• Tanzia
    Tanzia😭
    Like
    Sad
    2
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·235 Views
  • Hivi huyu anavutaga saangapi
    Hivi huyu anavutaga saangapi😂
    Like
    1
    · 2 Reacties ·0 aandelen ·185 Views
  • Msimamo wa Kundi A
    Msimamo wa Kundi A
    Like
    2
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·253 Views
  • Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·143 Views
  • "Wolper aliwahi kuniomba hela ya mtaji nikachukua milioni 30 nikampa ila cha kusikitisha akaenda kula pesa hizo na bishoo mmoja mwenye sura nzuri nzuri anaitwa Rich Mitindo. Alipokuwa China nikawa naona anapiga picha nyingi nyingi na jamaa, nilipomuuliza akawa anajibu "hakuna kitu babe huyu ni mdogo wangu tu" - Harmonize, Msanii wa muziki Tanzania.

    "Wolper aliwahi kuniomba hela ya mtaji nikachukua milioni 30 nikampa ila cha kusikitisha akaenda kula pesa hizo na bishoo mmoja mwenye sura nzuri nzuri anaitwa Rich Mitindo. Alipokuwa China nikawa naona anapiga picha nyingi nyingi na jamaa, nilipomuuliza akawa anajibu "hakuna kitu babe huyu ni mdogo wangu tu" - Harmonize, Msanii wa muziki Tanzania.
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·911 Views
  • .𝐓𝐀𝐍𝐙𝐈𝐀

    Uongozi wa Young Africans Sports Club tunapenda kutoa pole kwa mchezaji wetu Chadrack Boka, kufuatia kifo cha Baba yake Mzazi kilichotokea Tarehe 11/01/ 2025, nyumbani kwao Kinshasa DR Congo.

    Uongozi wa Young Africans unaungana na wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu cha majonzi na unawataka wanafamilia wote kuwa na subira.

    Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, Amina

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    .𝐓𝐀𝐍𝐙𝐈𝐀 Uongozi wa Young Africans Sports Club tunapenda kutoa pole kwa mchezaji wetu Chadrack Boka, kufuatia kifo cha Baba yake Mzazi kilichotokea Tarehe 11/01/ 2025, nyumbani kwao Kinshasa DR Congo. Uongozi wa Young Africans unaungana na wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu cha majonzi na unawataka wanafamilia wote kuwa na subira. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, Amina #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    Love
    7
    · 10 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • For legends only
    For legends only
    Like
    Love
    Haha
    Wow
    6
    · 12 Reacties ·0 aandelen ·375 Views
  • Sheria za ndani zilizovuja zinaonyesha kuwa Meta (Instagram, Facebook, n.k.) sasa inawaruhusu watumiaji kutusi vikundi kama vile mashoga, watu wanaohama na wahamiaji. Hii inakuja kama sehemu ya mabadiliko ya sera ambayo pia yanasimamisha mpango wa ukaguzi wa ukweli wa kampuni. Kulingana na Mkurugenzi Mtendaji Mehta, lengo ni "kuruhusu uhuru zaidi wa kujieleza kwa kuondoa vikwazo
    Sheria za ndani zilizovuja zinaonyesha kuwa Meta (Instagram, Facebook, n.k.) sasa inawaruhusu watumiaji kutusi vikundi kama vile mashoga, watu wanaohama na wahamiaji. Hii inakuja kama sehemu ya mabadiliko ya sera ambayo pia yanasimamisha mpango wa ukaguzi wa ukweli wa kampuni. Kulingana na Mkurugenzi Mtendaji Mehta, lengo ni "kuruhusu uhuru zaidi wa kujieleza kwa kuondoa vikwazo
    Like
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·665 Views
  • Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·315 Views
  • Like
    Love
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·327 Views