نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-12 05:57:09 ·
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·134 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-12 05:57:31 ·
    "Wakati nakuja Dar nikitokea Kigoma nilimdanganya Mzee (baba yangu). Nilikuwa mwalimu Kigoma, nilimdanganya Mzee kuwa nimepata shule nyingine Dar es Salaam na hapo sikuwa nimepata shule.

    "Mimi mwalimu wa Sekondari nafundisha kuanzia Form One hadi Four. Nilikuwa mwalimu wa Hesabu na Chemistry

    "Kwahiyo nilimwambia Mzee nimepata shule nyingine wanalipa hela nyingi kuliko Kigoma. Akaniruhusu. Ukweli sikuwa na shule na sikujua nafikia wapi"

    "Nilijilipua kwamba nikifika Dar natoboa. Nilikuja na Treni. Sikutaka kupanda basi. Nilikuwa nawacheki washkaji zangu waliopo Dar wote waliniambia hawapo.

    "Nilimcheki dogo mmoja aliniambia yupo Dar anaishi Ubungo. Nilimwambia na Mimi nakuja Dar kuna ishu naifuatilia Gongo la Mboto (nilimdanganya)"- Ndaro, Mchekeshaji (Tanzania) kupitia Clouds TV.

    "Wakati nakuja Dar nikitokea Kigoma nilimdanganya Mzee (baba yangu). Nilikuwa mwalimu Kigoma, nilimdanganya Mzee kuwa nimepata shule nyingine Dar es Salaam na hapo sikuwa nimepata shule. "Mimi mwalimu wa Sekondari nafundisha kuanzia Form One hadi Four. Nilikuwa mwalimu wa Hesabu na Chemistry "Kwahiyo nilimwambia Mzee nimepata shule nyingine wanalipa hela nyingi kuliko Kigoma. Akaniruhusu. Ukweli sikuwa na shule na sikujua nafikia wapi" "Nilijilipua kwamba nikifika Dar natoboa. Nilikuja na Treni. Sikutaka kupanda basi. Nilikuwa nawacheki washkaji zangu waliopo Dar wote waliniambia hawapo. "Nilimcheki dogo mmoja aliniambia yupo Dar anaishi Ubungo. Nilimwambia na Mimi nakuja Dar kuna ishu naifuatilia Gongo la Mboto (nilimdanganya)"- Ndaro, Mchekeshaji (Tanzania) kupitia Clouds TV.
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·523 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-12 05:58:16 ·
    Huu wimbo "Siku hazigandi" unaukumbuka au ndio nimekuchanganya kwa sababu ya umri wako
    Huu wimbo "Siku hazigandi" unaukumbuka au ndio nimekuchanganya kwa sababu ya umri wako 👇
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·144 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-12 05:58:40 ·
    "Kuanzia Msimu ujao tunakuja na kanuni ya Golikipa Mmoja tu wakigeni kwenye kila timu haiwezekani kwenye timu moja kuwe na magolikipa wawili wa kigeni haiwezekani hii”

    “Nilikua namtania Rais mwenzangu wa shirikisho aliniambia Mbona kwenye ligi yako kuna wachezaji wa kigeni wengi sana nikamjibu kua siwadekezi watu wavivu, ukiangalia pale Yanga kuna mabeki wengi wakizawa ndio wanacheza hata Siimba pia hivyo hivyo” - W. Karia, Rais wa Shirikisho la Mpira Nchini Tanzania (TFF) kupitia Wasafi FM.

    "Kuanzia Msimu ujao tunakuja na kanuni ya Golikipa Mmoja tu wakigeni kwenye kila timu haiwezekani kwenye timu moja kuwe na magolikipa wawili wa kigeni haiwezekani hii” “Nilikua namtania Rais mwenzangu wa shirikisho aliniambia Mbona kwenye ligi yako kuna wachezaji wa kigeni wengi sana nikamjibu kua siwadekezi watu wavivu, ukiangalia pale Yanga kuna mabeki wengi wakizawa ndio wanacheza hata Siimba pia hivyo hivyo” - W. Karia, Rais wa Shirikisho la Mpira Nchini Tanzania (TFF) kupitia Wasafi FM.
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·742 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-12 06:00:07 ·
    Habari iliyobamba kwa sasa kwenye vyombo vya habari ni ndoa ya Stephane Aziz Ki na Hamisa Mobetto, ingawa wapo waliofika mbali na kudai ni kiki tu kwa ajili ya matangazo ya bidhaa fulani na wanatumika tu.

    Baada ya vuta nkuvute ya stori hii hatimaye mama yake Hamisa, Shufaa Rutanga amefunga na anathibitisha kuwepo kwa ndoa hiyo na kuhusu posa ya Aziz Ki, amesema hakuna posa yoyote iliyofika kwake kutoka kwa nyota huyo wa kimataifa wa Burkina Faso ingawa amepokea nyingi kutoka kwa wanaume tofauti wanaotaka kumuoa mwanaye.

