
-
𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒
“Maxi ni mchezaji wa maajabu, lakini bado hajawa sawa kucheza hapo kesho, Chama amerejea pia sina haraka nae kwa sababu tayari nina wachezaji 24 ambao wanaweza kutupatia matokeo, sina sababu ya kulazimisha wachezaji ambao bado hawapo fiti kucheza kesho. Tutaangalia mwenendo wa kila mchezaji kimwili na kiakili kabla ya kufanya maamuzi” Sead Ramovic.
#timuyawananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
#neliudcosih
𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 “Maxi ni mchezaji wa maajabu, lakini bado hajawa sawa kucheza hapo kesho, Chama amerejea pia sina haraka nae kwa sababu tayari nina wachezaji 24 ambao wanaweza kutupatia matokeo, sina sababu ya kulazimisha wachezaji ambao bado hawapo fiti kucheza kesho. Tutaangalia mwenendo wa kila mchezaji kimwili na kiakili kabla ya kufanya maamuzi” Sead Ramovic. #timuyawananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko #neliudcosih -
𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒
“Hatujawahi kwenda kucheza mchezo kwa ajili ya droo sisi lengo letu namba moja ni ushindi, sina haja ya kuongelea kuhusu matokeo mengine zaidi ya ushindi hapo kesho, nina wachezaji ambao wanaweza kubadilika kutokana na mbinu zangu au kutokana na mfumo wa wapinzani, sina mashaka na mbinu zangu kwenye kupata matokeo ya ushindi hapo kesho” Sead Ramovic
#timuyawananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
#neliudcosih
𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 “Hatujawahi kwenda kucheza mchezo kwa ajili ya droo sisi lengo letu namba moja ni ushindi, sina haja ya kuongelea kuhusu matokeo mengine zaidi ya ushindi hapo kesho, nina wachezaji ambao wanaweza kubadilika kutokana na mbinu zangu au kutokana na mfumo wa wapinzani, sina mashaka na mbinu zangu kwenye kupata matokeo ya ushindi hapo kesho” Sead Ramovic #timuyawananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko #neliudcosih -
𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒
“Naomba niweke wazi, utakuwa ni mchezo mgumu sana, utakuwa mchezo ambao utakuwa na matumizi makubwa ya nguvu, ni mchezo wenye presha kubwa lakini naamini vijana wangu wanaweza kuhimili mikikimikiki hiyo. tunakwenda kuwasha moto kutoka dakika ya kwanza mpaka filimbi ya mwisho” Sead Ramovic
#timuyawananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
#neliudcosih
𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 “Naomba niweke wazi, utakuwa ni mchezo mgumu sana, utakuwa mchezo ambao utakuwa na matumizi makubwa ya nguvu, ni mchezo wenye presha kubwa lakini naamini vijana wangu wanaweza kuhimili mikikimikiki hiyo. tunakwenda kuwasha moto kutoka dakika ya kwanza mpaka filimbi ya mwisho” Sead Ramovic #timuyawananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko #neliudcosih -
Erling Braut Haaland amesaini mkataba na Machester City wa miaka tisa na nusu mpaka 2034 ambao utajumuisha rekodi ya mshahara .
Mshahara mnono zaidi kuwahi kutokea Man City , na pia mmoja wa mshahara mkubwa katika historia ya Ligi kuu England na Football kiujumla
Source : @fabriziorom @davidornstein
Piga hela tu , kuna maisha baada ya kusakata kandanda.!
#neliudcosih
Erling Braut Haaland amesaini mkataba na Machester City wa miaka tisa na nusu mpaka 2034 ambao utajumuisha rekodi ya mshahara . Mshahara mnono zaidi kuwahi kutokea Man City , na pia mmoja wa mshahara mkubwa katika historia ya Ligi kuu England na Football kiujumla Source : @fabriziorom @davidornstein Piga hela tu , kuna maisha baada ya kusakata kandanda.! 😀 #neliudcosih -
Uingereza na Ukraine zimesaini makubaliano ya miaka 100, huku Uingereza ikiahidi kuipa mkopo kwa ajili ya ununuzi wa silaha na vifaa vya kijeshi vya dola bilioni 2.6 [trilioni 6.5] kwa ajili ya kupambana na uvamizi wa Urusi.
