Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Papillon Tz @PapillonTz9 added 2 Φωτογραφίες
    2025-01-16 17:02:13 ·
    Zuchu achafukwa kisa Ndugu wa Diamond Platnumz kuzungumzia sakata la yeye kuolewa na Diamond akiwemo kaka yake (Diamond), Ricardo Momo.

    Zuchu achafukwa kisa Ndugu wa Diamond Platnumz kuzungumzia sakata la yeye kuolewa na Diamond akiwemo kaka yake (Diamond), Ricardo Momo.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·812 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-16 17:03:00 ·
    Rais Burkina Faso, Ibrahim Traoré wamesisitiza uamuzi wake wa kukataa mikopo kutoka Shirika la kimataifa la Fedha Duniani (IMF) na Benki ya Dunia akipendekeza kuwa Nchi yake itaegemea kwenye kujitegemea.

    Akizungumza katika kongamano la kiuchumi la kanda, amesema kuwa iko haja ya mataifa ya Afrika kutegemea rasilimali zao na kujikomboa kutoka kwa kile alichokitaja kuwa "utumwa wa kifedha."

    "Afrika haihitaji Benki ya Dunia, IMF, Ulaya, au Amerika. Tunavyo vinavyohitajika kukuza uchumi wetu bila mikopo na kukataa kuwa watumwa wa kifedha." Ibrahim Traoré, Rais wa Burkina Faso .

    Rais Burkina Faso, Ibrahim Traoré wamesisitiza uamuzi wake wa kukataa mikopo kutoka Shirika la kimataifa la Fedha Duniani (IMF) na Benki ya Dunia akipendekeza kuwa Nchi yake itaegemea kwenye kujitegemea. Akizungumza katika kongamano la kiuchumi la kanda, amesema kuwa iko haja ya mataifa ya Afrika kutegemea rasilimali zao na kujikomboa kutoka kwa kile alichokitaja kuwa "utumwa wa kifedha." "Afrika haihitaji Benki ya Dunia, IMF, Ulaya, au Amerika. Tunavyo vinavyohitajika kukuza uchumi wetu bila mikopo na kukataa kuwa watumwa wa kifedha." Ibrahim Traoré, Rais wa Burkina Faso 🇧🇫.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·537 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-16 17:03:33 ·
    Van Dijk amezungumzia kuhusu changamoto za Ligi ya Premier League akisema kuwa ingawa klabu haiwezi kuwa kamilifu kila wakati, juhudi zilizowekwa hadi sasa zitawapa imani ya kuendelea na kuonyesha uwezo wao.

    "Hivyo, je, sasa tuko katika mgogoro? Hii inathibitisha tu kwamba Premier League ni Ligi ngumu sana...

    Hatuwezi kuwa wakamilifu kila wakati, lakini kazi ngumu ambayo tumefanya hadi sasa inapaswa kutupa imani ya kutosha kutoka nje na kuonyesha sisi ni nani" Van Dijk

    Van Dijk amezungumzia kuhusu changamoto za Ligi ya Premier League akisema kuwa ingawa klabu haiwezi kuwa kamilifu kila wakati, juhudi zilizowekwa hadi sasa zitawapa imani ya kuendelea na kuonyesha uwezo wao. "Hivyo, je, sasa tuko katika mgogoro? Hii inathibitisha tu kwamba Premier League ni Ligi ngumu sana... Hatuwezi kuwa wakamilifu kila wakati, lakini kazi ngumu ambayo tumefanya hadi sasa inapaswa kutupa imani ya kutosha kutoka nje na kuonyesha sisi ni nani" Van Dijk
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·357 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-16 17:54:27 ·
    Zuchu amuandikia Diamond Platnumz barua ya wazi kwa madai eti kipindi cha Mashamsham cha Wasafi FM kimemdhalilisha.

    Zuchu amuandikia Diamond Platnumz barua ya wazi kwa madai eti kipindi cha Mashamsham cha Wasafi FM kimemdhalilisha.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-16 17:54:55 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·134 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 07:45:25 ·
    KUMBE USALITI SIO KATIKA MAPENZI PEKEE? HADI KWENYE SOKA UPO, SAID BAHANUZI ALIPOGEUKA MSALITI.

    Kuna mshikaji wangu niliwahi kumwambia kuwa Neyma Jr kasaliti wapenda soka lakini alikataa, Ila imani Yangu inaniambia Neyma Jr ni miongoni mwa wasaliti wa Soka.

    Kwa kipaji cha Neyma Jr wapenda soka wengi walitaraji makubwa kutoka kwake badala Yake imekuwa kinyume na kwasasa anamalizia soka lake uko Saudia Rabbia.

    Huenda ni muda? Hapana! Yupo wapi Mohamed Ibrahim? Kipaji kikubwa sana cha soka lakini kilipotea gafla mithili ya moto wa mabua.

    Sikuizi nasikia Ramadhani Singano ni imamu wa msikiti! Kiufupi kawa ustadhi ni sawa. Lakini kwa machizi soka ataendelea kudumu na kutambulika kama msaliti. Ramadhani Singano kipaji kikubwa kiasi cha kufananishwa na Laprga kwa kuitwa Messi.

    Kuna wakati huwa tunasema kuhusu muda lakini sio kila jambo tunaweza kuhusianisha na muda, Mambo mengine yanakuwa ni usaliti.

    Tukisema kuhusu muda, Ukweli umetubariki mengi sana lakini kuhusu usaliti umetuacha na maumivu mengi sana.

    Saidi Bahanuzi sio jina geni kabisa kwa watu wa mpira, Miaka ya 2011+ Alikuwa wa moto sana pale mitaa ya Jangwani kariakoo.

    Bahanuzi aliwaka sana, Nakumbuka usajili wake alitokea Lamasia ya bongo Mtibwa Sugar. Wakati ule alikuwa muhimili haswa wa Yanga Afrika.

    Kutokana na ustaa wa Bahanuzi kwa kipindi kile hata baadhi ya masela tuliokuwa tunasoma nao waliokuwa wanaitwa Saidi basi walijiita Bahanuzi.

    Bahanuzi kafanya momenti nyingi sana na Yanga Afrika ila nadhani momenti ya kukosa penati ya maamuzi dhidi ya Al Ahly ndio momenti mbaya zaidi kwake, Maana ilikuwa penati ya maamuzi.

    Leo nimekumbuka jina la Bahanuzi na kujiuliza Yupo wapi? Huenda watu wa soka wanatamani kufahamu alipo fundi wa mpira Saidi Bahanuzi.

    Kwa wakati ule Saidi Bahanuzi aliwaka sana aise, Ilikuwa haiwezi kusemwa Yanga bila kusemwa Yeye lakini cha kushangaza alitoweka Gafla sana kusikojulikana na kuwaacha wapenda soka midomo wazi.

    Kutoka kwa Moja ya Wadau WA Soka

    #neliudcosih
    🚨 KUMBE USALITI SIO KATIKA MAPENZI PEKEE? HADI KWENYE SOKA UPO, SAID BAHANUZI ALIPOGEUKA MSALITI. Kuna mshikaji wangu niliwahi kumwambia kuwa Neyma Jr kasaliti wapenda soka lakini alikataa, Ila imani Yangu inaniambia Neyma Jr ni miongoni mwa wasaliti wa Soka. Kwa kipaji cha Neyma Jr wapenda soka wengi walitaraji makubwa kutoka kwake badala Yake imekuwa kinyume na kwasasa anamalizia soka lake uko Saudia Rabbia. Huenda ni muda? Hapana! Yupo wapi Mohamed Ibrahim? Kipaji kikubwa sana cha soka lakini kilipotea gafla mithili ya moto wa mabua. Sikuizi nasikia Ramadhani Singano ni imamu wa msikiti! Kiufupi kawa ustadhi ni sawa. Lakini kwa machizi soka ataendelea kudumu na kutambulika kama msaliti. Ramadhani Singano kipaji kikubwa kiasi cha kufananishwa na Laprga kwa kuitwa Messi. Kuna wakati huwa tunasema kuhusu muda lakini sio kila jambo tunaweza kuhusianisha na muda, Mambo mengine yanakuwa ni usaliti. Tukisema kuhusu muda, Ukweli umetubariki mengi sana lakini kuhusu usaliti umetuacha na maumivu mengi sana. Saidi Bahanuzi sio jina geni kabisa kwa watu wa mpira, Miaka ya 2011+ Alikuwa wa moto sana pale mitaa ya Jangwani kariakoo. Bahanuzi aliwaka sana, Nakumbuka usajili wake alitokea Lamasia ya bongo Mtibwa Sugar. Wakati ule alikuwa muhimili haswa wa Yanga Afrika. Kutokana na ustaa wa Bahanuzi kwa kipindi kile hata baadhi ya masela tuliokuwa tunasoma nao waliokuwa wanaitwa Saidi basi walijiita Bahanuzi. Bahanuzi kafanya momenti nyingi sana na Yanga Afrika ila nadhani momenti ya kukosa penati ya maamuzi dhidi ya Al Ahly ndio momenti mbaya zaidi kwake, Maana ilikuwa penati ya maamuzi. Leo nimekumbuka jina la Bahanuzi na kujiuliza Yupo wapi? Huenda watu wa soka wanatamani kufahamu alipo fundi wa mpira Saidi Bahanuzi. Kwa wakati ule Saidi Bahanuzi aliwaka sana aise, Ilikuwa haiwezi kusemwa Yanga bila kusemwa Yeye lakini cha kushangaza alitoweka Gafla sana kusikojulikana na kuwaacha wapenda soka midomo wazi. ✍️Kutoka kwa Moja ya Wadau WA Soka 🙌 #neliudcosih
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Ramadhan Boniphace @reallramaa.tz ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2025-01-17 07:52:35 ·
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·267 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 10:01:37 ·
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒

    “Maxi ni mchezaji wa maajabu, lakini bado hajawa sawa kucheza hapo kesho, Chama amerejea pia sina haraka nae kwa sababu tayari nina wachezaji 24 ambao wanaweza kutupatia matokeo, sina sababu ya kulazimisha wachezaji ambao bado hawapo fiti kucheza kesho. Tutaangalia mwenendo wa kila mchezaji kimwili na kiakili kabla ya kufanya maamuzi” Sead Ramovic.

    #timuyawananchi
    #DaimaMbeleNyumaMwiko
    #neliudcosih
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 “Maxi ni mchezaji wa maajabu, lakini bado hajawa sawa kucheza hapo kesho, Chama amerejea pia sina haraka nae kwa sababu tayari nina wachezaji 24 ambao wanaweza kutupatia matokeo, sina sababu ya kulazimisha wachezaji ambao bado hawapo fiti kucheza kesho. Tutaangalia mwenendo wa kila mchezaji kimwili na kiakili kabla ya kufanya maamuzi” Sead Ramovic. #timuyawananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko #neliudcosih
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 10:02:51 ·
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒

    “Hatujawahi kwenda kucheza mchezo kwa ajili ya droo sisi lengo letu namba moja ni ushindi, sina haja ya kuongelea kuhusu matokeo mengine zaidi ya ushindi hapo kesho, nina wachezaji ambao wanaweza kubadilika kutokana na mbinu zangu au kutokana na mfumo wa wapinzani, sina mashaka na mbinu zangu kwenye kupata matokeo ya ushindi hapo kesho” Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #DaimaMbeleNyumaMwiko
    #neliudcosih
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 “Hatujawahi kwenda kucheza mchezo kwa ajili ya droo sisi lengo letu namba moja ni ushindi, sina haja ya kuongelea kuhusu matokeo mengine zaidi ya ushindi hapo kesho, nina wachezaji ambao wanaweza kubadilika kutokana na mbinu zangu au kutokana na mfumo wa wapinzani, sina mashaka na mbinu zangu kwenye kupata matokeo ya ushindi hapo kesho” Sead Ramovic #timuyawananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko #neliudcosih
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 10:04:00 ·
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒

    “Naomba niweke wazi, utakuwa ni mchezo mgumu sana, utakuwa mchezo ambao utakuwa na matumizi makubwa ya nguvu, ni mchezo wenye presha kubwa lakini naamini vijana wangu wanaweza kuhimili mikikimikiki hiyo. tunakwenda kuwasha moto kutoka dakika ya kwanza mpaka filimbi ya mwisho” Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #DaimaMbeleNyumaMwiko
    #neliudcosih
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 “Naomba niweke wazi, utakuwa ni mchezo mgumu sana, utakuwa mchezo ambao utakuwa na matumizi makubwa ya nguvu, ni mchezo wenye presha kubwa lakini naamini vijana wangu wanaweza kuhimili mikikimikiki hiyo. tunakwenda kuwasha moto kutoka dakika ya kwanza mpaka filimbi ya mwisho” Sead Ramovic #timuyawananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko #neliudcosih
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (20951-20960 από 26007)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2094
  • 2095
  • 2096
  • 2097
  • 2098
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers