• IJUE MELI KUBWA INAYO SHIKA REKODI.

    Mv OASIS OF THE SEA ndiyo meli kubwa ambayo ni mara 5 ya meli ya Titanic.
    Utengenezaji wake 12/11/2007 kukamilika 28/10/2009. Ilianza kutumika 5/12/2009.
    Ina urefu 361.6mita(1186.5futi), Kimo cha urefu wa 72mita(236futi).
    Ina Engine 8 aina ya wartsita V12 zenye uwezo wa 17500hp, Ina lifeboats 18 ambazo zina uwezo wa kubeba abiria 6000. Inafanya safari yake visiwa vya Bahamas

    Meli hii inasadikika kuwa na mambo yafuatayo:

    1. hoteli za kifahari zipatazo 69, hoteli hizo zina uwezo wa kupakia vyakula kwa ajili ya wateja wake kwa muda wa siku zipatazo tatu [03], jambo ambalo ni la nadra kupata kutokea na kuwapo.

    2. gari moshi dogo ([treni]), gari moshi hili lina uwezo wa kutembea, kuzunguka ndani ya meli hiyo na kupunguza msongamano wa hapa na pale ndani ya meli hiyo.

    3. meli ndogo 18 za kuokolea (life boat) pamoja na kuwepo kwa ukubwa wa meli hiyo kumezingatia uwepo wa kuyajali maisha ya mwanadamu hivyo kila boti dogo la wokozi lina uwezo wa kuokoa idadi ya abiria 90 hadi 100 bila kuwapo shida na usumbufu wowote ule kujitokeza.

    4. viwanja vya aina zote za mpira, ikiwemo mpira wa mguu, wa kikapu, wa pete, n.k.

    5. Ina ngazi 16 yenye vyumba vya kulala,migahawa,maduka,hoteli za kiwango cha juu(High class),swimming pool,mandhari yenye miti ya kupumzikia,kumbi za disko,michezo ya kwenye maji.
    Hiyo ndo OASIS OF THE SEA.
    #Juakiundani
    IJUE MELI KUBWA INAYO SHIKA REKODI. Mv OASIS OF THE SEA ndiyo meli kubwa ambayo ni mara 5 ya meli ya Titanic. 👉Utengenezaji wake 12/11/2007 kukamilika 28/10/2009. Ilianza kutumika 5/12/2009. 👉Ina urefu 361.6mita(1186.5futi), Kimo cha urefu wa 72mita(236futi). 👉Ina Engine 8 aina ya wartsita V12 zenye uwezo wa 17500hp, Ina lifeboats 18 ambazo zina uwezo wa kubeba abiria 6000. Inafanya safari yake visiwa vya Bahamas Meli hii inasadikika kuwa na mambo yafuatayo: 1. hoteli za kifahari zipatazo 69, hoteli hizo zina uwezo wa kupakia vyakula kwa ajili ya wateja wake kwa muda wa siku zipatazo tatu [03], jambo ambalo ni la nadra kupata kutokea na kuwapo. 2. gari moshi dogo ([treni]), gari moshi hili lina uwezo wa kutembea, kuzunguka ndani ya meli hiyo na kupunguza msongamano wa hapa na pale ndani ya meli hiyo. 3. meli ndogo 18 za kuokolea (life boat) pamoja na kuwepo kwa ukubwa wa meli hiyo kumezingatia uwepo wa kuyajali maisha ya mwanadamu hivyo kila boti dogo la wokozi lina uwezo wa kuokoa idadi ya abiria 90 hadi 100 bila kuwapo shida na usumbufu wowote ule kujitokeza. 4. viwanja vya aina zote za mpira, ikiwemo mpira wa mguu, wa kikapu, wa pete, n.k. 5. Ina ngazi 16 yenye vyumba vya kulala,migahawa,maduka,hoteli za kiwango cha juu(High class),swimming pool,mandhari yenye miti ya kupumzikia,kumbi za disko,michezo ya kwenye maji. Hiyo ndo OASIS OF THE SEA. #Juakiundani
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·723 Views
  • Mtaalamu wa hesabu na fizikia kutoka NASA Katherine Johnson amefariki leo hii akiwa na umri wa miaka 101. Johnson alikuwa ni miongoni mwa wanawake weusi watatu waliofanya kazi NASA wakati wa kipindi cha mbio za safari za anga za majuu kati ya Marekani na Urusi miaka ya 60. Wakati anafanya kazi NASA kazi yake kubwa ilikuwa ni kufanya mahesabu ambayo yalikwenda kutumika kupeleka wanaanga nje ya Dunia na kwenye mwezi, Johnson alikuwa yupo vizuri sana kwenye hesabu kiasi cha kwamba hata NASA waliponunua kompyuta ya kwanza kutoka IBM walikuwa wanamwita yeye kusahihisha mahesabu yaliyofanywa na kompyuta

    . #jewajua
    Mtaalamu wa hesabu na fizikia kutoka NASA Katherine Johnson amefariki leo hii akiwa na umri wa miaka 101. Johnson alikuwa ni miongoni mwa wanawake weusi watatu waliofanya kazi NASA wakati wa kipindi cha mbio za safari za anga za majuu kati ya Marekani na Urusi miaka ya 60. Wakati anafanya kazi NASA kazi yake kubwa ilikuwa ni kufanya mahesabu ambayo yalikwenda kutumika kupeleka wanaanga nje ya Dunia na kwenye mwezi, Johnson alikuwa yupo vizuri sana kwenye hesabu kiasi cha kwamba hata NASA waliponunua kompyuta ya kwanza kutoka IBM walikuwa wanamwita yeye kusahihisha mahesabu yaliyofanywa na kompyuta . #jewajua
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·852 Views
  • Mtandao wa TikTok unatarajia kusitisha kutoa huduma nchini Marekani ifikapo Januari 19, 2025 kama Mahakama ikisimamia msimamo wake.

    Serikali ya Marekani iliipa Masharti mtandao wa TikTok kuuza hisa zake kwa Raia wa Marekani badala ya kumilikiwa kwa asilimia zote na kampuni mama ya China ByteDance.

    Ijumaa ya leo, Mahakama itakaa kujadili kama wasogeze mbele tarehe ya kusitisha huduma ya TikTok au waendelee na utaratibu uliopo.

    Kwa upande wa wawakilishi wa mtandao wa TikTok wapo tayari kusitisha huduma Marekani kuliko kuuza hisa kwa Raia wa Marekani.

    Follow #neliudcosiah
    Mtandao wa TikTok unatarajia kusitisha kutoa huduma nchini Marekani ifikapo Januari 19, 2025 kama Mahakama ikisimamia msimamo wake. Serikali ya Marekani iliipa Masharti mtandao wa TikTok kuuza hisa zake kwa Raia wa Marekani badala ya kumilikiwa kwa asilimia zote na kampuni mama ya China ByteDance. Ijumaa ya leo, Mahakama itakaa kujadili kama wasogeze mbele tarehe ya kusitisha huduma ya TikTok au waendelee na utaratibu uliopo. Kwa upande wa wawakilishi wa mtandao wa TikTok wapo tayari kusitisha huduma Marekani kuliko kuuza hisa kwa Raia wa Marekani. Follow #neliudcosiah
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • UWANJA WA MPIRA MKUBWA DUNIANI.

    Rungrado may day. Huu ndiyo uwanja wa mpira mkubwa duniani kuzidi viwnja vyote.

    Unapatikana huko Pyongyang, Korea kaskazini.
    Uwanja huu ulikamilika mwaka 1989.Unauwezo wa kuchukua watazamaji mpaka 150,000 walio keti au na zaidi, pia unatskribani mita 197kutoka chini ya aridhi(chini ya usawa wa bahari).

    Jina lake Rungrado may day limetokana na maeneo yake ya karibu ambayo ni Rungra island na Taedong River ndipo uwanja huo ukapata jina la Rungrado may day.

