• NDOTO YA MWANA MFALME WA SAUD ARABIA YA KUJENGA MJI UNAOJITEGEMEA KWA KILA KITU INAELEKEA KUTIMIA
    .
    .
    Mwana wa mfalme wa saud Arabia MOHAMMED BIN SALMAN alifikia uamuzi huo baada ya kutembelea ukanda wa kusinimagharibi mwa SAUDI ARABIA na kujionea eneo kubwa likiwa kame na lisilo na mvuto.Mradi huo utagharimu zaidi ya dola za kimarekani billioni miatano (500$) hii ni zaidi ya mara mia mbili ya bajeti ya Tanzania watu wanapesa bhana......
    .
    .
    Mradi huo utachukua maili za mraba elfu kumi (10,000 square miles) na katika huo mji vitu vingi vitakuwa ni BANDIA yaani vitu vingi vitakuwa ni vyakuundwa na binadamu kuanzia mchanga, mwezi nk.
    .
    .
    Amesema amekusudia kufanya hivyo kuonyesha na kuushangaza ulimwengu kwa kutoa wazo zuri na litakalo tukuzwa na kila mtu
    .
    .
    VITU VITAKAVYO KUWEPO HUMO
    .
    .
    MWEZI BANDIA (GIANT ARTIFICIAL MOON)
    Mwezi huo ndio utakuwa chanzo cha mwanga nyakati za usiku utakua ukiangaza na kutoa mwanga mkubwa kiasi kwamba usiku utakua ukionekana kama mchana.
    .
    MAGARI YANAYO PAA (FLYING CARS)
    katika mji huo kutakuwepo na magari yanayo paa ,yaani huduma nyingi za usafiri wa magari kama daladala na taxi zitakuwa zinatolewa na magari yanayopaa
    .
    MCHANGA BANDIA (ARTIFICIAL SHINNING SAND)
    Mwana mfalme huyo amekusudia kutengeneza mchanga ambao utakuwa unang'aa nyakati za mchana na usiku taswila ambayo itaongeza mvuto na uzuri wa mji huo
    .
    MVUA BANDIA (ARTIFICIAL RAIN)
    Pia amekusudia kutengeneza mvua mbadala yaani mvua ambayo itakuwa ikinyesha muda wowote anaotaka haijalishi ni kiangazi wala masika.Kumbuka mji huo utajengwa kwenye jangwa lililopo pembezoni mwa SAUDI ARABIA .
    .
    WAHUDUMU MAROBOTI (ROBOT WORKERS)
    Kumbuka mji huo utakuwa kama sehemu ya kiutalii hivyo amekusudia kuajiri wafanya maroboti.Maroboti hao watakuwa wakitoa huduma mbalimbali kama kuhudumia vinywaji kwenye bar chakuka kwenye hotel na hata kuendesha baadhi ya taxi.
    .
    .
    NB
    Teknolojia ya gari zinazopaa ilisha wekwa wazi na baadhi ya wasafiri wa kinadharia (TIME TRAVELERS) wengi wa time travelers wanasema mpaka kufikia mwaka 2030 teknolojia ya magari yanayopaa itakuwa ishaanza kushamiri katika miji mingi mikubwa duniani kama TEXAS,NEW YORK CITY,PARIS,BEIJING nk
    NDOTO YA MWANA MFALME WA SAUD ARABIA YA KUJENGA MJI UNAOJITEGEMEA KWA KILA KITU INAELEKEA KUTIMIA . . Mwana wa mfalme wa saud Arabia MOHAMMED BIN SALMAN alifikia uamuzi huo baada ya kutembelea ukanda wa kusinimagharibi mwa SAUDI ARABIA na kujionea eneo kubwa likiwa kame na lisilo na mvuto.Mradi huo utagharimu zaidi ya dola za kimarekani billioni miatano (500$) hii ni zaidi ya mara mia mbili ya bajeti ya Tanzania watu wanapesa bhana...... . . Mradi huo utachukua maili za mraba elfu kumi (10,000 square miles) na katika huo mji vitu vingi vitakuwa ni BANDIA yaani vitu vingi vitakuwa ni vyakuundwa na binadamu kuanzia mchanga, mwezi nk. . . Amesema amekusudia kufanya hivyo kuonyesha na kuushangaza ulimwengu kwa kutoa wazo zuri na litakalo tukuzwa na kila mtu . . VITU VITAKAVYO KUWEPO HUMO . . 馃敶 MWEZI BANDIA (GIANT ARTIFICIAL MOON) Mwezi huo ndio utakuwa chanzo cha mwanga nyakati za usiku utakua ukiangaza na kutoa mwanga mkubwa kiasi kwamba usiku utakua ukionekana kama mchana. . 馃敶MAGARI YANAYO PAA (FLYING CARS) katika mji huo kutakuwepo na magari yanayo paa ,yaani huduma nyingi za usafiri wa magari kama daladala na taxi zitakuwa zinatolewa na magari yanayopaa . 馃敶MCHANGA BANDIA (ARTIFICIAL SHINNING SAND) Mwana mfalme huyo amekusudia kutengeneza mchanga ambao utakuwa unang'aa nyakati za mchana na usiku taswila ambayo itaongeza mvuto na uzuri wa mji huo . 馃敶MVUA BANDIA (ARTIFICIAL RAIN) Pia amekusudia kutengeneza mvua mbadala yaani mvua ambayo itakuwa ikinyesha muda wowote anaotaka haijalishi ni kiangazi wala masika.Kumbuka mji huo utajengwa kwenye jangwa lililopo pembezoni mwa SAUDI ARABIA . . 馃敶WAHUDUMU MAROBOTI (ROBOT WORKERS) Kumbuka mji huo utakuwa kama sehemu ya kiutalii hivyo amekusudia kuajiri wafanya maroboti.Maroboti hao watakuwa wakitoa huduma mbalimbali kama kuhudumia vinywaji kwenye bar chakuka kwenye hotel na hata kuendesha baadhi ya taxi. . . NB Teknolojia ya gari zinazopaa ilisha wekwa wazi na baadhi ya wasafiri wa kinadharia (TIME TRAVELERS) wengi wa time travelers wanasema mpaka kufikia mwaka 2030 teknolojia ya magari yanayopaa itakuwa ishaanza kushamiri katika miji mingi mikubwa duniani kama TEXAS,NEW YORK CITY,PARIS,BEIJING nk
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • JIFUNZE KUHUSU GAME GUARDIAN (GAME HACKING APP)

