• Msimamo wa Kundi C
    Msimamo wa Kundi C
    Like
    1
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·252 Ansichten
  • #Baba_Levo amesema kuelekea Mchezo wa Yanga sc dhidi ya Al hilal, Yeye ataweka kiasi cha Tsh Mil 9 kwa Yanga Sc kwani ana uwakika zaidi Atashinda ..

    " Nikiwa Dubai kesho naiwekea Yanga Sc Mil Tisa .." ameandika Baba levo

    Baba levo ameandika Hayo kupitia kwenye Mtandao wake wa Instagram

    #kastulelias
    #Baba_Levo amesema kuelekea Mchezo wa Yanga sc dhidi ya Al hilal, Yeye ataweka kiasi cha Tsh Mil 9 kwa Yanga Sc kwani ana uwakika zaidi Atashinda .. ✍️" Nikiwa Dubai kesho naiwekea Yanga Sc Mil Tisa 🙏🙏 .." ameandika Baba levo Baba levo ameandika Hayo kupitia kwenye Mtandao wake wa Instagram #kastulelias
    Like
    1
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·132 Ansichten
  • "Katika miezi michache iliyopita, tumepiga hatua kubwa na tumekuwa bora zaidi. Haya ni matokeo ya kile tulichofanya, na kile tunachoendelea kufanya.

    Hatutaki kuwa wa kwanza kupoteza nafasi dhidi ya wapinzani wetu. Kimsingi, tutajaribu kila kitu kesho ili kuona kama tunaweza kufanikisha lengo letu, tunajua kwamba jambo muhimu ni ushindi na tunalichukulia kwa uzito mkubwa" - Ramovic, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC.

    "Katika miezi michache iliyopita, tumepiga hatua kubwa na tumekuwa bora zaidi. Haya ni matokeo ya kile tulichofanya, na kile tunachoendelea kufanya. Hatutaki kuwa wa kwanza kupoteza nafasi dhidi ya wapinzani wetu. Kimsingi, tutajaribu kila kitu kesho ili kuona kama tunaweza kufanikisha lengo letu, tunajua kwamba jambo muhimu ni ushindi na tunalichukulia kwa uzito mkubwa" - Ramovic, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·292 Ansichten
  • Kutoka Kwa Privadinho
    Kutoka Kwa Privadinho
    Haha
    1
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·147 Ansichten
  • "Kwa niaba ya Wachezaji wenzangu kwa upande wetu tuna lengo moja na lengo hilo ni kuendelea kwenye hatua inayofuata. Ili kufanikisha hilo, tunapaswa kucheza kwa bidii zaidi kesho hili ni jukumu letu na tutafanya kila kitu kuhakikisha tunafanikiwa" Aziz Ki

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    "Kwa niaba ya Wachezaji wenzangu kwa upande wetu tuna lengo moja na lengo hilo ni kuendelea kwenye hatua inayofuata. Ili kufanikisha hilo, tunapaswa kucheza kwa bidii zaidi kesho hili ni jukumu letu na tutafanya kila kitu kuhakikisha tunafanikiwa" Aziz Ki #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    2
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • Wananchi eh kesho furaha uhakika kwa mujibu wa meneja habari na mawasiliano wa klabu ya Young Africans Ally Kamwe anasema kesho ifike wananchi mfurahi

    #Rafikiwasoka
    #Instagramrafikiwasoka
    📌 Wananchi eh kesho furaha uhakika 🤣 kwa mujibu wa meneja habari na mawasiliano wa klabu ya Young Africans Ally Kamwe anasema kesho ifike wananchi mfurahi #Rafikiwasoka #Instagramrafikiwasoka
    Like
    2
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • Kimataifa tena. #TotalEnergiesCAFCC


    #paulswai
    Kimataifa tena. #TotalEnergiesCAFCC #paulswai
    Love
    Like
    3
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·915 Ansichten
  • Kocha Said Maulid ‘SMG’ anaungana na Benchi letu la Ufundi chini ya Edna Lema kuimarisha Kikosi Chetu.

    Karibu sana Kocha wa Mpira ‘SMG’

    #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Kocha Said Maulid ‘SMG’ anaungana na Benchi letu la Ufundi chini ya Edna Lema kuimarisha Kikosi Chetu. Karibu sana Kocha wa Mpira ‘SMG’ #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    2
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • Pyramid wamefuzu
    Pyramid wamefuzu
    Like
    2
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·148 Ansichten