• Rich or boss??
    Rich or boss??
    0 Comments ·0 Shares ·349 Views
  • Uwe boss au tajiri
    Uwe boss au tajiri
    0 Comments ·0 Shares ·349 Views
  • Wazee wa betting maumivu ya hi kitu wanajua
    Wazee wa betting maumivu ya hi kitu wanajua😂
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·342 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·137 Views
  • Kuna wakati lazima tukubali kuwa sisi ni dhaifu sana hatuna tunachomiliki zaidi ya kinyesi kwenye matumbo yetu.

    Hii ni California sehemu ambayo wanakaa watu wenye ukwasi na wadhifa. Watu ambao wanajua kutumia hela zaidi kuliko kuongea kuhusu hela.

    Sehemu ambayo fukara harusiwi kuishi. Sehemu. ambayo watu wanaishi na bank chini ya majumba yao. Lakini licha ya heshima yote ya sehemu hio Mungu kapitisha makadara yake kumekuwa kama nyika inayoandaliwa kuwa makaazi.

    Mungu anae badilisha usiku kuwa mchana ndio Mungu huyo huyo alieifanya California kuwa jivu. Mungu hazihakiwi. Mungu akasirikiwi. Mungu hajaribiwi na uwezo wa Mungu ni mkubwa kushinda neno uwezo.

    Utajiri wa mtu au wadhifa wa mtu mbele ya Mungu huwa si kitu cha maana kama mtu huyo ataishi kinyume na matakwa ya Mungu. Hela haimfanyi mtu kuwa na amani bali amani inayotoka kwa Mungu ndie inayomfanya binadamu kuwa na amani. MUOGOPE SANA MUNGU.
    (CC: Abdulrazaki issa)

    Kuna wakati lazima tukubali kuwa sisi ni dhaifu sana hatuna tunachomiliki zaidi ya kinyesi kwenye matumbo yetu. Hii ni California sehemu ambayo wanakaa watu wenye ukwasi na wadhifa. Watu ambao wanajua kutumia hela zaidi kuliko kuongea kuhusu hela. Sehemu ambayo fukara harusiwi kuishi. Sehemu. ambayo watu wanaishi na bank chini ya majumba yao. Lakini licha ya heshima yote ya sehemu hio Mungu kapitisha makadara yake kumekuwa kama nyika inayoandaliwa kuwa makaazi. Mungu anae badilisha usiku kuwa mchana ndio Mungu huyo huyo alieifanya California kuwa jivu. Mungu hazihakiwi. Mungu akasirikiwi. Mungu hajaribiwi na uwezo wa Mungu ni mkubwa kushinda neno uwezo. Utajiri wa mtu au wadhifa wa mtu mbele ya Mungu huwa si kitu cha maana kama mtu huyo ataishi kinyume na matakwa ya Mungu. Hela haimfanyi mtu kuwa na amani bali amani inayotoka kwa Mungu ndie inayomfanya binadamu kuwa na amani. MUOGOPE SANA MUNGU. (CC: Abdulrazaki issa)
    0 Comments ·0 Shares ·191 Views
  • Klabu ya Azam FC imetangaza kumsajili wa Beki Zouzou Landry (23) ambaye ni Raia wa Côté d'Ivoire. Mchezaji huyo amesaini mkataba wa miaka minne (4) ndani ya Azam FC akitokea klabu ya AFAD Djekanou ya kwao Côté d'Ivoire.

    Klabu ya Azam FC imetangaza kumsajili wa Beki Zouzou Landry (23) ambaye ni Raia wa Côté d'Ivoire. Mchezaji huyo amesaini mkataba wa miaka minne (4) ndani ya Azam FC akitokea klabu ya AFAD Djekanou ya kwao Côté d'Ivoire.
    0 Comments ·0 Shares ·145 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·136 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·126 Views
  • Kuna wakati lazima tukubali kuwa sisi ni dhaifu sana hatuna tunachomiliki zaidi ya kinyesi kwenye matumbo yetu.

    Hii ni California sehemu ambayo wanakaa watu wenye ukwasi na wadhifa. Watu ambao wanajua kutumia hela zaidi kuliko kuongea kuhusu hela.

    Sehemu ambayo fukara harusiwi kuishi. Sehemu. ambayo watu wanaishi na bank chini ya majumba yao. Lakini licha ya heshima yote ya sehemu hio Mungu kapitisha makadara yake kumekuwa kama nyika inayoandaliwa kuwa makaazi.

    Mungu anae badilisha usiku kuwa mchana ndio Mungu huyo huyo alieifanya California kuwa jivu. Mungu hazihakiwi. Mungu akasirikiwi. Mungu hajaribiwi na uwezo wa Mungu ni mkubwa kushinda neno uwezo.

    Utajiri wa mtu au wadhifa wa mtu mbele ya Mungu huwa si kitu cha maana kama mtu huyo ataishi kinyume na matakwa ya Mungu. Hela haimfanyi mtu kuwa na amani bali amani inayotoka kwa Mungu ndie inayomfanya binadamu kuwa na amani. MUOGOPE SANA MUNGU.
    (CC: Abdulrazaki issa)
    Kuna wakati lazima tukubali kuwa sisi ni dhaifu sana hatuna tunachomiliki zaidi ya kinyesi kwenye matumbo yetu. Hii ni California sehemu ambayo wanakaa watu wenye ukwasi na wadhifa. Watu ambao wanajua kutumia hela zaidi kuliko kuongea kuhusu hela. Sehemu ambayo fukara harusiwi kuishi. Sehemu. ambayo watu wanaishi na bank chini ya majumba yao. Lakini licha ya heshima yote ya sehemu hio Mungu kapitisha makadara yake kumekuwa kama nyika inayoandaliwa kuwa makaazi. Mungu anae badilisha usiku kuwa mchana ndio Mungu huyo huyo alieifanya California kuwa jivu. Mungu hazihakiwi. Mungu akasirikiwi. Mungu hajaribiwi na uwezo wa Mungu ni mkubwa kushinda neno uwezo. Utajiri wa mtu au wadhifa wa mtu mbele ya Mungu huwa si kitu cha maana kama mtu huyo ataishi kinyume na matakwa ya Mungu. Hela haimfanyi mtu kuwa na amani bali amani inayotoka kwa Mungu ndie inayomfanya binadamu kuwa na amani. MUOGOPE SANA MUNGU. (CC: Abdulrazaki issa)
    0 Comments ·0 Shares ·179 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·130 Views