• Like
    Sad
    Love
    6
    5 Comments 0 Shares 362 Views 85
  • 0 Comments 0 Shares 230 Views
  • Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linatarajiwa kutoa Tuzo kwa Wachekeshaji bora wa mwaka 2024 kupitia TANZANIA COMEDY AWARDS 2024 zinazotarajiwa kuzinduliwa rasmi 14/2/2024

    Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linatarajiwa kutoa Tuzo kwa Wachekeshaji bora wa mwaka 2024 kupitia TANZANIA COMEDY AWARDS 2024 zinazotarajiwa kuzinduliwa rasmi 14/2/2024
    1 Comments 0 Shares 495 Views
  • Kwenye season ya Squid game kuna huyu mwamba the front man , kiongozi wa michezo yote inayofanyika kwenye season ya pili anatambulika kama namba 001 , alikuwa mnafiki kama baba yake yule mzee wa season ya kwanza nayeye alikuwa namba 001

    The front man alikuwa mnafiki , alijifanya ni mwenzao kumbe yeye ndo jambazi kuu na mtunzi wa ile michezo , kuna sehemu alikuwa anajifanyisha hajui kucheza zikiwa zimebaki sekunde chache tu wote wapigwe risasi ! mashabiki wanasema alikuwa mnafiki mpaka alijisahau

    #neliudcosiah
    Kwenye season ya Squid game kuna huyu mwamba the front man , kiongozi wa michezo yote inayofanyika kwenye season ya pili anatambulika kama namba 001 , alikuwa mnafiki kama baba yake yule mzee wa season ya kwanza nayeye alikuwa namba 001 The front man alikuwa mnafiki , alijifanya ni mwenzao kumbe yeye ndo jambazi kuu na mtunzi wa ile michezo , kuna sehemu alikuwa anajifanyisha hajui kucheza zikiwa zimebaki sekunde chache tu wote wapigwe risasi ! mashabiki wanasema alikuwa mnafiki mpaka alijisahau 馃榾 #neliudcosiah
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 674 Views
  • #HABARI Moto wa Los Angeles Kabla ya Kutokea

    Siku tatu kabla ya moto mkubwa kutokea Los Angeles, waandaaji wa tuzo maarufu za Global Leaders Awards walikuwa wakijitayarisha kwa hafla yao ya kila mwaka. Tuzo hizi zina lengo la kutambua na kusherehekea mchango wa watu mashuhuri katika nyanja mbalimbali, ikiwemo utunzi na uandaaji wa filamu bora.

    Kwa mara ya kwanza katika historia ya tuzo hizo, waandaaji walimuweka Mungu kama mmoja wa washindani katika kipengele cha "Mchango wa kipekee wa Maisha katika Sanaa". Hili lilizua mjadala mkubwa na hisia tofauti miongoni mwa waliohudhuria hafla hiyo.

    MC wa usiku huo alipochukua kipaza sauti, alitoa kauli iliyozua mjadala:
    "Ni jambo la kushangaza kwamba tumemuweka Mungu katika orodha ya washindani kwa tuzo hii, lakini amekosa kura kabisa. Inaonekana hata Mungu anahitaji kujipanga zaidi kwa ajili ya hafla zijazo."

    Kauli hiyo ilisababisha kicheko kutoka kwa baadhi ya wageni waalikwa, huku wengine wakiwa hawakufurahishwa na utani huo.

    Katika kipengele hicho, wagombea walikuwa:

    1. Cast and Crow - waliopata kura 11

    2. Moms - waliopata kura 3

    3. Mungu - aliyepata kura 0

    Hafla hiyo ya usiku ilimalizika kwa hali ya mchanganyiko wa furaha na maoni ya kukosoa, huku watu wakitafakari zaidi nafasi ya maadili na heshima katika sanaa na burudani.
    N.B, MUNGU HADHIHAKIWI

    #neliudcosiah
    #HABARI Moto wa Los Angeles Kabla ya Kutokea Siku tatu kabla ya moto mkubwa kutokea Los Angeles, waandaaji wa tuzo maarufu za Global Leaders Awards walikuwa wakijitayarisha kwa hafla yao ya kila mwaka. Tuzo hizi zina lengo la kutambua na kusherehekea mchango wa watu mashuhuri katika nyanja mbalimbali, ikiwemo utunzi na uandaaji wa filamu bora. Kwa mara ya kwanza katika historia ya tuzo hizo, waandaaji walimuweka Mungu kama mmoja wa washindani katika kipengele cha "Mchango wa kipekee wa Maisha katika Sanaa". Hili lilizua mjadala mkubwa na hisia tofauti miongoni mwa waliohudhuria hafla hiyo. MC wa usiku huo alipochukua kipaza sauti, alitoa kauli iliyozua mjadala: "Ni jambo la kushangaza kwamba tumemuweka Mungu katika orodha ya washindani kwa tuzo hii, lakini amekosa kura kabisa. Inaonekana hata Mungu anahitaji kujipanga zaidi kwa ajili ya hafla zijazo." Kauli hiyo ilisababisha kicheko kutoka kwa baadhi ya wageni waalikwa, huku wengine wakiwa hawakufurahishwa na utani huo. Katika kipengele hicho, wagombea walikuwa: 1. Cast and Crow - waliopata kura 11 2. Moms - waliopata kura 3 3. Mungu - aliyepata kura 0 Hafla hiyo ya usiku ilimalizika kwa hali ya mchanganyiko wa furaha na maoni ya kukosoa, huku watu wakitafakari zaidi nafasi ya maadili na heshima katika sanaa na burudani. N.B, MUNGU HADHIHAKIWI 鉁嶏笍 #neliudcosiah
    Like
    Love
    3
    1 Comments 1 Shares 955 Views
  • Kwenye viwango vya timu bora barani Afrika chini ya CAF, Yanga tuna alama 34 mpaka sasa na ikitokea Yanga tumefuzu kwenda robo fainali tutafikisha alama 39 na kuzishusha timu 2 kwenye top 10 ya CAF.

    Na ikitokea Yanga tumefika nusu fainali basi tutaingia Moja Kwa moja kwenye 5 bora ya CAF. Misimu 3 ya KIBABE.

    Mwaka huu tunaenda kufyeka kichaka Cha Makolo Cha CAF ranking ndo walikuwa wamejificha Kwa mda mrefu

    Pichani hapo chini ni Aziz Ki Stephanie Pamoja na Clement Mzize mzee wa maloketi wote watafunga kwenye mchezo wetu wa tarehe 18/1/2025 dhidi ya MC ALGER kwenye uwanja wa Mkapa.

    #neliudcosiah
    Kwenye viwango vya timu bora barani Afrika chini ya CAF, Yanga tuna alama 34 mpaka sasa na ikitokea Yanga tumefuzu kwenda robo fainali tutafikisha alama 39 na kuzishusha timu 2 kwenye top 10 ya CAF. Na ikitokea Yanga tumefika nusu fainali basi tutaingia Moja Kwa moja kwenye 5 bora ya CAF. Misimu 3 ya KIBABE. Mwaka huu tunaenda kufyeka kichaka Cha Makolo Cha CAF ranking ndo walikuwa wamejificha Kwa mda mrefu 馃ぃ馃き Pichani hapo chini ni Aziz Ki Stephanie 馃攽 Pamoja na Clement Mzize mzee wa maloketi wote watafunga kwenye mchezo wetu wa tarehe 18/1/2025 dhidi ya MC ALGER kwenye uwanja wa Mkapa. #neliudcosiah
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 644 Views
  • Jemedari

    Juzi nilipost kuwa yanga watashinda dhidi ya al hilal ya ibenge
    Watu wasio jua mpira wakanibeza kwa sababu yanga akiwa nyumbani alipoteza goli 2-0
    Wakajua akienda kule watakula nyingi zaidi

    Mashabiki na wapenzi wa yanga popote mlipo jipige kifua na mtambe
    Hii ni michuano mikubwa achana na ile ya kojoa ukalale

    Tim Bora Tanzania kwa sasa ni yanga

    Bin kazumary crown media

    #neliudcosiah

    Jemedari 馃帳 Juzi nilipost kuwa yanga watashinda dhidi ya al hilal ya ibenge Watu wasio jua mpira wakanibeza kwa sababu yanga akiwa nyumbani alipoteza goli 2-0 Wakajua akienda kule watakula nyingi zaidi Mashabiki na wapenzi wa yanga popote mlipo jipige kifua na mtambe Hii ni michuano mikubwa achana na ile ya kojoa ukalale Tim Bora Tanzania kwa sasa ni yanga 馃棧锔廈in kazumary crown media #neliudcosiah
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 711 Views
  • Pep Guardiola amefichua kuwa aliambia Manchester City kutoleta mabadiliko makubwa kwa kikosi chake wakati wa dirisha la uhamisho la majira ya kiangazi ya 2024.

    Pep: "Klabu ilifikiria kuhusu hilo na nikasema, 'Hapana, sitaki kufanya usajili wowote. Nataka kutegemea timu hii, nataka kubaki nao.' Ni Savio tu alikuja, Gundo akarudi - haikutarajiwa.

    "Ninawategemea sana hawa wachezaji na nikaona bado naweza kufanya tena na hao wachezaji. Lakini baada ya majeraha, ‘WOW! Labda tungepaswa kufanya hivyo,’ lakini huwezi kujua..."

    #neliudcosiah
    馃毃Pep Guardiola amefichua kuwa aliambia Manchester City kutoleta mabadiliko makubwa kwa kikosi chake wakati wa dirisha la uhamisho la majira ya kiangazi ya 2024. Pep: "Klabu ilifikiria kuhusu hilo na nikasema, 'Hapana, sitaki kufanya usajili wowote. Nataka kutegemea timu hii, nataka kubaki nao.' Ni Savio tu alikuja, Gundo akarudi - haikutarajiwa. "Ninawategemea sana hawa wachezaji na nikaona bado naweza kufanya tena na hao wachezaji. Lakini baada ya majeraha, ‘WOW! Labda tungepaswa kufanya hivyo,’ lakini huwezi kujua..." #neliudcosiah
    Like
    Love
    3
    0 Comments 0 Shares 476 Views
  • 0 Comments 0 Shares 224 Views
  • Hapa ni wap?
    Hapa ni wap?
    Like
    1
    7 Comments 0 Shares 175 Views