Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Ebenezer sweke @Ebenezer_Medical25 μοιράστηκε Travis Croto 's photo
    2024-12-15 19:41:17 ·
    Bitcoin saizi imepanda kiasi kwamba hakuna wakuweka kuishika na kama ulihold tangia zamani saizi wewe utakuwa unamiliki trillion za hela
    Bitcoin saizi imepanda kiasi kwamba hakuna wakuweka kuishika na kama ulihold tangia zamani saizi wewe utakuwa unamiliki trillion za hela
    Travis Croto @Tr_croto πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-11-29 17:50:16 ·
    #traviscroto#kelvinlauden#billionaremindset#bernaldpeter#paulswai#socialpop#dox#jeiva#intellectual_and_developmental_disability_ID@davidatto@omarhassan@abrahmanissa@social pop@drcharlestz@tr_croto
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·494 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 20:11:27 ·
    KAULI YA JESHI LA POLISI VURUGU BAADA YA MECHI KATI YA SIMBA SC NA CS SFAXIEN

    Leo Desemba 15, 2024 majira ya saa 11. 50 jioni katika Uwanja wa Benjamin William Mkapa Temeke Dar es salaam kwenye mchezo wa mpira wa miguu wa kimataifa wa kombe la Shirikisho Afrika kati ya timu ya Simba ya Tanzania na CS SFAXIEN ya Tunisia kulitokea fujo iliyosababishwa na mashabiki wa Timu ya CS SFAXIEN kutoridhika na maamuzi ya refa wa mchezo huo kuchezesha mechi hiyo kwa zaidi ya dakika saba ambazo aliziongeza kama dakika za nyongeza jambo lililo pelekea timu ya Simba kupata goli la pili na la ushindi.

    Kwa Mujibu wa Taarifa ya Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro, Wachezaji wa ndani ya uwanja na "benchi" la ufundi la timu ya CS SFAXIEN walikasirika, wakamfuata mwamuzi wa mchezo na kuanza kufanya vitendo vya kumshambulia.

    Katika fujo hizo shabiki mmoja wa timu ya CS SFAXIEN aliumia na kupatiwa huduma ya kwanza na kuruhusiwa, huku viti vya rangi ya blue 156 na Orange 100 viling’olewa na mashabiki hao.

    "Jeshi la Polisi litashirikiana na mamlaka zingine za kisheria na soka kuona hatua za kuchukua dhidi ya vitendo hivyo ambavyo havikubaliki" Taarifa hiyo imeeleza.

    #neliudcosiah
    KAULI YA JESHI LA POLISI VURUGU BAADA YA MECHI KATI YA SIMBA SC NA CS SFAXIEN Leo Desemba 15, 2024 majira ya saa 11. 50 jioni katika Uwanja wa Benjamin William Mkapa Temeke Dar es salaam kwenye mchezo wa mpira wa miguu wa kimataifa wa kombe la Shirikisho Afrika kati ya timu ya Simba ya Tanzania na CS SFAXIEN ya Tunisia kulitokea fujo iliyosababishwa na mashabiki wa Timu ya CS SFAXIEN kutoridhika na maamuzi ya refa wa mchezo huo kuchezesha mechi hiyo kwa zaidi ya dakika saba ambazo aliziongeza kama dakika za nyongeza jambo lililo pelekea timu ya Simba kupata goli la pili na la ushindi. Kwa Mujibu wa Taarifa ya Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro, Wachezaji wa ndani ya uwanja na "benchi" la ufundi la timu ya CS SFAXIEN walikasirika, wakamfuata mwamuzi wa mchezo na kuanza kufanya vitendo vya kumshambulia. Katika fujo hizo shabiki mmoja wa timu ya CS SFAXIEN aliumia na kupatiwa huduma ya kwanza na kuruhusiwa, huku viti vya rangi ya blue 156 na Orange 100 viling’olewa na mashabiki hao. "Jeshi la Polisi litashirikiana na mamlaka zingine za kisheria na soka kuona hatua za kuchukua dhidi ya vitendo hivyo ambavyo havikubaliki" Taarifa hiyo imeeleza. #neliudcosiah
    Like
    3
    · 4 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·221 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 20:12:01 ·
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·109 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2024-12-15 21:05:00 ·
    Love
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·175 Views ·22
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 21:12:53 ·
    UNAONA NINI?
    UNAONA NINI?
    Like
    Love
    Haha
    6
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·176 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Michael Nandi @mike12 ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-12-16 02:27:34 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·247 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-16 04:46:35 ·
    Mshambuliaji Prince Dube ,amejiondoa kwenye mitandao ya kijamii.
    .
    Dube ambaye hajawa na msimu bora tangu ajiunge na Yanga amejiondoa mjini Instagram na bila shaka ameamua kujiweka kando ili kuepuka presha ya mashabiki ya mitandaoni.
    .
    Je uamuzi huu utamsaidia Dube ?
    Mshambuliaji Prince Dube ,amejiondoa kwenye mitandao ya kijamii. . Dube ambaye hajawa na msimu bora tangu ajiunge na Yanga amejiondoa mjini Instagram na bila shaka ameamua kujiweka kando ili kuepuka presha ya mashabiki ya mitandaoni. . Je uamuzi huu utamsaidia Dube ?
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·173 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-16 05:17:37 ·
    Kauli ya Jeshi la Polisi

    Jana, Desemba 15, 2024 majira ya saa 11:50 jioni katika Uwanja wa Benjamin William Mkapa Temeke Dar es salaam kwenye mchezo wa mpira wa miguu wa kimataifa wa kombe la Shirikisho Afrika kati ya timu ya Simba ya Tanzania na CS SFAXIEN ya Tunisia kulitokea fujo iliyosababishwa na mashabiki wa Timu ya CS SFAXIEN kutoridhika na maamuzi ya refa wa mchezo huo kuchezesha mechi hiyo kwa zaidi ya dakika saba ambazo aliziongeza kama dakika za nyongeza jambo lililo pelekea timu ya Simba kupata goli la pili na la ushindi.

    Kwa Mujibu wa Taarifa ya Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro, Wachezaji wa ndani ya uwanja na “benchi” la ufundi la timu ya CS SFAXIEN walikasirika, wakamfuata mwamuzi wa mchezo na kuanza kufanya vitendo vya kumshambulia.

    Katika fujo hizo shabiki mmoja wa timu ya CS SFAXIEN aliumia na kupatiwa huduma ya kwanza na kuruhusiwa, huku viti vya rangi ya blue 156 na Orange 100 viling’olewa na mashabiki hao.

    “Jeshi la Polisi litashirikiana na mamlaka zingine za kisheria na soka kuona hatua za kuchukua dhidi ya vitendo hivyo ambavyo havikubaliki” Taarifa hiyo imeeleza.

    Kauli ya Jeshi la Polisi Jana, Desemba 15, 2024 majira ya saa 11:50 jioni katika Uwanja wa Benjamin William Mkapa Temeke Dar es salaam kwenye mchezo wa mpira wa miguu wa kimataifa wa kombe la Shirikisho Afrika kati ya timu ya Simba ya Tanzania na CS SFAXIEN ya Tunisia kulitokea fujo iliyosababishwa na mashabiki wa Timu ya CS SFAXIEN kutoridhika na maamuzi ya refa wa mchezo huo kuchezesha mechi hiyo kwa zaidi ya dakika saba ambazo aliziongeza kama dakika za nyongeza jambo lililo pelekea timu ya Simba kupata goli la pili na la ushindi. Kwa Mujibu wa Taarifa ya Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro, Wachezaji wa ndani ya uwanja na “benchi” la ufundi la timu ya CS SFAXIEN walikasirika, wakamfuata mwamuzi wa mchezo na kuanza kufanya vitendo vya kumshambulia. Katika fujo hizo shabiki mmoja wa timu ya CS SFAXIEN aliumia na kupatiwa huduma ya kwanza na kuruhusiwa, huku viti vya rangi ya blue 156 na Orange 100 viling’olewa na mashabiki hao. “Jeshi la Polisi litashirikiana na mamlaka zingine za kisheria na soka kuona hatua za kuchukua dhidi ya vitendo hivyo ambavyo havikubaliki” Taarifa hiyo imeeleza.
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·175 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Shamcy Karata @Karatajnr97 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-16 06:12:10 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·302 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2024-12-16 11:03:00 ·
    Nyota wa mchezo wa leo, Kibu D akizungumzia ushindi wa leo ambao amehusika kwa kufunga magoli mawili.

    #paulswai
    Nyota wa mchezo wa leo, Kibu D akizungumzia ushindi wa leo ambao amehusika kwa kufunga magoli mawili. #paulswai
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·170 Views ·16
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (19631-19640 από 25723)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 1962
  • 1963
  • 1964
  • 1965
  • 1966
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers