
-
-
Baada ya Shirikisho la mpira wa miguu Duniani (FIFA) kutangaza Nchi za Uhispania, Ureno na Morocco kuwa ndizo zitaandaa michuano ya kombe la Dunia la mwaka 2030 huku lile la mwaka 2034 likipangwa kufanyika Nchini Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo, Mitrovic na Ng'olo Kante wamezungumza yafuatayo:
"Kombe la dunia mwaka 2034 nchini Saudia Arabia litakuwa bora zaidi kuwahi kutokea. " - Cristiano Ronaldo
"Naamini kombe la dunia mwaka 2034 nchini Saudia Arabia litakuwa bora sana dunia kuwahi kushuhudia. " - Mitrovic
"Naamini tutawaletea Kombe la Dunia la kipekee na na bora ambalo dunia inalisubiri kutoka ufalme wa Saudia Arabia. " - Ng'olo Kante.
Baada ya Shirikisho la mpira wa miguu Duniani (FIFA) kutangaza Nchi za Uhispania, Ureno na Morocco kuwa ndizo zitaandaa michuano ya kombe la Dunia la mwaka 2030 huku lile la mwaka 2034 likipangwa kufanyika Nchini Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo, Mitrovic na Ng'olo Kante wamezungumza yafuatayo: "Kombe la dunia mwaka 2034 nchini Saudia Arabia litakuwa bora zaidi kuwahi kutokea. " - Cristiano Ronaldo "Naamini kombe la dunia mwaka 2034 nchini Saudia Arabia litakuwa bora sana dunia kuwahi kushuhudia. " - Mitrovic "Naamini tutawaletea Kombe la Dunia la kipekee na na bora ambalo dunia inalisubiri kutoka ufalme wa Saudia Arabia. " - Ng'olo Kante. -
-
-
Fanya kazi kwa moyo, kama umechagua maisha kujitoa na kusaidia watu basi jitoe kwa moyo bila manung’uniko yoyote yale. Usiangalie malipo na kuwa hela mbele kuliko utu. Saidia watu kwa kile Mungu alichokujalia kama wewe ni mwalimu wafundishe watu, kama wewe ni mwanamziki imba nyimbo nzuri za kuelimisha na kuburudisha watu hata kama watu hawakupi shukrani. Wewe kama ni mwandishi andika watu wajifunze kile unachojua kwa kufanya hivi utakua umeikomboa dunia.Fanya kazi kwa moyo, kama umechagua maisha kujitoa na kusaidia watu basi jitoe kwa moyo bila manung’uniko yoyote yale. Usiangalie malipo na kuwa hela mbele kuliko utu. Saidia watu kwa kile Mungu alichokujalia kama wewe ni mwalimu wafundishe watu, kama wewe ni mwanamziki imba nyimbo nzuri za kuelimisha na kuburudisha watu hata kama watu hawakupi shukrani. Wewe kama ni mwandishi andika watu wajifunze kile unachojua kwa kufanya hivi utakua umeikomboa dunia.
-
-
Wananchi na Kikosi cha Serengeti Boys kilichoshiriki AFCON U17 nchini Gabon David Atto #socialpopWananchi 馃敯 na Kikosi cha Serengeti Boys kilichoshiriki AFCON U17 nchini Gabon 馃嚞馃嚘 [Mefa] #socialpop
-
Kiungo wa kimataifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Maxi Mpia Nzengeli (24) amekubali kusaini mkataba mpya na Klabu ya Young Africans ambao utandelea kumweka Klabuni hapo.
Bado haijafahamika amesaini ama ameongeza mkataba wa muda ghani endelea kuwa nami @nestoshayo nieendelee kukujuza kuhusu dili hili. #socialpop David AttoKiungo wa kimataifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Maxi Mpia Nzengeli (24) amekubali kusaini mkataba mpya na Klabu ya Young Africans ambao utandelea kumweka Klabuni hapo. Bado haijafahamika amesaini ama ameongeza mkataba wa muda ghani endelea kuwa nami @nestoshayo nieendelee kukujuza kuhusu dili hili. #socialpop [Mefa] -
" Dogo janja Alikuwa anatafuta kiki Muda mrefu sana na Kaamua kuharibu Show ili amateur Trending. " Amesema #Diamond
Diamond Ameongea kwa uchungu sana kuhusiana na Alichofanyiwa ... Video yake Tayari ipo kwenye Comment .!
#socialpop
#trending
David Atto" Dogo janja Alikuwa anatafuta kiki Muda mrefu sana na Kaamua kuharibu Show ili amateur Trending. " Amesema #Diamond Diamond Ameongea kwa uchungu sana kuhusiana na Alichofanyiwa ... Video yake Tayari ipo kwenye Comment .! #socialpop #trending [Mefa]