• Kwa muda mrefu nilikuwa namalizia course ya proffesional counseling
    Kwa muda mrefu nilikuwa namalizia course ya proffesional counseling
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·183 Visualizações
  • TUJIKUMBUSHE MATUMIZI YA KALAMU KWA KUFUATA RANGI

    Nakuja tu na maswali chokonozi

    1. Hivi ni Kwa Nini Waalimu wanatumia kalamu ya rangi nyekundu na si bluu kama wanafunzi?

    2. Ni Kwa Nini pia Maraisi ndio Huandikia peni nyekundu?
    Kwa nini Wakaguzi aghalabu wa Hesabu hutumia peni ya kijani?
    3. Vipi Kuhusu Kalamu Nyeusi?

    nauliza hivi kwa sababu hizi rangi ukigeukia muktadha mwingine zinamaana tofauti sana mfano wengine husema unapotumia kalamu nyeusi inaa maana unatengeneza pesa na bluu maana yake unapoteza pesa ilihali nyekundu ikielekezwa zaidi kwenye mikosi

    MAJADILIANO COMPILED

    RANGI ZA KALAMU NA MATUMIZI YAKE .......@@!!!

    Mara Nyingi sana tumekuwa tukitumia pen bila kujipa angalizo fulani hivi ama kujua mantiki yake ..................

    1. Kalamu ya rangi ya Samawi/samawati (Bluu) ndiyo maarufu kutumika na wengi na hasa kwenye official document za kawaida (not mandated or authentic)
    We basically have two choices when it comes to pens: black or blue. Unless you are a teacher in which case you get to use red as well........."Of course blue pens. Because they contrast better with the documents you're writing on..................The modern tradition is THAT only blue ink for all in Government.

    2. Kalamu Nyeusi aghalabu hutumika kwenye miamala ya Kibiashara zaidi............."Black edges it on the grounds that it looks more professional and is a legal requirement for signing legal documents and form-filling............."Some entities are now requiring signatures in blue ink in order to differentiate the original from a copy.......Black ink is used ( where bold remarks are needed ) for business deals, display credit in a bank statement, headings etc.

    3. Kalamu Nyekundu Aghalabu Hutumiwa na wenye Mamlaka Katika Kusaini Official Documents na hasa Sheria na Hati fulani fulani na mara nyingi anayeruhusiwa kutumia kalamu nyekundu ni Mh Rais na Waalimu katika kujitofautisha na wanafunzi na kuweka msisitizo zaidi kwenye masahihisho ingawa utafiti uliofanywa Marekani umewezesha kupelekea kupigwa marufuku kwa kalamu nyekundu kwa wanafunzi kutokana na wengi kutaarifu kwamba zinawatisha (psychological trauma)
    http://www.dailymail.co.uk/news/article-2263874/Teachers-shouldnt-use-red-coloured-pens-mark-homework-like-shouting-upsets-pupils.html

    4. Kalamu ya Chanikiwiti (KIJANI) inatakiwa kutumiwa na Wakaguzi na hasa wa HESABU, aghalabu Peni ya kijani hutumiwa pia na Mawaziri...Majaji....ma RCs na Kamishna wa kiapo...aghalabu wataalamu wa dawa/wafamasia pia hutumia kalamu ya kijani .....Green ink is used by very senior bureaucrats as well as Ministers to sign files indicating their approval....also green color pen are used by Managers, gazetted officers, Judges and big people. Green testifies the high position and no one can question the authenticity when signed by the green color.

    5. Kimsingi na KISHERIA, UNATAKIWA KILA MTU KUWA NA PENI MAALUM YA SIGNATURE. tumewahi kupata kesi ya mtu ambaye saini yake ilidukuliwa na yeye kukiri dhahiri shari kwamba ni saini yake kabisaaaa ila kwenye utetezi akasema kwamba peni iliyotumika siyo peni yake kwani ana peni maalum ya kuweka saini nyaraka zake zote za kisheria
    https://keetonsonline.wordpress.com/2013/02/18/how-to-choose-the-right-pen/

    6. Si salama sana kutumia kalamu nyeusi kwenye maandishi meusi, kisheria hiyo ni kopi na si halisi, jitahidi sana kutumia kalamu ya bluu kwenye maandishi meusi na hasa typed (Many copiers are so good now that black ink can look like part of a photocopy."-

    7. Ball Pen ndiyo offical pen kwa nchi nyingi duniani. kumbuka Kama unatumia 'jel pen' basi ukitumia 'ball pen' mwandiko 'kitaalamu' unatofautiana (hasa kama kalamu hizo zikiwa na ukubwa wa maandishi unaotofautiana.)
    "bic, speedo, cello, etc" ndio ballpoint pens.Na jell pens ni kama zile kalamu za zamani za kuchovya wino "tulikuwa tunaziita fountain - ambazo siku hizi zimeboreshwa zinawekewa wino.

    8. Kuna Baadhi ya nchi;
    i. mwanafunz unaruhusiwa kuandika kwa penseli na kalamu ya rangi yeyote ile (bluu, kijani, nyekundu, nk).

    ii. Hawaruhusu kuweka sahihi (signature) kwa kalamu ya rangi nyingine yeyote ile isipokuwa 'bluu'. Kuna sehemu zingine hata kujaza fomu iliyochapwa ni lazima utumie kalamu ya rangi ya bluu......kalamu ya bluu ndiyo inayotambulika duniani kote (official pen)

    iii. Wanatumia kalamu nyekundu kuandika jina la mtu aliyefariki (marehemu). Yaani hairuhusiwi na huwezi kuandika jina la mtu aliyehai kwa kalamu nyekundu.Mathalani ukiwa Ureno na unatumia kalamu nyekundu unahesabika ni mkaidi ama mleta mikosi ( It's considered rude to write in red ink in Portugal.)

    iv: Jeshi la Marekani utatumia rangi kulingana na wadhifa (rank) wako Jeshini
    In US Navy there is a long tradition of prescribed ink colors for officers - blue color for officers, black color for departmental heads, green color for Executive officers and red color for commanding officers.

    v. Huko Ujerumani, rangi ya Hudhurungi (Brown) hutumika kuweka saini HUKUMU YA KIFO ILIHALI huko Pakistan wao hutumia kalamu nyekundu kwa lengo hilohilo-Brown color ink is used to sign death warrants in Germany and red color ink was used for same purpose in Pakistan.

    mfano nchi ya Australia officials pen ni NYEUSI TU! hata baadh ya benki hapa kwetu mfano NBC official pen ni nyeusi ingawa pia si salama sana kisheria .....NMB official ink ni blue,kwa documents zao....tofauti na hapo....hupokelewi.
    Exim.....nyeusi na blue, CRDB.....Blue ama nyeusi; nyekundu, kwa wenye uoni hafifu na maafisa wa benki hasa kuthibitisha nyaraka
    TUJIKUMBUSHE MATUMIZI YA KALAMU KWA KUFUATA RANGI Nakuja tu na maswali chokonozi 1. Hivi ni Kwa Nini Waalimu wanatumia kalamu ya rangi nyekundu na si bluu kama wanafunzi? 2. Ni Kwa Nini pia Maraisi ndio Huandikia peni nyekundu? Kwa nini Wakaguzi aghalabu wa Hesabu hutumia peni ya kijani? 3. Vipi Kuhusu Kalamu Nyeusi? nauliza hivi kwa sababu hizi rangi ukigeukia muktadha mwingine zinamaana tofauti sana mfano wengine husema unapotumia kalamu nyeusi inaa maana unatengeneza pesa na bluu maana yake unapoteza pesa ilihali nyekundu ikielekezwa zaidi kwenye mikosi MAJADILIANO COMPILED RANGI ZA KALAMU NA MATUMIZI YAKE .......@@!!! Mara Nyingi sana tumekuwa tukitumia pen bila kujipa angalizo fulani hivi ama kujua mantiki yake .................. 1. Kalamu ya rangi ya Samawi/samawati (Bluu) ndiyo maarufu kutumika na wengi na hasa kwenye official document za kawaida (not mandated or authentic) We basically have two choices when it comes to pens: black or blue. Unless you are a teacher in which case you get to use red as well........."Of course blue pens. Because they contrast better with the documents you're writing on..................The modern tradition is THAT only blue ink for all in Government. 2. Kalamu Nyeusi aghalabu hutumika kwenye miamala ya Kibiashara zaidi............."Black edges it on the grounds that it looks more professional and is a legal requirement for signing legal documents and form-filling............."Some entities are now requiring signatures in blue ink in order to differentiate the original from a copy.......Black ink is used ( where bold remarks are needed ) for business deals, display credit in a bank statement, headings etc. 3. Kalamu Nyekundu Aghalabu Hutumiwa na wenye Mamlaka Katika Kusaini Official Documents na hasa Sheria na Hati fulani fulani na mara nyingi anayeruhusiwa kutumia kalamu nyekundu ni Mh Rais na Waalimu katika kujitofautisha na wanafunzi na kuweka msisitizo zaidi kwenye masahihisho ingawa utafiti uliofanywa Marekani umewezesha kupelekea kupigwa marufuku kwa kalamu nyekundu kwa wanafunzi kutokana na wengi kutaarifu kwamba zinawatisha (psychological trauma) http://www.dailymail.co.uk/news/article-2263874/Teachers-shouldnt-use-red-coloured-pens-mark-homework-like-shouting-upsets-pupils.html 4. Kalamu ya Chanikiwiti (KIJANI) inatakiwa kutumiwa na Wakaguzi na hasa wa HESABU, aghalabu Peni ya kijani hutumiwa pia na Mawaziri...Majaji....ma RCs na Kamishna wa kiapo...aghalabu wataalamu wa dawa/wafamasia pia hutumia kalamu ya kijani .....Green ink is used by very senior bureaucrats as well as Ministers to sign files indicating their approval....also green color pen are used by Managers, gazetted officers, Judges and big people. Green testifies the high position and no one can question the authenticity when signed by the green color. 5. Kimsingi na KISHERIA, UNATAKIWA KILA MTU KUWA NA PENI MAALUM YA SIGNATURE. tumewahi kupata kesi ya mtu ambaye saini yake ilidukuliwa na yeye kukiri dhahiri shari kwamba ni saini yake kabisaaaa ila kwenye utetezi akasema kwamba peni iliyotumika siyo peni yake kwani ana peni maalum ya kuweka saini nyaraka zake zote za kisheria https://keetonsonline.wordpress.com/2013/02/18/how-to-choose-the-right-pen/ 6. Si salama sana kutumia kalamu nyeusi kwenye maandishi meusi, kisheria hiyo ni kopi na si halisi, jitahidi sana kutumia kalamu ya bluu kwenye maandishi meusi na hasa typed (Many copiers are so good now that black ink can look like part of a photocopy."- 7. Ball Pen ndiyo offical pen kwa nchi nyingi duniani. kumbuka Kama unatumia 'jel pen' basi ukitumia 'ball pen' mwandiko 'kitaalamu' unatofautiana (hasa kama kalamu hizo zikiwa na ukubwa wa maandishi unaotofautiana.) "bic, speedo, cello, etc" ndio ballpoint pens.Na jell pens ni kama zile kalamu za zamani za kuchovya wino "tulikuwa tunaziita fountain - ambazo siku hizi zimeboreshwa zinawekewa wino. 8. Kuna Baadhi ya nchi; i. mwanafunz unaruhusiwa kuandika kwa penseli na kalamu ya rangi yeyote ile (bluu, kijani, nyekundu, nk). ii. Hawaruhusu kuweka sahihi (signature) kwa kalamu ya rangi nyingine yeyote ile isipokuwa 'bluu'. Kuna sehemu zingine hata kujaza fomu iliyochapwa ni lazima utumie kalamu ya rangi ya bluu......kalamu ya bluu ndiyo inayotambulika duniani kote (official pen) iii. Wanatumia kalamu nyekundu kuandika jina la mtu aliyefariki (marehemu). Yaani hairuhusiwi na huwezi kuandika jina la mtu aliyehai kwa kalamu nyekundu.Mathalani ukiwa Ureno na unatumia kalamu nyekundu unahesabika ni mkaidi ama mleta mikosi ( It's considered rude to write in red ink in Portugal.) iv: Jeshi la Marekani utatumia rangi kulingana na wadhifa (rank) wako Jeshini In US Navy there is a long tradition of prescribed ink colors for officers - blue color for officers, black color for departmental heads, green color for Executive officers and red color for commanding officers. v. Huko Ujerumani, rangi ya Hudhurungi (Brown) hutumika kuweka saini HUKUMU YA KIFO ILIHALI huko Pakistan wao hutumia kalamu nyekundu kwa lengo hilohilo-Brown color ink is used to sign death warrants in Germany and red color ink was used for same purpose in Pakistan. mfano nchi ya Australia officials pen ni NYEUSI TU! hata baadh ya benki hapa kwetu mfano NBC official pen ni nyeusi ingawa pia si salama sana kisheria .....NMB official ink ni blue,kwa documents zao....tofauti na hapo....hupokelewi. Exim.....nyeusi na blue, CRDB.....Blue ama nyeusi; nyekundu, kwa wenye uoni hafifu na maafisa wa benki hasa kuthibitisha nyaraka
    Like
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·2K Visualizações
  • 24.65 GB MEGA Courses Collection

    #Hacking
    #Networking
    #Artificial intelligence
    #Deep Fake
    #Books
    #Forensics
    #Cryptography
    #Python

    Download Link:-
    https://mega.nz/folder/13cS1B4A#_xPlkOc0TRoKRbQ98FaEfA
    🔥 24.65 GB MEGA Courses Collection 🚩 #Hacking 🚩 #Networking 🚩 #Artificial intelligence 🚩 #Deep Fake 🚩 #Books 🚩 #Forensics 🚩 #Cryptography 🚩 #Python Download Link:- https://mega.nz/folder/13cS1B4A#_xPlkOc0TRoKRbQ98FaEfA
    24.78 GB folder on MEGA
    mega.nz
    622 files and 159 subfolders
    Love
    Yay
    3
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • START LEARNING WITH US

    - WHATSAPP BOT DEPLOYMENT
    - HACKING TIPS
    - TERMUX COURSE
    - KALI LINUX COMMANDS USED BY HACKERS
    - UBUNTU TUTORIAL USED BY HACKERS
    - FREE VPN FILES
    - SCRIPT MAKING
    - PREMIUM APPS
    - SOCIAL MEDIA HACKING
    - INTERNET TECHNOLOGY
    - WEB HOSTING AND DESGIN
    - etc

    https://whatsapp.com/channel/0029VacgCaPKmCPGmTmrnT04

    > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4
    ▶︎ ●────────── 0:41
    START LEARNING WITH US - WHATSAPP BOT DEPLOYMENT - HACKING TIPS - TERMUX COURSE - KALI LINUX COMMANDS USED BY HACKERS - UBUNTU TUTORIAL USED BY HACKERS - FREE VPN FILES - SCRIPT MAKING - PREMIUM APPS - SOCIAL MEDIA HACKING - INTERNET TECHNOLOGY - WEB HOSTING AND DESGIN - etc https://whatsapp.com/channel/0029VacgCaPKmCPGmTmrnT04 > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4 ▶︎ ●────────── 0:41
    DUDUU_MENDEZ TIPS | WhatsApp Channel
    whatsapp.com
    DUDUU_MENDEZ TIPS WhatsApp Channel. Get full Internet and networking tips. 39 followers
    Like
    2
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • Stuka online hakuna walimu wa English course
    Stuka online hakuna walimu wa English course
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·660 Visualizações
  • Jifunze Kutengeneza App kwa kutumia Simu

