• Fixed Fares. No Hidden Fees.
    With Pick Me UK, your Gatwick to Brighton taxi fare is always fixed—no surge pricing, no hidden extras. What you see is what you pay.
    Travel in comfort and style with fully licensed, professional drivers.
    Experience VIP-level comfort without the premium price tag.
    Visit Now To Know More :- https://pickmeuk.co.uk/
    Book with us for a great service that exceeds excellence.
    Mail Id :- [email protected]
    Phone No. 0203-918-1777
    #BrightonTransfers #AirportTaxi
    Fixed Fares. No Hidden Fees. 💷✅ With Pick Me UK, your Gatwick to Brighton taxi fare is always fixed—no surge pricing, no hidden extras. What you see is what you pay. 💯 Travel in comfort and style with fully licensed, professional drivers. Experience VIP-level comfort without the premium price tag. 🚗💨 Visit Now To Know More :- https://pickmeuk.co.uk/ Book with us for a great service that exceeds excellence. Mail Id :- [email protected] Phone No. 0203-918-1777 #BrightonTransfers #AirportTaxi
    0 Comments ·0 Shares ·190 Views
  • Why Struggle with Trains? Go Taxi Instead
    Forget train delays and crowded coaches. When you land at Gatwick, your best move is a private Gatwick to London taxi from PickMe UK.
    Fast, affordable, and door-to-door. No stress, no waiting around.
    Just pure convenience!
    Enjoy fixed prices with professional, punctual drivers. It’s how London travelers roll.
    Visit Now :- https://pickmeuk.co.uk/
    Book with us for a great service that exceeds excellence.
    Mail Id :- [email protected]
    Phone No. 0203-918-1777
    #AirportTaxi #GatwickTransfers #PickMeUK
    Why Struggle with Trains? 🚆❌ Go Taxi Instead 🚖 Forget train delays and crowded coaches. When you land at Gatwick, your best move is a private Gatwick to London taxi from PickMe UK. Fast, affordable, and door-to-door. No stress, no waiting around. Just pure convenience! 🚕💼 Enjoy fixed prices with professional, punctual drivers. It’s how London travelers roll. Visit Now :- https://pickmeuk.co.uk/ Book with us for a great service that exceeds excellence. Mail Id :- [email protected] Phone No. 0203-918-1777 😉 #AirportTaxi #GatwickTransfers #PickMeUK
    0 Comments ·0 Shares ·191 Views
  • Late-night flight? Early morning rush? Britway’s Airport Taxi Service near Heathrow has you covered. With luxury vehicles, expert drivers, and 24-hour service, your airport transfer just got easier!
    Whether you’re arriving or departing, we make sure you’re never waiting around.
    Experience VIP-level comfort without the premium price tag.
    Book online now at britwayexecutivecars.co.uk and arrive on time, every time!
    Mail Id:- [email protected]
    Phone No. +44 208 089 7195
    +44 730 548 6768 (WhatsApp)
    #HeathrowAirport #TaxiService #ExecutiveTravel #BritwayExecutiveCars
    Late-night flight? Early morning rush? 🕒 Britway’s Airport Taxi Service near Heathrow has you covered. With luxury vehicles, expert drivers, and 24-hour service, your airport transfer just got easier! Whether you’re arriving or departing, we make sure you’re never waiting around. Experience VIP-level comfort without the premium price tag. 🚗💨 Book online now at 👉 britwayexecutivecars.co.uk and arrive on time, every time! Mail Id:- [email protected] Phone No. +44 208 089 7195 +44 730 548 6768 (WhatsApp) #HeathrowAirport #TaxiService #ExecutiveTravel #BritwayExecutiveCars
    0 Comments ·0 Shares ·144 Views
  • Bournemouth Business Travel – From Heathrow, On Time
    Business trip to Bournemouth? Arriving at Heathrow? Let Britway handle your transfer so you can focus on what matters.
    Our executive Heathrow to Bournemouth service offers punctual pickups, real-time flight monitoring, and professional drivers. Travel in comfort or simply relax before your meeting.
    Executive vehicles available
    Reliable, on-time service
    Fixed pricing – no surge fees
    Trusted by corporate clients across the UK, Britway ensures you get where you need to go — smoothly and professionally.
    Heathrow to Bournemouth
    Book Now :- +44-203 627 2111
    Email :- [email protected]
    Book Your Hassle Free Transfer Today :- https://britwayairporttransfer.co.uk/heathrow-airport-to-bournemouth-taxi/
    #BusinessTravel #HeathrowTransfer #BournemouthTaxi
    Bournemouth Business Travel – From Heathrow, On Time Business trip to Bournemouth? Arriving at Heathrow? Let Britway handle your transfer so you can focus on what matters. Our executive Heathrow to Bournemouth service offers punctual pickups, real-time flight monitoring, and professional drivers. Travel in comfort or simply relax before your meeting. ✅ Executive vehicles available ✅ Reliable, on-time service ✅ Fixed pricing – no surge fees Trusted by corporate clients across the UK, Britway ensures you get where you need to go — smoothly and professionally. 📍 Heathrow to Bournemouth Book Now :- +44-203 627 2111 Email :- [email protected] Book Your Hassle Free Transfer Today :- https://britwayairporttransfer.co.uk/heathrow-airport-to-bournemouth-taxi/ #BusinessTravel #HeathrowTransfer #BournemouthTaxi
    0 Comments ·0 Shares ·400 Views
  • Land at Heathrow – Explore Brighton Stress-Free
    Visiting the UK? After a long flight into Heathrow, the last thing you want is to navigate crowded trains or search for taxis. That’s why smart travellers choose Britway Airport Transfer for their journey to Brighton.
    From terminal to hotel, we make your trip easy:
    Private vehicle pick-up
    Quiet, comfortable ride
    Easy online booking
    No-hassle transfer from Heathrow to Brighton. Avoid delays and enjoy the scenic drive in comfort.
    We’re available 24/7, with Professional drivers on request.
    Book Now :- +44-203 627 2111
    Email :- [email protected]
    Book Your Hassle Free Transfer Today :-https://britwayairporttransfer.co.uk/heathrow-airport-to-brighton-taxi/
    #UKTravel #BrightonHoliday #HeathrowTransfer #Britway #VisitBrighton
    🎒 Land at Heathrow – Explore Brighton Stress-Free Visiting the UK? After a long flight into Heathrow, the last thing you want is to navigate crowded trains or search for taxis. That’s why smart travellers choose Britway Airport Transfer for their journey to Brighton. From terminal to hotel, we make your trip easy: 🚗 Private vehicle pick-up 💤 Quiet, comfortable ride 📲 Easy online booking No-hassle transfer from Heathrow to Brighton. Avoid delays and enjoy the scenic drive in comfort. 🌍 We’re available 24/7, with Professional drivers on request. Book Now :- +44-203 627 2111 Email :- [email protected] Book Your Hassle Free Transfer Today :-https://britwayairporttransfer.co.uk/heathrow-airport-to-brighton-taxi/ #UKTravel #BrightonHoliday #HeathrowTransfer #Britway #VisitBrighton
    0 Comments ·0 Shares ·467 Views
  • Looking for a Reliable Taxi Service from Heathrow to Norwich?

    Need a comfortable and hassle-free ride from Heathrow Airport to Norwich? Look no further! At AeroPick, we offer affordable and reliable taxi services that guarantee a smooth and stress-free journey. Whether you’re flying in for business or leisure, our drivers will get you to your destination safely and on time.

    Why Choose AeroPick?

    Affordable rates with no hidden fees.

    Professional drivers who know the route.

    Comfortable and spacious vehicles.

