• RASMI : Young Africans vs Ken Gold ni Khalid Aucho na Maokoto Day....

    Mashabiki wa klab ya Young Africans wameuomba Uongozi wa klab yao Juu ya kumtaarifu kiungo wao Mkabaji Raia wa Uganda Khalid Aucho 'Doctor' kuwa ndiye watakaye mpa zawadi ya pesa 'Maokoto kwenye kibegi' siku ya Jumatano kwenye mchezo wao wa ligi kuu ya NBC dhidi ya Klab ya Ken Gold,

    Ameyasema hayo Mkuu wa kitengo cha habari Ali kamwe baada ya kupokea maombi hayo kutoka kwa mashabiki wa klab yao,

    Mashabiki wa klab ya Yanga wamekuwa na utaratibu huo na baadhi ya wachezaji ambao wamepata maokoto hayo ni:

    Bacca
    Kibwana
    Mzize
    Maxi
    Pacome

    Next game:

    馃Young Africans vs Ken Gold
    05-02-2025
    16:00 Hrs
    Kmc Complex
    RASMI : Young Africans vs Ken Gold ni Khalid Aucho na Maokoto Day.... Mashabiki wa klab ya Young Africans wameuomba Uongozi wa klab yao Juu ya kumtaarifu kiungo wao Mkabaji Raia wa Uganda Khalid Aucho 'Doctor' kuwa ndiye watakaye mpa zawadi ya pesa 'Maokoto kwenye kibegi' siku ya Jumatano kwenye mchezo wao wa ligi kuu ya NBC dhidi ya Klab ya Ken Gold, Ameyasema hayo Mkuu wa kitengo cha habari Ali kamwe baada ya kupokea maombi hayo kutoka kwa mashabiki wa klab yao, Mashabiki wa klab ya Yanga wamekuwa na utaratibu huo na baadhi ya wachezaji ambao wamepata maokoto hayo ni: 馃憠Bacca 馃憠Kibwana 馃憠Mzize 馃憠Maxi 馃憠Pacome Next game: 馃Young Africans vs Ken Gold 馃搶05-02-2025 馃晳16:00 Hrs 鉀矺mc Complex
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 314 Views
  • Like
    1
    0 Comments 0 Shares 61 Views
  • 0 Comments 0 Shares 41 Views
  • 饾悘饾悜饾悇饾悞饾悞

    "Kesho tutakabiliana na timu ambayo imepata wachezaji wapya wengi. Pia Kocha wao ana mtindo wake wa kucheza, na itakuwa mechi ngumu kwa sababu hatujui jinsi wanavyocheza na wachezaji wapya wote kwenye timu. Lakini huenda, kama tulivyokabiliana na wapinzani wa mwisho, watacheza kwa kujilinda zaidi. Hiyo inamaanisha tunapaswa kutafuta nafasi na mianya ili tuweze kupata matokeo" Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    饾悘饾悜饾悇饾悞饾悞馃挰 "Kesho tutakabiliana na timu ambayo imepata wachezaji wapya wengi. Pia Kocha wao ana mtindo wake wa kucheza, na itakuwa mechi ngumu kwa sababu hatujui jinsi wanavyocheza na wachezaji wapya wote kwenye timu. Lakini huenda, kama tulivyokabiliana na wapinzani wa mwisho, watacheza kwa kujilinda zaidi. Hiyo inamaanisha tunapaswa kutafuta nafasi na mianya ili tuweze kupata matokeo" Sead Ramovic #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 251 Views
  • 饾悘饾悜饾悇饾悞饾悞

    "Tunahitaji kujaribu kucheza kati ya mistari. Tunapaswa kucheza katika nafasi ndogo nyuma ya safu ya ulinzi. Tunahitaji kuwasambaza ili tuweze kupata nafasi kati ya mistari. Kwa ujumla, itakuwa mechi ngumu tena, lakini kama ninavyosema kila wakati, sisi ni timu bora zaidi nchini Tanzania. Tumeshinda taji mara tatu, na tunataka kushinda tena" Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    饾悘饾悜饾悇饾悞饾悞馃挰 "Tunahitaji kujaribu kucheza kati ya mistari. Tunapaswa kucheza katika nafasi ndogo nyuma ya safu ya ulinzi. Tunahitaji kuwasambaza ili tuweze kupata nafasi kati ya mistari. Kwa ujumla, itakuwa mechi ngumu tena, lakini kama ninavyosema kila wakati, sisi ni timu bora zaidi nchini Tanzania. Tumeshinda taji mara tatu, na tunataka kushinda tena" Sead Ramovic #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 280 Views
  • 饾悘饾悜饾悇饾悞饾悞

