Resultados de Pesquisa
Veja todos os resultados
Socialpop Socialpop Socialpop
Início
Grupos
Páginas
Marketplace
Ver Mais
Grupos Páginas Marketplace Eventos Blogs Funding Offers Jobs Courses Fóruns Movies
Participar
Entrar Registrar
Theme Switcher
Night Mode
Diretório
Usuários
Publicações
Páginas
Grupos
Eventos
  • David Atto @Mefa adicionou uma foto
    2025-01-14 16:06:57 ·
    Michuano ya CHAN yahairishwa, badala ya kufanyika Februari 2025 sasa yatafanyika Agosti 2025. Sababu ni kutokamiliaka kwa ujenzi wa miundombinu ya Viwanja katika Nchi wenyeji (Tanzania, Kenya na Uganda).
    Michuano ya CHAN yahairishwa, badala ya kufanyika Februari 2025 sasa yatafanyika Agosti 2025. Sababu ni kutokamiliaka kwa ujenzi wa miundombinu ya Viwanja katika Nchi wenyeji (Tanzania, Kenya na Uganda).
    Like
    Love
    4
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·752 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • David Atto @Mefa adicionou um vídeo in Geral
    2025-01-14 16:16:36 ·
    R.I.P MHE. DC ESTER MAHAWE
    R.I.P MHE. DC ESTER MAHAWE
    Like
    Love
    4
    · 21 Comentários ·0 Compartilhamentos ·418 Visualizações ·95
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 adicionou uma foto
    2025-01-14 16:58:38 ·
    Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) leo limetangaza kuahirisha Mashindano ya Mataifa ya Afrika ya TotalEnergies (CHAN) yaliyokuwa yafanyike Kenya, Tanzania, na Uganda kuanzia Februari na sasa yatafanyika Agosti 2025.

    Taarifa ya CAF imekiri kwamba kumekuwa na maendeleo makubwa katika ujenzi na ukarabati wa viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine muhimu katika nchi hizo tatu kwa ajili ya mashindano hayo.

    Hata hivyo, wataalamu wa kiufundi na miundombinu wa CAF waliopo Kenya, Tanzania, na Uganda wameishauri CAF kwamba muda zaidi unahitajika ili kuhakikisha miundombinu inafikia viwango vinavyohitajika kwa ajili ya kuandaa mashindano yenye mafanikio.

    Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, amesema: "Ninatoa shukrani za dhati kwa Rais William Ruto wa Kenya, Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, na Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa uongozi wao, kujitolea, na maendeleo mazuri yaliyopatikana katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya soka. Nimevutiwa na kazi inayoendelea, na nina uhakika kwamba viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine itakidhi viwango vya CAF ifikapo Agosti 2025."

    CAF pia imetangaza kwamba droo ya CHAN Kenya, Tanzania, na Uganda 2024 itafanyika jijini Nairobi, Jumatano, Januari 15, 2025, saa mbili usiku kwa saa za Nairobi.

    Tarehe kamili ya kuanza kwa mashindano hayo mwezi Agosti 2025 itatangazwa na CAF katika siku zijazo.

    #neliudcosiah
    Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) leo limetangaza kuahirisha Mashindano ya Mataifa ya Afrika ya TotalEnergies (CHAN) yaliyokuwa yafanyike Kenya, Tanzania, na Uganda kuanzia Februari na sasa yatafanyika Agosti 2025. Taarifa ya CAF imekiri kwamba kumekuwa na maendeleo makubwa katika ujenzi na ukarabati wa viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine muhimu katika nchi hizo tatu kwa ajili ya mashindano hayo. Hata hivyo, wataalamu wa kiufundi na miundombinu wa CAF waliopo Kenya, Tanzania, na Uganda wameishauri CAF kwamba muda zaidi unahitajika ili kuhakikisha miundombinu inafikia viwango vinavyohitajika kwa ajili ya kuandaa mashindano yenye mafanikio. Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, amesema: "Ninatoa shukrani za dhati kwa Rais William Ruto wa Kenya, Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, na Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa uongozi wao, kujitolea, na maendeleo mazuri yaliyopatikana katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya soka. Nimevutiwa na kazi inayoendelea, na nina uhakika kwamba viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine itakidhi viwango vya CAF ifikapo Agosti 2025." CAF pia imetangaza kwamba droo ya CHAN Kenya, Tanzania, na Uganda 2024 itafanyika jijini Nairobi, Jumatano, Januari 15, 2025, saa mbili usiku kwa saa za Nairobi. Tarehe kamili ya kuanza kwa mashindano hayo mwezi Agosti 2025 itatangazwa na CAF katika siku zijazo. #neliudcosiah
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • Null Brawl @nullbrawl atualizou a foto de perfil
    2025-01-14 17:57:55 ·
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·364 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • Null Brawl @nullbrawl adicionou um novo artigo in Jogos
    2025-01-14 18:20:51 ·
    What the first nulls brawl version is?
    The Genesis of Nulls Brawl The first version of Nulls Brawl emerged in early 2019 as a modified private server of the popular mobile game Brawl Stars. This initial release was quite basic, featuring only a handful of brawlers and limited functionality compared to the official game. The developers aimed to create a testing environment where players could experiment with different characters and...
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 adicionou uma foto
    2025-01-14 20:04:34 ·
    Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limeifungia klabu ya Simba SC kucheza mechi moja kucheza bila Mashabiki Uwanjani na faini ya Dola elfu arobaini (40) kufuatia vurugu zilizojitokeza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa baada ya mechi yao dhidi ya klabu ya CS Sfaxien.

    Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limeifungia klabu ya Simba SC kucheza mechi moja kucheza bila Mashabiki Uwanjani na faini ya Dola elfu arobaini (40) kufuatia vurugu zilizojitokeza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa baada ya mechi yao dhidi ya klabu ya CS Sfaxien.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·314 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 adicionou uma foto
    2025-01-14 20:05:34 ·
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·137 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 adicionou uma foto
    2025-01-14 20:17:30 ·
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·117 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • ARA Mshumbus @Adolph
    2025-01-14 20:18:40 ·
    Sina bifu na mtu yeyote
    Sina bifu na mtu yeyote👊👊👊👊🫂🫂🫂
    Seu navegador não suporta áudio com HTML5
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·308 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 adicionou uma foto
    2025-01-14 21:25:41 ·
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·119 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • Exibindo (20901-20910 de 26023)
  • «
  • Anterior
  • 2089
  • 2090
  • 2091
  • 2092
  • 2093
  • Seguinte
  • »
Atualize para o Pro
Escolha o Plano que é melhor para você
Atualizar
© 2025 Socialpop
Portuguese
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Sobre Termos Privacidade Fale Conosco Diretório Developers