• Like
    2
    0 Commenti 0 condivisioni 60 Views
  • Namba kwenye mtandao wa YouTube anadai kuingiza Dola milioni moja kwa siku, baadaye Tajiri namba moja Duniani kamjibu kuwa yeye anaingiza Dola milioni moja kwa dakika moja.

    Namba kwenye mtandao wa YouTube anadai kuingiza Dola milioni moja kwa siku, baadaye Tajiri namba moja Duniani kamjibu kuwa yeye anaingiza Dola milioni moja kwa dakika moja.
    Like
    2
    0 Commenti 0 condivisioni 200 Views
  • mpaka nione, hivi hivi hamtoboi
    mpaka nione, hivi hivi hamtoboi馃榾
    Like
    3
    1 Commenti 0 condivisioni 165 Views
  • Baada ya Rais wa Marekani , Donald Trump kusaini amri ya Marekani kujitoa Shirika la afya Duniani (WHO) sanjari na kusitisha ufadhili wa kifedha kwa Mashirika yote ya kiafya Duniani kote ikiwemo yale ya kupambana na ukimwi kwa siku 90.

    Rais huyo amesema katika kipindi hicho cha mpito serikali yake itafanya tathimini ya kuona ushiriki wake na ufadhili kama unaenda sahihi na mataifa mengine au Marekani imesusiwa mzigo mkubwa peke yake wa kuhudumia Dunia. Marekani ndio mchangiaji mkubwa zaidi kwenye Mashirika hayo ya afya ikiwemo (WHO), ambapo Marekani inachangia takribani dola bilioni moja (1) huku Nchi ya China ikichangia dola milioni (86) pekee kitu ambacho Donald Trump amesema sio sahihi.

    Tayari Mashirika yanayofadhiliwa na Marekani likiwemo la USAID yamepokea waraka wa agizo la Donald Trump na kuagizwa kuanza utekelezaji Duniani kote.

    Baada ya Rais wa Marekani 馃嚭馃嚫, Donald Trump kusaini amri ya Marekani kujitoa Shirika la afya Duniani (WHO) sanjari na kusitisha ufadhili wa kifedha kwa Mashirika yote ya kiafya Duniani kote ikiwemo yale ya kupambana na ukimwi kwa siku 90. Rais huyo amesema katika kipindi hicho cha mpito serikali yake itafanya tathimini ya kuona ushiriki wake na ufadhili kama unaenda sahihi na mataifa mengine au Marekani imesusiwa mzigo mkubwa peke yake wa kuhudumia Dunia. Marekani ndio mchangiaji mkubwa zaidi kwenye Mashirika hayo ya afya ikiwemo (WHO), ambapo Marekani inachangia takribani dola bilioni moja (1) huku Nchi ya China ikichangia dola milioni (86) pekee kitu ambacho Donald Trump amesema sio sahihi. Tayari Mashirika yanayofadhiliwa na Marekani likiwemo la USAID yamepokea waraka wa agizo la Donald Trump na kuagizwa kuanza utekelezaji Duniani kote.
    Like
    2
    0 Commenti 0 condivisioni 300 Views
  • Rais Donald Trump wa Marekani amemuandikia barua ya mwaliko kwenye Ikulu ya Marekani White House Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu akimuomba aende wiki ijayo wakajadili hali ya Mashariki ya Kati na maslahi yao ya pamoja katika ukanda huo (mgogoro wa Palestina na Israel).

    Kwa mwaliko huo, Benjamin Netanyahu atakuwa kiongozi Mkuu wa kwanza wa nje kufanya ziara rasmi Marekani baada ya Trump kushinda tena Urais wa Taifa hilo. Ikumbukwe maandalizi ya mkutano wa Trump na Putin pia yanaendelea ili kumaliza vita vya Ukraine.

    Rais Donald Trump wa Marekani amemuandikia barua ya mwaliko kwenye Ikulu ya Marekani White House Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu akimuomba aende wiki ijayo wakajadili hali ya Mashariki ya Kati na maslahi yao ya pamoja katika ukanda huo (mgogoro wa Palestina na Israel). Kwa mwaliko huo, Benjamin Netanyahu atakuwa kiongozi Mkuu wa kwanza wa nje kufanya ziara rasmi Marekani baada ya Trump kushinda tena Urais wa Taifa hilo. Ikumbukwe maandalizi ya mkutano wa Trump na Putin pia yanaendelea ili kumaliza vita vya Ukraine.
    Like
    3
    1 Commenti 0 condivisioni 271 Views
  • Like
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 81 Views
  • Namba kwenye mtandao wa YouTube anadai kuingiza Dola milioni moja kwa siku, baadaye Tajiri namba moja Duniani kamjibu kuwa yeye anaingiza Dola milioni moja kwa dakika moja.

    Namba kwenye mtandao wa YouTube anadai kuingiza Dola milioni moja kwa siku, baadaye Tajiri namba moja Duniani kamjibu kuwa yeye anaingiza Dola milioni moja kwa dakika moja.
    Like
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 222 Views
  • Baada ya Rais wa Marekani , Donald Trump kusaini amri ya Marekani kujitoa Shirika la afya Duniani (WHO) sanjari na kusitisha ufadhili wa kifedha kwa Mashirika yote ya kiafya Duniani kote ikiwemo yale ya kupambana na ukimwi kwa siku 90.

    Rais huyo amesema katika kipindi hicho cha mpito serikali yake itafanya tathimini ya kuona ushiriki wake na ufadhili kama unaenda sahihi na mataifa mengine au Marekani imesusiwa mzigo mkubwa peke yake wa kuhudumia Dunia. Marekani ndio mchangiaji mkubwa zaidi kwenye Mashirika hayo ya afya ikiwemo (WHO), ambapo Marekani inachangia takribani dola bilioni moja (1) huku Nchi ya China ikichangia dola milioni (86) pekee kitu ambacho Donald Trump amesema sio sahihi.

    Tayari Mashirika yanayofadhiliwa na Marekani likiwemo la USAID yamepokea waraka wa agizo la Donald Trump na kuagizwa kuanza utekelezaji Duniani kote.

    Baada ya Rais wa Marekani 馃嚭馃嚫, Donald Trump kusaini amri ya Marekani kujitoa Shirika la afya Duniani (WHO) sanjari na kusitisha ufadhili wa kifedha kwa Mashirika yote ya kiafya Duniani kote ikiwemo yale ya kupambana na ukimwi kwa siku 90. Rais huyo amesema katika kipindi hicho cha mpito serikali yake itafanya tathimini ya kuona ushiriki wake na ufadhili kama unaenda sahihi na mataifa mengine au Marekani imesusiwa mzigo mkubwa peke yake wa kuhudumia Dunia. Marekani ndio mchangiaji mkubwa zaidi kwenye Mashirika hayo ya afya ikiwemo (WHO), ambapo Marekani inachangia takribani dola bilioni moja (1) huku Nchi ya China ikichangia dola milioni (86) pekee kitu ambacho Donald Trump amesema sio sahihi. Tayari Mashirika yanayofadhiliwa na Marekani likiwemo la USAID yamepokea waraka wa agizo la Donald Trump na kuagizwa kuanza utekelezaji Duniani kote.
    Like
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 303 Views
  • Rais Donald Trump wa Marekani amemuandikia barua ya mwaliko kwenye Ikulu ya Marekani White House Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu akimuomba aende wiki ijayo wakajadili hali ya Mashariki ya Kati na maslahi yao ya pamoja katika ukanda huo (mgogoro wa Palestina na Israel).

    Kwa mwaliko huo, Benjamin Netanyahu atakuwa kiongozi Mkuu wa kwanza wa nje kufanya ziara rasmi Marekani baada ya Trump kushinda tena Urais wa Taifa hilo. Ikumbukwe maandalizi ya mkutano wa Trump na Putin pia yanaendelea ili kumaliza vita vya Ukraine.

    Rais Donald Trump wa Marekani amemuandikia barua ya mwaliko kwenye Ikulu ya Marekani White House Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu akimuomba aende wiki ijayo wakajadili hali ya Mashariki ya Kati na maslahi yao ya pamoja katika ukanda huo (mgogoro wa Palestina na Israel). Kwa mwaliko huo, Benjamin Netanyahu atakuwa kiongozi Mkuu wa kwanza wa nje kufanya ziara rasmi Marekani baada ya Trump kushinda tena Urais wa Taifa hilo. Ikumbukwe maandalizi ya mkutano wa Trump na Putin pia yanaendelea ili kumaliza vita vya Ukraine.
    Like
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 287 Views
  • Umeona nini hapa?
    Umeona nini hapa?
    Haha
    Wow
    Angry
    3
    0 Commenti 0 condivisioni 170 Views