Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-04 15:36:02 ·
    Nchi ya Rwanda imesema kuwa mbinu za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ya kutaka kukomesha mikataba ya Rwanda kimataifa sio suluhisho kwa mzozo wa mashariki mwa DR Congo.

    Hii imekuja baada ya Serikali ya DR Congo kuandikia barua vilabu vya Arsenal FC, PSG na FC Bayern wakivitaka visitishe mikataba na Rwanda kwa madai kuwa Nchi hiyo inaunga mkono Waasi wa kundi la M23 na kuwa makubaliano hayo "yana damu".

    Nchi ya Rwanda 🇷🇼 imesema kuwa mbinu za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 ya kutaka kukomesha mikataba ya Rwanda kimataifa sio suluhisho kwa mzozo wa mashariki mwa DR Congo. Hii imekuja baada ya Serikali ya DR Congo kuandikia barua vilabu vya Arsenal FC, PSG na FC Bayern wakivitaka visitishe mikataba na Rwanda kwa madai kuwa Nchi hiyo inaunga mkono Waasi wa kundi la M23 na kuwa makubaliano hayo "yana damu".
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·620 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-04 15:36:28 ·
    Waziri wa Madini na Petroli wa Afrika Kusini , Gwede Mantashe, amesema katika kongamano la madini linaloendelea Nchini humo:

    "Kwa kweli, Marekani inachukua madini ya Afrika lakini inadai itaondoa ufadhili. Tuna madini katika bara hili, kwa hivyo tuna rasilimali—sisi si ombaomba." - amesema Mantashe

    Kauli hii inakuja kufuatia tamko la Rais wa Marekani , Donald Trump, aliyesema kuwa serikali yake itasitisha ufadhili kwa Afrika Kusini katika siku zijazo, akidai kuwa Nchi hiyo inanyakua ardhi na kunyanyasa Watu wa tabaka fulani.

    Waziri wa Madini na Petroli wa Afrika Kusini 🇿🇦 , Gwede Mantashe, amesema katika kongamano la madini linaloendelea Nchini humo: "Kwa kweli, Marekani inachukua madini ya Afrika lakini inadai itaondoa ufadhili. Tuna madini katika bara hili, kwa hivyo tuna rasilimali—sisi si ombaomba." - amesema Mantashe Kauli hii inakuja kufuatia tamko la Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump, aliyesema kuwa serikali yake itasitisha ufadhili kwa Afrika Kusini katika siku zijazo, akidai kuwa Nchi hiyo inanyakua ardhi na kunyanyasa Watu wa tabaka fulani.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·225 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-04 15:37:33 ·
    “Naamini mimi ndiye mchezaji bora zaidi katika historia ya soka, hakuna aliyewahi kuwa bora kunizidi. Namba zinaongea , mimi ndiye mchezaji niliyekamilika zaidi kuwahi kutokea. Watu wanaweza kumpenda Messi, Maradona au Pele niliheshimu hilo lakini mimi ndiye mchezaji kamili zaidi na namba zinasema hivyo.”

    “Sijaona mchezaji bora kunizidi katika historia ya soka na nasema ukweli kutoka moyoni mwangu” - Cristiano Ronaldo, Mchezaji wa klabu ya Al Nasr.

    “Naamini mimi ndiye mchezaji bora zaidi katika historia ya soka, hakuna aliyewahi kuwa bora kunizidi. Namba zinaongea , mimi ndiye mchezaji niliyekamilika zaidi kuwahi kutokea. Watu wanaweza kumpenda Messi, Maradona au Pele niliheshimu hilo lakini mimi ndiye mchezaji kamili zaidi na namba zinasema hivyo.” “Sijaona mchezaji bora kunizidi katika historia ya soka na nasema ukweli kutoka moyoni mwangu” - Cristiano Ronaldo, Mchezaji wa klabu ya Al Nasr.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·389 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-04 15:38:09 ·
    “Naamini mimi ndiye mchezaji bora zaidi katika historia ya soka, hakuna aliyewahi kuwa bora kunizidi. Namba zinaongea , mimi ndiye mchezaji niliyekamilika zaidi kuwahi kutokea. Watu wanaweza kumpenda Messi, Maradona au Pele niliheshimu hilo lakini mimi ndiye mchezaji kamili zaidi na namba zinasema hivyo.”

    “Sijaona mchezaji bora kunizidi katika historia ya soka na nasema ukweli kutoka moyoni mwangu” - Cristiano Ronaldo, Mchezaji wa klabu ya Al Nasr.

    “Naamini mimi ndiye mchezaji bora zaidi katika historia ya soka, hakuna aliyewahi kuwa bora kunizidi. Namba zinaongea , mimi ndiye mchezaji niliyekamilika zaidi kuwahi kutokea. Watu wanaweza kumpenda Messi, Maradona au Pele niliheshimu hilo lakini mimi ndiye mchezaji kamili zaidi na namba zinasema hivyo.” “Sijaona mchezaji bora kunizidi katika historia ya soka na nasema ukweli kutoka moyoni mwangu” - Cristiano Ronaldo, Mchezaji wa klabu ya Al Nasr.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·388 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε ένα αρχείο
    2025-02-04 18:39:53 ·
    Like
    Love
    Angry
    7
    · 2 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·337 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Joyce James @joycejames
    2025-02-04 19:55:30 ·
    Holy spirit my strength
    Holy spirit my strength ✝️🙏💗
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·256 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-04 20:13:18 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·135 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-04 20:14:44 ·
    Taarifa kwa umma kutoka katika klabu ya Yanga SC ikithibitisha kuachana na aliyekuwa Kocha Mkuu wao S. Ramovic kwa makubaliano ya pande zote mbili.

    Taarifa kwa umma kutoka katika klabu ya Yanga SC ikithibitisha kuachana na aliyekuwa Kocha Mkuu wao S. Ramovic kwa makubaliano ya pande zote mbili.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·276 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-04 20:15:01 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·135 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-04 20:15:34 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·143 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (22591-22600 από 24228)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2258
  • 2259
  • 2260
  • 2261
  • 2262
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers