


@SyagaJames
Relationship Advisor | Husband to Reen Mmari | Author |▪︎| Simba SC Tanzania Fan ¤ Let's talk about love, life's tragedies and marriage.. Let's consult
Join my WhatsApp Channel https://bit.ly/4b6xGV4
Join my WhatsApp Channel https://bit.ly/4b6xGV4
25 Posts
8 Photos
0 Videos
-
-
Marafiki wapendwa, naomba mjue kwamba hakuna changamoto isiyokuwa na mwisho. Hata katika nyakati ngumu, tuko pamoja na tutashinda. Kila mmoja wetu ana nguvu ya kupambana na kufikia malengo yake. Tusiache kutiana moyo na kuwa msaada kwa kila mmoja. Hakuna kitu kinachozidi nguvu ya urafiki na upendo wa dhati. Tuko pamoja, na tutashinda!Marafiki wapendwa, naomba mjue kwamba hakuna changamoto isiyokuwa na mwisho. Hata katika nyakati ngumu, tuko pamoja na tutashinda. Kila mmoja wetu ana nguvu ya kupambana na kufikia malengo yake. Tusiache kutiana moyo na kuwa msaada kwa kila mmoja. Hakuna kitu kinachozidi nguvu ya urafiki na upendo wa dhati. Tuko pamoja, na tutashinda!
-
Naitwa calvin nina miaka 27, namshukuru Mungu kuniweka salama hadi leo na sina changamoto yoyote ya kiafya,Siishi nyumbani nimejitegemea(geto),
Shida yangu ilianza nilipopata kazi mwaka jana Nikawa bize sana kuipambania future yangu kwani umasikini nilikuwa nisha onja radha yake,
Nilipokuwa bize mpenzi wangu alianza kunihisi namcheat kwani sitengi muda mwingi kwaajili yake kama zamani,,(Nikumbushe kitu Wanaume wasio na kazi wanaharibu sana mahusiano ya watu na hii kwa sababu muda wowote wakihitajika wanapatikana),,tuendelee
Baada ya muda kidogo Akaamua kuniacha kabisa sababu alitaka niwe nae muda mwingi kama ilivyokuwa kipindi sina kazi,,
Tangu hapo nikawa single nikaamua kudiri na future yangu namshukuru Mungu katika hilo nimefanikiwa Asilimia fulani,,Shida yangu kubwa iliyo nileta hapa nikutafuta mchumba,,
Nimekua bize sana na kazi hata ninaowapata nikidet nao,kutokana na ubize wangu wanahisi sina malengo nao kwani siwapi muda wanaotaka wao,,wanaamua kumove on,,lakini pia Kwa eneo ninaloishi Asilimia kubwa ya mabinti ninao wapata wamerekodiwa video za faragha na ma-x zao,
Unaweza pata binti fresh mkadet vizuri tu shida itakuja utakapo watambulisha marafiki zako,Watakupa kila kitu kumhusu huyo binti hadi list ya wanaume aliolala nao na ukibisha wanakuonyesha video za faragha,
Hii kitu imenikuta mara kibao sana na inavunja moyo kumuona unae mpenda kavuliwa nguo na mwanaume mwingne hili eneo nililopo natamani nitoke niende sehemu nyingine,Nikakae japo kwa muda kidogo labda nitabahatika kupata wa kuendana nae lakini kazi zimenibana,,nakosa huo muda
Sina mtoto na wala sijawahi kuoa,Natamani nipate mwanamke ambae hana mtoto na hajawahi kuolewa,mwenye hofu ya Mungu na mwenye Akili timamu,,Umri asinizidi awe chini yangu,Asiwe mnene sana,awe msafi wa ndani na nje,asiwe na tatoo wala brich
Akipatikana nikamuelewa nipo tayari kuanza nae ukurasa mpya,,Naahidi kama ataniheshimu na kunisikiliza nitampenda na kumthamini,,
Naamin huenda kupitia page hii nitampata alie sahihi,,whatsp No;0748374716,,cha kwanza tuma picha isiyo na filter
La mwisho kabisa mabinti mkiwa kwenye mahusiano msikubali kurekodiwa,siku mkiachana hiyo clip itatumika kama uthibitisho kama umeshaliwa,,Nakama umerekodiwa kaa ukijua mashemeji zako wamesha onyweshwa faragha yako,,,
Naitwa calvin nina miaka 27, namshukuru Mungu kuniweka salama hadi leo na sina changamoto yoyote ya kiafya,Siishi nyumbani nimejitegemea(geto), Shida yangu ilianza nilipopata kazi mwaka jana Nikawa bize sana kuipambania future yangu kwani umasikini nilikuwa nisha onja radha yake, Nilipokuwa bize mpenzi wangu alianza kunihisi namcheat kwani sitengi muda mwingi kwaajili yake kama zamani,,(Nikumbushe kitu Wanaume wasio na kazi wanaharibu sana mahusiano ya watu na hii kwa sababu muda wowote wakihitajika wanapatikana),,tuendelee👇👇 Baada ya muda kidogo Akaamua kuniacha kabisa sababu alitaka niwe nae muda mwingi kama ilivyokuwa kipindi sina kazi,, Tangu hapo nikawa single nikaamua kudiri na future yangu namshukuru Mungu katika hilo nimefanikiwa Asilimia fulani,,Shida yangu kubwa iliyo nileta hapa nikutafuta mchumba,, Nimekua bize sana na kazi hata ninaowapata nikidet nao,kutokana na ubize wangu wanahisi sina malengo nao kwani siwapi muda wanaotaka wao,,wanaamua kumove on,,lakini pia Kwa eneo ninaloishi Asilimia kubwa ya mabinti ninao wapata wamerekodiwa video za faragha na ma-x zao, Unaweza pata binti fresh mkadet vizuri tu shida itakuja utakapo watambulisha marafiki zako,Watakupa kila kitu kumhusu huyo binti hadi list ya wanaume aliolala nao na ukibisha wanakuonyesha video za faragha, Hii kitu imenikuta mara kibao sana na inavunja moyo kumuona unae mpenda kavuliwa nguo na mwanaume mwingne hili eneo nililopo natamani nitoke niende sehemu nyingine,Nikakae japo kwa muda kidogo labda nitabahatika kupata wa kuendana nae lakini kazi zimenibana,,nakosa huo muda Sina mtoto na wala sijawahi kuoa,Natamani nipate mwanamke ambae hana mtoto na hajawahi kuolewa,mwenye hofu ya Mungu na mwenye Akili timamu,,Umri asinizidi awe chini yangu,Asiwe mnene sana,awe msafi wa ndani na nje,asiwe na tatoo wala brich Akipatikana nikamuelewa nipo tayari kuanza nae ukurasa mpya,,Naahidi kama ataniheshimu na kunisikiliza nitampenda na kumthamini,, Naamin huenda kupitia page hii nitampata alie sahihi,,whatsp No;0748374716,,cha kwanza tuma picha isiyo na filter La mwisho kabisa mabinti mkiwa kwenye mahusiano msikubali kurekodiwa,siku mkiachana hiyo clip itatumika kama uthibitisho kama umeshaliwa,,Nakama umerekodiwa kaa ukijua mashemeji zako wamesha onyweshwa faragha yako,,, -
Hujambo kaka...Mie jina langu Mike kutoka Nairobi Kenya natafuta mchumba kwa mahusiano ambayo yatatuelekeza kwenye ndoa.Nina umri wa miaka 30 hivi awe na umri sawa na wangu au awe mdogo kwangu.Nambari yangu ya whatsapp ni +254713168463.Hujambo kaka...Mie jina langu Mike kutoka Nairobi Kenya 🇰🇪 natafuta mchumba kwa mahusiano ambayo yatatuelekeza kwenye ndoa.Nina umri wa miaka 30 hivi awe na umri sawa na wangu au awe mdogo kwangu.Nambari yangu ya whatsapp ni +254713168463.