    “Sasa ngoja nikuambie ukweli, maana nilikuwa nashindwa kutoa majibu sahihi kutokana na baadhi ya ya vitu kuhusu ndoa hii vilikuwa havijakamilika, sasa vimekamilika na ndoa ipo. Kiukweli namshukuru Mungu maombi yangu kwa mwanagu yameitika, nilikuwa kila kukicha naomba apate mtu sahihi watakayependana ili aolewe, kuwa kwenye ndoa ni heshima kubwa sana" - Mama Mobetto

    Mama Hamisa anasema hekaheka za ndoa hiyo zitaanza Jumamosi Februari 15 na ndiyo siku mahari itatolewa na sherehe itafanyika Februari 19, The Superdome, Masaki, jijini Dar es Salaam.

    “Kutoka moyoni nimewapa baraka zote mkwe wangu AziZ Ki na mwanagu Hamisa na upendo mwingi sana kwake Aziz Ki kwa kupenda watoto wa Hamisa. Hiki ndiyo sababu kuu iliyonifanya nimpende zaidi Aziz Ki, maana kwa hali ya sasa hivi upate mwanamume atakayekubali kuoa mwanamke mwenye watoto ni wachache sana ila Aziz Ki ameonyesha upendo wa dhati kwa mwanangu Hamisa, kapenda boga na maua yake.” - Mama Mobetto

    Wakati huohuo mmoja wa viongozi wa Yanga, amethibitisha ni kweli wawili hao watafunga ndoa Ijumaa na kwasasa Aziz yupo kwenye maandalizi ya Ndoa ingawa atakuwepo kwenye mchezo wa Ijumaa.
    (Mwananchi)

    Habari iliyobamba kwa sasa kwenye vyombo vya habari ni ndoa ya Stephane Aziz Ki na Hamisa Mobetto, ingawa wapo waliofika mbali na kudai ni kiki tu kwa ajili ya matangazo ya bidhaa fulani na wanatumika tu. Baada ya vuta nkuvute ya stori hii hatimaye mama yake Hamisa, Shufaa Rutanga amefunga na anathibitisha kuwepo kwa ndoa hiyo na kuhusu posa ya Aziz Ki, amesema hakuna posa yoyote iliyofika kwake kutoka kwa nyota huyo wa kimataifa wa Burkina Faso ingawa amepokea nyingi kutoka kwa wanaume tofauti wanaotaka kumuoa mwanaye. “Sasa ngoja nikuambie ukweli, maana nilikuwa nashindwa kutoa majibu sahihi kutokana na baadhi ya ya vitu kuhusu ndoa hii vilikuwa havijakamilika, sasa vimekamilika na ndoa ipo. Kiukweli namshukuru Mungu maombi yangu kwa mwanagu yameitika, nilikuwa kila kukicha naomba apate mtu sahihi watakayependana ili aolewe, kuwa kwenye ndoa ni heshima kubwa sana" - Mama Mobetto Mama Hamisa anasema hekaheka za ndoa hiyo zitaanza Jumamosi Februari 15 na ndiyo siku mahari itatolewa na sherehe itafanyika Februari 19, The Superdome, Masaki, jijini Dar es Salaam. “Kutoka moyoni nimewapa baraka zote mkwe wangu AziZ Ki na mwanagu Hamisa na upendo mwingi sana kwake Aziz Ki kwa kupenda watoto wa Hamisa. Hiki ndiyo sababu kuu iliyonifanya nimpende zaidi Aziz Ki, maana kwa hali ya sasa hivi upate mwanamume atakayekubali kuoa mwanamke mwenye watoto ni wachache sana ila Aziz Ki ameonyesha upendo wa dhati kwa mwanangu Hamisa, kapenda boga na maua yake.” - Mama Mobetto Wakati huohuo mmoja wa viongozi wa Yanga, amethibitisha ni kweli wawili hao watafunga ndoa Ijumaa na kwasasa Aziz yupo kwenye maandalizi ya Ndoa ingawa atakuwepo kwenye mchezo wa Ijumaa. (Mwananchi)
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Fix My Speaker @FixMySpeaker تحديث صورة الملف الشخصي
    2025-02-12 06:33:05 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·396 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Fix My Speaker @FixMySpeaker أضاف وظيفة جديدة in Music
    2025-02-12 06:36:04 ·
    How do I Open the Device Manager?
    Using the Windows Start Menu When you need to fix my speaker or troubleshoot any device issues, the quickest way to access Device Manager is through the Start menu. Simply right-click the Start button or press Windows key + X to open the Quick Link menu. From there, select "Device Manager" from the list of options. This method works consistently across Windows 10 and 11, making it ideal when...
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·877 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Fix My Speaker @FixMySpeaker تحديث صورة الغلاف
    2025-02-12 06:36:29 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·369 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Derick Mkocha @Lil_derick تحديث صورة الملف الشخصي
    2025-02-12 06:41:27 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·245 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Baraka Sagenge @Bee24
    2025-02-12 06:52:22 ·
    LOVE EACH OTHER
    this is our priority
    LOVE EACH OTHER this is our priority
    Yay
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·513 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (22911-22920 من 25730)
  • «
  • السابق
  • 2290
  • 2291
  • 2292
  • 2293
  • 2294
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين