Résultats de Recherche
Voir tous les résulats
Socialpop Socialpop Socialpop
Domicile
Groupes
Pages
Marketplace
Plus
Groupes Pages Marketplace Evènements Blogs Financement Offres Emplois Courses Forums Film
Nous rejoindre
Se connecter S’enregistrer
Sélecteur de thème
Mode nuit
Annuaire
Utilisateurs
Articles
Pages
Groupes
Evènements
  • David Atto @Mefa a ajouté une photo
    2025-01-14 16:06:57 ·
    Michuano ya CHAN yahairishwa, badala ya kufanyika Februari 2025 sasa yatafanyika Agosti 2025. Sababu ni kutokamiliaka kwa ujenzi wa miundombinu ya Viwanja katika Nchi wenyeji (Tanzania, Kenya na Uganda).
    Michuano ya CHAN yahairishwa, badala ya kufanyika Februari 2025 sasa yatafanyika Agosti 2025. Sababu ni kutokamiliaka kwa ujenzi wa miundombinu ya Viwanja katika Nchi wenyeji (Tanzania, Kenya na Uganda).
    Like
    Love
    4
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·751 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • David Atto @Mefa Ajout d'une vidéo in Général
    2025-01-14 16:16:36 ·
    R.I.P MHE. DC ESTER MAHAWE
    R.I.P MHE. DC ESTER MAHAWE
    Like
    Love
    4
    · 21 Commentaires ·0 Parts ·417 Vue ·95
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a ajouté une photo
    2025-01-14 16:58:38 ·
    Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) leo limetangaza kuahirisha Mashindano ya Mataifa ya Afrika ya TotalEnergies (CHAN) yaliyokuwa yafanyike Kenya, Tanzania, na Uganda kuanzia Februari na sasa yatafanyika Agosti 2025.

    Taarifa ya CAF imekiri kwamba kumekuwa na maendeleo makubwa katika ujenzi na ukarabati wa viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine muhimu katika nchi hizo tatu kwa ajili ya mashindano hayo.

    Hata hivyo, wataalamu wa kiufundi na miundombinu wa CAF waliopo Kenya, Tanzania, na Uganda wameishauri CAF kwamba muda zaidi unahitajika ili kuhakikisha miundombinu inafikia viwango vinavyohitajika kwa ajili ya kuandaa mashindano yenye mafanikio.

    Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, amesema: "Ninatoa shukrani za dhati kwa Rais William Ruto wa Kenya, Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, na Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa uongozi wao, kujitolea, na maendeleo mazuri yaliyopatikana katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya soka. Nimevutiwa na kazi inayoendelea, na nina uhakika kwamba viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine itakidhi viwango vya CAF ifikapo Agosti 2025."

    CAF pia imetangaza kwamba droo ya CHAN Kenya, Tanzania, na Uganda 2024 itafanyika jijini Nairobi, Jumatano, Januari 15, 2025, saa mbili usiku kwa saa za Nairobi.

    Tarehe kamili ya kuanza kwa mashindano hayo mwezi Agosti 2025 itatangazwa na CAF katika siku zijazo.

    #neliudcosiah
    Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) leo limetangaza kuahirisha Mashindano ya Mataifa ya Afrika ya TotalEnergies (CHAN) yaliyokuwa yafanyike Kenya, Tanzania, na Uganda kuanzia Februari na sasa yatafanyika Agosti 2025. Taarifa ya CAF imekiri kwamba kumekuwa na maendeleo makubwa katika ujenzi na ukarabati wa viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine muhimu katika nchi hizo tatu kwa ajili ya mashindano hayo. Hata hivyo, wataalamu wa kiufundi na miundombinu wa CAF waliopo Kenya, Tanzania, na Uganda wameishauri CAF kwamba muda zaidi unahitajika ili kuhakikisha miundombinu inafikia viwango vinavyohitajika kwa ajili ya kuandaa mashindano yenye mafanikio. Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, amesema: "Ninatoa shukrani za dhati kwa Rais William Ruto wa Kenya, Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, na Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa uongozi wao, kujitolea, na maendeleo mazuri yaliyopatikana katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya soka. Nimevutiwa na kazi inayoendelea, na nina uhakika kwamba viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine itakidhi viwango vya CAF ifikapo Agosti 2025." CAF pia imetangaza kwamba droo ya CHAN Kenya, Tanzania, na Uganda 2024 itafanyika jijini Nairobi, Jumatano, Januari 15, 2025, saa mbili usiku kwa saa za Nairobi. Tarehe kamili ya kuanza kwa mashindano hayo mwezi Agosti 2025 itatangazwa na CAF katika siku zijazo. #neliudcosiah
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • Null Brawl @nullbrawl Mise à jour de la photo de profil
    2025-01-14 17:57:55 ·
    0 Commentaires ·0 Parts ·361 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • Null Brawl @nullbrawl Ajouter une nouvelle offre d'emploi in Jeux
    2025-01-14 18:20:51 ·
    What the first nulls brawl version is?
    The Genesis of Nulls Brawl The first version of Nulls Brawl emerged in early 2019 as a modified private server of the popular mobile game Brawl Stars. This initial release was quite basic, featuring only a handful of brawlers and limited functionality compared to the official game. The developers aimed to create a testing environment where players could experiment with different characters and...
    0 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a ajouté une photo
    2025-01-14 20:04:34 ·
    Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limeifungia klabu ya Simba SC kucheza mechi moja kucheza bila Mashabiki Uwanjani na faini ya Dola elfu arobaini (40) kufuatia vurugu zilizojitokeza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa baada ya mechi yao dhidi ya klabu ya CS Sfaxien.

    Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limeifungia klabu ya Simba SC kucheza mechi moja kucheza bila Mashabiki Uwanjani na faini ya Dola elfu arobaini (40) kufuatia vurugu zilizojitokeza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa baada ya mechi yao dhidi ya klabu ya CS Sfaxien.
    0 Commentaires ·0 Parts ·313 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 a ajouté une photo
    2025-01-14 20:05:34 ·
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·136 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a ajouté une photo
    2025-01-14 20:17:30 ·
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·116 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • ARA Mshumbus @Adolph
    2025-01-14 20:18:40 ·
    Sina bifu na mtu yeyote
    Sina bifu na mtu yeyote👊👊👊👊🫂🫂🫂
    Votre navigateur ne supporte pas HTML5 audio
    Love
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·307 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a ajouté une photo
    2025-01-14 21:25:41 ·
    0 Commentaires ·0 Parts ·118 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • Affichage (20901-20910 de 26021)
  • «
  • Préc.
  • 2089
  • 2090
  • 2091
  • 2092
  • 2093
  • Étape Suivante
  • »
Mise à niveau vers Pro
Choisissez le forfait qui vous convient
Mise à niveau
© 2025 Socialpop
French
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Environ Conditions générale de vente Confidentialité Contactez nous Annuaire Développeurs