dml_Tech
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·622 Views
  • HOW TO DEPLOY WHATSAPP BOT FOR FREE ONLINE 24/7

    Watch this video
    https://m.youtube.com/watch?v=7NFWBdXHpw8


    Deployment Site
    https://host.talkdrove.com/auth/signup?ref=E565C590




    #DUDUU_MENDEZ
    #DML_TECH
    HOW TO DEPLOY WHATSAPP BOT FOR FREE ONLINE 24/7 Watch this video https://m.youtube.com/watch?v=7NFWBdXHpw8 Deployment Site https://host.talkdrove.com/auth/signup?ref=E565C590 #DUDUU_MENDEZ #DML_TECH
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·704 Views
  • Strong WhatsApp Hacking Bot

    Check this video
    https://youtu.be/qxhw3tqGr2M?si=C90xW51_pWmy41Az
    Strong WhatsApp Hacking Bot Check this video https://youtu.be/qxhw3tqGr2M?si=C90xW51_pWmy41Az
    Love
    1
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·555 Views
  • Jifunze namna ya kuhack whatsapp ya mtu kwa kutumia Telegram,
    Tumia bot ya MENDEZ-𝐕5 iliyopo Telegram

    STEPS
    MENDEZ-𝐕5 via tele strong 💪🏾
    Infinity crash

    Hii ni bug bot ambayo kazi yake ni kuhack whatsapp ya mtu

    Namna ya kuitumia ingia telegram search DUDUU_MENDEZ_BOT hapo start utaletewa maelezo na link ya channel join hio channel kuna post ipo pinned inaonyesha namna ya kuitumia

    Hii ni invisible ukihack whatsapp ya mtu hawez kujua kama ni wewe au kutambua aliyefanya hivyo

    Enjoy free trial
    Jifunze namna ya kuhack whatsapp ya mtu kwa kutumia Telegram, Tumia bot ya MENDEZ-𝐕5 iliyopo Telegram STEPS MENDEZ-𝐕5 via tele strong 💪🏾 Infinity crash Hii ni bug bot ambayo kazi yake ni kuhack whatsapp ya mtu Namna ya kuitumia ingia telegram search DUDUU_MENDEZ_BOT hapo start utaletewa maelezo na link ya channel join hio channel kuna post ipo pinned inaonyesha namna ya kuitumia Hii ni invisible ukihack whatsapp ya mtu hawez kujua kama ni wewe au kutambua aliyefanya hivyo Enjoy free trial
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·629 Views
  • Karibu katika bot letu ambalo linauwezo wa kuhack whatsapp ya mtu kwa kuandika namba yake tu!
    Karibu katika majaribio ya bot hilo huko telegram search DUDUU_MENDEZ_BOT au MENDEZ_BUG_bot, shiriki katika majaribio kabla hatujafunga channel na kuwa private
    Link ta channel yetu https://t.me/duduu_mendez_store
    Karibu katika bot letu ambalo linauwezo wa kuhack whatsapp ya mtu kwa kuandika namba yake tu! Karibu katika majaribio ya bot hilo huko telegram search DUDUU_MENDEZ_BOT au MENDEZ_BUG_bot, shiriki katika majaribio kabla hatujafunga channel na kuwa private Link ta channel yetu https://t.me/duduu_mendez_store
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·718 Views
  • Whatsapp
    Whatsapp
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·363 Views
  • Mtandao wa Threads unaomilikiwa na META (Facebook, Instagram, WhatsApp, ...) ambao ni mshindani wa X(Twitter) umefanya mabadiliko kwenye Wasifu (profile) wa Watumiaji wake. Kwa sasa Threads imefika Watumiaji zaidi ya milioni (300) kwa mwezi.

    Threads imeongeza "tab" mpya ya “Media” ambayo itakuwa ni maalum kwa kuona picha na video ambazo zimepostiwa na akaunti. Pia Threas imeanza kuweka mfumo wa matangazo kwa baadhi ya Watumiaji na mabadiliko haya yameanza kwa Watumiaji wa Nchini Marekani na Japan .