    Easy online booking via our website.
    Email Address: [email protected]
    Phone Number:+44 208 089 2097

    Book your ride today and travel in comfort! Check out our full service details and book online: https://aeropick.co.uk/heathrow-airport-to-norwich-taxi/

    #taxiservice #heathrowtonorwich #travelincomfort #aeropick #airporttransfers #reliabletransport #uktravel
    🚖 Looking for a Reliable Taxi Service from Heathrow to Norwich? 🛬 Need a comfortable and hassle-free ride from Heathrow Airport to Norwich? Look no further! At AeroPick, we offer affordable and reliable taxi services that guarantee a smooth and stress-free journey. Whether you’re flying in for business or leisure, our drivers will get you to your destination safely and on time. 🔑 Why Choose AeroPick? Affordable rates with no hidden fees. Professional drivers who know the route. Comfortable and spacious vehicles. Easy online booking via our website. Email Address: [email protected] Phone Number:+44 208 089 2097 Book your ride today and travel in comfort! Check out our full service details and book online: https://aeropick.co.uk/heathrow-airport-to-norwich-taxi/ #taxiservice #heathrowtonorwich #travelincomfort #aeropick #airporttransfers #reliabletransport #uktravel
    0 Comments ·0 Shares ·722 Views
  • Need a Ride from Heathrow to Eastbourne? AeroPick Has You Covered!

    If you’re looking for a reliable and affordable taxi from Heathrow Airport to Eastbourne, AeroPick is the answer. We offer comfortable, safe, and stress-free travel with professional drivers who’ll get you to your destination on time.

    Why Choose AeroPick?

    Competitive rates with no hidden costs.

    Friendly, experienced drivers who know the routes.

    Spacious vehicles for a relaxed journey.

    Simple online booking for your convenience.
    Email Address: [email protected]
    Phone Number:+44 208 089 2097


    Ready to travel in comfort? Book your taxi now: https://aeropick.co.uk/heathrow-airport-to-eastbourne-taxi/
    #taxiservice #heathrowtoeastbourne #airporttransfers #aeropick #reliabletransport #uktravel
    🚖 Need a Ride from Heathrow to Eastbourne? AeroPick Has You Covered! 🛬 If you’re looking for a reliable and affordable taxi from Heathrow Airport to Eastbourne, AeroPick is the answer. We offer comfortable, safe, and stress-free travel with professional drivers who’ll get you to your destination on time. 🔑 Why Choose AeroPick? Competitive rates with no hidden costs. Friendly, experienced drivers who know the routes. Spacious vehicles for a relaxed journey. Simple online booking for your convenience. Email Address: [email protected] Phone Number:+44 208 089 2097 Ready to travel in comfort? Book your taxi now: https://aeropick.co.uk/heathrow-airport-to-eastbourne-taxi/ #taxiservice #heathrowtoeastbourne #airporttransfers #aeropick #reliabletransport #uktravel
    0 Comments ·0 Shares ·699 Views
  • Traveling from Heathrow to Bristol?
    Make your journey smooth and stress-free with Britway Airport Transfer!

    We offer affordable, reliable, and comfortable taxi services from Heathrow Airport to Bristol – perfect for both business and leisure travelers.

    Professional Drivers
    Always On Time
    Competitive Prices
    Book Now :- +44-203 627 2111
    Email :- [email protected]
    Book Your Hassle Free Transfer Today :- https://britwayairporttransfer.co.uk/heathrow-airport-to-bristol-taxi/
    #airporttaxi #heathrowtobristol #travelsmart #britwaytransfers #taxiserviceuk
    ✈️ Traveling from Heathrow to Bristol? Make your journey smooth and stress-free with Britway Airport Transfer! 🚖 We offer affordable, reliable, and comfortable taxi services from Heathrow Airport to Bristol – perfect for both business and leisure travelers. 💼 Professional Drivers 🕒 Always On Time 💷 Competitive Prices Book Now :- +44-203 627 2111 Email :- [email protected] Book Your Hassle Free Transfer Today :- https://britwayairporttransfer.co.uk/heathrow-airport-to-bristol-taxi/ #airporttaxi #heathrowtobristol #travelsmart #britwaytransfers #taxiserviceuk
    0 Comments ·0 Shares ·579 Views
  • Need a stress-free ride from Heathrow to Birmingham?
    Tired of waiting in long lines or dealing with complicated transport? Skip the hassle and book a premium taxi transfer with Britway Airport Transfer. Whether you're traveling for business or pleasure, we ensure a smooth, reliable, and comfortable journey right from the airport to your destination.

    Book your ride in advance and enjoy affordable, punctual service with a professional driver.
    Book Now: +44-203 627 2111
    Email :- [email protected]
    Heathrow to Birmingham
    Comfort & Convenience
    Affordable Rates
    Learn More :- https://britwayairporttransfer.co.uk/heathrow-airport-to-birmingham-taxi/
    🚖 Need a stress-free ride from Heathrow to Birmingham? Tired of waiting in long lines or dealing with complicated transport? Skip the hassle and book a premium taxi transfer with Britway Airport Transfer. Whether you're traveling for business or pleasure, we ensure a smooth, reliable, and comfortable journey right from the airport to your destination. 📅 Book your ride in advance and enjoy affordable, punctual service with a professional driver. 📞 Book Now: +44-203 627 2111 Email :- [email protected] ✅ Heathrow to Birmingham ✅ Comfort & Convenience ✅ Affordable Rates Learn More :- https://britwayairporttransfer.co.uk/heathrow-airport-to-birmingham-taxi/
    0 Comments ·0 Shares ·363 Views
  • South Ribble Taxis offers fast, fixed-fare taxi services across Preston and beyond—available 24/7. From local trips to airport transfers, we’re ready in minutes with no surprises on price. Visit us at https://www.southribbletaxis.co.uk/airport-taxi/airport-transfers-colne
    South Ribble Taxis offers fast, fixed-fare taxi services across Preston and beyond—available 24/7. From local trips to airport transfers, we’re ready in minutes with no surprises on price. Visit us at https://www.southribbletaxis.co.uk/airport-taxi/airport-transfers-colne
    www.southribbletaxis.co.uk
    Book 24/7 airport transfers from Colne to Manchester, Heathrow, Gatwick & more. Fixed fares, live tracking & professional drivers.
    0 Comments ·0 Shares ·424 Views
  • Reliable Heathrow Airport Transfers | South Ribble Taxis

    Book stress-free Heathrow Airport transfers with South Ribble Taxis. Trusted, affordable taxi service from Lancashire to Heathrow – 24/7 availability & CRB-cleared drivers. Visit us at https://www.southribbletaxis.co.uk/airport-taxi/heathrow-airport-transfers
    Reliable Heathrow Airport Transfers | South Ribble Taxis Book stress-free Heathrow Airport transfers with South Ribble Taxis. Trusted, affordable taxi service from Lancashire to Heathrow – 24/7 availability & CRB-cleared drivers. Visit us at https://www.southribbletaxis.co.uk/airport-taxi/heathrow-airport-transfers
    www.southribbletaxis.co.uk
    Reliable 24/7 Heathrow Airport taxi transfers by South Ribble Taxis. Safe, on-time, and comfortable service you can count on.
    0 Comments ·0 Shares ·400 Views
  • Preston to Gatwick Airport Taxi | Reliable Airport Transfers – South Ribble Taxis

    Book your Preston to Gatwick Airport taxi with South Ribble Taxis. Affordable rates, 24/7 service, and professional drivers for stress-free airport transfers. Visit us at https://www.southribbletaxis.co.uk/airport-taxi/preston-to-gatwick-airport-taxi
    Preston to Gatwick Airport Taxi | Reliable Airport Transfers – South Ribble Taxis Book your Preston to Gatwick Airport taxi with South Ribble Taxis. Affordable rates, 24/7 service, and professional drivers for stress-free airport transfers. Visit us at https://www.southribbletaxis.co.uk/airport-taxi/preston-to-gatwick-airport-taxi
    www.southribbletaxis.co.uk
    Book reliable 24/7 Preston to Gatwick Airport taxi transfers with South Ribble Taxis. Enjoy safe, punctual, and comfortable rides every time.
    0 Comments ·0 Shares ·403 Views
  • JE UNAFAHAMU JINA HALISI LA JOSEPH KABILA ANAITWA "HYPOLITE KANAMBE KAZEMBEREMBE"? NA NI MTOTO WA KUFIKIA WA LAURENT DESIRE KABILA?.

    Kumekuwepo maswali mengi sana ndani ya Kongo DRC na nchi nyingi Afrika juu ya uhalisia wa Joseph Kabila Kabange (JKK) kuhusishwa na Unyarwanda (Rwandese), kumetolewa taarifa nyingi za siri zinazo mtaja JKK kuwa sio mtoto wa kuzaa wa Mzee Laurent Desiree Kabila raisi wa tatu wa Kongo DRC na kiongozi wa zamani wa kundi la uasi la AFDL, aliye uondosha madarakani utawala wa vipindi virefu wa Mobutu Seseseko Kuku Ngwendu wa Zabanga kupitia ile iliyoitwa Operation Banyamrenge/Bahima.

    Joseph Kabila mwenyewe na wafuasi wake wamekuwa wakikanusha hilo na kuhusisha taarifa hizo na njama chafu za kumchafua. Mwaka 2010 kwenye maadhimisho ya miaka kumi ya kifo cha Laurent Desire Kabila, Joseph Kabila mwenyewe alitoa maelezo kuhusiana na taarifa hizo zinazo muhusisha na unyarwanda. Pamoja na maelezo yaliyokanusha ya yeye kuhusishwa na taarifa hizo bado kumekuwepo taarifa na ushahidi mwingi unaoendelea kutolewa kuthibitisha kuwa Joseph Kabila ni Mnyarwanda na sio mtoto wa kuzaa wa Mzee Kabila.

    Moja ya tafiti hizo zinazo zungumzia sintofahamu hii ya Joseph Kabila ni "Waraka" ulio chapishwa na jarida la "Africa Federation" jarada hilo lilipewa jina la (titled) : CONCERNING THE TRUE IDENTITY OF MR. HYPPOLITE KANAMBE ALIAS “JOSEPH KABILA” ndani ya jarida lina mtaja Joseph Kabila kuwa sio mtoto wa kuzaliwa na Kabila mzee, waraka huu unaonesha kuwa mke wa Kabila mzee aliyeitwa Sifa Mahanga alikuwa na watoto sita (6) tu ambao alizaa na mzee Laurent-Desire Kabila. Kati ya watoto hao ambao Sifa Mahanga mke wa mzee Kabila alio zaa nao ni Josephine, Cecile, Masengo, Gloria, Kiki and Maguy. Katika list hiyo Joseph kabila hayumo.

    Je huyu Joseph Kabila Kabangee (JKK) anaye tajwa kuwa sio mtoto wa kuzaa (biological child) wa Mzee Kabila ni nani? Kimsingi huyu Joseph Kabila aliyekuwa rais wa nne wa taifa la Kongo DRC jina lake halisi anaitwa Hypolitte Christopher Kanambe na alizaliwa tarehe 04 June 1971 katika kijiji kidogo cha Hewabora, kilichopo katika mji wa Fizi jimboni Kivu ya kusini (South Kivu Province in the Eastern Congo) huku baba yake akiitwa Christopher Kanambe Kazemberembe na mama yake akiitwa Marcellina Mukambukuje.

    Baba yake alikuwa ni muasi kutoka kabila la Watuttsi aliyepinga utawala wa Juvenal Habyarimana raisi wa Rwanda kipindi hicho. Huyo Christopher Kanambe alikimbia Rwanda yeye na familia yake na kukimbilia nchini Kongo DRC mwaka 1960 baada ya machafuko ya kwanza ya kikabila nchini Rwanda yaliyo anza mwaka 1959, na katika harakati hizo za kutaka kuuondoa utawala wa Juvenal Habyarimana madarakani akafanikiwa kutana na Mzee Laurent Kabila mwaka 1964 aliyekuwa kwenye mapigano ya kumpinga Mobutu Seseseko huko mashariki ya Kongo DRC ,wakawa marafiki chanda na pete kwenye issue zao za kivita.

    Baada ya kukutana na kuendelea na ushirikiano wao kwa makubaliano kwamba Mzee Kabila amsaidie Christopher Kanambe kumuondoa Juvenal Habyalimana madarakani kisha yeye atamsaidia Kabila kumuondosha Mobutu ikulu ya Kinshasa. Walikubaliana hayo kwakua utawala wa Mobutu ulikuwa umewekeza base yake kubwa Rwanda chini ya utawala wa Juvenal Habyalimana (Mtoto wake wa ubatizo) hivyo kufatia sababu hizo Rwanda ilikuwa kikwazo kikubwa kufanikisha mapambano dhidi ya utawala wa Mobutu.

    Mwaka 1977 bwana Christopher Kanambe ambae ndie baba yake wa kumzaa Joseph Kabila alifariki dunia (duru za ndani zinataja Mzee kabila kuhusika, tutalitazama hili baadae) na kwa mujibu wa mila zao na taratibu za kijeshi ilibidi kabila amrithi mke wa Kanambe yani huyo mwanamama Marcellina pamoja na watoto wake wawili mapacha ambao ni Hypolitte na Jenny (wale wa karibu na escape 1 mnakumbuka utajiiri na matanuzi ya huyu dada).

    Baada ya kuchukuliwa na Mzee Kabila wote rasmi wakaanza kuitwa kabila, yani huyo Hypolite na Jenny walibadili majina yao kwa Hypolite kuitwa Joseph kabila na huyo Jenny kuitwa Jennifer Kabila. Ila katika harakati za Mzee Kabila za mapambano yalipo mzidi alikimbilia Tanzania na familia yake ingawaje alikuwa na wanawake 13 na watoto 25 katika sehemu mbalimbali huko Kongo DRC.

    Huyu Joseph Kabila (JKK) a.k.a Hypolite ni mpwa wa mkuu wa majeshi wa zamani wa Rwanda anae aitwaye James kabarebe na hadi mwaka 1996 huyu Hypolite alikuwa ni dereva wake kwenye vita ya Banyamulenge ya kumsaidia Mzee Kabila kumtoa Mobutu madarakani, hilo linathibitishwa na waziri wa mambo ya nje kipindi cha utawala wa Mzee Kabila aliyeitwa Bizima Karaha ambae alikuwa ni mnyarwanda, ambae mara kadhaa Karaha anasema anakumbuka kumuona Kabila akiwa dereva wa Kabarebe mwaka 94 na 95 alikuwa porini na jeshi la kagame la RPF ambalo lilikuwa likimsaidia Mzee Kabila katika vita vya msituni dhidi ya Mobutu.

    Je ni Kwanini Joseph Kabila alipewa uraisi wa Kongo DRC kama hakuwa raia wa Kongo DRC? Katika kujibu swali hilo na kulielewa vizuri ni vyema turejee historia ya kifo cha baba yake Kabila aliyeitwa Christopher Kanambe ambae alikuwa ni mtusi wa Rwanda. plan hii ya kupewa uraisi Joseph Kabila ni plan iliyo injiniwa na Paul Kagame rais wa Rwanda ambae baada ya kuvulugana na Mzee Kabila kufatia kukwama kwa makubaliano ya kile kilichoitwa "Mkataba wa Lemela" ilikuwa ni mpango wa kumuondoa Laurent Kabila duniani na kumuweka mnyarwanda huyu Joseph (Hypolite) mkakati huu ulifanyika kwa umakini wa hali ya juu sana ambapo kijasusi mbinu hizi huitwa "TROJAN HORSE TECHNIC".

    Sasa turejee kwenye habari ya kifo cha BABA YAKE HYPPOLITE........
    Christopher Kanambe Kazemberembe na Mzee Laurent Kabila walikutana na kuanza ushirikiano wao mwaka 1964 kila mmoja akiwa anapambania nchi yake, Kanambe Vs Wahutu (Juvenal Habyarimana) na Kabila Vs Mobutu Seseseko, kufatia mapambano hayo mambo yakawa magumu mwaka 1966 kufatia jeshi la Mobutu kujibu mapigo kwa kusambalatisha uasi wote huko mashariki ya Kongo, kufatia hali hiyo Kanambe na Kabila wakakimbilia Tanzania chini ya mwamvuli wa P.R.P. (Parti de la Revolution du Peuple).