    Tsh15000
    Katika Course hii utajifunza
    – Jinsi ya Kutengeneza App za Android kwa kutumia simu yako.
    – Jinsi ya kuweka App zako playstore.
    – Jinsi ya kupata pesa kutokana na Apps zako
    – Jinsi ya kupata app installs kwa njia mbalimbali
    – Namna ya kuitangaza App yako
    – Appstore Search Optimization Techniques (ASO)

    wasiliana nami +255625 588 665, +255 756 598 665

    Course Link - https://technologygenius14.com/product/sketchware-pro-master-course/
    Katika Course hii utajifunza – Jinsi ya Kutengeneza App za Android kwa kutumia simu yako. – Jinsi ya kuweka App zako playstore. – Jinsi ya kupata pesa kutokana na Apps zako – Jinsi ya kupata app installs kwa njia mbalimbali – Namna ya kuitangaza App yako – Appstore Search Optimization Techniques (ASO) wasiliana nami +255625 588 665, +255 756 598 665 Course Link - https://technologygenius14.com/product/sketchware-pro-master-course/
    In stock ·Novo
    Dar Es Salaam, Tanzania
    Like
    Love
    6
    · 2 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • 10 lessons from How to Begin: Start Doing Something That Matters by Michael Bungay Stanier:

    1. Don't wait for permission.
    One of the biggest obstacles to getting started is waiting for permission from others. But the truth is, you don't need anyone's permission to start working on your goals.

    2. Start small.
    Don't try to tackle everything at once. Start by taking small steps in the direction of your goal. This will help you build momentum and make progress.

    3. Don't be afraid to fail.
    Failure is a part of life. The important thing is to learn from your mistakes and keep moving forward.

    4. Find a mentor.
    A mentor can provide you with valuable guidance and support as you work towards your goals.

    5. Build a community.
    Surround yourself with people who believe in you and your goals. This will help you stay motivated and on track.

    6. Celebrate your successes.
    Take the time to celebrate your successes along the way. This will help you stay motivated and believe in yourself.

    7. Don't be afraid to pivot.
    If something isn't working, don't be afraid to change course. It's important to be flexible and adaptable.

    8. Keep going.
    The most important thing is to keep going, even when it's tough. Don't give up on your dreams.

    9. Believe in yourself.
    You have the power to achieve anything you set your mind to. Believe in yourself and never give up.

    10. Start today.
    Don't wait any longer. Start working on your goals today.
    10 lessons from How to Begin: Start Doing Something That Matters by Michael Bungay Stanier: 1. Don't wait for permission. One of the biggest obstacles to getting started is waiting for permission from others. But the truth is, you don't need anyone's permission to start working on your goals. 2. Start small. Don't try to tackle everything at once. Start by taking small steps in the direction of your goal. This will help you build momentum and make progress. 3. Don't be afraid to fail. Failure is a part of life. The important thing is to learn from your mistakes and keep moving forward. 4. Find a mentor. A mentor can provide you with valuable guidance and support as you work towards your goals. 5. Build a community. Surround yourself with people who believe in you and your goals. This will help you stay motivated and on track. 6. Celebrate your successes. Take the time to celebrate your successes along the way. This will help you stay motivated and believe in yourself. 7. Don't be afraid to pivot. If something isn't working, don't be afraid to change course. It's important to be flexible and adaptable. 8. Keep going. The most important thing is to keep going, even when it's tough. Don't give up on your dreams. 9. Believe in yourself. You have the power to achieve anything you set your mind to. Believe in yourself and never give up. 10. Start today. Don't wait any longer. Start working on your goals today.
    Like
    Love
    6
    · 2 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações