
-
#Baba_Levo amesema kuelekea Mchezo wa Yanga sc dhidi ya Al hilal, Yeye ataweka kiasi cha Tsh Mil 9 kwa Yanga Sc kwani ana uwakika zaidi Atashinda ..
" Nikiwa Dubai kesho naiwekea Yanga Sc Mil Tisa .." ameandika Baba levo
Baba levo ameandika Hayo kupitia kwenye Mtandao wake wa Instagram
#kastulelias#Baba_Levo amesema kuelekea Mchezo wa Yanga sc dhidi ya Al hilal, Yeye ataweka kiasi cha Tsh Mil 9 kwa Yanga Sc kwani ana uwakika zaidi Atashinda .. ✍️" Nikiwa Dubai kesho naiwekea Yanga Sc Mil Tisa 🙏🙏 .." ameandika Baba levo Baba levo ameandika Hayo kupitia kwenye Mtandao wake wa Instagram #kastulelias -
-
"Katika miezi michache iliyopita, tumepiga hatua kubwa na tumekuwa bora zaidi. Haya ni matokeo ya kile tulichofanya, na kile tunachoendelea kufanya.
Hatutaki kuwa wa kwanza kupoteza nafasi dhidi ya wapinzani wetu. Kimsingi, tutajaribu kila kitu kesho ili kuona kama tunaweza kufanikisha lengo letu, tunajua kwamba jambo muhimu ni ushindi na tunalichukulia kwa uzito mkubwa" - Ramovic, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC.
"Katika miezi michache iliyopita, tumepiga hatua kubwa na tumekuwa bora zaidi. Haya ni matokeo ya kile tulichofanya, na kile tunachoendelea kufanya. Hatutaki kuwa wa kwanza kupoteza nafasi dhidi ya wapinzani wetu. Kimsingi, tutajaribu kila kitu kesho ili kuona kama tunaweza kufanikisha lengo letu, tunajua kwamba jambo muhimu ni ushindi na tunalichukulia kwa uzito mkubwa" - Ramovic, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC.0 Commentarii ·0 Distribuiri ·291 Views -
-
"Kwa niaba ya Wachezaji wenzangu kwa upande wetu tuna lengo moja na lengo hilo ni kuendelea kwenye hatua inayofuata. Ili kufanikisha hilo, tunapaswa kucheza kwa bidii zaidi kesho hili ni jukumu letu na tutafanya kila kitu kuhakikisha tunafanikiwa" Aziz Ki
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko"Kwa niaba ya Wachezaji wenzangu kwa upande wetu tuna lengo moja na lengo hilo ni kuendelea kwenye hatua inayofuata. Ili kufanikisha hilo, tunapaswa kucheza kwa bidii zaidi kesho hili ni jukumu letu na tutafanya kila kitu kuhakikisha tunafanikiwa" Aziz Ki #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko -
Wananchi eh kesho furaha uhakika kwa mujibu wa meneja habari na mawasiliano wa klabu ya Young Africans Ally Kamwe anasema kesho ifike wananchi mfurahi
#Rafikiwasoka
#Instagramrafikiwasoka📌 Wananchi eh kesho furaha uhakika 🤣 kwa mujibu wa meneja habari na mawasiliano wa klabu ya Young Africans Ally Kamwe anasema kesho ifike wananchi mfurahi #Rafikiwasoka #Instagramrafikiwasoka -
Kimataifa tena. #TotalEnergiesCAFCC #paulswai
-
Kocha Said Maulid ‘SMG’ anaungana na Benchi letu la Ufundi chini ya Edna Lema kuimarisha Kikosi Chetu.
Karibu sana Kocha wa Mpira ‘SMG’
#timuyawananchi #daimambelenyumamwikoKocha Said Maulid ‘SMG’ anaungana na Benchi letu la Ufundi chini ya Edna Lema kuimarisha Kikosi Chetu. Karibu sana Kocha wa Mpira ‘SMG’ #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko -