Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Mansuli Kazy @Mannai ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-12-30 22:30:43 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·262 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Mtorro Hussein @Kingwaba μοιράστηκε David Atto 's video
    2024-12-30 22:35:31 ·
    David Atto @Mefa πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2024-12-30 21:13:26 ·
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·331 Views ·109
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Deogratius Mazige @DittyofficialTz ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-12-31 04:11:21 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·362 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Deogratius Mazige @DittyofficialTz στείλε αίτημα φιλίας
    2024-12-31 04:23:19 ·

    Mazige tech

    Location Safi na mazingira Ni amazing .
    Location Safi na mazingira Ni amazing .
    Tsh0 Raised of Tsh5000
    0%
    2 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·891 Views ·0 Donations
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Deogratius Mazige @DittyofficialTz was live
    2024-12-31 04:28:13 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·373 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-31 05:59:54 ·
    Mwanaume mmoja alinunua sets 4 ya maua na card 4 akaenda kwa cashier kwaajili ya kulipia, Cashier alikua mwanamke,akamuangalia jamaa akaona Pete ya ndoa kwenye kidole cha yule mwanaume cashier akamtania jamaa kwa kumwabia "Pete yako imeniumiza moyo" (akimaanisha kampenda jamaa ila mwamba kashaoa) alafu akamuuliza "unampelekea nani maua yote haya?"

    Jamaa akajibu "set moja ya maua nampelekea mama yangu, kwasababu Baba yangu kafariki na siku zote alikua akimpelekea mama zawadi kama hii.. hivyo akanifundisha namna kuonyesha upendo"

    "Set ya pili ya maua nampelekea mke wangu kwasababu nampenda na amenifundisha namna ya kupokea na kutunza upendo"

    "Set ya 3 ya maua nampelekea binti yangu, kwasababu ni kazi yangu kumfundisha vipi anatakiwa atendewe na anaempa upendo wake"

    Yule mwanaume akashika Set ya 4 ya maua akampa cashier na akamwambia" Hii set ya 4 chukua wewe nataka nikufundishe kuwa mwanaume anaweza kukupa zawadi na kukuonyesha upendo bila kuhitaji chochote kutoka kwako... nakutakia siku njema"

    Na akaondoka zake.
    Ni follow
    #neliudcosiah
    Mwanaume mmoja alinunua sets 4 ya maua na card 4 akaenda kwa cashier kwaajili ya kulipia, Cashier alikua mwanamke,akamuangalia jamaa akaona Pete ya ndoa kwenye kidole cha yule mwanaume cashier akamtania jamaa kwa kumwabia "Pete yako imeniumiza moyo" (akimaanisha kampenda jamaa ila mwamba kashaoa) alafu akamuuliza "unampelekea nani maua yote haya?" Jamaa akajibu "set moja ya maua nampelekea mama yangu, kwasababu Baba yangu kafariki na siku zote alikua akimpelekea mama zawadi kama hii.. hivyo akanifundisha namna kuonyesha upendo" "Set ya pili ya maua nampelekea mke wangu kwasababu nampenda na amenifundisha namna ya kupokea na kutunza upendo" "Set ya 3 ya maua nampelekea binti yangu, kwasababu ni kazi yangu kumfundisha vipi anatakiwa atendewe na anaempa upendo wake" Yule mwanaume akashika Set ya 4 ya maua akampa cashier na akamwambia" Hii set ya 4 chukua wewe nataka nikufundishe kuwa mwanaume anaweza kukupa zawadi na kukuonyesha upendo bila kuhitaji chochote kutoka kwako... nakutakia siku njema" Na akaondoka zake. Ni follow 👇 #neliudcosiah
    Like
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·621 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-31 06:02:53 ·
    Nimewahi onekana msumbufu kwake, wiki moja baada ya kuniambia ahsante kwa kunijali.

    Nilikuwa mstari wa mbele kwenye matatizo yake yanayohusu pesa, bila kujali umaskini wangu.

    Nilimpenda sana yule mwanamke, aliyewahi niomba nisichoweza kukimudu, ili anikasirikie.

    Kwangu haikuwa blue ticks zisizojibiwa, wala block, alikosa kabisa, muda wa kufungua jumbe nilizomtumia, licha ya kuwa online muda wote.