    Mtandao wa Threads unaomilikiwa na META (Facebook, Instagram, WhatsApp, ...) ambao ni mshindani wa X(Twitter) umefanya mabadiliko kwenye Wasifu (profile) wa Watumiaji wake. Kwa sasa Threads imefika Watumiaji zaidi ya milioni (300) kwa mwezi. Threads imeongeza "tab" mpya ya “Media” ambayo itakuwa ni maalum kwa kuona picha na video ambazo zimepostiwa na akaunti. Pia Threas imeanza kuweka mfumo wa matangazo kwa baadhi ya Watumiaji na mabadiliko haya yameanza kwa Watumiaji wa Nchini Marekani 🇺🇸 na Japan 🇯🇵.
    Like
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·728 Views
  • MEDICAL ATTENDANT PLATINUM MEDICAL

    Tsh234 - Tsh577 / Hour
    Konum (Adres)
    Dar es Salaam
    Tür
    Zaman
    Status
    Open
    ⭕️ *APPLY NOW*: MEDICAL ATTENDANT PLATINUM MEDICAL

    Bofya Hapa https://jamiichecktz.com/job/medical-attendant-job-at-platinum-medical/


    Tengeneza CV na Barua yako(stationary services) Hapa kwa hatua Chache
    Bofyahttps://cv.jamiichecktz.com

    Tafadhali Share link hii na rafiki au Magroup

    Junge na CHANNEL YA WHATSAPP
    kupata update na msaada
    https://whatsapp.com/channel/0029VaEGsli6LwHnfhKhO81k

    KUTAZAMA NAFASI NYINGINE MPYA, BONYEZA  HAPA https://jamiichecktz.com/jobs-in-tanzania/

    🙏🏼SAIDIA WANAOTAFUTA FURSA NA AJIRA, SHARE MAGROUP MENGINE TAFADHALI
    ⭕️ *APPLY NOW*: MEDICAL ATTENDANT PLATINUM MEDICAL Bofya Hapa 👉https://jamiichecktz.com/job/medical-attendant-job-at-platinum-medical/ Tengeneza CV na Barua yako(stationary services) Hapa kwa hatua Chache Bofya👉https://cv.jamiichecktz.com Tafadhali Share link hii na rafiki au Magroup🙏🙏 💥Junge na CHANNEL YA WHATSAPP kupata update na msaada 👉https://whatsapp.com/channel/0029VaEGsli6LwHnfhKhO81k KUTAZAMA NAFASI NYINGINE MPYA, BONYEZA  HAPA 👉https://jamiichecktz.com/jobs-in-tanzania/ 🙏🏼SAIDIA WANAOTAFUTA FURSA NA AJIRA, SHARE MAGROUP MENGINE TAFADHALI
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • ASSISTANT NURSE PLATINUM MEDICAL

    Tsh234 - Tsh577 / Hour
    Konum (Adres)
    Morogoro
    Tür
    Zaman
    Status
    Open
    ⭕️ *APPLY NOW*: ASSISTANT NURSE PLATINUM MEDICAL

    Bofya Hapa https://jamiichecktz.com/job/assistant-nursing-officer-job-at-platinum-medical/


    Tengeneza CV na Barua yako(stationary services) Hapa kwa hatua Chache
    Bofyahttps://cv.jamiichecktz.com

    Tafadhali Share link hii na rafiki au Magroup

    Junge na CHANNEL YA WHATSAPP
    kupata update na msaada
    https://whatsapp.com/channel/0029VaEGsli6LwHnfhKhO81k

    KUTAZAMA NAFASI NYINGINE MPYA, BONYEZA  HAPA https://jamiichecktz.com/jobs-in-tanzania/

    🙏🏼SAIDIA WANAOTAFUTA FURSA NA AJIRA, SHARE MAGROUP MENGINE TAFADHALI
    ⭕️ *APPLY NOW*: ASSISTANT NURSE PLATINUM MEDICAL Bofya Hapa 👉https://jamiichecktz.com/job/assistant-nursing-officer-job-at-platinum-medical/ Tengeneza CV na Barua yako(stationary services) Hapa kwa hatua Chache Bofya👉https://cv.jamiichecktz.com Tafadhali Share link hii na rafiki au Magroup🙏🙏 💥Junge na CHANNEL YA WHATSAPP kupata update na msaada 👉https://whatsapp.com/channel/0029VaEGsli6LwHnfhKhO81k KUTAZAMA NAFASI NYINGINE MPYA, BONYEZA  HAPA 👉https://jamiichecktz.com/jobs-in-tanzania/ 🙏🏼SAIDIA WANAOTAFUTA FURSA NA AJIRA, SHARE MAGROUP MENGINE TAFADHALI
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • NAFASI KWA WAHUDUMU RAMADA RESORT

    Tsh234 - Tsh577 / Hour
    Konum (Adres)
    Tanzania
    Tür
    Zaman
    Status
    Open
    ⭕️ *APPLY NOW*: NAFASI KWA WAHUDUMU RAMADA RESORT- Hakuna elimu inayoitajika

    Bofya Hapa https://jamiichecktz.com/job/hotel-waiter-waitress-jobs-at-ramada-resort/


