Zoekresultaten
Alle resultaten weergeven
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Groepen
Pagina
Marketplace
Kijk verder.....
Groepen Pagina Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Registreer
Log in Creëer je account
Theme Switcher
Night Mode
Bedrijvengids
Gebruikers
Berichten
Pagina
Groepen
Events
  • David Atto @Mefa toegevoegd een foto
    2025-01-14 16:06:57 ·
    Michuano ya CHAN yahairishwa, badala ya kufanyika Februari 2025 sasa yatafanyika Agosti 2025. Sababu ni kutokamiliaka kwa ujenzi wa miundombinu ya Viwanja katika Nchi wenyeji (Tanzania, Kenya na Uganda).
    Michuano ya CHAN yahairishwa, badala ya kufanyika Februari 2025 sasa yatafanyika Agosti 2025. Sababu ni kutokamiliaka kwa ujenzi wa miundombinu ya Viwanja katika Nchi wenyeji (Tanzania, Kenya na Uganda).
    Like
    Love
    4
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·752 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • David Atto @Mefa een video toegevoegd in General
    2025-01-14 16:16:36 ·
    R.I.P MHE. DC ESTER MAHAWE
    R.I.P MHE. DC ESTER MAHAWE
    Like
    Love
    4
    · 21 Reacties ·0 aandelen ·418 Views ·95
    Please log in to like, share and comment!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 toegevoegd een foto
    2025-01-14 16:58:38 ·
    Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) leo limetangaza kuahirisha Mashindano ya Mataifa ya Afrika ya TotalEnergies (CHAN) yaliyokuwa yafanyike Kenya, Tanzania, na Uganda kuanzia Februari na sasa yatafanyika Agosti 2025.

    Taarifa ya CAF imekiri kwamba kumekuwa na maendeleo makubwa katika ujenzi na ukarabati wa viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine muhimu katika nchi hizo tatu kwa ajili ya mashindano hayo.

    Hata hivyo, wataalamu wa kiufundi na miundombinu wa CAF waliopo Kenya, Tanzania, na Uganda wameishauri CAF kwamba muda zaidi unahitajika ili kuhakikisha miundombinu inafikia viwango vinavyohitajika kwa ajili ya kuandaa mashindano yenye mafanikio.

    Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, amesema: "Ninatoa shukrani za dhati kwa Rais William Ruto wa Kenya, Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, na Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa uongozi wao, kujitolea, na maendeleo mazuri yaliyopatikana katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya soka. Nimevutiwa na kazi inayoendelea, na nina uhakika kwamba viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine itakidhi viwango vya CAF ifikapo Agosti 2025."

    CAF pia imetangaza kwamba droo ya CHAN Kenya, Tanzania, na Uganda 2024 itafanyika jijini Nairobi, Jumatano, Januari 15, 2025, saa mbili usiku kwa saa za Nairobi.

    Tarehe kamili ya kuanza kwa mashindano hayo mwezi Agosti 2025 itatangazwa na CAF katika siku zijazo.

    #neliudcosiah
    Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) leo limetangaza kuahirisha Mashindano ya Mataifa ya Afrika ya TotalEnergies (CHAN) yaliyokuwa yafanyike Kenya, Tanzania, na Uganda kuanzia Februari na sasa yatafanyika Agosti 2025. Taarifa ya CAF imekiri kwamba kumekuwa na maendeleo makubwa katika ujenzi na ukarabati wa viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine muhimu katika nchi hizo tatu kwa ajili ya mashindano hayo. Hata hivyo, wataalamu wa kiufundi na miundombinu wa CAF waliopo Kenya, Tanzania, na Uganda wameishauri CAF kwamba muda zaidi unahitajika ili kuhakikisha miundombinu inafikia viwango vinavyohitajika kwa ajili ya kuandaa mashindano yenye mafanikio. Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, amesema: "Ninatoa shukrani za dhati kwa Rais William Ruto wa Kenya, Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, na Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa uongozi wao, kujitolea, na maendeleo mazuri yaliyopatikana katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya soka. Nimevutiwa na kazi inayoendelea, na nina uhakika kwamba viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine itakidhi viwango vya CAF ifikapo Agosti 2025." CAF pia imetangaza kwamba droo ya CHAN Kenya, Tanzania, na Uganda 2024 itafanyika jijini Nairobi, Jumatano, Januari 15, 2025, saa mbili usiku kwa saa za Nairobi. Tarehe kamili ya kuanza kwa mashindano hayo mwezi Agosti 2025 itatangazwa na CAF katika siku zijazo. #neliudcosiah
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Null Brawl @nullbrawl updated the profile picture
    2025-01-14 17:57:55 ·
    0 Reacties ·0 aandelen ·364 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Null Brawl @nullbrawl toegevoegd een audio in Spellen
    2025-01-14 18:20:51 ·
    What the first nulls brawl version is?
    The Genesis of Nulls Brawl The first version of Nulls Brawl emerged in early 2019 as a modified private server of the popular mobile game Brawl Stars. This initial release was quite basic, featuring only a handful of brawlers and limited functionality compared to the official game. The developers aimed to create a testing environment where players could experiment with different characters and...
    0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 toegevoegd een foto
    2025-01-14 20:04:34 ·
    Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limeifungia klabu ya Simba SC kucheza mechi moja kucheza bila Mashabiki Uwanjani na faini ya Dola elfu arobaini (40) kufuatia vurugu zilizojitokeza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa baada ya mechi yao dhidi ya klabu ya CS Sfaxien.

    Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limeifungia klabu ya Simba SC kucheza mechi moja kucheza bila Mashabiki Uwanjani na faini ya Dola elfu arobaini (40) kufuatia vurugu zilizojitokeza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa baada ya mechi yao dhidi ya klabu ya CS Sfaxien.
    0 Reacties ·0 aandelen ·314 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 toegevoegd een foto
    2025-01-14 20:05:34 ·
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·137 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 toegevoegd een foto
    2025-01-14 20:17:30 ·
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·117 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • ARA Mshumbus @Adolph
    2025-01-14 20:18:40 ·
    Sina bifu na mtu yeyote
    Sina bifu na mtu yeyote👊👊👊👊🫂🫂🫂
    Uw browser ondersteunt geen HTML5 audio
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·308 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 toegevoegd een foto
    2025-01-14 21:25:41 ·
    0 Reacties ·0 aandelen ·119 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Display (20901-20910 of 26023)
  • «
  • Vorige
  • 2089
  • 2090
  • 2091
  • 2092
  • 2093
  • Volgende stap
  • »
Upgrade to Pro
Choose the Plan That's Right for You
Upgrade
© 2025 Socialpop
Dutch
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Voorwaarden Privacy Contact Us Bedrijvengids Developers