    Baada ya vita ya Moba, Mobutu seseseko alituma watu kumuhonga hela nyingi Christopher Kanambe ambaye ni baba halisi wa Joseph Kabila ili amuue Laurent Kabila lakini mission ilibuma, baada ya mzee Laurent kabila kupenyezewa taarifa hizo, hivyo Kabila akaitisha kikao sehemu iitwayo Nyunzu huko mashariki ya Kongo DRC wanajeshi wake kadhaa wakapatikana na hatia akiwemo Christopher kanambe na wakahukumiwa kifo, lakini kabla ya hukumu ya Christopher Kanambe kutekelezwa aliuwawa na askali wake mwaka 1977 kisha huyo askali nae kuuwawa na walinzi wa Kanambe.

    Baada ya kifo cha Kanambe Laurent Desiree Kabila akamuoa Marcelina mke wa Kanambe na kuwa adopt watoto wake mapacha Jenny na Hypolitte......... Ukweli ni kwamba huyu Hypolite (JKK) alizaliwa Kongo, na baba yake Christopher Kanambe alikuwa ukimbizini akifanya uasi dhidi ya serikali ya wahutu ya Habyarimana, na baada ya kifo chake zilitumika mila za kivu, kurithiwa na mzee Kabila.

    Joseph Kabila, jina lake harisi anaitwa Hyppolite Kanambe Kazemberembe, baba yake wa kufikia Mzee Laurent Kabila alikua na wake zaidi ya 13 na watoto zaidi ya 25 na wengine hawajulikani kwani mzee Kabila hakua na muda wa kuwalea watoto hao kwani kipindi wanaishi Msasani Dar es salaam ambako Hyppolite Kanambe alilazimika kufanya kazi za ufundi, taxi dreva na barman katika Jiji la Dar es salaam na Kigoma kipindi hicho baba yake wa kufikia Laurent Desiree Kabila alikua ana ishi Tanzania huku anapigana vita na Mobutu Sese Seko huko Kongo DRC wakati huo ikiitwa Zaire.

    Mwaka 1995, Hyppolite Kanambe aliamua kurudi kwao Rwanda ambako alipokelewa na mjomba wake James Kabarebe, ambae alikuwa ni mkuu wa intelijensia ya Rwandan Patriotic Army (APR), alimkaribisha Kanambe nyumabni kwake na kumtafutia kazi ya udereva wa ma lori na baadae akawa dereva wake katika jeshi.

    Mwaka 1996, Marekani ilipoandaa shambulio dhidi ya Zaire, kupitia ile iliyoitwa "Operation Banyamrenge" chini ya Paul Kagame, Kagame alimchagua Kanal James Kabarebe kuwa kiongozi mkuu wa Operation hiyo na kuhakikisha Mobutu anapinduliwa.

    Katika kuajilia wanajeshi watakao husika na operation hiyo Banyamrenge Kabarebe aliamua kumweka mpwa wake Hyppolite Kanambe (Joseph Kabila) katika mazoezi ya kijeshi ili baadae ampatie nafasi jeshini, baada ya Hippolyte Kanambe kuhitimu mafunzo aliajiliwa kwenye jeshi la Rwanda kupitia mgongo wa James Kabarebe na alitumika katika jeshi la Rwanda kuanzia mwaka 1995 mpaka 1997, na alitumika pia kama mlinzi wa kagame kuanzia mwaka 1997 mpaka mwaka 1998 alipo rudi Kongo DRC na kuteuliwa kuwa Major General kwenye special Force iliyokuwa ikiendesha operation maalumu huko mashariki ya Kongo DRC.

    Je Kuna uhusiano wowote wa Joseph Kabila kuhusika katika mauaji ya Laurent Desiree Kabila?... Je kuna lolote lile linalohusishwa na ulipaji kisasi cha baba yake marehemu Kanambe Kazemberembe? Au upi uhusiano baina ya "Operation Banyamrenge" na mkakati wa Bahima Platform dhidi ya Joseph kabila na kifo cha Mzee Kabila?... Itaendelea sehemu ya pili.

    Endelea kuwa na mimi katika sehemu ya Pili kupata majibu ya maswali hayo....upate kujua kuwa nchi ya Kongo DRC bado ipo contolled by remote from kigali maana Tshisekedi ni pambo tu.

    Ukinakili kazi zangu kumbuka kufanya acknowledgment.
    ®Wako Mjoli wa Historia na diplomasia ya ulimwengu.

    Ndimi: Comred Mbwana Allyamtu
    © Copy rights of this article reserved
    ®written by Comred Mbwana Allyamtu
    JE UNAFAHAMU JINA HALISI LA JOSEPH KABILA ANAITWA "HYPOLITE KANAMBE KAZEMBEREMBE"? NA NI MTOTO WA KUFIKIA WA LAURENT DESIRE KABILA?. Kumekuwepo maswali mengi sana ndani ya Kongo DRC na nchi nyingi Afrika juu ya uhalisia wa Joseph Kabila Kabange (JKK) kuhusishwa na Unyarwanda (Rwandese), kumetolewa taarifa nyingi za siri zinazo mtaja JKK kuwa sio mtoto wa kuzaa wa Mzee Laurent Desiree Kabila raisi wa tatu wa Kongo DRC na kiongozi wa zamani wa kundi la uasi la AFDL, aliye uondosha madarakani utawala wa vipindi virefu wa Mobutu Seseseko Kuku Ngwendu wa Zabanga kupitia ile iliyoitwa Operation Banyamrenge/Bahima. Joseph Kabila mwenyewe na wafuasi wake wamekuwa wakikanusha hilo na kuhusisha taarifa hizo na njama chafu za kumchafua. Mwaka 2010 kwenye maadhimisho ya miaka kumi ya kifo cha Laurent Desire Kabila, Joseph Kabila mwenyewe alitoa maelezo kuhusiana na taarifa hizo zinazo muhusisha na unyarwanda. Pamoja na maelezo yaliyokanusha ya yeye kuhusishwa na taarifa hizo bado kumekuwepo taarifa na ushahidi mwingi unaoendelea kutolewa kuthibitisha kuwa Joseph Kabila ni Mnyarwanda na sio mtoto wa kuzaa wa Mzee Kabila. Moja ya tafiti hizo zinazo zungumzia sintofahamu hii ya Joseph Kabila ni "Waraka" ulio chapishwa na jarida la "Africa Federation" jarada hilo lilipewa jina la (titled) : CONCERNING THE TRUE IDENTITY OF MR. HYPPOLITE KANAMBE ALIAS “JOSEPH KABILA” ndani ya jarida lina mtaja Joseph Kabila kuwa sio mtoto wa kuzaliwa na Kabila mzee, waraka huu unaonesha kuwa mke wa Kabila mzee aliyeitwa Sifa Mahanga alikuwa na watoto sita (6) tu ambao alizaa na mzee Laurent-Desire Kabila. Kati ya watoto hao ambao Sifa Mahanga mke wa mzee Kabila alio zaa nao ni Josephine, Cecile, Masengo, Gloria, Kiki and Maguy. Katika list hiyo Joseph kabila hayumo. Je huyu Joseph Kabila Kabangee (JKK) anaye tajwa kuwa sio mtoto wa kuzaa (biological child) wa Mzee Kabila ni nani? Kimsingi huyu Joseph Kabila aliyekuwa rais wa nne wa taifa la Kongo DRC jina lake halisi anaitwa Hypolitte Christopher Kanambe na alizaliwa tarehe 04 June 1971 katika kijiji kidogo cha Hewabora, kilichopo katika mji wa Fizi jimboni Kivu ya kusini (South Kivu Province in the Eastern Congo) huku baba yake akiitwa Christopher Kanambe Kazemberembe na mama yake akiitwa Marcellina Mukambukuje. Baba yake alikuwa ni muasi kutoka kabila la Watuttsi aliyepinga utawala wa Juvenal Habyarimana raisi wa Rwanda kipindi hicho. Huyo Christopher Kanambe alikimbia Rwanda yeye na familia yake na kukimbilia nchini Kongo DRC mwaka 1960 baada ya machafuko ya kwanza ya kikabila nchini Rwanda yaliyo anza mwaka 1959, na katika harakati hizo za kutaka kuuondoa utawala wa Juvenal Habyarimana madarakani akafanikiwa kutana na Mzee Laurent Kabila mwaka 1964 aliyekuwa kwenye mapigano ya kumpinga Mobutu Seseseko huko mashariki ya Kongo DRC ,wakawa marafiki chanda na pete kwenye issue zao za kivita. Baada ya kukutana na kuendelea na ushirikiano wao kwa makubaliano kwamba Mzee Kabila amsaidie Christopher Kanambe kumuondoa Juvenal Habyalimana madarakani kisha yeye atamsaidia Kabila kumuondosha Mobutu ikulu ya Kinshasa. Walikubaliana hayo kwakua utawala wa Mobutu ulikuwa umewekeza base yake kubwa Rwanda chini ya utawala wa Juvenal Habyalimana (Mtoto wake wa ubatizo) hivyo kufatia sababu hizo Rwanda ilikuwa kikwazo kikubwa kufanikisha mapambano dhidi ya utawala wa Mobutu. Mwaka 1977 bwana Christopher Kanambe ambae ndie baba yake wa kumzaa Joseph Kabila alifariki dunia (duru za ndani zinataja Mzee kabila kuhusika, tutalitazama hili baadae) na kwa mujibu wa mila zao na taratibu za kijeshi ilibidi kabila amrithi mke wa Kanambe yani huyo mwanamama Marcellina pamoja na watoto wake wawili mapacha ambao ni Hypolitte na Jenny (wale wa karibu na escape 1 mnakumbuka utajiiri na matanuzi ya huyu dada). Baada ya kuchukuliwa na Mzee Kabila wote rasmi wakaanza kuitwa kabila, yani huyo Hypolite na Jenny walibadili majina yao kwa Hypolite kuitwa Joseph kabila na huyo Jenny kuitwa Jennifer Kabila. Ila katika harakati za Mzee Kabila za mapambano yalipo mzidi alikimbilia Tanzania na familia yake ingawaje alikuwa na wanawake 13 na watoto 25 katika sehemu mbalimbali huko Kongo DRC. Huyu Joseph Kabila (JKK) a.k.a Hypolite ni mpwa wa mkuu wa majeshi wa zamani wa Rwanda anae aitwaye James kabarebe na hadi mwaka 1996 huyu Hypolite alikuwa ni dereva wake kwenye vita ya Banyamulenge ya kumsaidia Mzee Kabila kumtoa Mobutu madarakani, hilo linathibitishwa na waziri wa mambo ya nje kipindi cha utawala wa Mzee Kabila aliyeitwa Bizima Karaha ambae alikuwa ni mnyarwanda, ambae mara kadhaa Karaha anasema anakumbuka kumuona Kabila akiwa dereva wa Kabarebe mwaka 94 na 95 alikuwa porini na jeshi la kagame la RPF ambalo lilikuwa likimsaidia Mzee Kabila katika vita vya msituni dhidi ya Mobutu. Je ni Kwanini Joseph Kabila alipewa uraisi wa Kongo DRC kama hakuwa raia wa Kongo DRC? Katika kujibu swali hilo na kulielewa vizuri ni vyema turejee historia ya kifo cha baba yake Kabila aliyeitwa Christopher Kanambe ambae alikuwa ni mtusi wa Rwanda. plan hii ya kupewa uraisi Joseph Kabila ni plan iliyo injiniwa na Paul Kagame rais wa Rwanda ambae baada ya kuvulugana na Mzee Kabila kufatia kukwama kwa makubaliano ya kile kilichoitwa "Mkataba wa Lemela" ilikuwa ni mpango wa kumuondoa Laurent Kabila duniani na kumuweka mnyarwanda huyu Joseph (Hypolite) mkakati huu ulifanyika kwa umakini wa hali ya juu sana ambapo kijasusi mbinu hizi huitwa "TROJAN HORSE TECHNIC". Sasa turejee kwenye habari ya kifo cha BABA YAKE HYPPOLITE........ Christopher Kanambe Kazemberembe na Mzee Laurent Kabila walikutana na kuanza ushirikiano wao mwaka 1964 kila mmoja akiwa anapambania nchi yake, Kanambe Vs Wahutu (Juvenal Habyarimana) na Kabila Vs Mobutu Seseseko, kufatia mapambano hayo mambo yakawa magumu mwaka 1966 kufatia jeshi la Mobutu kujibu mapigo kwa kusambalatisha uasi wote huko mashariki ya Kongo, kufatia hali hiyo Kanambe na Kabila wakakimbilia Tanzania chini ya mwamvuli wa P.R.P. (Parti de la Revolution du Peuple). Baada ya vita ya Moba, Mobutu seseseko alituma watu kumuhonga hela nyingi Christopher Kanambe ambaye ni baba halisi wa Joseph Kabila ili amuue Laurent Kabila lakini mission ilibuma, baada ya mzee Laurent kabila kupenyezewa taarifa hizo, hivyo Kabila akaitisha kikao sehemu iitwayo Nyunzu huko mashariki ya Kongo DRC wanajeshi wake kadhaa wakapatikana na hatia akiwemo Christopher kanambe na wakahukumiwa kifo, lakini kabla ya hukumu ya Christopher Kanambe kutekelezwa aliuwawa na askali wake mwaka 1977 kisha huyo askali nae kuuwawa na walinzi wa Kanambe. Baada ya kifo cha Kanambe Laurent Desiree Kabila akamuoa Marcelina mke wa Kanambe na kuwa adopt watoto wake mapacha Jenny na Hypolitte......... Ukweli ni kwamba huyu Hypolite (JKK) alizaliwa Kongo, na baba yake Christopher Kanambe alikuwa ukimbizini akifanya uasi dhidi ya serikali ya wahutu ya Habyarimana, na baada ya kifo chake zilitumika mila za kivu, kurithiwa na mzee Kabila. Joseph