    Kuna siku aliniahidi kuja, halafu akanizimia simu, dakika chache baada ya kumtumia nauli.

    Hadi nikaitwa kitenzi king'ang'anizi, zilipokuja dalili za wazi, kuwa sitakiwi na yeye.

    Aliyesema mapenzi upofu, ni kama alitaka nisione nafasi yangu kwenye dharau zake.

    Corabo ya dunia isiyonihitaji, na shetani aliyefanikiwa, ikaniaminisha nipo sahihi, ili nizidi kupotea.

    Huzuni ikawa kurasa ya kwanza, kwenye daftari lililoandikwa ninavyostahili.

    Kabla yakuwa single, ilikuwa ngumu kuamini kama naweza kuishi bila yeye.

    Baada ya kuvipa onyo viungo vyangu vya uzazi, siku hizi upweke umekuwa rafiki anayeongozana na mimi kila mahali, nainjoi.

    Mwambieni nimemsamehe Farashuu, maana nikisema nilipize hastahili kuishi, ila msimtaje mbele yangu.

    N.B, Hii Haina uhusiano wowote na mwandishi

    #neliudcosiah
    Nimewahi onekana msumbufu kwake, wiki moja baada ya kuniambia ahsante kwa kunijali. Nilikuwa mstari wa mbele kwenye matatizo yake yanayohusu pesa, bila kujali umaskini wangu. Nilimpenda sana yule mwanamke, aliyewahi niomba nisichoweza kukimudu, ili anikasirikie. Kwangu haikuwa blue ticks zisizojibiwa, wala block, alikosa kabisa, muda wa kufungua jumbe nilizomtumia, licha ya kuwa online muda wote. Kuna siku aliniahidi kuja, halafu akanizimia simu, dakika chache baada ya kumtumia nauli. Hadi nikaitwa kitenzi king'ang'anizi, zilipokuja dalili za wazi, kuwa sitakiwi na yeye. Aliyesema mapenzi upofu, ni kama alitaka nisione nafasi yangu kwenye dharau zake. Corabo ya dunia isiyonihitaji, na shetani aliyefanikiwa, ikaniaminisha nipo sahihi, ili nizidi kupotea. Huzuni ikawa kurasa ya kwanza, kwenye daftari lililoandikwa ninavyostahili. Kabla yakuwa single, ilikuwa ngumu kuamini kama naweza kuishi bila yeye. Baada ya kuvipa onyo viungo vyangu vya uzazi, siku hizi upweke umekuwa rafiki anayeongozana na mimi kila mahali, nainjoi. Mwambieni nimemsamehe Farashuu, maana nikisema nilipize hastahili kuishi, ila msimtaje mbele yangu. N.B, Hii Haina uhusiano wowote na mwandishi 😀😀🙌🙌 #neliudcosiah
    Like
    2
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·850 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-31 06:07:07 ·
    Hii ndio ilikuwa Bendera yetu, na katikati ya Bendera ni Ngao ya Jamii (Coat of Arms) ya Nchi yetu enzi tunaitwa Deutsch-Ostafrika (Ujerumani ya Afrika Mashariki) miaka ya 1885 mpaka 1918.

    Wakati huo nchi ilikuwa na eneo la Mita Square 994,996 Km² ndani yake kuna Burundi na Rwanda, na Eneo la Nchi ya Msumbiji lililoitwa Kionga Triangle.

    Je wajua neno la Kiswahili "Shule" limetoka kwenye Neno la Kijerumani "Schule" yote yakimaanisha "School".

    Maeneo mengine yaliitwa hivi:

    • Rombo iliitwa Fischerstadt
    • Nyakanazi iliitwa Friedberg
    • Kisarawe iliitwa Hoffnungshöh
    • Tukuyu iliitwa Langenburg
    • Ushetu iliitwa Marienthal
    • Shume (huko kwa Wapare) kuliitwa Neu-Hornow
    • Mbulu kuliitwa Neu-Trier
    • Sekenke paliitwa Sachsenwald na ilikua ni Mgodi.
    • Lushoto iliitwa Wilhelmsdorf.

    Kipindi hiki ndio tulijengewa Reli iliyoitwa Usambara Railway mwaka 1891 ilijengwa na Wajerumani na ilikuwa na Km 350, ilianzia Mjini Tanga, ikawa na makutano na Kenya Mji wa Kahe, ikapita Moshi mpaka Arusha.