    Tengeneza CV na Barua yako(stationary services) Hapa kwa hatua Chache
    Bofyahttps://cv.jamiichecktz.com

    Tafadhali Share link hii na rafiki au Magroup

    Junge na CHANNEL YA WHATSAPP
    kupata update na msaada
    https://whatsapp.com/channel/0029VaEGsli6LwHnfhKhO81k

    KUTAZAMA NAFASI NYINGINE MPYA, BONYEZA  HAPA https://jamiichecktz.com/jobs-in-tanzania/

    🙏🏼SAIDIA WANAOTAFUTA FURSA NA AJIRA, SHARE MAGROUP MENGINE TAFADHALI
    ⭕️ *APPLY NOW*: NAFASI KWA WAHUDUMU RAMADA RESORT- Hakuna elimu inayoitajika Bofya Hapa 👉https://jamiichecktz.com/job/hotel-waiter-waitress-jobs-at-ramada-resort/ Tengeneza CV na Barua yako(stationary services) Hapa kwa hatua Chache Bofya👉https://cv.jamiichecktz.com Tafadhali Share link hii na rafiki au Magroup🙏🙏 💥Junge na CHANNEL YA WHATSAPP kupata update na msaada 👉https://whatsapp.com/channel/0029VaEGsli6LwHnfhKhO81k KUTAZAMA NAFASI NYINGINE MPYA, BONYEZA  HAPA 👉https://jamiichecktz.com/jobs-in-tanzania/ 🙏🏼SAIDIA WANAOTAFUTA FURSA NA AJIRA, SHARE MAGROUP MENGINE TAFADHALI
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·996 Views
  • NAFASI 4 KIWANDA CHA KILOMBERO SUGAR

    Tsh234 - Tsh456 / Hour
    Konum (Adres)
    Morogoro
    Tür
    Zaman
    Status
    Open
    ⭕️ *APPLY NOW*: NAFASI 4 KIWANDA CHA KILOMBERO SUGAR

    Bofya Hapa https://jamiichecktz.com/job/4new-jobs-in-tanzania-at-kilombero-sugar-open-jan2025/


    Tengeneza CV na Barua yako(stationary services) Hapa kwa hatua Chache Bofyahttps://cv.jamiichecktz.com

    Tafadhali Share link hii na rafiki au Magroup

    Junge na CHANNEL YA WHATSAPP
    kupata update na msaada
    https://whatsapp.com/channel/0029VaEGsli6LwHnfhKhO81k

    KUTAZAMA NAFASI NYINGINE MPYA, BONYEZA  HAPA https://jamiichecktz.com/jobs-in-tanzania/

    🙏🏼SAIDIA WANAOTAFUTA FURSA NA AJIRA, SHARE MAGROUP MENGINE TAFADHALI
    ⭕️ *APPLY NOW*: NAFASI 4 KIWANDA CHA KILOMBERO SUGAR Bofya Hapa 👉https://jamiichecktz.com/job/4new-jobs-in-tanzania-at-kilombero-sugar-open-jan2025/ Tengeneza CV na Barua yako(stationary services) Hapa kwa hatua Chache Bofya👉https://cv.jamiichecktz.com Tafadhali Share link hii na rafiki au Magroup🙏🙏 💥Junge na CHANNEL YA WHATSAPP kupata update na msaada 👉https://whatsapp.com/channel/0029VaEGsli6LwHnfhKhO81k KUTAZAMA NAFASI NYINGINE MPYA, BONYEZA  HAPA 👉https://jamiichecktz.com/jobs-in-tanzania/ 🙏🏼SAIDIA WANAOTAFUTA FURSA NA AJIRA, SHARE MAGROUP MENGINE TAFADHALI
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·998 Views
  • ACCOUNTANT SHIRIKA LA LVIA TANZANIA

    Tsh123 - Tsh234 / Hour
    Konum (Adres)
    Tanzania
    Tür
    Zaman
    Status
    Open
    ⭕️ *APPLY NOW*: ACCOUNTANT SHIRIKA LA LVIA TANZANIA

    Bofya Hapa https://jamiichecktz.com/job/accountant-job-at-lvia-open-jan2025/


    Tengeneza CV na Barua yako(stationary services) Hapa kwa hatua Chache Bofyahttps://cv.jamiichecktz.com

    Tafadhali Share link hii na rafiki au Magroup

    Junge na CHANNEL YA WHATSAPP
    kupata update na msaada
    https://whatsapp.com/channel/0029VaEGsli6LwHnfhKhO81k

    KUTAZAMA NAFASI NYINGINE MPYA, BONYEZA  HAPA https://jamiichecktz.com/jobs-in-tanzania/