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer amesema mkopo huo hautalipwa na Ukraine bali kutoka kwenye mali za Urusi zilizozuiliwa.
Uingereza na Ukraine zimesaini makubaliano ya miaka 100, huku Uingereza ikiahidi kuipa mkopo kwa ajili ya ununuzi wa silaha na vifaa vya kijeshi vya dola bilioni 2.6 [trilioni 6.5] kwa ajili ya kupambana na uvamizi wa Urusi. Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer amesema mkopo huo hautalipwa na Ukraine bali kutoka kwenye mali za Urusi zilizozuiliwa. -
Wizara ya Fedha imewatahadharisha wastaafu wote nchini kuwa makini na ujumbe mfupi unaotumwa wa kitapeli, ukionesha mtu aliyetumiwa ujumbe alipigiwa simu na Hazina na hakupatikana, na anahitajika kufika Ofisi za Hazina Ndogo huku ukimtaka apige simu kwa namba zilizoandikwa kwenye ujumbe kwa maelezo zaidi.
Wizara imesema hakuna zoezi lolote la uhakiki wa mafao linalofanywa na Hazina na huduma za wastaafu hutolewa bure.
Wizara ya Fedha imewatahadharisha wastaafu wote nchini kuwa makini na ujumbe mfupi unaotumwa wa kitapeli, ukionesha mtu aliyetumiwa ujumbe alipigiwa simu na Hazina na hakupatikana, na anahitajika kufika Ofisi za Hazina Ndogo huku ukimtaka apige simu kwa namba zilizoandikwa kwenye ujumbe kwa maelezo zaidi. Wizara imesema hakuna zoezi lolote la uhakiki wa mafao linalofanywa na Hazina na huduma za wastaafu hutolewa bure. -
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetangaza kuzifungia laini za simu 12,896 kutokana na kujihusisha na vitendo vya ulaghai wa mtandaoni kwa kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dkt. Jabir Bakari amesema matukio ya ulaghai kwa njia ya simu yamepungua kwa asilimia 19 kutoka laini za simu 16,002 Julai na Septemba 2024 hadi 12,896 Oktoba na Desemba 2024, ikiwa ni punguzo la laini 3,106.
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetangaza kuzifungia laini za simu 12,896 kutokana na kujihusisha na vitendo vya ulaghai wa mtandaoni kwa kipindi cha miezi mitatu iliyopita. Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dkt. Jabir Bakari amesema matukio ya ulaghai kwa njia ya simu yamepungua kwa asilimia 19 kutoka laini za simu 16,002 Julai na Septemba 2024 hadi 12,896 Oktoba na Desemba 2024, ikiwa ni punguzo la laini 3,106. -
-
𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒
“Wachezaji tupo tayari kwa mchezo kesho, tunafahamu utakuwa mchezo mgumu na kila mchezaji anapaswa kuwa tayari kiakili ili kuweza kuhimili presha ya mchezo, umakini ndio jambo ambalo wachezaji tunapaswa kusisitiza, tunafahamu ukifanya makosa katika mechi muhimu kama hii inaweza kuigharimu timu hivyo ni muhimu sana kuongeza umakini” Dickson Job
#timuyawananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
#neliudcosih
𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 “Wachezaji tupo tayari kwa mchezo kesho, tunafahamu utakuwa mchezo mgumu na kila mchezaji anapaswa kuwa tayari kiakili ili kuweza kuhimili presha ya mchezo, umakini ndio jambo ambalo wachezaji tunapaswa kusisitiza, tunafahamu ukifanya makosa katika mechi muhimu kama hii inaweza kuigharimu timu hivyo ni muhimu sana kuongeza umakini” Dickson Job #timuyawananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko #neliudcosih