Paul Swai
Paul Swai

@paulswai

OFFICIAL #Socialpop ACCOUNT OF @paulswai



1337 Berichten
873 foto's
418 Video’s
Actueel
  • #paulswai
    #paulswai
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·307 Views
  • MNYAMA ANATINGA 16 BORA FA CUP
    .
    FT: SIMBA SC 3-0 TMA


    #paulswai
    MNYAMA ANATINGA 16 BORA FA CUP . FT: SIMBA SC 3-0 TMA #paulswai
    Like
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·444 Views
  • Kipa wa Simba, MOUSSA CAMARA amefikisha clean sheet ya 14 kwenye ligi msimu huu akicheza mechi 18 akiendelea kuongoza.
    .
    Clean Sheet hizo zinalingana na zile ambazo Djigui Diarra wa Yanga alizomaliza nazo msimu uliopita alipocheza mechi 21, huku pia akibakisha moja kuzifikia za Ley Matampi aliyekuwa Coastal Union ambaye aliibuka kinara msimu uliopita kwenye mechi zake 25 kati ya 30.


    #paulswai
    🚨 Kipa wa Simba, MOUSSA CAMARA amefikisha clean sheet ya 14 🧤 kwenye ligi msimu huu akicheza mechi 18 akiendelea kuongoza. . Clean Sheet hizo zinalingana na zile ambazo Djigui Diarra wa Yanga alizomaliza nazo msimu uliopita alipocheza mechi 21, huku pia akibakisha moja kuzifikia za Ley Matampi aliyekuwa Coastal Union ambaye aliibuka kinara msimu uliopita kwenye mechi zake 25 kati ya 30. #paulswai
    Like
    Yay
    4
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·561 Views
  • HII KITAALAM INAITWAJE?

    #paulswai
    HII KITAALAM INAITWAJE? #paulswai
    Like
    Love
    Sad
    4
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·576 Views ·10
  • MPANZU

    #paulswai
    MPANZU #paulswai
    Like
    Love
    3
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·553 Views
  • Goaaaaaal..! Ateba

    Fountain Gate 0️⃣ 1️⃣ Simba Sc

    Chasambi

    #paulswai
    Goaaaaaal..! Ateba ⚽ Fountain Gate 0️⃣ 🆚 1️⃣ Simba Sc 🎯 Chasambi #paulswai
    Like
    Love
    3
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·632 Views
  • KIKOSI KITAKACHO ANZA KWENYE MCHEZO WA LEO DHIDI YA FOUNTAIN GATE.

    #paulswai
    KIKOSI KITAKACHO ANZA KWENYE MCHEZO WA LEO DHIDI YA FOUNTAIN GATE. #paulswai
    Like
    3
    · 2 Reacties ·0 aandelen ·559 Views
  • Tunaingia mawindoni

    #paulswai
    Tunaingia mawindoni #paulswai
    Like
    Love
    3
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·569 Views





  • #paulswai
    😂😂😂😂 #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·610 Views ·6




  • #paulswai
    😂😂 #paulswai
    Like
    Love
    3
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·622 Views ·9
  • kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake

    #paulswai
    kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake #paulswai
    Like
    Wow
    3
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·660 Views

  • unamjua Azizi mapenzi wewe?

    #paulswai
    unamjua Azizi mapenzi wewe? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 #paulswai
    Like
    3
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·738 Views

  • HUYU PINPIN CAMARA NI POPO

    Save bora kabisa

    #paulswai
    HUYU PINPIN CAMARA NI POPO 🦇 Save bora kabisa 🧤 #paulswai
    Like
    Wow
    3
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·618 Views ·6

  • "Tumejipanga kubeba ubingwa msimu huu Hatutaki maneno mengi " MCHUNGAJI WA SIMBA

    #paulswai
    "Tumejipanga kubeba ubingwa msimu huu Hatutaki maneno mengi " MCHUNGAJI WA SIMBA #paulswai
    Like
    Love
    Wow
    3
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·649 Views ·7
  • #paulswai
    #paulswai
    Like
    Angry
    2
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·605 Views
  • Mnyama mawindoni

    #paulswai
    Mnyama mawindoni #paulswai
    Like
    Love
    3
    · 3 Reacties ·0 aandelen ·595 Views
  • "HATA WAKIAHIDIWA PESA HAWATUTOI KWENYE RELI" | ALLY SALIM AFUNGUKA | TABORA UNITED KAZI IPO KESHO.


    #paulswai
    "HATA WAKIAHIDIWA PESA HAWATUTOI KWENYE RELI" | ALLY SALIM AFUNGUKA | TABORA UNITED KAZI IPO KESHO. #paulswai
    Like
    1
    · 2 Reacties ·0 aandelen ·664 Views

  • "TUTAPAMBANA MPAKA TUPATE MATOKEO KESHO | "HATUTAPUMZIKA, | KOCHA FADLU AFUNGUKA TABORA.


    #paulswai
    "TUTAPAMBANA MPAKA TUPATE MATOKEO KESHO | "HATUTAPUMZIKA, | KOCHA FADLU AFUNGUKA TABORA. #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·688 Views
  • Kocha Mkuu wa Simba Fadlu David Pamoja na Mchezaji Ally Salim Akipeana Salama Na Kocha Mkuu wa Tabora United bila Kumsahau Heritie Makambo.

    Mechi Kupigwa Kesho Dimba la Al Hassan Mwinyi.