    $Game guadian ni app ambayo inatupa sisi uwezo wa ku weka uanvyotaka(modify)
    mifumo inayofanya kazi kwenye games za android ili kupata faida na improvement
    kinyume na inavyo takiwa .kufanya kwake kazi kuna jikita sana kwenye code injetion
    wakati game linachezwa kwa ku modfy parameters za game

    $Pale tu gamaguardian imekuwa installed unaweza ukuliacha file likawa linafanya
    kazi kwa nyuma(background)na inabaki transparent icon kwenye screen ambayo unaweza
    ukaiona wakati unacheza game wakati wote. wakati ume launch game unaweza ukafungua
    game guardian na kuchangua process ipi ya game unataka ku modify. kwa mfano kama
    una kiasi fulani cha gold,coins au bullets unaweza ukatumia game guardian hexadecimal
    editor kutafuta hiyo namba na kuibadilisha na kuweka unayoitaka wewe

    馃泿$Kitu kingine kuhusu gameguardian ina uwezo wa ku modify tarehe ya game na ya simu pia
    ili wewe uweze kupata kitu fulani ambacho ulitakiwa ukisubiri kwa muda mrefu mfano 鈿扳毎Gangster
    Vegas ukienda kuuza zile super cars mfululizo wanakupa kama lisaa kusubiri na hauna pa kuliweka
    gari basi hili file linaweza kuurusha muda mbele na ukamaliza mission zako .ili kusimamisha
    au kupeleka muda haraka jaribu ku bonyeza ile floating icon na uchague mwenyewe mda uende slow
    au speed