    🙏🏼SAIDIA WANAOTAFUTA FURSA NA AJIRA, SHARE MAGROUP MENGINE TAFADHALI
    ⭕️ *APPLY NOW*: ACCOUNTANT SHIRIKA LA LVIA TANZANIA Bofya Hapa 👉https://jamiichecktz.com/job/accountant-job-at-lvia-open-jan2025/ Tengeneza CV na Barua yako(stationary services) Hapa kwa hatua Chache Bofya👉https://cv.jamiichecktz.com Tafadhali Share link hii na rafiki au Magroup🙏🙏 💥Junge na CHANNEL YA WHATSAPP kupata update na msaada 👉https://whatsapp.com/channel/0029VaEGsli6LwHnfhKhO81k KUTAZAMA NAFASI NYINGINE MPYA, BONYEZA  HAPA 👉https://jamiichecktz.com/jobs-in-tanzania/ 🙏🏼SAIDIA WANAOTAFUTA FURSA NA AJIRA, SHARE MAGROUP MENGINE TAFADHALI
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·967 Views
  • Chukua hii

    Toleo jipya la mtandao wa WhatsApp ya iOS toleo la 25.1.10.73 imeanza kuweka sehemu ya kuchagua miziki katika sehemu ya WhatsApp Status. Mabadiliko haya yameanza kama sehemu ya majaribio na tayari Watumiaji wa mfumo wa Android toleo la 2.25.2.5 kuna majaribio haya.

    WhatsApp bado inafanya majaribio ya kuweka mfumo wa kuweka miziki katika WhatsApp Status kama vile ilivyo katika Instagram Stories na Facebook Stories. Watumiaji wataweza kutafuta miziki na kuiweka katika sehemu ya Status.

    Chukua hii Toleo jipya la mtandao wa WhatsApp ya iOS toleo la 25.1.10.73 imeanza kuweka sehemu ya kuchagua miziki katika sehemu ya WhatsApp Status. Mabadiliko haya yameanza kama sehemu ya majaribio na tayari Watumiaji wa mfumo wa Android toleo la 2.25.2.5 kuna majaribio haya. WhatsApp bado inafanya majaribio ya kuweka mfumo wa kuweka miziki katika WhatsApp Status kama vile ilivyo katika Instagram Stories na Facebook Stories. Watumiaji wataweza kutafuta miziki na kuiweka katika sehemu ya Status.
    Like
    Love
    3
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·580 Views
  • MSAIDIZI/OFFICE  ASSISTANT   KAMPUNI YA MAR-KIM UNIPLAST

    Tsh345 - Tsh345 / Month
    Konum (Adres)
    Dar es Salaam
    Tür
    Zaman
    Status
    Open
    ⭕️ *APPLY NOW*: MSAIDIZI/OFFICE  ASSISTANT   KAMPUNI YA MAR-KIM UNIPLAST

    Bofya Hapa https://jamiichecktz.com/job/office-assistant-job-at-mar-kim-uniplast-co-ltd/


    Tengeneza CV na Barua yako(stationary services) Hapa kwa hatua Chache Bofyahttps://cv.jamiichecktz.com

    Tafadhali Share link hii na rafiki au Magroup

    Junge na CHANNEL YA WHATSAPP
    kupata update na msaada
    https://whatsapp.com/channel/0029VaEGsli6LwHnfhKhO81k

    KUTAZAMA NAFASI NYINGINE MPYA, BONYEZA  HAPA https://jamiichecktz.com/jobs-in-tanzania/

    🙏🏼SAIDIA WANAOTAFUTA FURSA NA AJIRA, SHARE MAGROUP MENGINE TAFADHALI
    ⭕️ *APPLY NOW*: MSAIDIZI/OFFICE  ASSISTANT   KAMPUNI YA MAR-KIM UNIPLAST Bofya Hapa 👉https://jamiichecktz.com/job/office-assistant-job-at-mar-kim-uniplast-co-ltd/ Tengeneza CV na Barua yako(stationary services) Hapa kwa hatua Chache Bofya👉https://cv.jamiichecktz.com Tafadhali Share link hii na rafiki au Magroup🙏🙏 💥Junge na CHANNEL YA WHATSAPP kupata update na msaada 👉https://whatsapp.com/channel/0029VaEGsli6LwHnfhKhO81k KUTAZAMA NAFASI NYINGINE MPYA, BONYEZA  HAPA 👉https://jamiichecktz.com/jobs-in-tanzania/ 🙏🏼SAIDIA WANAOTAFUTA FURSA NA AJIRA, SHARE MAGROUP MENGINE TAFADHALI
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·971 Views
Arama Sonuçları