• Kuna baadhi ya Watu kwenye "comenti" (baadhi lakini) huwa sipendi kuwajibu kwa sababu ya elimu yao. Ukiandika vibaya (matusi, dhihaka, kejeli au kunishambulia) kwa habari yoyote ile "ninayoiposti" au kama "nime-comenti" sehemu kisha ukaja kujibu. Kwanza ninaangalia "profile" yako ili nijue wewe ni Mtu wa aina gani na nikiona upo upo tu basi sijibu. Lakini nikiona kama umejitoa ufahamu (ujuaji au kudandia gari kwa mbele) basi nakujibu.

    Nimesema hayo kwa sababu gani, kuna baadhi ya Watu hapa mitandao hawajui tena hawajui kama hawajui, wapo Watu ambao ni Wajinga (sio tusi hii, tafuta kamusi ikusaidie) na hata uwaeleweshe vipi, vichwa vyao ni maji au sifuri.

    Mama Samia alikuwa anasherekea siku yake ya mfanano wa kuzaliwa yaani Birthday kwa kiingereza, basi mimi "nili-coment" sehemu fulani "Happy birthday to They". Baada ya muda mfupi nikaona Mtu anakejeli, nikamuacha, baadaye nikaona Watu wengine wanazidi kuongezeka, nikasema "Daaah Dunia haijaelimika kwa kweli".

    Sasa ipo hivi

    Kutumia "They" kumheshimu Mtu, hasa kama unataka kuepuka kuonyesha jinsia ya Mtu au unapoheshimu mamlaka yao kama vile Rais au Mfalme, ni sahihi na inaeleweka. Katika tamaduni nyingi, matumizi ya "they" kama pronomi ya jinsia isiyojulikana au isiyobainika, ni njia ya heshima na inatumika pia kama njia ya kuonyesha heshima kwa Mtu aliye katika nafasi kubwa kama Rais au Mfalme.

    Hii ni tofauti na matumizi ya "he" au "she," ambayo yanaweza kuhusisha jinsia maalum. "They" inaweza kutumika pia kwa kumheshimu Mtu bila kujali jinsia au kama njia ya kujiepusha na maelezo ya kijinsia.

    Kuna mifano ambapo Viongozi wakubwa hutumika "they" kama njia ya kumheshimu na kuonyesha hofu au hadhi ya nafasi yao.

    Hiyo tafsiri nyepesi kabisa kutoka kwa Wajuzi wa lugha ya Kiingereza.

    Kuna baadhi ya Watu kwenye "comenti" (baadhi lakini) huwa sipendi kuwajibu kwa sababu ya elimu yao. Ukiandika vibaya (matusi, dhihaka, kejeli au kunishambulia) kwa habari yoyote ile "ninayoiposti" au kama "nime-comenti" sehemu kisha ukaja kujibu. Kwanza ninaangalia "profile" yako ili nijue wewe ni Mtu wa aina gani na nikiona upo upo tu basi sijibu. Lakini nikiona kama umejitoa ufahamu (ujuaji au kudandia gari kwa mbele) basi nakujibu. Nimesema hayo kwa sababu gani, kuna baadhi ya Watu hapa mitandao hawajui tena hawajui kama hawajui, wapo Watu ambao ni Wajinga (sio tusi hii, tafuta kamusi ikusaidie) na hata uwaeleweshe vipi, vichwa vyao ni maji au sifuri. Mama Samia alikuwa anasherekea siku yake ya mfanano wa kuzaliwa yaani Birthday kwa kiingereza, basi mimi "nili-coment" sehemu fulani "Happy birthday to They". Baada ya muda mfupi nikaona Mtu anakejeli, nikamuacha, baadaye nikaona Watu wengine wanazidi kuongezeka, nikasema "Daaah Dunia haijaelimika kwa kweli". Sasa ipo hivi 👇 Kutumia "They" kumheshimu Mtu, hasa kama unataka kuepuka kuonyesha jinsia ya Mtu au unapoheshimu mamlaka yao kama vile Rais au Mfalme, ni sahihi na inaeleweka. Katika tamaduni nyingi, matumizi ya "they" kama pronomi ya jinsia isiyojulikana au isiyobainika, ni njia ya heshima na inatumika pia kama njia ya kuonyesha heshima kwa Mtu aliye katika nafasi kubwa kama Rais au Mfalme. Hii ni tofauti na matumizi ya "he" au "she," ambayo yanaweza kuhusisha jinsia maalum. "They" inaweza kutumika pia kwa kumheshimu Mtu bila kujali jinsia au kama njia ya kujiepusha na maelezo ya kijinsia. Kuna mifano ambapo Viongozi wakubwa hutumika "they" kama njia ya kumheshimu na kuonyesha hofu au hadhi ya nafasi yao. Hiyo tafsiri nyepesi kabisa kutoka kwa Wajuzi wa lugha ya Kiingereza.
    Like
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • Udaku umetazamwa (view) na Watu zaidi laki nne (4) ila wimbo mpya Watazamaji (views) ni zaidi ya elfu (59) pekee... Yaani hawa ndio Ndugu wa Watazamaji .