-
Kauli gani ulishawahi kuambiwa na mtu unayempenda na ikakuumiza?Kauli gani ulishawahi kuambiwa na mtu unayempenda na ikakuumiza?
-
Kumbuka hili wakati wote…..
Maisha yanapokuvunja moyo, sio mwisho,ni mwanzo wa kujengeka upya.Kila kipande unachohisi kuvunjika hakipotei. Kinasubiri kutengenezwa upya,kusudi jipya na maana mpya.
Zile nyufa unazoziona kuwa ni dosari ni sehemu zile zile nuru zitakapomiminika, zitakuponya, zitakubadilisha, na kukufundisha kuwa hata katika kuvunjika, kuna neema.
Wakati mwingine, inatubidi tugawanyike vipande vipande ili kuunganika pamoja kwa njia ambayo ni imara zaidi, yenye hekima na uthabiti zaidi kuliko hapo awali.
Ni katika nyakati hizo ngumu ndipo tunapogundua nguvu zetu kubwa zaidi,ujasiri wa kujenga upya, uwezo wa kufikiria upya, na neema ya kufafanua upya na maana ya kweli kuwa mkamilifu.
Hujavunjwa bali unavunja hofu,shaka na vikwazo ambavyo hapo awali vilikuzuia.Kwa hiyo, amini katika mchakato. Kukumbatia vipande.Na ujue ya kwamba hata katika kipindi ambacho unahisi Maisha yanaenda kukushinda, unaandaliwa kuinuka kwa njia ambazo hukuwahi kufikiria kama zingewezekana.
Kumbuka hili wakati wote….. Maisha yanapokuvunja moyo, sio mwisho,ni mwanzo wa kujengeka upya.Kila kipande unachohisi kuvunjika hakipotei. Kinasubiri kutengenezwa upya,kusudi jipya na maana mpya. Zile nyufa unazoziona kuwa ni dosari ni sehemu zile zile nuru zitakapomiminika, zitakuponya, zitakubadilisha, na kukufundisha kuwa hata katika kuvunjika, kuna neema. Wakati mwingine, inatubidi tugawanyike vipande vipande ili kuunganika pamoja kwa njia ambayo ni imara zaidi, yenye hekima na uthabiti zaidi kuliko hapo awali. Ni katika nyakati hizo ngumu ndipo tunapogundua nguvu zetu kubwa zaidi,ujasiri wa kujenga upya, uwezo wa kufikiria upya, na neema ya kufafanua upya na maana ya kweli kuwa mkamilifu. Hujavunjwa bali unavunja hofu,shaka na vikwazo ambavyo hapo awali vilikuzuia.Kwa hiyo, amini katika mchakato. Kukumbatia vipande.Na ujue ya kwamba hata katika kipindi ambacho unahisi Maisha yanaenda kukushinda, unaandaliwa kuinuka kwa njia ambazo hukuwahi kufikiria kama zingewezekana. -
Siioni Yanga ikifika Robo fainaliSiioni Yanga ikifika Robo fainali
-
Huwa najisikia raha sana pale Utopolo anapochezea kichapoHuwa najisikia raha sana pale Utopolo anapochezea kichapo 😀😀😀
-
-
-
Habari kaka James,mm ni kijana nashughulika na biashara ya kusambaza vifaa vya ujenzi,nahitaji mtu ambae anaweza kunikodishia gari aina town ace kwaajili ya kusambazia au kama anayo gari anataka tuwe partnership sawa pia.. Naomba nipostie kwenye page yako kaka,uwe na mchana mwema na mungu akubariki sana .... 0752289317
Habari kaka James,mm ni kijana nashughulika na biashara ya kusambaza vifaa vya ujenzi,nahitaji mtu ambae anaweza kunikodishia gari aina town ace kwaajili ya kusambazia au kama anayo gari anataka tuwe partnership sawa pia.. Naomba nipostie kwenye page yako kaka,uwe na mchana mwema na mungu akubariki sana .... 0752289317 -
kaka habari ya kazi mimi nilikuwa naomba ushauri mume wangu tulikuwa tuaishi vizuri tu, baadae akaja akabadilika analala nje ukimuuliza anakuwa mkali, basi nikamuacha kumuuliza nikawa navumilia,siku moja akaniambia mke wangu hapa naona maisha yamekuwa magumu nataka niende sehemu nyingine nikatafute hela nikasema sawa baada ya kuondoka akawa hanipigii simu wala kutuma sms,nikimpigia simu kumuambia matumizi ananiambia sina hela yeyote..
Hivohivo mwisho wa siku akaniambia tusijuane yeye amempata mwanamke anaempenda na mimi nitafute mwanaume niolewe na akaacha kumtafuta maana pale tulipokuwa tunaishi kodi ilikuwa imeisha nikatafuta chumba cha bei nafuu maisha yakaendelea,baada ya mwezi mmoja akanifuta akaniambia nimerudi nilikuwa naomba nije nimsalimie mtoto mimi nikakataa
Basi yakaendelea akaja akaumwa mtoto nikamuambia akatoa fedha ya matibabu, ndipo nikamuuliza unaishi wapi akaniambia amepanga yupo kutafuta hela akipata ndipo atarudi nyumbani kuishi na sisi. nilikuwa naomba ushauri wenu huyu mwanaume niendelee kumsubiri?
[ Unaweza kuuza na kununua bidhaa kupitia https://www.niuziechap.co.tz/ ]
Au jiunge na WhatsApp Channel yangu kwa mahitaji ya Mchumba na Simulizi na video na stories kibao
Link https://bit.ly/4b6xGV4
______________________________________
■Kama una jambo linakutatiza usikae nalo linaweza kuharibu hatima ya maisha yako, tushirikishe, tusaidiane na tushauriane.. Nitumie ujumbe WhatsApp 0625 791 849kaka habari ya kazi mimi nilikuwa naomba ushauri mume wangu tulikuwa tuaishi vizuri tu, baadae akaja akabadilika analala nje ukimuuliza anakuwa mkali, basi nikamuacha kumuuliza nikawa navumilia,siku moja akaniambia mke wangu hapa naona maisha yamekuwa magumu nataka niende sehemu nyingine nikatafute hela nikasema sawa baada ya kuondoka akawa hanipigii simu wala kutuma sms,nikimpigia simu kumuambia matumizi ananiambia sina hela yeyote.. Hivohivo mwisho wa siku akaniambia tusijuane yeye amempata mwanamke anaempenda na mimi nitafute mwanaume niolewe na akaacha kumtafuta maana pale tulipokuwa tunaishi kodi ilikuwa imeisha nikatafuta chumba cha bei nafuu maisha yakaendelea,baada ya mwezi mmoja akanifuta akaniambia nimerudi nilikuwa naomba nije nimsalimie mtoto mimi nikakataa Basi yakaendelea akaja akaumwa mtoto nikamuambia akatoa fedha ya matibabu, ndipo nikamuuliza unaishi wapi akaniambia amepanga yupo kutafuta hela akipata ndipo atarudi nyumbani kuishi na sisi. nilikuwa naomba ushauri wenu huyu mwanaume niendelee kumsubiri? [ Unaweza kuuza na kununua bidhaa kupitia https://www.niuziechap.co.tz/ ] Au jiunge na WhatsApp Channel yangu kwa mahitaji ya Mchumba na Simulizi na video na stories kibao Link https://bit.ly/4b6xGV4 ______________________________________ ■Kama una jambo linakutatiza usikae nalo linaweza kuharibu hatima ya maisha yako, tushirikishe, tusaidiane na tushauriane.. Nitumie ujumbe WhatsApp 0625 791 849 -
-
Ninapiga magoti kufanya maombi haya kwa ajili yako. Mungu akufungulie milango ya mafanikio ambayo hakuna mwanadamu awezaye kuifunga kamwe maishani mwako.Ninapiga magoti kufanya maombi haya kwa ajili yako. Mungu akufungulie milango ya mafanikio ambayo hakuna mwanadamu awezaye kuifunga kamwe maishani mwako. 🙏🙏🙏
-
Ukiambiwa usitoke kitandani asubuhi hadi mpenzi wako akupigie simu, utalala mpaka lini? Kuwa mkweliUkiambiwa usitoke kitandani asubuhi hadi mpenzi wako akupigie simu, utalala mpaka lini? Kuwa mkweli 😀😀
-
Mke anafanya kazi anarudi jioni,Mume hafanyi kazi yupo tu nyumbani, nani anatakiwa kupika na kuosha vyombo?Mke anafanya kazi anarudi jioni,Mume hafanyi kazi yupo tu nyumbani, nani anatakiwa kupika na kuosha vyombo?
