• LOVE EACH OTHER
    this is our priority
    LOVE EACH OTHER this is our priority
    Yay
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·98 Views
  • Msanii wa Nigeria , Wizkid achangia kumpa Bob Marley tuzo yake akiwa ni Marehemu.

    Pamoja na mafanikio makubwa aliyoyapata akiwa hai, Mwanamziki nguli Duniani, Raia wa Jamaica , Bob Marley hakuwahi kushinda tuzo ya Grammy katika maisha yake, lakini miaka michache iliopita familia yake walimtafuta Msanii kutoka Nchini Nigeria, Wizkid kwa ajili ya kufanya Collabo na Bob Marley ili waweze kuifanya upya kazi ya Bob Marley "One love, Music inspired by the Film, Album.

    Baada ya albamu hiyo kutoka ambapo Wizkid ameifanya upya imeshinda albamu bora ya mwaka ya Reggae 2025 kwenye tuzo za Grammy na kuweka rekodi ya kuwa tuzo ya kwanza ya Grammy ya Bob Marley huku shukurani kubwa amepewa Wizkid.

    Aidha, Wizkid amepokea cheti kutoka kwenye Uongozi wa Grammy na barua ya shukurani kutoka kwa familia ya Marley kwa kuifanya heshima ya baba yao kuendelea kuwepo Duniani na kumsaidia Mwanamziki huyo Mkongwe wa muziki wa Reggae kushinda Grammy yake ya kwanza.

    Msanii wa Nigeria 🇳🇬, Wizkid achangia kumpa Bob Marley tuzo yake akiwa ni Marehemu. Pamoja na mafanikio makubwa aliyoyapata akiwa hai, Mwanamziki nguli Duniani, Raia wa Jamaica 🇯🇲, Bob Marley hakuwahi kushinda tuzo ya Grammy katika maisha yake, lakini miaka michache iliopita familia yake walimtafuta Msanii kutoka Nchini Nigeria, Wizkid kwa ajili ya kufanya Collabo na Bob Marley ili waweze kuifanya upya kazi ya Bob Marley "One love, Music inspired by the Film, Album. Baada ya albamu hiyo kutoka ambapo Wizkid ameifanya upya imeshinda albamu bora ya mwaka ya Reggae 2025 kwenye tuzo za Grammy na kuweka rekodi ya kuwa tuzo ya kwanza ya Grammy ya Bob Marley huku shukurani kubwa amepewa Wizkid. Aidha, Wizkid amepokea cheti kutoka kwenye Uongozi wa Grammy na barua ya shukurani kutoka kwa familia ya Marley kwa kuifanya heshima ya baba yao kuendelea kuwepo Duniani na kumsaidia Mwanamziki huyo Mkongwe wa muziki wa Reggae kushinda Grammy yake ya kwanza.
    0 Comments ·0 Shares ·363 Views
  • Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu.

    Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo.

    Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup).

    Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana

    #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia #wemasepetu
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu. Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo. Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup). Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia #wemasepetu
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • #JeWajua Msako mkali wa wahamiaji uliofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili na kusababisha kukamatwa kwa watu 956, idadi hiyo ikiwa kubwa zaidi tangu Donald Trump arejee mamlakani, kulingana na shirika la Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE).

    Mashirika kadhaa ya serikali yenye mamlaka mapya ya kuwaweka kizuizini wasio na vibali yalihusika katika kamata kamata hiyo kwenye miji kadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami. Moja ya ahadi alizotoa Donald Trump wakati wa kampeni yake, ni kuwafukuza nchi Marekani wahamiaji wasio na vibali.

    Mtangulizi wake Joe Biden aliwarejesha makwao wastani wa wahamiaji 311 kila siku, kulingana na ICE, wengi wao wakiwa watu ambao walikuwa wamefanya uhalifu. Tangu aingie madarakani, Trump ametekeleza maagizo 21 kurekebisha mfumo wa uhamiaji wa Marekani.

    Huko Miami siku ya Jumapili, vyombo vya kutekeleza sheria vya serikali vilichukua "hatua kadhaa za uhamiaji," Uchunguzi wa Usalama wa jiji hilo ulisema kwenye mitandao ya kijamii.

    #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia
    #JeWajua Msako mkali wa wahamiaji uliofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili na kusababisha kukamatwa kwa watu 956, idadi hiyo ikiwa kubwa zaidi tangu Donald Trump arejee mamlakani, kulingana na shirika la Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE). Mashirika kadhaa ya serikali yenye mamlaka mapya ya kuwaweka kizuizini wasio na vibali yalihusika katika kamata kamata hiyo kwenye miji kadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami. Moja ya ahadi alizotoa Donald Trump wakati wa kampeni yake, ni kuwafukuza nchi Marekani wahamiaji wasio na vibali. Mtangulizi wake Joe Biden aliwarejesha makwao wastani wa wahamiaji 311 kila siku, kulingana na ICE, wengi wao wakiwa watu ambao walikuwa wamefanya uhalifu. Tangu aingie madarakani, Trump ametekeleza maagizo 21 kurekebisha mfumo wa uhamiaji wa Marekani. Huko Miami siku ya Jumapili, vyombo vya kutekeleza sheria vya serikali vilichukua "hatua kadhaa za uhamiaji," Uchunguzi wa Usalama wa jiji hilo ulisema kwenye mitandao ya kijamii. #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • I'm not a football fan, but my uncle loved it.
    I'm not a football fan, but my uncle loved it.
    SIMBA SC 2️⃣0️⃣ CA CONSTANTINE

    #paulswai
    0 Comments ·0 Shares ·250 Views ·182
  • A child is the best example of how unconditional love can bring peace to all people! 🩵
    A child is the best example of how unconditional love can bring peace to all people! 🩵
    0 Comments ·0 Shares ·194 Views
  • Necronomicon
    Hiki ni Kitabu cha Imani ya Kishetani na Kina Mambo Mengi ya Kuogopesha na Ukikisoma Mambo hayo Hutokea Kweli!!
    Ni Mambo ya Mizimu na Mauzauza, Ukiwa Unasoma Kinakupeleka Kukiona Kweli Unachosoma Kupitia Hisia!, Kuna Imani ya Ajabu inakuingia.
    Kinakadiriwa Kuandikwa Tangu Miaka ya 800 A.D Kwa Lugha ya Ajabu na Kumekuwa Kukitajwa Waandishi Wengi Walioandika Kitabu hiki Miaka hiyo ya Kale na Mmoja Wapo ni 'Abdul Alhazred' Raia wa YEMEN.
    Kitabu hiki Kilikuja Kutafsiriwa na Kuandikwa Upya na Mmarekani H.P. Lovecraft Aliyekua Mtaalamu wa Kutafsiri Mambo ya Kimiujiza Mwaka 1927 na Kutolewa Rasmi Mwaka 1938. Hakuna Mtu Mwingine Aliyeweza Kukielewa Kiufasaha Zaidi yake tuu.
    Necronomicon Hiki ni Kitabu cha Imani ya Kishetani na Kina Mambo Mengi ya Kuogopesha na Ukikisoma Mambo hayo Hutokea Kweli!! Ni Mambo ya Mizimu na Mauzauza, Ukiwa Unasoma Kinakupeleka Kukiona Kweli Unachosoma Kupitia Hisia!, Kuna Imani ya Ajabu inakuingia. Kinakadiriwa Kuandikwa Tangu Miaka ya 800 A.D Kwa Lugha ya Ajabu na Kumekuwa Kukitajwa Waandishi Wengi Walioandika Kitabu hiki Miaka hiyo ya Kale na Mmoja Wapo ni 'Abdul Alhazred' Raia wa YEMEN. Kitabu hiki Kilikuja Kutafsiriwa na Kuandikwa Upya na Mmarekani H.P. Lovecraft Aliyekua Mtaalamu wa Kutafsiri Mambo ya Kimiujiza Mwaka 1927 na Kutolewa Rasmi Mwaka 1938. Hakuna Mtu Mwingine Aliyeweza Kukielewa Kiufasaha Zaidi yake tuu.
    0 Comments ·0 Shares ·255 Views
  • Faithful

    For being ambassador of this beloved family
    For being ambassador of this beloved family
    Tsh0 Raised of Tsh46700
    0%
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·374 Views ·0 Donations
  • My loved people
    My loved people
    0 Comments ·0 Shares ·263 Views
  • “Mimi napenda mwanaume wangu (Moses Iyobo) awe mnyanyasaji, awe ananipiga kila siku tunagombana, ananivuta masikio, mpenda mademu yaani nataka hekaheka mimi sio mwanaume kapoa kama uji” - Mashalove.

    “Mimi napenda mwanaume wangu (Moses Iyobo) awe mnyanyasaji, awe ananipiga kila siku tunagombana, ananivuta masikio, mpenda mademu yaani nataka hekaheka mimi sio mwanaume kapoa kama uji” - Mashalove.
    0 Comments ·0 Shares ·272 Views
  • I love you
    I love you
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·246 Views