    #paulswai
    Kocha Mkuu wa Simba Fadlu David Pamoja na Mchezaji Ally Salim Akipeana Salama Na Kocha Mkuu wa Tabora United bila Kumsahau Heritie Makambo. Mechi Kupigwa Kesho Dimba la Al Hassan Mwinyi. #paulswai
    Love
    Wow
    3
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·550 Views
  • David Kameta 'DUCHU' baada ya kukosa nafasi ya kucheza mzuunguko wa kwanza wa ligi kuu ya NBC, kesho atakuwa sehemu ya kikosi kinachosafiri kuelekea Tabora pamoja na Manyara kwa ajili ya michezo ya ligi.

    DUCHU alikuwa na kiwango bora mechi iliyopita dhidi ya Kilimanjaro Wonders.

    #paulswai
    David Kameta 'DUCHU' baada ya kukosa nafasi ya kucheza mzuunguko wa kwanza wa ligi kuu ya NBC, kesho atakuwa sehemu ya kikosi kinachosafiri kuelekea Tabora pamoja na Manyara kwa ajili ya michezo ya ligi. DUCHU alikuwa na kiwango bora mechi iliyopita dhidi ya Kilimanjaro Wonders. #paulswai
    Like
    Love
    2
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·596 Views
  • Kwa waliosahau msimamo wa Ligi Kuu ya NBC na Ligi Kuu ya Wanawake.

    Hali ipo hivi

    #paulswai
    📈 Kwa waliosahau msimamo wa Ligi Kuu ya NBC na Ligi Kuu ya Wanawake. Hali ipo hivi 😎 #paulswai
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·587 Views
  • Chama kubwa SIMBA SC

    #paulswai
    Chama kubwa SIMBA SC 🦁 #paulswai
    Like
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·408 Views
  • muda mwingi yeye yeye utamkuta anaiongoza camera drone (ndege isiyo na rubani) au anakuwa na peni na karatasi yako muda mwingi anaandika baadhi ya vitu

    huyu ndo mfungua code wa kocha fadlu davies , huyu ndo anampa mifumo na uwezo wa timu inayotarajiwa kucheza na SIMBA , huyu ndo humpa udhaifu na ubora wa timu pinzani inayotarajiwa kucheza na SIMBA huyu ndo anajifungia ndani na kocha fadlu kumpa mrejesho wa perfomance ya mchezaji mmoja mmoja wa SIMBA baada ya kumalizika mazoezi

    Ni bwanamdogo sana ila uwezo wake unatisha sana ukizungumzia mafanikio ya RAJA CASABLANCA msimu uliopita basi moja kati ya waliochangia ni huyu jamaa na raja ikamaliza msimu uliopita ligi ya moroco wakiwa mabingwa na walimaliza msimu bila kufungwa (unbeaten)

    anaitwa MUEEZKAJEE ni mchambuzi wa video wa SIMBA SPORTS CLUB ( video &perfomance analysis) ni kijana mzaliwa wa africa kusini ila uwezo mkubwa sana , hata ile siku anaenda kuuambia uongozi wa RAJA kuwa anaondoka na anamfata kocha fadlu viongozi wa RAJA waliumia sana

    wote kwa pamoja walikuwa raja na msimu uliopita na wakaipa ubingwa namsimu huu wapo SIMBA wanaendelea kuwapa furaha wanasimba.


    #paulswai
    muda mwingi yeye yeye utamkuta anaiongoza camera drone (ndege isiyo na rubani) au anakuwa na peni na karatasi yako muda mwingi anaandika baadhi ya vitu huyu ndo mfungua code wa kocha fadlu davies , huyu ndo anampa mifumo na uwezo wa timu inayotarajiwa kucheza na SIMBA , huyu ndo humpa udhaifu na ubora wa timu pinzani inayotarajiwa kucheza na SIMBA huyu ndo anajifungia ndani na kocha fadlu kumpa mrejesho wa perfomance ya mchezaji mmoja mmoja wa SIMBA baada ya kumalizika mazoezi Ni bwanamdogo sana ila uwezo wake unatisha sana ukizungumzia mafanikio ya RAJA CASABLANCA msimu uliopita basi moja kati ya waliochangia ni huyu jamaa na raja ikamaliza msimu uliopita ligi ya moroco wakiwa mabingwa na walimaliza msimu bila kufungwa (unbeaten) anaitwa MUEEZKAJEE ni mchambuzi wa video wa SIMBA SPORTS CLUB ( video &perfomance analysis) ni kijana mzaliwa wa africa kusini ila uwezo mkubwa sana , hata ile siku anaenda kuuambia uongozi wa RAJA kuwa anaondoka na anamfata kocha fadlu viongozi wa RAJA waliumia sana wote kwa pamoja walikuwa raja na msimu uliopita na wakaipa ubingwa namsimu huu wapo SIMBA wanaendelea kuwapa furaha wanasimba. 👍👍👍👍🦁🦁🦁🦁 #paulswai
    Like
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·984 Views
  • Mnyama atanguruma wikiendi hii kwenye makazi ya nyuki


    #paulswai
    🦁 Mnyama atanguruma wikiendi hii kwenye makazi ya nyuki 🐝 #paulswai
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·351 Views
  • Clean sheet ya 13 inaenda kutafutwa Jumapili.

    #paulswai
    Clean sheet ya 13 inaenda kutafutwa Jumapili. #paulswai
    Like
    Love
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·344 Views
Meer blogs