0 Σχόλια
·0 Μοιράστηκε
·129 Views
-
-
-
-
Ni tetesi.
Kuna uwezekano mkubwa wa klabu ya Azam FC kuipa saini ya Mlinda mlango wa klabu ya Simba SC Aishi Manula. Taarifa hii inadai kuwa Manula ameshamaliza masuala binafsi na klabu ya Azam FC huku klabu ya Simba SC ikionyesha utayari wa kumuachia mwezi huu wa Januari.
Ni tetesi. Kuna uwezekano mkubwa wa klabu ya Azam FC kuipa saini ya Mlinda mlango wa klabu ya Simba SC Aishi Manula. Taarifa hii inadai kuwa Manula ameshamaliza masuala binafsi na klabu ya Azam FC huku klabu ya Simba SC ikionyesha utayari wa kumuachia mwezi huu wa Januari.0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·227 Views -
-
-
-
-