    $Hili file limetengenezwa kaajili ya cheating lakini kuna games ambazo ukijulikana unatumia
    hili file kucheat basi kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuipoteza account yako ya kwenye game hilo
    hasa hasa online games
    ===============================================================================================

    JINSI YA KUTUMIA GAME GUARDIAN

    $Kama file hauna basi download kwenye official website ya game guardian na wala sio pengine ili
    kujikinga na hatari ya kudownload virus

    $Baada ya kuinstall file lako lifungue alafu bonyeza home button ili kuliacha liendelee kufanya kazi
    kwa nyuma (background)

    $Anzisha game ambalo unataka ku hack , hakikisha kwamba umeandika kiasi ambacho unataka kubadilisha mfano
    kiasi cha gold au scores

    $Baada ya hapo click ile transparent icon ya game guardian kwenye screen alafu click >>search<< baada
    ya hapo ingiza kiasi unachotaka kubadilisha

    $Itaonesha results nyingi sasa cheza game na tumia gold zaidi na zaidi

    $Baada ya hapo rudia tena kuandika namba zile mpaka upate tokeo moja

    $Baada ya kupata tokeo moja badi hold hiyo results alf ingiza namba ambayo ungependa zaidi iwe

    basi mambo yatabadilika baada ya wewe kubonyeza OK na hii ndio njia nzima ya ku hack game kwa kutumia game guardian
    ili kupata free rewards pia kuna files nyingi kama vile lucky patcher,aimbots,wallhacks,speed hacks, na hizi sana sana
    zinatumika kwenye games kama vile PUBG

    ======================================================================================================================
    馃弫馃幁 JIFUNZE KUHUSU GAME GUARDIAN (GAME HACKING APP)馃幁馃幁 鈴扳彴$Game guadian ni app ambayo inatupa sisi uwezo wa ku weka uanvyotaka(modify) mifumo inayofanya kazi kwenye games za android ili kupata faida na improvement kinyume na inavyo takiwa .kufanya kwake kazi kuna jikita sana kwenye code injetion wakati game linachezwa kwa ku modfy parameters za game 馃晳馃晳馃晳$Pale tu gamaguardian imekuwa installed unaweza ukuliacha file likawa linafanya kazi kwa nyuma(background)na inabaki transparent icon kwenye screen ambayo unaweza ukaiona wakati unacheza game wakati wote. wakati ume launch game unaweza ukafungua game guardian na kuchangua process ipi ya game unataka ku modify. kwa mfano kama una kiasi fulani cha gold,coins au bullets unaweza ukatumia game guardian hexadecimal editor kutafuta hiyo namba na kuibadilisha na kuweka unayoitaka wewe 馃泿馃泙$Kitu kingine kuhusu gameguardian ina uwezo wa ku modify tarehe ya game na ya simu pia ili wewe uweze kupata kitu fulani ambacho ulitakiwa ukisubiri kwa muda mrefu mfano 鈿扳毎鈱氣彸Gangster Vegas ukienda kuuza zile super cars mfululizo wanakupa kama lisaa kusubiri na hauna pa kuliweka gari basi hili file linaweza kuurusha muda mbele na ukamaliza mission zako .ili kusimamisha au kupeleka muda haraka jaribu ku bonyeza ile floating icon na uchague mwenyewe mda uende slow au speed 馃殰 馃殰馃殰$Hili file limetengenezwa kaajili ya cheating lakini kuna games ambazo ukijulikana unatumia hili file kucheat basi kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuipoteza account yako ya kwenye game hilo hasa hasa online games =============================================================================================== 鈿撯殦 JINSI YA KUTUMIA GAME GUARDIAN鉀解浗 馃毀 馃毀馃毀 $Kama file hauna basi download kwenye official website ya game guardian na wala sio pengine ili kujikinga na hatari ya kudownload virus 馃殧馃殧$Baada ya kuinstall file lako lifungue alafu bonyeza home button ili kuliacha liendelee kufanya kazi kwa nyuma (background) 馃檮馃檮$Anzisha game ambalo unataka ku hack , hakikisha kwamba umeandika kiasi ambacho unataka kubadilisha mfano kiasi cha gold au scores 馃馃$Baada ya hapo click ile transparent icon ya game guardian kwenye screen alafu click >>search<< baada ya hapo ingiza kiasi unachotaka kubadilisha 馃槑馃槑 $Itaonesha results nyingi sasa cheza game na tumia gold zaidi na zaidi 馃馃$Baada ya hapo rudia tena kuandika namba zile mpaka upate tokeo moja 馃槓馃槓 $Baada ya kupata tokeo moja badi hold hiyo results alf ingiza namba ambayo ungependa zaidi iwe basi mambo yatabadilika baada ya wewe kubonyeza 馃槪OK na hii ndio njia nzima ya ku hack game kwa kutumia game guardian ili kupata free rewards pia kuna files nyingi kama vile lucky patcher,aimbots,wallhacks,speed hacks, na hizi sana sana zinatumika kwenye games kama vile PUBG ======================================================================================================================
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Georgia Survives Scare Against South Carolina
    Georgia narrowly escaped an upset against South Carolina, winning 24-21 on September 8, 2024. Carson Beck threw for 280 yards and two touchdowns, but South Carolina’s defense kept the game close, forcing two turnovers. Georgia’s defense held strong in the final minutes, securing the victory and maintaining their undefeated season.
    https://www.longhornsfootballgear.com/Texas-Longhorns-Arch-Manning-Jersey

    Georgia Survives Scare Against South Carolina Georgia narrowly escaped an upset against South Carolina, winning 24-21 on September 8, 2024. Carson Beck threw for 280 yards and two touchdowns, but South Carolina’s defense kept the game close, forcing two turnovers. Georgia’s defense held strong in the final minutes, securing the victory and maintaining their undefeated season. https://www.longhornsfootballgear.com/Texas-Longhorns-Arch-Manning-Jersey
    0 Comments 0 Shares 678 Views
  • Mchezaji Scott Carson sasa ameshinda mataji 11 na klabu ya Manchester City, licha ya kucheza dakika 107 tu za mpira.

    Mlinda lango huyo alijiunga na Manchester City kwa mkopo Agosti 2019 kutoka Derby County, ambako alicheza mechi 162 kwa jumla, akitoa asisti mbili. Na kusani mkataba na Manchester City wa kudumu Julai 2021.

    Scott Carson mwenye umri wa miaka 38 sasa, akiwa na Manchester City ametwaa:

    4x Premier League
    1x Champions League
    1x FA Cup
    2x League Cup
    1x Community Shield
    1x Super Cup
    1x Club World Cup
    Mchezaji Scott Carson sasa ameshinda mataji 11 na klabu ya Manchester City, licha ya kucheza dakika 107 tu za mpira. Mlinda lango huyo alijiunga na Manchester City kwa mkopo Agosti 2019 kutoka Derby County, ambako alicheza mechi 162 kwa jumla, akitoa asisti mbili. Na kusani mkataba na Manchester City wa kudumu Julai 2021. Scott Carson mwenye umri wa miaka 38 sasa, akiwa na Manchester City ametwaa: 馃弳 4x Premier League 馃弳 1x Champions League 馃弳 1x FA Cup 馃弳 2x League Cup 馃弳 1x Community Shield 馃弳 1x Super Cup 馃弳 1x Club World Cup
    Like
    2
    1 Comments 0 Shares 59 Views