Kabila, jina lake harisi anaitwa Hyppolite Kanambe Kazemberembe, baba yake wa kufikia Mzee Laurent Kabila alikua na wake zaidi ya 13 na watoto zaidi ya 25 na wengine hawajulikani kwani mzee Kabila hakua na muda wa kuwalea watoto hao kwani kipindi wanaishi Msasani Dar es salaam ambako Hyppolite Kanambe alilazimika kufanya kazi za ufundi, taxi dreva na barman katika Jiji la Dar es salaam na Kigoma kipindi hicho baba yake wa kufikia Laurent Desiree Kabila alikua ana ishi Tanzania huku anapigana vita na Mobutu Sese Seko huko Kongo DRC wakati huo ikiitwa Zaire. Mwaka 1995, Hyppolite Kanambe aliamua kurudi kwao Rwanda ambako alipokelewa na mjomba wake James Kabarebe, ambae alikuwa ni mkuu wa intelijensia ya Rwandan Patriotic Army (APR), alimkaribisha Kanambe nyumabni kwake na kumtafutia kazi ya udereva wa ma lori na baadae akawa dereva wake katika jeshi. Mwaka 1996, Marekani ilipoandaa shambulio dhidi ya Zaire, kupitia ile iliyoitwa "Operation Banyamrenge" chini ya Paul Kagame, Kagame alimchagua Kanal James Kabarebe kuwa kiongozi mkuu wa Operation hiyo na kuhakikisha Mobutu anapinduliwa. Katika kuajilia wanajeshi watakao husika na operation hiyo Banyamrenge Kabarebe aliamua kumweka mpwa wake Hyppolite Kanambe (Joseph Kabila) katika mazoezi ya kijeshi ili baadae ampatie nafasi jeshini, baada ya Hippolyte Kanambe kuhitimu mafunzo aliajiliwa kwenye jeshi la Rwanda kupitia mgongo wa James Kabarebe na alitumika katika jeshi la Rwanda kuanzia mwaka 1995 mpaka 1997, na alitumika pia kama mlinzi wa kagame kuanzia mwaka 1997 mpaka mwaka 1998 alipo rudi Kongo DRC na kuteuliwa kuwa Major General kwenye special Force iliyokuwa ikiendesha operation maalumu huko mashariki ya Kongo DRC. Je Kuna uhusiano wowote wa Joseph Kabila kuhusika katika mauaji ya Laurent Desiree Kabila?... Je kuna lolote lile linalohusishwa na ulipaji kisasi cha baba yake marehemu Kanambe Kazemberembe? Au upi uhusiano baina ya "Operation Banyamrenge" na mkakati wa Bahima Platform dhidi ya Joseph kabila na kifo cha Mzee Kabila?... Itaendelea sehemu ya pili. Endelea kuwa na mimi katika sehemu ya Pili kupata majibu ya maswali hayo....upate kujua kuwa nchi ya Kongo DRC bado ipo contolled by remote from kigali maana Tshisekedi ni pambo tu. 👉📎Ukinakili kazi zangu kumbuka kufanya acknowledgment. ®Wako Mjoli wa Historia na diplomasia ya ulimwengu. Ndimi: Comred Mbwana Allyamtu © Copy rights of this article reserved ®written by Comred Mbwana Allyamtu
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • NDOTO YA MWANA MFALME WA SAUD ARABIA YA KUJENGA MJI UNAOJITEGEMEA KWA KILA KITU INAELEKEA KUTIMIA
    .
    .
    Mwana wa mfalme wa saud Arabia MOHAMMED BIN SALMAN alifikia uamuzi huo baada ya kutembelea ukanda wa kusinimagharibi mwa SAUDI ARABIA na kujionea eneo kubwa likiwa kame na lisilo na mvuto.Mradi huo utagharimu zaidi ya dola za kimarekani billioni miatano (500$) hii ni zaidi ya mara mia mbili ya bajeti ya Tanzania watu wanapesa bhana......
    .
    .
    Mradi huo utachukua maili za mraba elfu kumi (10,000 square miles) na katika huo mji vitu vingi vitakuwa ni BANDIA yaani vitu vingi vitakuwa ni vyakuundwa na binadamu kuanzia mchanga, mwezi nk.
    .
    .
    Amesema amekusudia kufanya hivyo kuonyesha na kuushangaza ulimwengu kwa kutoa wazo zuri na litakalo tukuzwa na kila mtu
    .
    .
    VITU VITAKAVYO KUWEPO HUMO
    .
    .
    MWEZI BANDIA (GIANT ARTIFICIAL MOON)
    Mwezi huo ndio utakuwa chanzo cha mwanga nyakati za usiku utakua ukiangaza na kutoa mwanga mkubwa kiasi kwamba usiku utakua ukionekana kama mchana.
    .
    MAGARI YANAYO PAA (FLYING CARS)
    katika mji huo kutakuwepo na magari yanayo paa ,yaani huduma nyingi za usafiri wa magari kama daladala na taxi zitakuwa zinatolewa na magari yanayopaa
    .
    MCHANGA BANDIA (ARTIFICIAL SHINNING SAND)
    Mwana mfalme huyo amekusudia kutengeneza mchanga ambao utakuwa unang'aa nyakati za mchana na usiku taswila ambayo itaongeza mvuto na uzuri wa mji huo
    .
    MVUA BANDIA (ARTIFICIAL RAIN)
    Pia amekusudia kutengeneza mvua mbadala yaani mvua ambayo itakuwa ikinyesha muda wowote anaotaka haijalishi ni kiangazi wala masika.Kumbuka mji huo utajengwa kwenye jangwa lililopo pembezoni mwa SAUDI ARABIA .
    .
    WAHUDUMU MAROBOTI (ROBOT WORKERS)
    Kumbuka mji huo utakuwa kama sehemu ya kiutalii hivyo amekusudia kuajiri wafanya maroboti.Maroboti hao watakuwa wakitoa huduma mbalimbali kama kuhudumia vinywaji kwenye bar chakuka kwenye hotel na hata kuendesha baadhi ya taxi.
    .
    .
    NB
    Teknolojia ya gari zinazopaa ilisha wekwa wazi na baadhi ya wasafiri wa kinadharia (TIME TRAVELERS) wengi wa time travelers wanasema mpaka kufikia mwaka 2030 teknolojia ya magari yanayopaa itakuwa ishaanza kushamiri katika miji mingi mikubwa duniani kama TEXAS,NEW YORK CITY,PARIS,BEIJING nk
    NDOTO YA MWANA MFALME WA SAUD ARABIA YA KUJENGA MJI UNAOJITEGEMEA KWA KILA KITU INAELEKEA KUTIMIA . . Mwana wa mfalme wa saud Arabia MOHAMMED BIN SALMAN alifikia uamuzi huo baada ya kutembelea ukanda wa kusinimagharibi mwa SAUDI ARABIA na kujionea eneo kubwa likiwa kame na lisilo na mvuto.Mradi huo utagharimu zaidi ya dola za kimarekani billioni miatano (500$) hii ni zaidi ya mara mia mbili ya bajeti ya Tanzania watu wanapesa bhana...... . . Mradi huo utachukua maili za mraba elfu kumi (10,000 square miles) na katika huo mji vitu vingi vitakuwa ni BANDIA yaani vitu vingi vitakuwa ni vyakuundwa na binadamu kuanzia mchanga, mwezi nk. . . Amesema amekusudia kufanya hivyo kuonyesha na kuushangaza ulimwengu kwa kutoa wazo zuri na litakalo tukuzwa na kila mtu . . VITU VITAKAVYO KUWEPO HUMO . . 🔴 MWEZI BANDIA (GIANT ARTIFICIAL MOON) Mwezi huo ndio utakuwa chanzo cha mwanga nyakati za usiku utakua ukiangaza na kutoa mwanga mkubwa kiasi kwamba usiku utakua ukionekana kama mchana. . 🔴MAGARI YANAYO PAA (FLYING CARS) katika mji huo kutakuwepo na magari yanayo paa ,yaani huduma nyingi za usafiri wa magari kama daladala na taxi zitakuwa zinatolewa na magari yanayopaa . 🔴MCHANGA BANDIA (ARTIFICIAL SHINNING SAND) Mwana mfalme huyo amekusudia kutengeneza mchanga ambao utakuwa unang'aa nyakati za mchana na usiku taswila ambayo itaongeza mvuto na uzuri wa mji huo . 🔴MVUA BANDIA (ARTIFICIAL RAIN) Pia amekusudia kutengeneza mvua mbadala yaani mvua ambayo itakuwa ikinyesha muda wowote anaotaka haijalishi ni kiangazi wala masika.Kumbuka mji huo utajengwa kwenye jangwa lililopo pembezoni mwa SAUDI ARABIA . . 🔴WAHUDUMU MAROBOTI (ROBOT WORKERS) Kumbuka mji huo utakuwa kama sehemu ya kiutalii hivyo amekusudia kuajiri wafanya maroboti.Maroboti hao watakuwa wakitoa huduma mbalimbali kama kuhudumia vinywaji kwenye bar chakuka kwenye hotel na hata kuendesha baadhi ya taxi. . . NB Teknolojia ya gari zinazopaa ilisha wekwa wazi na baadhi ya wasafiri wa kinadharia (TIME TRAVELERS) wengi wa time travelers wanasema mpaka kufikia mwaka 2030 teknolojia ya magari yanayopaa itakuwa ishaanza kushamiri katika miji mingi mikubwa duniani kama TEXAS,NEW YORK CITY,PARIS,BEIJING nk
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·2K Views


  • HII STORY INAKUFUNDISHA NINI

    MWANAUME mmoja alikuwa anampenda sana mkewe. Walikuwa wamejaaliwa watoto watatu waliokuwa wachangamfu na walifurahia sana maisha.

    Yule mwanaume alikuwa analipwa mshahara wa wastani ambao usingetosha kukidhi kumpendezesha mkewe na kutunza familia. Kutokana na changamoto za kipato kidogo alijiongeza na kununua kagari kadogo aina ya


    Mtanisamehe wale wenye ndoto ya kununua IST) ili akaendeshe kama taxi jioni baada ya kutoka ofisini ili kuongeza kipato chake.......!

    Kiukweli huu mpango ulienda vizuri na maisha yakawa bora na mazuri ijapokuwa alichoka sana na pia alikosa muda wa kutosha na familia yake. Hatahivyo, alijitia moyo kuwa haiwezekani mtu akala keki yake na bado ikawepo yaani..

    UKIWA na muda huna pesa na UKIWA na PESA huna Muda ~ hivyo kila mtu huchagua anachotaka kuwa nacho.

    Kila siku jioni jamaa alimpatia mkewe maokoto ya kwenye teksi kama shilingi 25,000 isipokuwa siku ya Jumapili aliyokuwa anaswali na


    Kila siku jioni jamaa alimpatia mkewe maokoto ya kwenye teksi kama shilingi 25,000 isipokuwa siku ya Jumapili aliyokuwa anaswali na kupumzika. Hii ilikuwa kwaajili ya gharama za chakula na matumizi ya nyumbani.

    PALE nyumbani palikuwa na amani furaha na utulivu. Kutokana na jinsi jamaa alivyompenda yule mkewe na watoto hakutaka kuuliza matumizi ya ile pesa. Kodi ya nyumba ada na matibabu alitoa kwenye mshahara wake wa ofisini.

    KWA ghafla siku moja mkewe akaugua na alihitajika kufanyiwa operesheni ya haraka. Na yule mwanaume hakuwa na tabia ya kujiwekea akiba. Alitaabika na kuhuzunika sana kwani dakitari alimweleza kuwa mkewe asipofanyiwa upasuaji kwa haraka ili kutatua tatizo linalomsibu atafariki dunia.

    Jamaa akajiongeza akamjulisha mkewe kuwa anaenda kuuza ile gari yake IST kwa haraka hata kama ni kwa hasara ili apate fedha za kumtibu mkewe. Basi mama watoto akamshukuru sana kwa jinsi anavyompenda na kumwambia hakika akipona atampenda zaidi na kuwajali watoto.

    Yule mwanaume akarudi nyumbani akihuzunika kuwa hatakuwa na gari ya kutengenezea pesa jioni baada ya kazi hivyo atakosa pesa na uchumi wa familia yake na ubora wa maisha utashuka. Hatahivyo, akapiga moyo konde kuwa ni heri mkewe atibiwe kuliko kuwa na hiyo gari.

    Wakati akitafuta madalali wanaoweza kuuza ile gari kwa haraka au wateja akawa anapiga magoti chumbani na kusali sana usiku kucha. Alikuwa anapiga magoti kwenye mfumbati wa kitanda na kuegemea godoro upande wa miguuni. Mara akagumdua kuwa ule upande wa miguuni mwa godoro kulikuwa kugumu kugumu na kuna uzito usiokuwa wa kawaida. Ndipo alipoamua kufunua shuka na kulitoa lile godoro.

    Alipolichunguza lile godoro kuu kuu akakuta limekatwa na ndani yake kuna fedha iliyofichwa inayofikia shilingi milioni nne na nusu (TZS 4,500,000). Yule mwanaume akashangilia kwa furaha kuu huku akiwa amepigwa na butwaa. Mbona mwenzangu anajua ana kitita kinachotosha matibabu na kuzidi na hasemi yuko tayari niuze gari inayotusaidia kutengeneza pesa? Kwakweli hakupata majibu wala hakumuuliza wala kumueleza yeyote.



    Akaichukua ile pesa akalipa matibabu ya mkewe yote, akanunua godoro kubwa jipya la Tanform 6×6 unene wa nchi sita na mashuka mapya. Akachukua lile godoro kuu kuu walilokuwa wanalilalia 'benki' ya mama watoto na kuwaita watoto wake wote watatu wakalilowanisha kwa mafuta ya taa na kisha wakalichoma moto kwa pamoja. Akawaambia nimenunua godoro jipya ili mama yenu akirudi alale mahali pasafi na pazuri.

    Kwa neema za Mungu mama akatibiwa akapona vizuri na kurusiwa kurudi nyumbani. Aliporudi nyumbani akakuta mumewe amenunua godoro jipya na mashuka mapya mazuri sana.

    Akauliza, "Mume wangu godoro la zamani liko wapi?". Mumewe akamjibu, "Aisee lilikuwa na kunguni na wadudu wa aina nyingi, sikuwa naweza kulala usiku wakati hukuwepo. Tulilimwagia mafuta ya taa mimi na watoto tukalichoma moto". Watoto wakamwambia mama yao, "ni kweli mama! Tulilichoma moto lile godoro tukiwa na baba, ule moto ulikuwa kama wa jehanamu." Stori ikaishia hapo.

    Japokuwa mama alipona kabisa, huu ni mwaka wa sita bado ule mshono wa oparesheni huwa unauma.

    Kumbuka hawezi kuuliza kuhusu Hela zilizokuwa Kwenye godoro.





