Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 17:29:04 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·126 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 17:30:49 ·
    Privaldinho amjibu Wilson Orumo, Mchambuzi.

    Hizi nazo ni porojo. Kusema mpira bila takwimu ni stori zenu za vijiwe vya kahawa huko. Wewe ni mmoja kati ya watu mashuhuri kwa takwimu zako. Leo hutaki takwimu kwa sababu utawaudhi maboss zako.

    Unataka tuchambue mpira kwa kutumia nini? Hisia?

    Mnapoteza credibility kwa sababu kuna kundi mnataka kuliridhisha huku mnadidimiza lingine.

    Hivi jana nani hakuona performance ya @jobdick05 ? Nani hakuona fighting spirit ya @auchokhalidofficial ? Jana Djigui Diarra kacheza na maumivu, Chama kacheza na maumivu ulitaka nini kwa hawa vijana?

    Mwalimu alifanya top analysis yake, kaleta vijana watatu kwenye mchezo, Aziz, Dube, Mzize na Chama and yes build up ya goli ilitokea kwake.

    Defence yetu ilikuwa proper and well organized jana, what a performance kutoka kwa Bacca na Yao. Kipindi cha pili no shot on target kutoka kwa Mazembe. Second half tulimanage mchezo kwa 61%.

    Dickson Job jana, tackles 4/4 (100%), aerial won 3/3 (100%), shot off target 2, hajapokonywa mpira, the most touches, ulitaka hawa vijana wafanye nini mechi ya away against semi finalist? Bro tumecheza na timu aliyofika nusu fainal msimu uliopita na sio mabinam zao Libolo

    Takwimu pekee tunazokataa ni takwimu za aina moja. But everything kwa upande wetu we did better katika eneo la ulinzi, tempo ya mchezo na kwenye attacking attributes.

    Second half tulipiga pasi 159 wao 88, tulipiga mashuti 14. Imagine ulitaka nini?

    Individual art Pacome was superb, Yao aliimgia mwenye boksi mara kibao, Duke Abuya what match kwake.

    Mnawatengenezea mashabiki wetu tension ya kijinga ilimradi muwape presha ili wavimba macho wawe kwenye comfortable zone.

    Mpira ni takwimu, art ni sehemu ndogo sana ya mpira wa kisasa.
    Privaldinho amjibu Wilson Orumo, Mchambuzi. Hizi nazo ni porojo. Kusema mpira bila takwimu ni stori zenu za vijiwe vya kahawa huko. Wewe ni mmoja kati ya watu mashuhuri kwa takwimu zako. Leo hutaki takwimu kwa sababu utawaudhi maboss zako. Unataka tuchambue mpira kwa kutumia nini? Hisia? Mnapoteza credibility kwa sababu kuna kundi mnataka kuliridhisha huku mnadidimiza lingine. Hivi jana nani hakuona performance ya @jobdick05 ? Nani hakuona fighting spirit ya @auchokhalidofficial ? Jana Djigui Diarra kacheza na maumivu, Chama kacheza na maumivu ulitaka nini kwa hawa vijana? Mwalimu alifanya top analysis yake, kaleta vijana watatu kwenye mchezo, Aziz, Dube, Mzize na Chama and yes build up ya goli ilitokea kwake. Defence yetu ilikuwa proper and well organized jana, what a performance kutoka kwa Bacca na Yao. Kipindi cha pili no shot on target kutoka kwa Mazembe. Second half tulimanage mchezo kwa 61%. Dickson Job jana, tackles 4/4 (100%), aerial won 3/3 (100%), shot off target 2, hajapokonywa mpira, the most touches, ulitaka hawa vijana wafanye nini mechi ya away against semi finalist? Bro tumecheza na timu aliyofika nusu fainal msimu uliopita na sio mabinam zao Libolo Takwimu pekee tunazokataa ni takwimu za aina moja. But everything kwa upande wetu we did better katika eneo la ulinzi, tempo ya mchezo na kwenye attacking attributes. Second half tulipiga pasi 159 wao 88, tulipiga mashuti 14. Imagine ulitaka nini? Individual art Pacome was superb, Yao aliimgia mwenye boksi mara kibao, Duke Abuya what match kwake. Mnawatengenezea mashabiki wetu tension ya kijinga ilimradi muwape presha ili wavimba macho wawe kwenye comfortable zone. Mpira ni takwimu, art ni sehemu ndogo sana ya mpira wa kisasa.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·627 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 17:31:07 ·
    Like
    Love
    2
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·132 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 17:31:31 ·
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·134 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Ebenezer sweke @Ebenezer_Medical25 μοιράστηκε Travis Croto 's photo
    2024-12-15 19:41:17 ·
    Bitcoin saizi imepanda kiasi kwamba hakuna wakuweka kuishika na kama ulihold tangia zamani saizi wewe utakuwa unamiliki trillion za hela
    Bitcoin saizi imepanda kiasi kwamba hakuna wakuweka kuishika na kama ulihold tangia zamani saizi wewe utakuwa unamiliki trillion za hela
    Travis Croto @Tr_croto πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-11-29 17:50:16 ·
    #traviscroto#kelvinlauden#billionaremindset#bernaldpeter#paulswai#socialpop#dox#jeiva#intellectual_and_developmental_disability_ID@davidatto@omarhassan@abrahmanissa@social pop@drcharlestz@tr_croto
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·755 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 20:11:27 ·
    KAULI YA JESHI LA POLISI VURUGU BAADA YA MECHI KATI YA SIMBA SC NA CS SFAXIEN

