


@paulswai
OFFICIAL #Socialpop ACCOUNT OF @paulswai
1348 Postari
883 Fotografii
418 Video
-
Asante Valentin Nouma. #NguvuMoja #paulswai0 Commentarii ·0 Distribuiri ·331 Views
-
Asante Aishi Manula muda wote uliokuwa sehemu ya kikosi cha Mnyama. Historia yako itadumu milele. #NguvuMoja
#paulswaiAsante Aishi Manula muda wote uliokuwa sehemu ya kikosi cha Mnyama. Historia yako itadumu milele. #NguvuMoja #paulswai -
TAARIFA KWA UMMA... FABRICE LUAMBA NGOMA Hatutakua nae kwenye msimu ujao kilala kheri #paulswai
-
Tumemtoa kwa mkopo Omary Omary kwenda Mashujaa FC. Taarifa zaidi fungua Simba App. #NguvuMoja
#paulswaiℹ️ Tumemtoa kwa mkopo Omary Omary kwenda Mashujaa FC. Taarifa zaidi fungua Simba App. #NguvuMoja #paulswai -
-
-
-
-
CAF CONFEDERATION CUP
.
STELLENBOSCH SIMBA SC
16:00
Moses Mabhida
.
Jioni ya leo, Tanzania Yote itasimama kwa dakika 90 kuanzia saa 10:00 jioni. Ni mchezo ambao SIMBA SC wanahitaji sare au ushindi ili waweze Kutinga Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
.
Kila la kheri @SimbaSCTanzania
#paulswaiCAF CONFEDERATION CUP 🏆 . 🇿🇦 STELLENBOSCH 🆚 SIMBA SC 🇹🇿 ⏰ 16:00 🏟️ Moses Mabhida . Jioni ya leo, Tanzania 🇹🇿 Yote itasimama kwa dakika 90 kuanzia saa 10:00 jioni. Ni mchezo ambao SIMBA SC wanahitaji sare au ushindi ili waweze Kutinga Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. . Kila la kheri @SimbaSCTanzania 🇹🇿 #paulswai -
-
-
-
MNYAMA ANATINGA 16 BORA FA CUP . FT: SIMBA SC 3-0 TMA #paulswai
-
Kipa wa Simba, MOUSSA CAMARA amefikisha clean sheet ya 14 kwenye ligi msimu huu akicheza mechi 18 akiendelea kuongoza.
.
Clean Sheet hizo zinalingana na zile ambazo Djigui Diarra wa Yanga alizomaliza nazo msimu uliopita alipocheza mechi 21, huku pia akibakisha moja kuzifikia za Ley Matampi aliyekuwa Coastal Union ambaye aliibuka kinara msimu uliopita kwenye mechi zake 25 kati ya 30.
#paulswai🚨 Kipa wa Simba, MOUSSA CAMARA amefikisha clean sheet ya 14 🧤 kwenye ligi msimu huu akicheza mechi 18 akiendelea kuongoza. . Clean Sheet hizo zinalingana na zile ambazo Djigui Diarra wa Yanga alizomaliza nazo msimu uliopita alipocheza mechi 21, huku pia akibakisha moja kuzifikia za Ley Matampi aliyekuwa Coastal Union ambaye aliibuka kinara msimu uliopita kwenye mechi zake 25 kati ya 30. #paulswai -
HII KITAALAM INAITWAJE? #paulswai
-
-
Goaaaaaal..! Ateba ⚽ Fountain Gate 0️⃣ 🆚 1️⃣ Simba Sc 🎯 Chasambi #paulswai
-
KIKOSI KITAKACHO ANZA KWENYE MCHEZO WA LEO DHIDI YA FOUNTAIN GATE. #paulswai
-
Tunaingia mawindoni #paulswai
-
-
-
kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake #paulswai
-
unamjua Azizi mapenzi wewe? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 #paulswai
-
HUYU PINPIN CAMARA NI POPO 🦇 Save bora kabisa 🧤 #paulswai
-
"Tumejipanga kubeba ubingwa msimu huu Hatutaki maneno mengi " MCHUNGAJI WA SIMBA #paulswai
Mai multe povesti