    Wajerumani katika Reli hii walikuwa na vichwa vya Treni 18 (Locomotive) na mabehewa 199, kipindi hicho Reli hii ilikuwa na wafanyakazi 562 huku kati yao 35 tu ndio walikuwa Wajerumani.

    Lengo la Wajerumani kujenga Reli hii ilikuwa ni kuunganisha Bandari ya Tanga na Ziwa Victoria kupitia milima ya Usambara.

    Treni la kwanza lilipita likiwa tupu tarehe 26 September 1911 ili kujaribu safari na kufanikiwa 100%, likapita tena likiwa na Abiria tarehe 4 October 1911 na kufanikiwa 100% Wajerumani wakaamini kweli kitu ni Konki.

    Hivyo ukafanyika uzinduzi wa Reli tarehe 7 February 1912, na baada ya hapo Treni lilikuwa lazima lifanye safari kila siku kutoka Tanga mpaka Buiko na Kurudi, safari ilichukua muda wa masaa 14 na dakika 40.

    Reli hii haikukamilika mpaka Arusha sababu ya Vita ya kwanza ya Dunia, Waingereza ndio Wakaiunganisha.

    #Kutoka_Maktaba
    Hii ndio ilikuwa Bendera yetu, na katikati ya Bendera ni Ngao ya Jamii (Coat of Arms) ya Nchi yetu enzi tunaitwa Deutsch-Ostafrika (Ujerumani ya Afrika Mashariki) miaka ya 1885 mpaka 1918. Wakati huo nchi ilikuwa na eneo la Mita Square 994,996 Km² ndani yake kuna Burundi na Rwanda, na Eneo la Nchi ya Msumbiji lililoitwa Kionga Triangle. Je wajua neno la Kiswahili "Shule" limetoka kwenye Neno la Kijerumani "Schule" yote yakimaanisha "School". Maeneo mengine yaliitwa hivi: • Rombo iliitwa Fischerstadt • Nyakanazi iliitwa Friedberg • Kisarawe iliitwa Hoffnungshöh • Tukuyu iliitwa Langenburg • Ushetu iliitwa Marienthal • Shume (huko kwa Wapare) kuliitwa Neu-Hornow • Mbulu kuliitwa Neu-Trier • Sekenke paliitwa Sachsenwald na ilikua ni Mgodi. • Lushoto iliitwa Wilhelmsdorf. Kipindi hiki ndio tulijengewa Reli iliyoitwa Usambara Railway mwaka 1891 ilijengwa na Wajerumani na ilikuwa na Km 350, ilianzia Mjini Tanga, ikawa na makutano na Kenya Mji wa Kahe, ikapita Moshi mpaka Arusha. Wajerumani katika Reli hii walikuwa na vichwa vya Treni 18 (Locomotive) na mabehewa 199, kipindi hicho Reli hii ilikuwa na wafanyakazi 562 huku kati yao 35 tu ndio walikuwa Wajerumani. Lengo la Wajerumani kujenga Reli hii ilikuwa ni kuunganisha Bandari ya Tanga na Ziwa Victoria kupitia milima ya Usambara. Treni la kwanza lilipita likiwa tupu tarehe 26 September 1911 ili kujaribu safari na kufanikiwa 100%, likapita tena likiwa na Abiria tarehe 4 October 1911 na kufanikiwa 100% Wajerumani wakaamini kweli kitu ni Konki. Hivyo ukafanyika uzinduzi wa Reli tarehe 7 February 1912, na baada ya hapo Treni lilikuwa lazima lifanye safari kila siku kutoka Tanga mpaka Buiko na Kurudi, safari ilichukua muda wa masaa 14 na dakika 40. Reli hii haikukamilika mpaka Arusha sababu ya Vita ya kwanza ya Dunia, Waingereza ndio Wakaiunganisha. #Kutoka_Maktaba
    Like
    2
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Ally Messi1 @allymessi1 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-31 07:04:24 ·
    Haha
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·252 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Ally Messi1 @allymessi1 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-31 07:05:39 ·
    #soxialpop
    #soxialpop
    Love
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·431 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (20221-20230 από 26186)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2021
  • 2022
  • 2023
  • 2024
  • 2025
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers