• MOST DOWNLOADED PREMIUM APPS IN OUR WEBSITE
    1. Azam Tv
    2. Dstv
    3. Capcut Pro
    4. Adobe pro
    5. GOTV
    6. ChatOn AI (Advanced CHATGPT) no limit of questions

    Thanks Guys for your support 🙏🏼

    Our website link https://shorturl.at/78Yrs

    > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1
    ▶︎ ●────────── 0:41
    MOST DOWNLOADED PREMIUM APPS IN OUR WEBSITE 1. Azam Tv 2. Dstv 3. Capcut Pro 4. Adobe pro 5. GOTV 6. ChatOn AI (Advanced CHATGPT) no limit of questions Thanks Guys for your support 🙏🏼 Our website link https://shorturl.at/78Yrs > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1 💀 ▶︎ ●────────── 0:41
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·989 Views
  • Like
    Love
    Haha
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·175 Views
  • Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limetangaza kuwa Msanii wa muziki kutoka Nchini Tanzania, Diamond Platnumz ni miongoni mwa Wasanii watakaotumbuiza kesho Nchini Morocco kwenye ugawaji wa Tuzo za CAF.

    Ikumbukwe kwamba hii sio mara ya kwanza kwa Diamond Platnumz kupata nafasi ya kutumbuiza kwenye sherehe za Tuzo za CAF, amewahi kufanya hivyo mwaka 2015, 2017 na 2020.

    Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limetangaza kuwa Msanii wa muziki kutoka Nchini Tanzania, Diamond Platnumz ni miongoni mwa Wasanii watakaotumbuiza kesho Nchini Morocco kwenye ugawaji wa Tuzo za CAF. Ikumbukwe kwamba hii sio mara ya kwanza kwa Diamond Platnumz kupata nafasi ya kutumbuiza kwenye sherehe za Tuzo za CAF, amewahi kufanya hivyo mwaka 2015, 2017 na 2020.
    0 Comments ·0 Shares ·601 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·110 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·110 Views
  • "Raha ya bao la dakika za mwisho liwe la ushindi sio kusawazisha…

    Wa" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC.

    "Raha ya bao la dakika za mwisho liwe la ushindi sio kusawazisha… Wa" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC.
    0 Comments ·0 Shares ·176 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·108 Views
  • Privaldinho amjibu Wilson Orumo, Mchambuzi.

    Hizi nazo ni porojo. Kusema mpira bila takwimu ni stori zenu za vijiwe vya kahawa huko. Wewe ni mmoja kati ya watu mashuhuri kwa takwimu zako. Leo hutaki takwimu kwa sababu utawaudhi maboss zako.

    Unataka tuchambue mpira kwa kutumia nini? Hisia?

    Mnapoteza credibility kwa sababu kuna kundi mnataka kuliridhisha huku mnadidimiza lingine.

    Hivi jana nani hakuona performance ya @jobdick05 ? Nani hakuona fighting spirit ya @auchokhalidofficial ? Jana Djigui Diarra kacheza na maumivu, Chama kacheza na maumivu ulitaka nini kwa hawa vijana?

    Mwalimu alifanya top analysis yake, kaleta vijana watatu kwenye mchezo, Aziz, Dube, Mzize na Chama and yes build up ya goli ilitokea kwake.

    Defence yetu ilikuwa proper and well organized jana, what a performance kutoka kwa Bacca na Yao. Kipindi cha pili no shot on target kutoka kwa Mazembe. Second half tulimanage mchezo kwa 61%.

    Dickson Job jana, tackles 4/4 (100%), aerial won 3/3 (100%), shot off target 2, hajapokonywa mpira, the most touches, ulitaka hawa vijana wafanye nini mechi ya away against semi finalist? Bro tumecheza na timu aliyofika nusu fainal msimu uliopita na sio mabinam zao Libolo

    Takwimu pekee tunazokataa ni takwimu za aina moja. But everything kwa upande wetu we did better katika eneo la ulinzi, tempo ya mchezo na kwenye attacking attributes.

    Second half tulipiga pasi 159 wao 88, tulipiga mashuti 14. Imagine ulitaka nini?

    Individual art Pacome was superb, Yao aliimgia mwenye boksi mara kibao, Duke Abuya what match kwake.

    Mnawatengenezea mashabiki wetu tension ya kijinga ilimradi muwape presha ili wavimba macho wawe kwenye comfortable zone.

    Mpira ni takwimu, art ni sehemu ndogo sana ya mpira wa kisasa.
    Privaldinho amjibu Wilson Orumo, Mchambuzi. Hizi nazo ni porojo. Kusema mpira bila takwimu ni stori zenu za vijiwe vya kahawa huko. Wewe ni mmoja kati ya watu mashuhuri kwa takwimu zako. Leo hutaki takwimu kwa sababu utawaudhi maboss zako. Unataka tuchambue mpira kwa kutumia nini? Hisia? Mnapoteza credibility kwa sababu kuna kundi mnataka kuliridhisha huku mnadidimiza lingine. Hivi jana nani hakuona performance ya @jobdick05 ? Nani hakuona fighting spirit ya @auchokhalidofficial ? Jana Djigui Diarra kacheza na maumivu, Chama kacheza na maumivu ulitaka nini kwa hawa vijana? Mwalimu alifanya top analysis yake, kaleta vijana watatu kwenye mchezo, Aziz, Dube, Mzize na Chama and yes build up ya goli ilitokea kwake. Defence yetu ilikuwa proper and well organized jana, what a performance kutoka kwa Bacca na Yao. Kipindi cha pili no shot on target kutoka kwa Mazembe. Second half tulimanage mchezo kwa 61%. Dickson Job jana, tackles 4/4 (100%), aerial won 3/3 (100%), shot off target 2, hajapokonywa mpira, the most touches, ulitaka hawa vijana wafanye nini mechi ya away against semi finalist? Bro tumecheza na timu aliyofika nusu fainal msimu uliopita na sio mabinam zao Libolo Takwimu pekee tunazokataa ni takwimu za aina moja. But everything kwa upande wetu we did better katika eneo la ulinzi, tempo ya mchezo na kwenye attacking attributes. Second half tulipiga pasi 159 wao 88, tulipiga mashuti 14. Imagine ulitaka nini? Individual art Pacome was superb, Yao aliimgia mwenye boksi mara kibao, Duke Abuya what match kwake. Mnawatengenezea mashabiki wetu tension ya kijinga ilimradi muwape presha ili wavimba macho wawe kwenye comfortable zone. Mpira ni takwimu, art ni sehemu ndogo sana ya mpira wa kisasa.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·571 Views
  • Like
    Love
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·114 Views
  • Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·117 Views