    HII STORY INAKUFUNDISHA NINI MWANAUME mmoja alikuwa anampenda sana mkewe. Walikuwa wamejaaliwa watoto watatu waliokuwa wachangamfu na walifurahia sana maisha. Yule mwanaume alikuwa analipwa mshahara wa wastani ambao usingetosha kukidhi kumpendezesha mkewe na kutunza familia. Kutokana na changamoto za kipato kidogo alijiongeza na kununua kagari kadogo aina ya Mtanisamehe wale wenye ndoto ya kununua IST) ili akaendeshe kama taxi jioni baada ya kutoka ofisini ili kuongeza kipato chake.......! Kiukweli huu mpango ulienda vizuri na maisha yakawa bora na mazuri ijapokuwa alichoka sana na pia alikosa muda wa kutosha na familia yake. Hatahivyo, alijitia moyo kuwa haiwezekani mtu akala keki yake na bado ikawepo yaani.. UKIWA na muda huna pesa na UKIWA na PESA huna Muda ~ hivyo kila mtu huchagua anachotaka kuwa nacho. Kila siku jioni jamaa alimpatia mkewe maokoto ya kwenye teksi kama shilingi 25,000 isipokuwa siku ya Jumapili aliyokuwa anaswali na Kila siku jioni jamaa alimpatia mkewe maokoto ya kwenye teksi kama shilingi 25,000 isipokuwa siku ya Jumapili aliyokuwa anaswali na kupumzika. Hii ilikuwa kwaajili ya gharama za chakula na matumizi ya nyumbani. PALE nyumbani palikuwa na amani furaha na utulivu. Kutokana na jinsi jamaa alivyompenda yule mkewe na watoto hakutaka kuuliza matumizi ya ile pesa. Kodi ya nyumba ada na matibabu alitoa kwenye mshahara wake wa ofisini. KWA ghafla siku moja mkewe akaugua na alihitajika kufanyiwa operesheni ya haraka. Na yule mwanaume hakuwa na tabia ya kujiwekea akiba. Alitaabika na kuhuzunika sana kwani dakitari alimweleza kuwa mkewe asipofanyiwa upasuaji kwa haraka ili kutatua tatizo linalomsibu atafariki dunia. Jamaa akajiongeza akamjulisha mkewe kuwa anaenda kuuza ile gari yake IST kwa haraka hata kama ni kwa hasara ili apate fedha za kumtibu mkewe. Basi mama watoto akamshukuru sana kwa jinsi anavyompenda na kumwambia hakika akipona atampenda zaidi na kuwajali watoto. Yule mwanaume akarudi nyumbani akihuzunika kuwa hatakuwa na gari ya kutengenezea pesa jioni baada ya kazi hivyo atakosa pesa na uchumi wa familia yake na ubora wa maisha utashuka. Hatahivyo, akapiga moyo konde kuwa ni heri mkewe atibiwe kuliko kuwa na hiyo gari. Wakati akitafuta madalali wanaoweza kuuza ile gari kwa haraka au wateja akawa anapiga magoti chumbani na kusali sana usiku kucha. Alikuwa anapiga magoti kwenye mfumbati wa kitanda na kuegemea godoro upande wa miguuni. Mara akagumdua kuwa ule upande wa miguuni mwa godoro kulikuwa kugumu kugumu na kuna uzito usiokuwa wa kawaida. Ndipo alipoamua kufunua shuka na kulitoa lile godoro. Alipolichunguza lile godoro kuu kuu akakuta limekatwa na ndani yake kuna fedha iliyofichwa inayofikia shilingi milioni nne na nusu (TZS 4,500,000). Yule mwanaume akashangilia kwa furaha kuu huku akiwa amepigwa na butwaa. Mbona mwenzangu anajua ana kitita kinachotosha matibabu na kuzidi na hasemi yuko tayari niuze gari inayotusaidia kutengeneza pesa? Kwakweli hakupata majibu wala hakumuuliza wala kumueleza yeyote. Akaichukua ile pesa akalipa matibabu ya mkewe yote, akanunua godoro kubwa jipya la Tanform 6×6 unene wa nchi sita na mashuka mapya. Akachukua lile godoro kuu kuu walilokuwa wanalilalia 'benki' ya mama watoto na kuwaita watoto wake wote watatu wakalilowanisha kwa mafuta ya taa na kisha wakalichoma moto kwa pamoja. Akawaambia nimenunua godoro jipya ili mama yenu akirudi alale mahali pasafi na pazuri. Kwa neema za Mungu mama akatibiwa akapona vizuri na kurusiwa kurudi nyumbani. Aliporudi nyumbani akakuta mumewe amenunua godoro jipya na mashuka mapya mazuri sana. Akauliza, "Mume wangu godoro la zamani liko wapi?". Mumewe akamjibu, "Aisee lilikuwa na kunguni na wadudu wa aina nyingi, sikuwa naweza kulala usiku wakati hukuwepo. Tulilimwagia mafuta ya taa mimi na watoto tukalichoma moto". Watoto wakamwambia mama yao, "ni kweli mama! Tulilichoma moto lile godoro tukiwa na baba, ule moto ulikuwa kama wa jehanamu." Stori ikaishia hapo. Japokuwa mama alipona kabisa, huu ni mwaka wa sita bado ule mshono wa oparesheni huwa unauma. Kumbuka hawezi kuuliza kuhusu Hela zilizokuwa Kwenye godoro.
    Love
    Haha
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • ᴛᴇꜱʟᴀ ʏᴀᴢɪɴᴅᴜᴀ ᴄʜᴀᴊɪ ʙɪʟᴀ ᴡᴀʏᴀ ᴋᴡᴀ ʀᴏʙᴏᴛᴀxɪꜱ ⚡️

    Tesla imewasilisha mfumo wa kuchaji bila waya kwa robotaxis zake, unaoruhusu magari ya umeme kuchaji bila kuunganishwa kwenye soketi. Kulingana na kampuni hiyo, mchakato wa kuchaji kutoka 35% hadi 100% utachukua chini ya saa moja.

    Kwa habari zaidi, Jiunge nasi
    Telegram Channel : https://t.me/+kZVHb14mRuJjYmVk
    #kai #teknolojia #socialpop

    ᴛᴇꜱʟᴀ ʏᴀᴢɪɴᴅᴜᴀ ᴄʜᴀᴊɪ ʙɪʟᴀ ᴡᴀʏᴀ ᴋᴡᴀ ʀᴏʙᴏᴛᴀxɪꜱ 🚗⚡️ Tesla imewasilisha mfumo wa kuchaji bila waya kwa robotaxis zake, unaoruhusu magari ya umeme kuchaji bila kuunganishwa kwenye soketi. Kulingana na kampuni hiyo, mchakato wa kuchaji kutoka 35% hadi 100% utachukua chini ya saa moja. Kwa habari zaidi, Jiunge nasi Telegram Channel : https://t.me/+kZVHb14mRuJjYmVk #kai #teknolojia #socialpop
    Like
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·906 Views ·9
  • DID YOU KNOW..??
    IF NOT THEN NOW YOU KNOW..!!
    PART 1
    POCHO THE CROCODILE
    Chito, a fisherman, tour guide, and naturalist from Siquirres, Limón Province, Costa Rica, discovered a dying male crocodile weighing 70 kg (150 lb) on the banks of the Reventazón River in 1989. Upon closer examination, Shedden discovered that the crocodile had been shot in the head through the left eye. The crocodile had been shot by a local cattle farmer, as it was preying on a herd of cows. Shedden took the crocodile home in his boat.

    For six months, Shedden fed the crocodile 30 kg (66 lb) of chicken and fish a week, sleeping with it at night in his home. Shedden also simulated the chewing of food with his mouth to encourage the crocodile to eat and gave it kisses and hugs while talking to it and petting it. Shedden later stated his belief that providing food alone would not have helped it recover, and that "the crocodile needed my love to regain the will to live".

    After the crocodile's health improved, Shedden released the crocodile now named 'Pocho' in a nearby river to return it to the wild. The next morning, Shedden awoke to find that the crocodile had followed him home and was sleeping on his veranda. Shedden decided to allow the crocodile to stay, where it lived in the water outside Shedden's home and was considered a member of his family, alongside Shedden's second wife and daughter; Shedden's first wife had left him because he was spending too much time with the crocodile.

    Shedden eventually trained the crocodile to respond to its own name being called. For more than twenty years, Shedden swam with the crocodile in the river outside his home, mostly at night, talking and playing with Pocho while hugging, kissing and caressing him. Pocho died of natural causes in the water outside Shedden's home in Siquirres on 12 October 2011. Following a public funeral held for the crocodile, which was attended by friends and admirers, Shedden sang to the crocodile whilst holding its 'hand'. Pocho's taxidermied remains are on permanent display behind glass in the Siquirres town museum. #NYK
    DID YOU KNOW..?? IF NOT THEN NOW YOU KNOW..!!🙃 PART 1 POCHO THE CROCODILE Chito, a fisherman, tour guide, and naturalist from Siquirres, Limón Province, Costa Rica, discovered a dying male crocodile weighing 70 kg (150 lb) on the banks of the Reventazón River in 1989. Upon closer examination, Shedden discovered that the crocodile had been shot in the head through the left eye. The crocodile had been shot by a local cattle farmer, as it was preying on a herd of cows. Shedden took the crocodile home in his boat. For six months, Shedden fed the crocodile 30 kg (66 lb) of chicken and fish a week, sleeping with it at night in his home. Shedden also simulated the chewing of food with his mouth to encourage the crocodile to eat and gave it kisses and hugs while talking to it and petting it. Shedden later stated his belief that providing food alone would not have helped it recover, and that "the crocodile needed my love to regain the will to live". After the crocodile's health improved, Shedden released the crocodile now named 'Pocho' in a nearby river to return it to the wild. The next morning, Shedden awoke to find that the crocodile had followed him home and was sleeping on his veranda. Shedden decided to allow the crocodile to stay, where it lived in the water outside Shedden's home and was considered a member of his family, alongside Shedden's second wife and daughter; Shedden's first wife had left him because he was spending too much time with the crocodile. Shedden eventually trained the crocodile to respond to its own name being called. For more than twenty years, Shedden swam with the crocodile in the river outside his home, mostly at night, talking and playing with Pocho while hugging, kissing and caressing him. Pocho died of natural causes in the water outside Shedden's home in Siquirres on 12 October 2011. Following a public funeral held for the crocodile, which was attended by friends and admirers, Shedden sang to the crocodile whilst holding its 'hand'. Pocho's taxidermied remains are on permanent display behind glass in the Siquirres town museum. #NYK
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views