    #jewajua
    UWANJA WA MPIRA MKUBWA DUNIANI. Rungrado may day. Huu ndiyo uwanja wa mpira mkubwa duniani kuzidi viwnja vyote. Unapatikana huko Pyongyang, Korea kaskazini. Uwanja huu ulikamilika mwaka 1989.Unauwezo wa kuchukua watazamaji mpaka 150,000 walio keti au na zaidi, pia unatskribani mita 197kutoka chini ya aridhi(chini ya usawa wa bahari). Jina lake Rungrado may day limetokana na maeneo yake ya karibu ambayo ni Rungra island na Taedong River ndipo uwanja huo ukapata jina la Rungrado may day. #jewajua
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·804 Views
  • HAYA NI MAMBO 25 AMBAYO HUJAWAHI KUYAJUA KUMHUSU PAKA

    1) Kama ingetakiwa paka awe na kitambulisho cha NIDA Basi asingesajili kwa alama za vidole bali angesaini kwa alama ya Pua kwa sababu kwa kupitia pua zao ndio utapata upekee wa kila paka duniani

    2) Paka wengi ni mashoto kwa maana miguu yao ya kushoto ndio hutawala katika shughuli zao nyingi

    3) Siku zote paka ni wapole. ..hawapigani kwa ajili ya kuonyesha umwamba wao ukimuona paka anapigana ujue anapigania haki yake hasahasa kulinda himaya yake....

    4) Watu wa zamani wa Misri walikuwa wakinyoa nyusi zao ilikuonyesha majonzi Iwapo paka wao wa nyumbani atafariki

    5) Uwezo wa paka kunusa ni mara 14 zaidi ya uwezo wa binadamu

    6) Paka anaweza kuruka hadi futi 8 kwenda juu...anaweza kuruka mara sita ya urefu wa mwili wake

    7) Paka ana akili nyingi kuliko mbwa kwa sababu paka ana zaidi ya neurons million 300 wakati mbwa ana neurons million 160 huku binadamu akiwa na zaidi ya neurons bilion 80 (hizo neurons bilion 80 kwa binadamu ni asilimia Kati ya 10-20 ya akili ya binadamu)

    8) Paka anaweza kuishi hadi miaka 30 ...Hadi sasa paka anayeshikilia rekodi ya dunia ya kuishi umri mrefu ni Paka Creme Puff aliyeishi miaka 38 na siku 3 ...paka huyo aliishi huko Texas nchini marekani

    9) Paka anavyolia nyau (Meous) huwa anawasiliana na binadamu pekee ...wao wenyewe kwa wenyewe hawawasiliani kwa kulia nyau (meous)

    10) Paka huweza kujitibu majeraha kwa kukoroma (purring) ... Paka wa nyumbani huweza kuzalisha frequency Kati ya 25 hadi 150 hertz ...Kwa kiwango hiko kinaweza kusaidia mifupa na misuli kukua vizuri na pia kujitibu yenyewe

    11) Paka hawezi kuhisi ladha ya utamu

    12) Mapigo ya moyo ya Paka yanapiga mara mbili zaidi ya Mapigo ya moyo ya binadamu kwa Paka ndani ya dakik 1 hupiga kati ya 110 -140 wakati kwa binadamu ndani ya dakik 1 hupiga kati ya 60 hadi 100

    13) Mwaka 2004 wana akiolojia kutoka ufaransa waliweza kugundua kaburi (mifupa) ya paka inayokadiriwa kuwa ni ya zaidi ya miaka 9500 huko nchini Cyprus.... Hapo awali watu waliamini kuwa paka walianza kuishi nchini misri

    14) Paka Stubb alishawahi kuwa meya wa Talkeetna kwa miaka 20... Talkeetna ni mji mdogo wa Alaska ....Kwa Miaka 20 alikuwa anakosa Mpinzani wa kugombea nae... Japo paka huyo Hakuwa anashika madaraka ya kiutawala lakini alikuwa anapendwa tu na watu wa Talkeetna

    15) Paka mrefu (longest) zaidi duniani ni Stewie alikuwa na urefu wa inchi 48.5 wakati paka mrefu kwenda juu (tallest) zaidi duniani ni Arcturus alikuwa na urefu wa kwenda juu wa inchi 19.05

    16) Asilimia 70 ya maisha ya paka wanayatumia kwa kulala... ( Kwa mfano kama paka ataishi miaka 10 Basi miaka 7 ataitumia kwa kulala)

    17) Paka anayeshikilia rekodi ya utajiri zaidi duniani ni Paka Blackie...utajiri wa paundi million 7 ...ambazo kama tutazibadili kwa thamani ya pesa ya Tanzania ya sasa ...tunaweza kusema kuwa paka huyo alikuwa na zaidi ya utajiri wa Billion 20 na million 900

    18) Kama hujawahi kumuona Twiga akitembea au kama hujawahi kumuona Ngamia akitembea Basi kamuangalie Paka akitembea... Namna paka anavyotembea ni sawa na Ngamia anavyotembea au namna Twiga anavyotembea
    kwahyo badala ya kusema mtoto ana mwendo wa Twiga Unaweza kumwambia tu kuwa mtoto ana mwendo wa paka

    19) Mwaka 1963 ndio paka wa kwanza duniani alikwenda angani... Paka huyo aliitwa Felicette ndio alikuwa paka wa kwanza na wa pekee kwenda angani

    20) Kwa asilimia 80 maumbile ya paka yanafanana na Chui... Lakini pia baadhi ya tabia za paka hufanana na chui

    21) Paka Ana speed ya 30mph wakati chui ana speed ya 40 mph Binadamu ana speed ya 28mph (hapo wameangaliwa akina Usain Bolt sio wewe kibonge )

