


@Proxy
A passionate content creator with a keen interest in driving, computers, and writing. Combining these interests, Raymond has developed a unique perspective on technology and storytelling, often sharing his insights and experiences through various creative platforms.
An avid driver, achieved a significant milestone in his life by obtaining his driver’s license, a testament to his dedication and focus. This accomplishment reflects his determination and his love for exploring new opportunities, both on and off the road curiosity and drive extend into the digital world, where he explores and creates engaging content. Whether it’s diving into the latest tech trends or crafting thoughtful written pieces, continues to push his boundaries, creating an impact in the world of content creation.
An avid driver, achieved a significant milestone in his life by obtaining his driver’s license, a testament to his dedication and focus. This accomplishment reflects his determination and his love for exploring new opportunities, both on and off the road curiosity and drive extend into the digital world, where he explores and creates engaging content. Whether it’s diving into the latest tech trends or crafting thoughtful written pieces, continues to push his boundaries, creating an impact in the world of content creation.
406 Posts
162 Photos
16 Videos
Lives in Iringa
From Mafinga
Male
Single
23/07/1993
-
Ushawahi kusafiri kwenye basi umekaa na mtu yeye kila anachokiona njian yeye anakula tu,
Ilikuwaje?Ushawahi kusafiri kwenye basi umekaa na mtu yeye kila anachokiona njian yeye anakula tu, Ilikuwaje? 😄 -
Uaminifu ni gharama sana sio kila mtu ana weza akawa nao. Kuwa makini!Uaminifu ni gharama sana sio kila mtu ana weza akawa nao. Kuwa makini!
-
Sio kila ushauri unaopewa kwenye maisha ni lazima uufanyie kazi. Ushauri sio amri.Sio kila ushauri unaopewa kwenye maisha ni lazima uufanyie kazi. Ushauri sio amri.
-
-
Mnapotuombea tufeli kwenye maisha, Basi msiache kuwaombea wale wanao tutegemea Wapate watu wengine wa kuwasaidiaMnapotuombea tufeli kwenye maisha, Basi msiache kuwaombea wale wanao tutegemea Wapate watu wengine wa kuwasaidia0 Comments ·0 Shares ·174 Views
-
-
Mafanikio ni kufikia malengo yako, Sio kuiga malengo ya watu wengine, Usijipime na mtu kwenye haya maisha kila mtu ananjia zake za kufika kwenye Mafanikio Yake.Mafanikio ni kufikia malengo yako, Sio kuiga malengo ya watu wengine, Usijipime na mtu kwenye haya maisha kila mtu ananjia zake za kufika kwenye Mafanikio Yake.
-
-
-
-
-
Ukikiheshimu sana kitu hakikisha hukisogelei na ukikisogelea hakikisha haukizoei. Mazoea yana tabia ya kufanya vitu visivyo vya kawaida kuonekana kawaida. Na kitu kikishakuwa cha kawaida sana mbele zako kinakosa thamani. Hakikisha unaviheshimu vitu vyako vya heshima vikiwa mbaliUkikiheshimu sana kitu hakikisha hukisogelei na ukikisogelea hakikisha haukizoei. Mazoea yana tabia ya kufanya vitu visivyo vya kawaida kuonekana kawaida. Na kitu kikishakuwa cha kawaida sana mbele zako kinakosa thamani. Hakikisha unaviheshimu vitu vyako vya heshima vikiwa mbali
-
"Ukiwa na taarifa chache, epuka kuwa na maoni mengi.""Ukiwa na taarifa chache, epuka kuwa na maoni mengi."
-
PIXEL 4
Tsh275000
PIXEL 4 RAM4 GB64 CLEAN *SANA PICHA KALI*
Call: 0765850054PIXEL 4 RAM4 GB64 CLEAN *SANA PICHA KALI* Call: 0765850054In stock ·UsedIringa-Mafinga -
-
-
Sio kila shamba ni lakujenga, Mashamba mengine ni yakulima na Kuondoka.Sio kila shamba ni lakujenga, Mashamba mengine ni yakulima na Kuondoka.
-
Kula chakula kila siku ndio uthibitisho pekee kuwa tumbo haliwezi kuvumilia shida, Pambana upate vyako, Hao vichaa unao waona Wengi wao ni sababu ya Kugombani Mali za Urithi.Kula chakula kila siku ndio uthibitisho pekee kuwa tumbo haliwezi kuvumilia shida, Pambana upate vyako, Hao vichaa unao waona Wengi wao ni sababu ya Kugombani Mali za Urithi.
-
Wazee hvi kiwango cha kutoa ni sh ngapWazee hvi kiwango cha kutoa ni sh ngap0 Comments ·0 Shares ·108 Views
-
-
-
-
-
Karibu kwenye huu usiku, wewe unaeamini kukosa
kwako ni bahati mbaya, njoo ukutane na kundi kubwa la
wenzio nyakati hizi.
Wale waliorudi kama walivyoenda, hawana chochote
zaidi ya tabasamu, Iinalomaanisha kesho wataenda
tena..
Njoo kwenye huu usiku wetu, usife moyo, kesho
haiwezi kuwa kama leo, be brave..
Karibu kwenye huu usiku, wewe unaeamini kukosa kwako ni bahati mbaya, njoo ukutane na kundi kubwa la wenzio nyakati hizi. Wale waliorudi kama walivyoenda, hawana chochote zaidi ya tabasamu, Iinalomaanisha kesho wataenda tena.. Njoo kwenye huu usiku wetu, usife moyo, kesho haiwezi kuwa kama leo, be brave.. -
Dunia imetufunza adabu, kupitia kwa wale ambao ni favourite kwetu.
Somo la maumivu, sisi tulifundishwa na wale tuliojua wanatupenda sana..
Ili kuelewa moyo unaumaje, tulielekezwa na wale tusiowadhania hata kidogo..
Ni kama wafiwa tuliofutwa machozi, kwa kutumia kanga ya marehemu.
Huzuni zetu hazikutoka mbali, wala kilio chetu hakikusababishwa na wageni.
Ni wale wale tuliowahadithia yanayotukabili, tukijua
wana dawa ya upweke wetu..
Msiite ni ugonjwa wa kujitakia, imani yetu ilikuwa kubwa kuliko matarajio..
Msituite wabinafsi, kwa sababu tumechagua kujitibuwenyewe vidonda vyetu..
Kwenye maisha yenu mmetupoteza vibaya sana,mtuelewe..
NINJA..
Dunia imetufunza adabu, kupitia kwa wale ambao ni favourite kwetu. Somo la maumivu, sisi tulifundishwa na wale tuliojua wanatupenda sana.. Ili kuelewa moyo unaumaje, tulielekezwa na wale tusiowadhania hata kidogo.. Ni kama wafiwa tuliofutwa machozi, kwa kutumia kanga ya marehemu. Huzuni zetu hazikutoka mbali, wala kilio chetu hakikusababishwa na wageni. Ni wale wale tuliowahadithia yanayotukabili, tukijua wana dawa ya upweke wetu.. Msiite ni ugonjwa wa kujitakia, imani yetu ilikuwa kubwa kuliko matarajio.. Msituite wabinafsi, kwa sababu tumechagua kujitibuwenyewe vidonda vyetu.. Kwenye maisha yenu mmetupoteza vibaya sana,mtuelewe.. NINJA..
More Stories