    "Nadhani tumeboresha mambo mengi tangu nilipokuja, na bila shaka tunahitaji kuwa makini zaidi katika safu ya ushambuliaji. Katika mechi za mwisho, tulifunga mabao mengi na tulipata nafasi nyingi mbele ya goli. Hii ni moja ya nguvu zetu, lakini tunapaswa kuwa na umakini zaidi katika kumalizia na kujaribu kufunga mabao zaidi, kwa sababu tunataka kuwa bora katika kila kitu tunachofanya" Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    饾悘饾悜饾悇饾悞饾悞馃挰 "Nadhani tumeboresha mambo mengi tangu nilipokuja, na bila shaka tunahitaji kuwa makini zaidi katika safu ya ushambuliaji. Katika mechi za mwisho, tulifunga mabao mengi na tulipata nafasi nyingi mbele ya goli. Hii ni moja ya nguvu zetu, lakini tunapaswa kuwa na umakini zaidi katika kumalizia na kujaribu kufunga mabao zaidi, kwa sababu tunataka kuwa bora katika kila kitu tunachofanya" Sead Ramovic #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 305 Views
  • 饾悘饾悜饾悇饾悞饾悞

    "Jonathan ni mchezaji mzuri sana, jambo la kwanza tunalopaswa kufanya, bila shaka, ni kumfikisha kwenye kiwango cha utimamu wa mwili tunachotaka. Kwa sababu si tu kuhusu utimamu wa mwili, bali pia kuhakikisha kwamba hapati majeraha. Ikiwa hana utimamu wa kutosha na anahitaji kukimbia kwa kasi kwenye mechi, kuna uwezekano mkubwa wa kuumia, na hilo ndilo tunalotaka kuepuka.

    Lakini bila shaka yeye ni mchezaji mzuri na katika siku zijazo atatusaidia sana" Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    饾悘饾悜饾悇饾悞饾悞馃挰 "Jonathan ni mchezaji mzuri sana, jambo la kwanza tunalopaswa kufanya, bila shaka, ni kumfikisha kwenye kiwango cha utimamu wa mwili tunachotaka. Kwa sababu si tu kuhusu utimamu wa mwili, bali pia kuhakikisha kwamba hapati majeraha. Ikiwa hana utimamu wa kutosha na anahitaji kukimbia kwa kasi kwenye mechi, kuna uwezekano mkubwa wa kuumia, na hilo ndilo tunalotaka kuepuka. Lakini bila shaka yeye ni mchezaji mzuri na katika siku zijazo atatusaidia sana" Sead Ramovic #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 299 Views
  • 饾悘饾悜饾悇饾悞饾悞

    "Maandalizi yetu kwa ujumla yapo vizuri,tumejiandaa vizuri kwenda kucheza mchezo wetu dhidi ya KenGold"

    "Wamesajili wachezaji wengi wazoefu ukilinganisha na mzunguko wa kwanza, na kwetu sisi hiki ni kitu kizuri maana mechi itakuwa nzuri sana maana wana wachezaji wazoefu na wachezaji wanaojua" Mshery

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    饾悘饾悜饾悇饾悞饾悞馃挰 "Maandalizi yetu kwa ujumla yapo vizuri,tumejiandaa vizuri kwenda kucheza mchezo wetu dhidi ya KenGold" "Wamesajili wachezaji wengi wazoefu ukilinganisha na mzunguko wa kwanza, na kwetu sisi hiki ni kitu kizuri maana mechi itakuwa nzuri sana maana wana wachezaji wazoefu na wachezaji wanaojua" Mshery #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 270 Views
  • "Tutaboresha uwezo wetu kwenye mchezo huu unaofuata na michezo inayokuja, Ligi si rahisi timu nyingi zinazokuja kwenye huu mzunguko wa pili wanajilinda sana kutokufungwa kwa hiyo nyingi zinaona bora kupata sare kuliko kupoteza alama zote tatu, walimu wanaliona hilo na wanalifanyia kazi" Mshery

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    "Tutaboresha uwezo wetu kwenye mchezo huu unaofuata na michezo inayokuja, Ligi si rahisi timu nyingi zinazokuja kwenye huu mzunguko wa pili wanajilinda sana kutokufungwa kwa hiyo nyingi zinaona bora kupata sare kuliko kupoteza alama zote tatu, walimu wanaliona hilo na wanalifanyia kazi" Mshery #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    0 Comments 0 Shares 297 Views
  • Nini kimemkuta star alietamba na hit song zake kama#sorry.na nyingine kibao Star #Justinebieber. asee salimia watu pesa huisha wakuu
    Nini kimemkuta star alietamba na hit song zake kama#sorry.na nyingine kibao Star #Justinebieber. asee salimia watu pesa huisha wakuu馃毝馃毝
    Sad
    1
    0 Comments 0 Shares 156 Views