-
Nilimuona Mama yangu akihangaika, lakini sikuwahi kumuona akikata tamaa. Ninaheshimu sana hiloNilimuona Mama yangu akihangaika, lakini sikuwahi kumuona akikata tamaa. Ninaheshimu sana hilo 🙏
-
Nilimuona Mama yangu akihangaika, lakini sikuwahi kumuona akikata tamaa. Ninaheshimu sana hiloNilimuona Mama yangu akihangaika, lakini sikuwahi kumuona akikata tamaa. Ninaheshimu sana hilo 🙏
-
Naanzaje kukucheat, nakifata kipi?
Hakuna jipya duniani, nishafanya utafiti
Tena umewaacha mbali, ulipo we hawafikii
Maombi yangu toka kale, nimepata rafiki (mmmh)
Na hata nikiumwa, we ndo unanitibu wangu daktari
Kukupenda, ni wajibu nisiulizwe maswali
Baby, nipe taratibu huo utamu asali
Kukupenda ni wajibu nisiulizwe no, no
#LoveConnectsUsNaanzaje kukucheat, nakifata kipi? Hakuna jipya duniani, nishafanya utafiti Tena umewaacha mbali, ulipo we hawafikii Maombi yangu toka kale, nimepata rafiki (mmmh) Na hata nikiumwa, we ndo unanitibu wangu daktari Kukupenda, ni wajibu nisiulizwe maswali Baby, nipe taratibu huo utamu asali Kukupenda ni wajibu nisiulizwe no, no #LoveConnectsUs -
Mathayo 5:28 NEN
Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
● Nina swali: Je, mwanamke anayemtamani mwanaume inakuwaje?Mathayo 5:28 NEN Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake. ● Nina swali: Je, mwanamke anayemtamani mwanaume inakuwaje? -
Kama niliwahi kusema Simba SC Tanzania atamfunga Yanga jumamosi.. Nilikuwa nimejizima data.. Kiukweli naiogopa hiyo mechi, maana Aibu yake ni kubwaKama niliwahi kusema Simba SC Tanzania atamfunga Yanga jumamosi.. Nilikuwa nimejizima data.. Kiukweli naiogopa hiyo mechi, maana Aibu yake ni kubwa 🙌🙌
-
-
Kama Yanga yenyewe ndo hii!! Bora hata tulivyoyakimbia haya mashindano.. Tungepata aibu nyingine..
#LoveConnectsUsKama Yanga yenyewe ndo hii!! Bora hata tulivyoyakimbia haya mashindano.. Tungepata aibu nyingine.. #LoveConnectsUs -
Ku date na mtu kwa zaidi ya miaka 4 bila ndoa hayo sio mahusiano, ni Kozi! Unasomea Mahusiano na Uchambuzi
#LoveConnectsUsKu date na mtu kwa zaidi ya miaka 4 bila ndoa hayo sio mahusiano, ni Kozi! Unasomea Mahusiano na Uchambuzi #LoveConnectsUs -
More Stories