    Leo Desemba 15, 2024 majira ya saa 11. 50 jioni katika Uwanja wa Benjamin William Mkapa Temeke Dar es salaam kwenye mchezo wa mpira wa miguu wa kimataifa wa kombe la Shirikisho Afrika kati ya timu ya Simba ya Tanzania na CS SFAXIEN ya Tunisia kulitokea fujo iliyosababishwa na mashabiki wa Timu ya CS SFAXIEN kutoridhika na maamuzi ya refa wa mchezo huo kuchezesha mechi hiyo kwa zaidi ya dakika saba ambazo aliziongeza kama dakika za nyongeza jambo lililo pelekea timu ya Simba kupata goli la pili na la ushindi.

    Kwa Mujibu wa Taarifa ya Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro, Wachezaji wa ndani ya uwanja na "benchi" la ufundi la timu ya CS SFAXIEN walikasirika, wakamfuata mwamuzi wa mchezo na kuanza kufanya vitendo vya kumshambulia.

    Katika fujo hizo shabiki mmoja wa timu ya CS SFAXIEN aliumia na kupatiwa huduma ya kwanza na kuruhusiwa, huku viti vya rangi ya blue 156 na Orange 100 viling’olewa na mashabiki hao.

    "Jeshi la Polisi litashirikiana na mamlaka zingine za kisheria na soka kuona hatua za kuchukua dhidi ya vitendo hivyo ambavyo havikubaliki" Taarifa hiyo imeeleza.

    #neliudcosiah
    KAULI YA JESHI LA POLISI VURUGU BAADA YA MECHI KATI YA SIMBA SC NA CS SFAXIEN Leo Desemba 15, 2024 majira ya saa 11. 50 jioni katika Uwanja wa Benjamin William Mkapa Temeke Dar es salaam kwenye mchezo wa mpira wa miguu wa kimataifa wa kombe la Shirikisho Afrika kati ya timu ya Simba ya Tanzania na CS SFAXIEN ya Tunisia kulitokea fujo iliyosababishwa na mashabiki wa Timu ya CS SFAXIEN kutoridhika na maamuzi ya refa wa mchezo huo kuchezesha mechi hiyo kwa zaidi ya dakika saba ambazo aliziongeza kama dakika za nyongeza jambo lililo pelekea timu ya Simba kupata goli la pili na la ushindi. Kwa Mujibu wa Taarifa ya Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro, Wachezaji wa ndani ya uwanja na "benchi" la ufundi la timu ya CS SFAXIEN walikasirika, wakamfuata mwamuzi wa mchezo na kuanza kufanya vitendo vya kumshambulia. Katika fujo hizo shabiki mmoja wa timu ya CS SFAXIEN aliumia na kupatiwa huduma ya kwanza na kuruhusiwa, huku viti vya rangi ya blue 156 na Orange 100 viling’olewa na mashabiki hao. "Jeshi la Polisi litashirikiana na mamlaka zingine za kisheria na soka kuona hatua za kuchukua dhidi ya vitendo hivyo ambavyo havikubaliki" Taarifa hiyo imeeleza. #neliudcosiah
    Like
    3
    · 4 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·232 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 20:12:01 ·
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·128 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2024-12-15 21:05:00 ·
    Love
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·190 Views ·22
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-15 21:12:53 ·
    UNAONA NINI?
    UNAONA NINI?
    Like
    Love
    Haha
    6
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·190 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Michael Nandi @mike12 ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-12-16 02:27:34 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·336 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (19621-19630 από 32718)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 1961
  • 1962
  • 1963
  • 1964
  • 1965
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers