Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • David Atto @Mefa добавлены фото
    2025-01-14 16:06:57 ·
    Michuano ya CHAN yahairishwa, badala ya kufanyika Februari 2025 sasa yatafanyika Agosti 2025. Sababu ni kutokamiliaka kwa ujenzi wa miundombinu ya Viwanja katika Nchi wenyeji (Tanzania, Kenya na Uganda).
    Michuano ya CHAN yahairishwa, badala ya kufanyika Februari 2025 sasa yatafanyika Agosti 2025. Sababu ni kutokamiliaka kwa ujenzi wa miundombinu ya Viwanja katika Nchi wenyeji (Tanzania, Kenya na Uganda).
    Like
    Love
    4
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·752 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto @Mefa добавлено видео in Общий
    2025-01-14 16:16:36 ·
    R.I.P MHE. DC ESTER MAHAWE
    R.I.P MHE. DC ESTER MAHAWE
    Like
    Love
    4
    · 21 Комментарии ·0 Поделились ·418 Просмотры ·95
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 добавлены фото
    2025-01-14 16:58:38 ·
    Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) leo limetangaza kuahirisha Mashindano ya Mataifa ya Afrika ya TotalEnergies (CHAN) yaliyokuwa yafanyike Kenya, Tanzania, na Uganda kuanzia Februari na sasa yatafanyika Agosti 2025.

    Taarifa ya CAF imekiri kwamba kumekuwa na maendeleo makubwa katika ujenzi na ukarabati wa viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine muhimu katika nchi hizo tatu kwa ajili ya mashindano hayo.

    Hata hivyo, wataalamu wa kiufundi na miundombinu wa CAF waliopo Kenya, Tanzania, na Uganda wameishauri CAF kwamba muda zaidi unahitajika ili kuhakikisha miundombinu inafikia viwango vinavyohitajika kwa ajili ya kuandaa mashindano yenye mafanikio.

    Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, amesema: "Ninatoa shukrani za dhati kwa Rais William Ruto wa Kenya, Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, na Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa uongozi wao, kujitolea, na maendeleo mazuri yaliyopatikana katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya soka. Nimevutiwa na kazi inayoendelea, na nina uhakika kwamba viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine itakidhi viwango vya CAF ifikapo Agosti 2025."

    CAF pia imetangaza kwamba droo ya CHAN Kenya, Tanzania, na Uganda 2024 itafanyika jijini Nairobi, Jumatano, Januari 15, 2025, saa mbili usiku kwa saa za Nairobi.

    Tarehe kamili ya kuanza kwa mashindano hayo mwezi Agosti 2025 itatangazwa na CAF katika siku zijazo.

    #neliudcosiah
    Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) leo limetangaza kuahirisha Mashindano ya Mataifa ya Afrika ya TotalEnergies (CHAN) yaliyokuwa yafanyike Kenya, Tanzania, na Uganda kuanzia Februari na sasa yatafanyika Agosti 2025. Taarifa ya CAF imekiri kwamba kumekuwa na maendeleo makubwa katika ujenzi na ukarabati wa viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine muhimu katika nchi hizo tatu kwa ajili ya mashindano hayo. Hata hivyo, wataalamu wa kiufundi na miundombinu wa CAF waliopo Kenya, Tanzania, na Uganda wameishauri CAF kwamba muda zaidi unahitajika ili kuhakikisha miundombinu inafikia viwango vinavyohitajika kwa ajili ya kuandaa mashindano yenye mafanikio. Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, amesema: "Ninatoa shukrani za dhati kwa Rais William Ruto wa Kenya, Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, na Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa uongozi wao, kujitolea, na maendeleo mazuri yaliyopatikana katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya soka. Nimevutiwa na kazi inayoendelea, na nina uhakika kwamba viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine itakidhi viwango vya CAF ifikapo Agosti 2025." CAF pia imetangaza kwamba droo ya CHAN Kenya, Tanzania, na Uganda 2024 itafanyika jijini Nairobi, Jumatano, Januari 15, 2025, saa mbili usiku kwa saa za Nairobi. Tarehe kamili ya kuanza kwa mashindano hayo mwezi Agosti 2025 itatangazwa na CAF katika siku zijazo. #neliudcosiah
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Null Brawl @nullbrawl обновить изображение профиля
    2025-01-14 17:57:55 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·364 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Null Brawl @nullbrawl добавлена новая статья in Игры
    2025-01-14 18:20:51 ·
    What the first nulls brawl version is?
    The Genesis of Nulls Brawl The first version of Nulls Brawl emerged in early 2019 as a modified private server of the popular mobile game Brawl Stars. This initial release was quite basic, featuring only a handful of brawlers and limited functionality compared to the official game. The developers aimed to create a testing environment where players could experiment with different characters and...
    0 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-14 20:04:34 ·
    Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limeifungia klabu ya Simba SC kucheza mechi moja kucheza bila Mashabiki Uwanjani na faini ya Dola elfu arobaini (40) kufuatia vurugu zilizojitokeza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa baada ya mechi yao dhidi ya klabu ya CS Sfaxien.

    Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limeifungia klabu ya Simba SC kucheza mechi moja kucheza bila Mashabiki Uwanjani na faini ya Dola elfu arobaini (40) kufuatia vurugu zilizojitokeza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa baada ya mechi yao dhidi ya klabu ya CS Sfaxien.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·314 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-01-14 20:05:34 ·
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·137 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 добавлены фото
    2025-01-14 20:17:30 ·
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·117 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • ARA Mshumbus @Adolph
    2025-01-14 20:18:40 ·
    Sina bifu na mtu yeyote
    Sina bifu na mtu yeyote👊👊👊👊🫂🫂🫂
    Ваш браузер не поддерживает аудио HTML5
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·308 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-14 21:25:41 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·119 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (20901-20910 из 26023)
  • «
  • Назад
  • 2089
  • 2090
  • 2091
  • 2092
  • 2093
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики