• Shindano linalofanyika kila mwaka liitwalo ‘Space-out’ Nchini Korea Kusini hutumika kusaka aliyekuwa bora kwenye sekta ya ‘kukaa tu bila kufanya kitu chochote’ ambapo Mshiriki haruhusiwi kusinzia, kuangalia simu yake au kuzungumza kwa dakika 90.

    Unaambiwa hadi mapigo ya moyo ya Washiriki hufuatiliwa kwa makini huku Watazamaji wakipewa nafasi ya kuwapigia kura Washiriki 10 wanaowapenda ambapo yeyote aliye na mapigo ya moyo yaliyotulia zaidi kati ya hao 10 anatunukiwa kombe.

    Zaidi ya Watu 4,000 waliomba kushiriki katika mashindano hayo yaliyoandaliwa na Serikali ya jiji la Seoul ambapo Washiriki 117 waliochaguliwa walikuwa kwenye rika la kuanzia mtoto wa darasa la pili hadi watu wenye umri wa miaka 60.

    Tangu shindano la kwanza la ‘Space-out’ lifanyike jijini Seoul mwaka 2014 umaarufu wake umezidi kuwa mkubwa zaidi kimataifa ambako Miji mbalimbali kama vile Beijing nchini China, Rotterdam Uholanzi, Taipei, Hong Kong na Tokyo, Japan yamefanya shindano hilo. #MillardAyoUPDATES
    Shindano linalofanyika kila mwaka liitwalo ‘Space-out’ Nchini Korea Kusini hutumika kusaka aliyekuwa bora kwenye sekta ya ‘kukaa tu bila kufanya kitu chochote’ ambapo Mshiriki haruhusiwi kusinzia, kuangalia simu yake au kuzungumza kwa dakika 90. Unaambiwa hadi mapigo ya moyo ya Washiriki hufuatiliwa kwa makini huku Watazamaji wakipewa nafasi ya kuwapigia kura Washiriki 10 wanaowapenda ambapo yeyote aliye na mapigo ya moyo yaliyotulia zaidi kati ya hao 10 anatunukiwa kombe. Zaidi ya Watu 4,000 waliomba kushiriki katika mashindano hayo yaliyoandaliwa na Serikali ya jiji la Seoul ambapo Washiriki 117 waliochaguliwa walikuwa kwenye rika la kuanzia mtoto wa darasa la pili hadi watu wenye umri wa miaka 60. Tangu shindano la kwanza la ‘Space-out’ lifanyike jijini Seoul mwaka 2014 umaarufu wake umezidi kuwa mkubwa zaidi kimataifa ambako Miji mbalimbali kama vile Beijing nchini China, Rotterdam Uholanzi, Taipei, Hong Kong na Tokyo, Japan yamefanya shindano hilo. #MillardAyoUPDATES
    Like
    Love
    Haha
    Wow
    14
    · 4 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • @Ulimwengu_Wako

    Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Duke huko North Carolina wamegundua kwa nini sauti fulani kama kutafuna na kupumua zinaweza kuwa kero kubwa kwa baadhi ya watu, hali inayojulikana kama mizofonia.

    Mizofonia ni hali ambapo mtu hupata kero kali na hisia mbaya za kihisia na kisaikolojia, kama hasira na kero, kutokana na sauti za kawaida kama vile mtu anapopiga chafya au anapopumua kwa sauti.

    Wanasayansi wamegundua kuwa mizofonia inaweza kuwa na uhusiano na msongo wa mawazo mkubwa na ugonjwa wa mfadhaiko baada ya tukio la kiwewe (PTSD). Wameona kuwa asilimia 12 ya watu wenye mizofonia walikuwa na PTSD wakati wa utafiti, na asilimia 33 walikuwa wamewahi kupitia kiwewe angalau mara moja maishani mwao.

    Hivyo basi, kama unapata kero kali kutoka sauti za kawaida, huenda ikawa una mizofonia, hali ambayo inahitaji uelewa na msaada wa kitaalamu.

    Jiunge nasi kwa habari zaidi na makala za kuvutia kwenye @Ulimwengu_Wako!
    @Ulimwengu_Wako 🌏🤯 🔍 Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Duke huko North Carolina wamegundua kwa nini sauti fulani kama kutafuna na kupumua zinaweza kuwa kero kubwa kwa baadhi ya watu, hali inayojulikana kama mizofonia. 🧠 Mizofonia ni hali ambapo mtu hupata kero kali na hisia mbaya za kihisia na kisaikolojia, kama hasira na kero, kutokana na sauti za kawaida kama vile mtu anapopiga chafya au anapopumua kwa sauti. 🔗 Wanasayansi wamegundua kuwa mizofonia inaweza kuwa na uhusiano na msongo wa mawazo mkubwa na ugonjwa wa mfadhaiko baada ya tukio la kiwewe (PTSD). Wameona kuwa asilimia 12 ya watu wenye mizofonia walikuwa na PTSD wakati wa utafiti, na asilimia 33 walikuwa wamewahi kupitia kiwewe angalau mara moja maishani mwao. 💡 Hivyo basi, kama unapata kero kali kutoka sauti za kawaida, huenda ikawa una mizofonia, hali ambayo inahitaji uelewa na msaada wa kitaalamu. 🌐 Jiunge nasi kwa habari zaidi na makala za kuvutia kwenye @Ulimwengu_Wako!
    Like
    Love
    Haha
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·663 Views
  • Dereva wa pikipiki ya Afisa mifugo Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga, Abel Adamson Mwaipopo (25) amefariki Dunia baada kumgonga ndege aina ya bundi na kisha pikipiki yake kupoteza mwelekeo na kuanguka na hatimaye kupoteza maisha yake.

    Mkuu wa Wilaya ya Handeni Albert Msando amesema tukio hilo limetokea mapema leo katika eneo la Sindeni jirani na kona ya PRS ambapo Dereva huyo alikuwa akiendesha pikipiki yenye namba za usajili STM 0232 .

    Msando amesema “Kwanza naomba nitolee ufafanuzi jambo hili kwani aliyefariki sio Afusa mifugo kama wengi walivyosema kwani Afisa mifugo wetu wa Wilaya ni Mwanamke na aliyefariki ni Mwanaume Dereva ambaye anamwendesha Afisa mifugo”

    “Ajali ni kama ajali nyingime lakini akishahusishwa bundi mara zote tayari kunakuwa na hizo imani za kishirikina na hofu kwa Watu kwamba amegonga bundi kafa na yeye mwenye amekufa lakini vilele inawezekana kwa kiasi kikubwa labda alivyomuona bundi katika kujaribu kumkwepa hakuchukua tahadhari akapata ajali ni uwezekano vilevile hakuwa amevaa kofia ngumu hivyo katika kuanguka akajigonga akapata madhara akafariki hivyo inawezekana ikawa ni ajali ya kawaida lakini kwasababu imemuhusisha bundi lazima ita letataharuki kuwa inahusiana na mambo ya kishirikina”

    Msando amesema kama Serikali ngazi ya Wilaya wana amini ni ajali kama ajali nyingine zinazotokea barabarani na hivyo ametoa wito kwa wale wote wanao tumia vyombo vya moto hususa pikipiki kuvaa kofia ngumu na kuchukua tadhari pindi wanapo kuwa barabarani na kutokwenda kwa spidi ili kuweza kuepuka kupata ajali. #MillardAyoUPDATES
    Dereva wa pikipiki ya Afisa mifugo Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga, Abel Adamson Mwaipopo (25) amefariki Dunia baada kumgonga ndege aina ya bundi na kisha pikipiki yake kupoteza mwelekeo na kuanguka na hatimaye kupoteza maisha yake. Mkuu wa Wilaya ya Handeni Albert Msando amesema tukio hilo limetokea mapema leo katika eneo la Sindeni jirani na kona ya PRS ambapo Dereva huyo alikuwa akiendesha pikipiki yenye namba za usajili STM 0232 . Msando amesema “Kwanza naomba nitolee ufafanuzi jambo hili kwani aliyefariki sio Afusa mifugo kama wengi walivyosema kwani Afisa mifugo wetu wa Wilaya ni Mwanamke na aliyefariki ni Mwanaume Dereva ambaye anamwendesha Afisa mifugo” “Ajali ni kama ajali nyingime lakini akishahusishwa bundi mara zote tayari kunakuwa na hizo imani za kishirikina na hofu kwa Watu kwamba amegonga bundi kafa na yeye mwenye amekufa lakini vilele inawezekana kwa kiasi kikubwa labda alivyomuona bundi katika kujaribu kumkwepa hakuchukua tahadhari akapata ajali ni uwezekano vilevile hakuwa amevaa kofia ngumu hivyo katika kuanguka akajigonga akapata madhara akafariki hivyo inawezekana ikawa ni ajali ya kawaida lakini kwasababu imemuhusisha bundi lazima ita letataharuki kuwa inahusiana na mambo ya kishirikina” Msando amesema kama Serikali ngazi ya Wilaya wana amini ni ajali kama ajali nyingine zinazotokea barabarani na hivyo ametoa wito kwa wale wote wanao tumia vyombo vya moto hususa pikipiki kuvaa kofia ngumu na kuchukua tadhari pindi wanapo kuwa barabarani na kutokwenda kwa spidi ili kuweza kuepuka kupata ajali. #MillardAyoUPDATES
    Like
    Love
    Sad
    12
    · 8 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·81 Views ·23
  • Like
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·380 Views
  • Like
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·371 Views
  • Like
    Yay
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·79 Views ·3
  • Like
    Haha
    Sad
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·79 Views ·32
  • Kwenye maisha tegemea kila sehemu lakini usisahau kujitegemea maana kuna wakati unahitaji juhudi binafsi #
    Kwenye maisha tegemea kila sehemu lakini usisahau kujitegemea maana kuna wakati unahitaji juhudi binafsi 🙌🙌 #
    Like
    4
    · 1 Comments ·0 Shares ·373 Views
  • Like
    Haha
    Wow
    4
    · 4 Comments ·0 Shares ·374 Views