    Ni umbea au udaku kwanza, mengine baadaye

    Udaku umetazamwa (view) na Watu zaidi laki nne (4) ila wimbo mpya Watazamaji (views) ni zaidi ya elfu (59) pekee... Yaani hawa ndio Ndugu wa Watazamaji 😂. Ni umbea au udaku kwanza, mengine baadaye 😂
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·485 Ansichten
  • Like
    Haha
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·411 Ansichten
  • Mwaka 2019, Nchini Japan waliweza kupitisha utafiti kwa kuweza kuwaruhusu Wanasayansi kuweza kutengeneza (kuunda) Wanadamu. Mfumo huo ambao unakusanya viungo vya Wanyama na Binadamu ili kuweza kukuza viungo vya Binadamu ndani ya Mnyama kwa njia ya kupandikiza. Watafiti hao wakiongozwa na Mwanasayansi mmoja aitwaye Hiromitsu Nakauchi.

    Utafiti huo unaruhusisha kuingiza "seli" za Binadamu kwenye "viinitete" vya Wanyama (animal embroys) kwa Nguruwe na Panya, ili kuweza kukuza vya Binadamu. Bado kuna wasiwasi wa kimaadili unaweza kujitokeza kuhusu kuchanganya "seli" za kibinadamu na Wanyama haswa kwenye ukuaji wa ubongo.

    Sheria mpya imeruhusu utafiti huo kukuza hadi kuwa Mnyama Binadamu kamili, hivyo kuzua mijadiliano mikali kati ya Sayansi ya matibabu na uumbaji wa Mwenyezi Mungu.

    Mwaka 2019, Nchini Japan 🇯🇵 waliweza kupitisha utafiti kwa kuweza kuwaruhusu Wanasayansi kuweza kutengeneza (kuunda) Wanadamu. Mfumo huo ambao unakusanya viungo vya Wanyama na Binadamu ili kuweza kukuza viungo vya Binadamu ndani ya Mnyama kwa njia ya kupandikiza. Watafiti hao wakiongozwa na Mwanasayansi mmoja aitwaye Hiromitsu Nakauchi. Utafiti huo unaruhusisha kuingiza "seli" za Binadamu kwenye "viinitete" vya Wanyama (animal embroys) kwa Nguruwe na Panya, ili kuweza kukuza vya Binadamu. Bado kuna wasiwasi wa kimaadili unaweza kujitokeza kuhusu kuchanganya "seli" za kibinadamu na Wanyama haswa kwenye ukuaji wa ubongo. Sheria mpya imeruhusu utafiti huo kukuza hadi kuwa Mnyama Binadamu kamili, hivyo kuzua mijadiliano mikali kati ya Sayansi ya matibabu na uumbaji wa Mwenyezi Mungu.
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·864 Ansichten
  • Like
    Love
    3
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·140 Ansichten
  • Like
    Haha
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·143 Ansichten
  • Like
    Haha
    Wow
    4
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·143 Ansichten
  • "Tuelekee Congo sasa tuanze kuitazama na kufahamu kiini cha machafuko ya Goma na kwanini Rwanda wanahusihwa!!..

    Kwanza kabisa tujiulize kwanini machafuko yatokee Goma karibu kabisa na mpaka wa Rwanda yaani kule Kivu kusini na kaskazini ndio kiini cha mapigano na migogoro yote pale Congo sehemu hizi zinapakana na Rwanda pia ni sehemu ambazo ni ngome imara ya M23

    Félix Tshisekedi Rais wa Congo anafahamu fika kiini cha mgogoro huu, Rais wa Rwanda Paul Kagame anafahamu vizuri sana kiini cha mgogoro huu na kwanini mara zote Congo imekuwa ikiishtumu Rwanda kuhusika na kufadhili M23, wote wanafahamu sababu na ukweli wa mambo

    Ngoja nikuache na tafakuri ipo hivi wameuwawa wanajeshi 13 wa Afrika Kusini huko Goma sasa kilichotokea Rais wa Afrika Kusini Ramaphosa kampigia simu Kagame ili kutuliza machafuko Goma!! Jiulize Goma ipo Rwanda au Congo? na kwanini simu apigiwe Kagame?

    Matejoo tutaendelea kuwapa madini taratibu mpaka tupate ukweli hatua kwa hatua lakini kwa sasa niseme wazi wa kumaliza yanayoendelea Congo ni Kagame na Tshisekedi ila Kagame ana nafasi kubwa zaidi!!!

    Tukutane wakati mwingine ili ufahamu zaidi!!" - Zungu, Mchambuzi wa Siasa.

    "Tuelekee Congo sasa tuanze kuitazama na kufahamu kiini cha machafuko ya Goma na kwanini Rwanda wanahusihwa!!.. Kwanza kabisa tujiulize kwanini machafuko yatokee Goma karibu kabisa na mpaka wa Rwanda🇷🇼 yaani kule Kivu kusini na kaskazini ndio kiini cha mapigano na migogoro yote pale Congo sehemu hizi zinapakana na Rwanda pia ni sehemu ambazo ni ngome imara ya M23 Félix Tshisekedi Rais wa Congo anafahamu fika kiini cha mgogoro huu, Rais wa Rwanda Paul Kagame anafahamu vizuri sana kiini cha mgogoro huu na kwanini mara zote Congo imekuwa ikiishtumu Rwanda kuhusika na kufadhili M23, wote wanafahamu sababu na ukweli wa mambo Ngoja nikuache na tafakuri ipo hivi wameuwawa wanajeshi 13 wa Afrika Kusini huko Goma sasa kilichotokea Rais wa Afrika Kusini Ramaphosa kampigia simu Kagame ili kutuliza machafuko Goma!! Jiulize Goma ipo Rwanda au Congo? na kwanini simu apigiwe Kagame? Matejoo tutaendelea kuwapa madini taratibu mpaka tupate ukweli hatua kwa hatua👊 lakini kwa sasa niseme wazi wa kumaliza yanayoendelea Congo ni Kagame na Tshisekedi ila Kagame ana nafasi kubwa zaidi!!! Tukutane wakati mwingine ili ufahamu zaidi!!" - Zungu, Mchambuzi wa Siasa.
    Like
    Sad
    4
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·462 Ansichten
  • Like
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·168 Ansichten
  • Namba kwenye mtandao wa YouTube anadai kuingiza Dola milioni moja kwa siku, baadaye Tajiri namba moja Duniani kamjibu kuwa yeye anaingiza Dola milioni moja kwa dakika moja.

    Namba kwenye mtandao wa YouTube anadai kuingiza Dola milioni moja kwa siku, baadaye Tajiri namba moja Duniani kamjibu kuwa yeye anaingiza Dola milioni moja kwa dakika moja.
    Like
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·277 Ansichten