    22) Paka ana mifupa 230 wakati binadamu ana mifupa 206

    23) Paka anaweza kupata mimba akiwa na umri wa miezi minne

    25) Paka alianza kuishi majumbani zaidi ya miaka 3600 BC

    Tafadhali share na wengine wajifunze kuhusu paka
    HAYA NI MAMBO 25 AMBAYO HUJAWAHI KUYAJUA KUMHUSU PAKA 1) Kama ingetakiwa paka awe na kitambulisho cha NIDA Basi asingesajili kwa alama za vidole bali angesaini kwa alama ya Pua kwa sababu kwa kupitia pua zao ndio utapata upekee wa kila paka duniani 2) Paka wengi ni mashoto kwa maana miguu yao ya kushoto ndio hutawala katika shughuli zao nyingi 3) Siku zote paka ni wapole. ..hawapigani kwa ajili ya kuonyesha umwamba wao ukimuona paka anapigana ujue anapigania haki yake hasahasa kulinda himaya yake.... 4) Watu wa zamani wa Misri walikuwa wakinyoa nyusi zao ilikuonyesha majonzi Iwapo paka wao wa nyumbani atafariki 5) Uwezo wa paka kunusa ni mara 14 zaidi ya uwezo wa binadamu 6) Paka anaweza kuruka hadi futi 8 kwenda juu...anaweza kuruka mara sita ya urefu wa mwili wake 7) Paka ana akili nyingi kuliko mbwa kwa sababu paka ana zaidi ya neurons million 300 wakati mbwa ana neurons million 160 huku binadamu akiwa na zaidi ya neurons bilion 80 (hizo neurons bilion 80 kwa binadamu ni asilimia Kati ya 10-20 ya akili ya binadamu) 8) Paka anaweza kuishi hadi miaka 30 ...Hadi sasa paka anayeshikilia rekodi ya dunia ya kuishi umri mrefu ni Paka Creme Puff aliyeishi miaka 38 na siku 3 ...paka huyo aliishi huko Texas nchini marekani 9) Paka anavyolia nyau (Meous) huwa anawasiliana na binadamu pekee ...wao wenyewe kwa wenyewe hawawasiliani kwa kulia nyau (meous) 10) Paka huweza kujitibu majeraha kwa kukoroma (purring) ... Paka wa nyumbani huweza kuzalisha frequency Kati ya 25 hadi 150 hertz ...Kwa kiwango hiko kinaweza kusaidia mifupa na misuli kukua vizuri na pia kujitibu yenyewe 11) Paka hawezi kuhisi ladha ya utamu 12) Mapigo ya moyo ya Paka yanapiga mara mbili zaidi ya Mapigo ya moyo ya binadamu kwa Paka ndani ya dakik 1 hupiga kati ya 110 -140 wakati kwa binadamu ndani ya dakik 1 hupiga kati ya 60 hadi 100 13) Mwaka 2004 wana akiolojia kutoka ufaransa waliweza kugundua kaburi (mifupa) ya paka inayokadiriwa kuwa ni ya zaidi ya miaka 9500 huko nchini Cyprus.... Hapo awali watu waliamini kuwa paka walianza kuishi nchini misri 14) Paka Stubb alishawahi kuwa meya wa Talkeetna kwa miaka 20... Talkeetna ni mji mdogo wa Alaska ....Kwa Miaka 20 alikuwa anakosa Mpinzani wa kugombea nae... Japo paka huyo Hakuwa anashika madaraka ya kiutawala lakini alikuwa anapendwa tu na watu wa Talkeetna 15) Paka mrefu (longest) zaidi duniani ni Stewie alikuwa na urefu wa inchi 48.5 wakati paka mrefu kwenda juu (tallest) zaidi duniani ni Arcturus alikuwa na urefu wa kwenda juu wa inchi 19.05 16) Asilimia 70 ya maisha ya paka wanayatumia kwa kulala... ( Kwa mfano kama paka ataishi miaka 10 Basi miaka 7 ataitumia kwa kulala) 17) Paka anayeshikilia rekodi ya utajiri zaidi duniani ni Paka Blackie...utajiri wa paundi million 7 ...ambazo kama tutazibadili kwa thamani ya pesa ya Tanzania ya sasa ...tunaweza kusema kuwa paka huyo alikuwa na zaidi ya utajiri wa Billion 20 na million 900 18) Kama hujawahi kumuona Twiga akitembea au kama hujawahi kumuona Ngamia akitembea Basi kamuangalie Paka akitembea... Namna paka anavyotembea ni sawa na Ngamia anavyotembea au namna Twiga anavyotembea kwahyo badala ya kusema mtoto ana mwendo wa Twiga Unaweza kumwambia tu kuwa mtoto ana mwendo wa paka 🤣🤣 19) Mwaka 1963 ndio paka wa kwanza duniani alikwenda angani... Paka huyo aliitwa Felicette ndio alikuwa paka wa kwanza na wa pekee kwenda angani 20) Kwa asilimia 80 maumbile ya paka yanafanana na Chui... Lakini pia baadhi ya tabia za paka hufanana na chui 21) Paka Ana speed ya 30mph wakati chui ana speed ya 40 mph Binadamu ana speed ya 28mph (hapo wameangaliwa akina Usain Bolt sio wewe kibonge 🤣🤣🤣🤣🤣 ) 22) Paka ana mifupa 230 wakati binadamu ana mifupa 206 23) Paka anaweza kupata mimba akiwa na umri wa miezi minne 25) Paka alianza kuishi majumbani zaidi ya miaka 3600 BC Tafadhali share na wengine wajifunze kuhusu paka
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·713 Views
  • SHIGETAKA KURITA.... Mvumbuzi WA Emoji

    Kama ulikuwa hujui...... Ni hivi emoji zilianza kutumika mwaka 1999 nchini Japan

    Mvumbuzi wa Emoji aliitwa Shigetaka Kurita aliyekuwa anafanya kazi katika kampuni ya na mawasiliano iliyoitwa DECOMO

    Shigetaka Kurita alikuwa ndio mbunifu mkuu wa kampuni hiyo ya decomo ....kampuni hiyo iliyokuwa na malengo ya kuanzisha namna mpya ya kuwasiliana

    Shigetaka alikuwa na kiu ya kufanya mawasiliano ya mitandao yawe yakuvutia na kurahisisha ujumbe kueleweka kwa haraka ndipo alipobuni emoji 176 zilizokuwa zinaelezea maana mbali mbali.... Kama vile hali ya hewa...msongamano wa magari ...na teknolojia mbali mbali

    Baada ya kuanzishwa emoji hizo katika miaka ya 1999 ilianza kutumika nchini Japan tu.

    Baada ya miaka michache emoji ikaanza kutumika Katika nchi nyingine huku kampuni ya Apple nayo ikaanza kutumia emoji

    Inakadiriwa hadi sasa hivi kuna zaidi ya emoji 3178

    Comment emoji yoyote ile ambayo hujawahi kuitumia kisha mtag rafiki yako kipenzi....... 🏕🏖

    Tafadhali share na wengine wajue
    SHIGETAKA KURITA.... Mvumbuzi WA Emoji Kama ulikuwa hujui...... Ni hivi emoji zilianza kutumika mwaka 1999 nchini Japan Mvumbuzi wa Emoji aliitwa Shigetaka Kurita aliyekuwa anafanya kazi katika kampuni ya na mawasiliano iliyoitwa DECOMO Shigetaka Kurita alikuwa ndio mbunifu mkuu wa kampuni hiyo ya decomo ....kampuni hiyo iliyokuwa na malengo ya kuanzisha namna mpya ya kuwasiliana Shigetaka alikuwa na kiu ya kufanya mawasiliano ya mitandao yawe yakuvutia na kurahisisha ujumbe kueleweka kwa haraka ndipo alipobuni emoji 176 zilizokuwa zinaelezea maana mbali mbali.... Kama vile hali ya hewa...msongamano wa magari ...na teknolojia mbali mbali Baada ya kuanzishwa emoji hizo katika miaka ya 1999 ilianza kutumika nchini Japan tu. Baada ya miaka michache emoji ikaanza kutumika Katika nchi nyingine huku kampuni ya Apple nayo ikaanza kutumia emoji Inakadiriwa hadi sasa hivi kuna zaidi ya emoji 3178 Comment emoji yoyote ile ambayo hujawahi kuitumia kisha mtag rafiki yako kipenzi....... 💵📦🛂🛃🏕🌋🏖🇦🇷🇦🇺🇦🇶 Tafadhali share na wengine wajue
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • MJUE ALIYECHAPISHA BIBLIA KWA MARA YA KWANZA
    .Johannes Gutenberg. Gutenberg , anayejulikana kifupi kama
    Johannes Gutenberg , (mnamo 1398 - 3 Februari 1468 ) alikuwa fundi dhahabu na
    mvumbuzi kutoka Ujerumani anayekumbukwa hasa kama mbunifu wa
    uchapaji vitabu kwa herufi za kusogezeka
    Alitengeneza mashine ya kwanza ya kuchapa vitabu,
    Kabla ya Gutenberg vitabu vingi viliandikwa kwa mkono. Kunakili kitabu kimoja kama Biblia kwa mkono kulichukua muda kama mwaka mmoja.. Hivyo dunia leo inamtambua Gutenberg kama mtu wa kwanza kuchapisha biblia .. kwa mashine ya aliyoigundua na kuitengeneza mwenyewe ...#like_page_&_sharee
    MJUE ALIYECHAPISHA BIBLIA KWA MARA YA KWANZA .Johannes Gutenberg. Gutenberg , anayejulikana kifupi kama Johannes Gutenberg , (mnamo 1398 - 3 Februari 1468 ) alikuwa fundi dhahabu na mvumbuzi kutoka Ujerumani anayekumbukwa hasa kama mbunifu wa uchapaji vitabu kwa herufi za kusogezeka Alitengeneza mashine ya kwanza ya kuchapa vitabu, Kabla ya Gutenberg vitabu vingi viliandikwa kwa mkono. Kunakili kitabu kimoja kama Biblia kwa mkono kulichukua muda kama mwaka mmoja.. Hivyo dunia leo inamtambua Gutenberg kama mtu wa kwanza kuchapisha biblia .. kwa mashine ya aliyoigundua na kuitengeneza mwenyewe ...#like_page_&_sharee
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·348 Views
  • Bombardier Q400 Next Generation.
    #Dash8 #Q400 #NextGen

    Uundaji: Canada
    Kampuni: De Havilland Canada/Bombardier Aeropace
    Abiria: 74-90
    Urefu: mita 32
    Kimo: futi 6.40
    Upana: futi 8
    Nguvu/Injini: Hp 10,142
    Mwendokasi: 666.7 km/h
    Umbali iendapo: km 2522
    Umbali wa juu: futi 27,000
    Uwezo/Ubebaji: tani 8.7
    Ubebaji Mafuta: lita 6617
    Barabara/kuruka: mita 1067
    Barabara/kutua: mita 1286
    Ulaji mafuta: lita 14/dakika
    Bei: U$d 27-33 Milion

    #Note:
    Mchanganuo mwepesi wa makadirio ya chini, kati, au juu kwa ndege husika.

    #karibu #Mwanza #BombardierQ400
    #TGFA #ATCL #TANZANIA #GOVERNMENT
    Bombardier Q400 Next Generation. #Dash8 #Q400 #NextGen Uundaji: Canada Kampuni: De Havilland Canada/Bombardier Aeropace Abiria: 74-90 Urefu: mita 32 Kimo: futi 6.40 Upana: futi 8 Nguvu/Injini: Hp 10,142 Mwendokasi: 666.7 km/h Umbali iendapo: km 2522 Umbali wa juu: futi 27,000 Uwezo/Ubebaji: tani 8.7 Ubebaji Mafuta: lita 6617 Barabara/kuruka: mita 1067 Barabara/kutua: mita 1286 Ulaji mafuta: lita 14/dakika Bei: U$d 27-33 Milion #Note: Mchanganuo mwepesi wa makadirio ya chini, kati, au juu kwa ndege husika. #karibu #Mwanza #BombardierQ400 #TGFA #ATCL #TANZANIA #GOVERNMENT
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·2K Views
  • SARAFU YAOKOA MAISHA YA ASKARI VITANI.

    Optatius Buyssens mnamo Septemba 1914 wakati wa vita kuu ya kwanza ya Dunia ,alikua amebeba sarafu katika mfuko wake wa koti pasipokujua kuwa zinaenda kuokoa maisha yake hapo baadae.
    Hadithi ya kushangaza ya Buyssens, ambaye alinusurika vitani na kufariki baadae mwaka 1958, hadithi hii inasimuliwa na mjukuu wake Vincent Buyssens.

    Kwa kutumia picha ya sarafu, kijana huyo mwenye umri wa miaka 28 alisema: 'Fedha hizi zilizuia risasi na kuokoa maisha ya babu yangu mkubwa wakati wa Vita vya Kwanza vya Dunia.'
    Vincent, anayeishi Antwerp Ubelgiji, alisema baba yake alipewa sarafu na Optatius pamoja na maelezo yake Baada ya kutoka vitani.

    "Kisa hiki kilitokea mwanzoni mwa vita katika mji wa Belbeke wa Ubelgiji.
    'Cha kushangaza zaidi sarafu hizo ndio zilizomfanya apigwe risasi kwa sababu zilipiga kelele kwenye mfuko wake wa shati.
    "Alikuwa na bahati sana kwani risasi ambayo ingemwua ilipiga rundo la sarafu, na hivyo kuokoa maisha yake.
    "Alipigwa kichwani kwa kitako cha bunduki na askari wa Ujerumani aliyempiga risasi, lakini alijifanya amekufa.
    "Wakati yule askari wa Ujerumani alipoondoka, yeye na mwenzake mwingine aliyejeruhiwa waliweza kutambaa na kuondoka salama kutoka katika uwanja wa vita'.
    Baada ya vita kuisha, baba na babu yake Vincent walihamia Uingereza, lakini walirudi Antwerp Ubelgiji baada ya WWII.
    Chanzo: Dailymail.
    -jbgw.
    SARAFU YAOKOA MAISHA YA ASKARI VITANI. Optatius Buyssens mnamo Septemba 1914 wakati wa vita kuu ya kwanza ya Dunia ,alikua amebeba sarafu katika mfuko wake wa koti pasipokujua kuwa zinaenda kuokoa maisha yake hapo baadae. Hadithi ya kushangaza ya Buyssens, ambaye alinusurika vitani na kufariki baadae mwaka 1958, hadithi hii inasimuliwa na mjukuu wake Vincent Buyssens. Kwa kutumia picha ya sarafu, kijana huyo mwenye umri wa miaka 28 alisema: 'Fedha hizi zilizuia risasi na kuokoa maisha ya babu yangu mkubwa wakati wa Vita vya Kwanza vya Dunia.' Vincent, anayeishi Antwerp Ubelgiji, alisema baba yake alipewa sarafu na Optatius pamoja na maelezo yake Baada ya kutoka vitani. "Kisa hiki kilitokea mwanzoni mwa vita katika mji wa Belbeke wa Ubelgiji. 'Cha kushangaza zaidi sarafu hizo ndio zilizomfanya apigwe risasi kwa sababu zilipiga kelele kwenye mfuko wake wa shati. "Alikuwa na bahati sana kwani risasi ambayo ingemwua ilipiga rundo la sarafu, na hivyo kuokoa maisha yake. "Alipigwa kichwani kwa kitako cha bunduki na askari wa Ujerumani aliyempiga risasi, lakini alijifanya amekufa. "Wakati yule askari wa Ujerumani alipoondoka, yeye na mwenzake mwingine aliyejeruhiwa waliweza kutambaa na kuondoka salama kutoka katika uwanja wa vita'. Baada ya vita kuisha, baba na babu yake Vincent walihamia Uingereza, lakini walirudi Antwerp Ubelgiji baada ya WWII. Chanzo: Dailymail. -jbgw.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·337 Views
  • Laura Bush anasema mume wake yaani George W. Bush alikuwa mlevi sana. Ikafika kipindi akaogopa akaona hata Urais utamshinda. Lakini Laura Bush hakuwahi kuthubutu kuita press conference kusema "ninyi wamarekani mnamheshimu na kumsikiliza huyu mshenzi mlevi mkubwa? Hamumjui tu". Hakuthubutu. Alichokifanya alimtafuta Billy Graham amsaidie mumewe George Bush kuacha ulevi kimyakimya. Leo mume wako kurudi asubuhi umeshapost Instagram. Unataka dunia nzima ije kumshauri? Mke amekutukana umeshapost facebook. Watu wa facebook walikuchagulia mke? Hakuna mtu hana mapungufu ndugu, wengi wanatatua mambo yao faragha. Anayesema hana tatizo muongo! Lakini kila kitu kina faragha. George Bush mwenyewe asingekiri kuwa alikuwa mlevi ungeamini? Si ungejua Laura anaenjoy! Lakini Laura alikuwa na changamoto ndani ya Ikulu. Lakini aliifanya ikawa faragha na Bush akasaidika akaacha pombe.
    Laura Bush anasema mume wake yaani George W. Bush alikuwa mlevi sana. Ikafika kipindi akaogopa akaona hata Urais utamshinda. Lakini Laura Bush hakuwahi kuthubutu kuita press conference kusema "ninyi wamarekani mnamheshimu na kumsikiliza huyu mshenzi mlevi mkubwa? Hamumjui tu". Hakuthubutu. Alichokifanya alimtafuta Billy Graham amsaidie mumewe George Bush kuacha ulevi kimyakimya. Leo mume wako kurudi asubuhi umeshapost Instagram. Unataka dunia nzima ije kumshauri? Mke amekutukana umeshapost facebook. Watu wa facebook walikuchagulia mke? Hakuna mtu hana mapungufu ndugu, wengi wanatatua mambo yao faragha. Anayesema hana tatizo muongo! Lakini kila kitu kina faragha. George Bush mwenyewe asingekiri kuwa alikuwa mlevi ungeamini? Si ungejua Laura anaenjoy! Lakini Laura alikuwa na changamoto ndani ya Ikulu. Lakini aliifanya ikawa faragha na Bush akasaidika akaacha pombe.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·744 Views