• Rais wa Urusi , Vladimir Putin amewaalika Rais China , Xi Jinping na Rais wa Marekani , Donald Trump kuhudhuria sherehe maarufu za Ushindi wa Urusi katika vita kuu ya pili ya Dunia (Russia’s Victory Parade) zitakazofanyika tarehe 9 Mwezi May Jijini Moscow Nchini Urusi. Mwaliko huu unatokana na ombi la Rais Donald Trump la tarehe 11 Feb 2025 alipoomba kuzuru Moscow kwa lengo la kumaliza mgogoro wa Ukraine, Kikao kilichotokana na ombi hili kilifanywa kwa njia ya simu ambapo pamoja na mambo mengine, Trump alimhakikishia Putin kwamba Marekani itaacha ufadhili wa kijeshi kwa Ukraine na pia Ukraine itaachia sehemu ya ardhi yake iliyotwaliwa kama dhamana ya usalama wake dhidi ya Moscow.

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Washington katika taarifa yake ilikazia na kusisitiza kile alichokizungumza Trump na Moscow na kwamba Marekani inakusudia kumaliza tofauti zao kidunia. Utawala wa Trump umekuwa na juhudi kubwa kumaliza mizozo mikubwa duniani ambayo Ikulu hiyo ilikuwa ikifadhili na kuanzisha uchokozi kwa muda mrefu, Ukiachiliambali mgogoro wa Ukraine, pia Washington inashughulika kumaliza mgogoro wa Mashariki ya Kati huko Gaza ambapo mamia ya watu wameuawa kwa ufadhili wa Marekani hiyohiyo.

    Rais wa Urusi 🇷🇺, Vladimir Putin amewaalika Rais China 🇨🇳, Xi Jinping na Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump kuhudhuria sherehe maarufu za Ushindi wa Urusi katika vita kuu ya pili ya Dunia (Russia’s Victory Parade) zitakazofanyika tarehe 9 Mwezi May Jijini Moscow Nchini Urusi. Mwaliko huu unatokana na ombi la Rais Donald Trump la tarehe 11 Feb 2025 alipoomba kuzuru Moscow kwa lengo la kumaliza mgogoro wa Ukraine, Kikao kilichotokana na ombi hili kilifanywa kwa njia ya simu ambapo pamoja na mambo mengine, Trump alimhakikishia Putin kwamba Marekani itaacha ufadhili wa kijeshi kwa Ukraine na pia Ukraine itaachia sehemu ya ardhi yake iliyotwaliwa kama dhamana ya usalama wake dhidi ya Moscow. Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Washington katika taarifa yake ilikazia na kusisitiza kile alichokizungumza Trump na Moscow na kwamba Marekani inakusudia kumaliza tofauti zao kidunia. Utawala wa Trump umekuwa na juhudi kubwa kumaliza mizozo mikubwa duniani ambayo Ikulu hiyo ilikuwa ikifadhili na kuanzisha uchokozi kwa muda mrefu, Ukiachiliambali mgogoro wa Ukraine, pia Washington inashughulika kumaliza mgogoro wa Mashariki ya Kati huko Gaza ambapo mamia ya watu wameuawa kwa ufadhili wa Marekani hiyohiyo.
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·232 Views
  • Nothing Change
    Nothing Change
    0 Commentarios ·0 Acciones ·56 Views
  • Dodoma stadium mitano Tena Kwa mama
    Dodoma stadium mitano Tena Kwa mama🔥❤️👈👈👈🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
    Haha
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·123 Views
  • Kulikuwa na kelele nyingi, kelele zilizotikisa uwanja mzima wakati wa fainali ya Super Bowl.

    Hii si tukio la kawaida ni tukio linalotazamwa na mamilioni ya watu duniani kote.

    Kila kitu kilikuwa kwenye kiwango cha juu muziki, burudani, mashabiki, na hata mavazi ya mastaa waliohudhuria.

    Lakini katikati ya yote hayo, Jay Z alivuta macho ya wengi kwa kitu kimoja tu saa aliyovaa mkononi.

    Hii haikuwa saa ya kawaida. Ilikuwa ni saa ya kipekee, saa iliyobeba stori ya siri, utajiri, na hadhi isiyoelezeka. Saa hii ilikuwa na thamani ya shilingi bilioni 8.5, na duniani kote zipo saa mbili tu za aina hii.

    Watazamaji wengi waliangalia kwa macho ya kawaida, lakini watazamaji wenye jicho la uchambuzi waliona kitu cha ajabu zaidi.

    Waliona alama ya vidole vya mikono vilivyowekwa kwa umakini, alama inayofanana na ishara za Freemason.

    Kundi linaloaminika kuwa na ushawishi mkubwa duniani katika mambo ya siri na nguvu za kiuchumi na kisiasa.

    Saa hii haikutengenezwa na kampuni ya kawaida. Ilitoka kwa mtengenezaji maarufu wa saa za kifahari duniani, Richard Mille.
    Kulikuwa na kelele nyingi, kelele zilizotikisa uwanja mzima wakati wa fainali ya Super Bowl. Hii si tukio la kawaida ni tukio linalotazamwa na mamilioni ya watu duniani kote. Kila kitu kilikuwa kwenye kiwango cha juu muziki, burudani, mashabiki, na hata mavazi ya mastaa waliohudhuria. Lakini katikati ya yote hayo, Jay Z alivuta macho ya wengi kwa kitu kimoja tu saa aliyovaa mkononi. Hii haikuwa saa ya kawaida. Ilikuwa ni saa ya kipekee, saa iliyobeba stori ya siri, utajiri, na hadhi isiyoelezeka. Saa hii ilikuwa na thamani ya shilingi bilioni 8.5, na duniani kote zipo saa mbili tu za aina hii. Watazamaji wengi waliangalia kwa macho ya kawaida, lakini watazamaji wenye jicho la uchambuzi waliona kitu cha ajabu zaidi. Waliona alama ya vidole vya mikono vilivyowekwa kwa umakini, alama inayofanana na ishara za Freemason. Kundi linaloaminika kuwa na ushawishi mkubwa duniani katika mambo ya siri na nguvu za kiuchumi na kisiasa. Saa hii haikutengenezwa na kampuni ya kawaida. Ilitoka kwa mtengenezaji maarufu wa saa za kifahari duniani, Richard Mille.
    0 Commentarios ·0 Acciones ·181 Views
  • Kwa wapenzi wa saa, jina hili lina maana kubwa zaidi ya pesa. Richard Mille anajulikana kwa kutengeneza saa zenye muundo wa kipekee, teknolojia ya hali ya juu, na bei zinazoacha wengi wakishangaa.

    Richard Mille Rockstar, ndivyo saa hii inavyoitwa. Na jina hilo si la bahati mbaya.

    Ni saa iliyotengenezwa kwa ajili ya watu wenye hadhi ya kipekee, watu walio juu ya mfumo wa kawaida wa maisha, watu ambao majina yao ni alama ya mafanikio.

    Ili kuelewa thamani ya saa hii, inabidi uelewe falsafa ya Richard Mille mwenyewe.

    Anasema anapotengeneza saa, hatoi tu kifaa cha kuonesha muda, anatengeneza sanaa inayozungumza na nafsi ya aliyenayo.

    Ndiyo maana saa zake ni za kipekee, na zinavaliwa na watu wa kipekee kama Jay Z.

    Rockstar ni saa ya nadra sana. Duniani zipo mbili tu. Moja ipo kwa Jay Z, na nyingine iko kwa bilionea mmoja wa Asia ambaye jina lake linahifadhiwa kwa usiri mkubwa.

    Hili ndilo linawafanya watu wengi waamini kwamba Jay Z si mtu wa kawaida. Wengi wanasema, “Hii ni ishara ya hadhi ya juu, ishara ya kuwa kwenye mzunguko wa watu wenye nguvu duniani.”

    Shilingi bilioni 8.5. Hii si bei ya nyumba, wala si bei ya jumba la kifahari. Ni bei ya saa moja tu.
    Kwa wapenzi wa saa, jina hili lina maana kubwa zaidi ya pesa. Richard Mille anajulikana kwa kutengeneza saa zenye muundo wa kipekee, teknolojia ya hali ya juu, na bei zinazoacha wengi wakishangaa. Richard Mille Rockstar, ndivyo saa hii inavyoitwa. Na jina hilo si la bahati mbaya. Ni saa iliyotengenezwa kwa ajili ya watu wenye hadhi ya kipekee, watu walio juu ya mfumo wa kawaida wa maisha, watu ambao majina yao ni alama ya mafanikio. Ili kuelewa thamani ya saa hii, inabidi uelewe falsafa ya Richard Mille mwenyewe. Anasema anapotengeneza saa, hatoi tu kifaa cha kuonesha muda, anatengeneza sanaa inayozungumza na nafsi ya aliyenayo. Ndiyo maana saa zake ni za kipekee, na zinavaliwa na watu wa kipekee kama Jay Z. Rockstar ni saa ya nadra sana. Duniani zipo mbili tu. Moja ipo kwa Jay Z, na nyingine iko kwa bilionea mmoja wa Asia ambaye jina lake linahifadhiwa kwa usiri mkubwa. Hili ndilo linawafanya watu wengi waamini kwamba Jay Z si mtu wa kawaida. Wengi wanasema, “Hii ni ishara ya hadhi ya juu, ishara ya kuwa kwenye mzunguko wa watu wenye nguvu duniani.” Shilingi bilioni 8.5. Hii si bei ya nyumba, wala si bei ya jumba la kifahari. Ni bei ya saa moja tu.
    0 Commentarios ·0 Acciones ·229 Views
  • Saa hii ni ghali zaidi ya magari mengi ya kifahari duniani, ghali zaidi ya nyumba za watu mashuhuri, ghali zaidi ya maisha ya watu wengi kwa miaka mingi.

    Lakini kwa nini ni ghali hivyo?

    Kwa sababu Rockstar haikutengenezwa kwa dhahabu tu, wala kwa almasi za kawaida. Iliundwa kwa madini adimu sana, madini yanayopatikana kwenye sehemu chache sana duniani.

    Pia, ilichukua miaka mitano kwa Richard Mille kuitengeneza, na alihusisha wahandisi bora zaidi duniani.

    Saa hii ina teknolojia ya juu sana kiasi kwamba inaweza kuhimili mitikisiko mikali bila kuathiri utendaji wake.

    Watu walipoona alama za vidole vilivyowekwa kwa umakini kwenye uso wa saa hiyo, maswali yalizidi kuibuka. Walijiuliza, "Hii ni alama ya nini? Je, Jay Z ana uhusiano na Freemason?"

    Wengine walikumbuka jinsi Jay Z alivyowahi kuhusishwa na tetesi za Illuminati na Freemason kutokana na ishara alizokuwa akifanya kwenye video zake za muziki.

    Lakini Jay Z amekuwa kimya juu ya tetesi hizi. Hajawahi kuthibitisha wala kukanusha.

    Hii inawafanya watu wengi wazidi kuamini kwamba kuna ukweli nyuma ya hadithi hizi za siri.
    Saa hii ni ghali zaidi ya magari mengi ya kifahari duniani, ghali zaidi ya nyumba za watu mashuhuri, ghali zaidi ya maisha ya watu wengi kwa miaka mingi. Lakini kwa nini ni ghali hivyo? Kwa sababu Rockstar haikutengenezwa kwa dhahabu tu, wala kwa almasi za kawaida. Iliundwa kwa madini adimu sana, madini yanayopatikana kwenye sehemu chache sana duniani. Pia, ilichukua miaka mitano kwa Richard Mille kuitengeneza, na alihusisha wahandisi bora zaidi duniani. Saa hii ina teknolojia ya juu sana kiasi kwamba inaweza kuhimili mitikisiko mikali bila kuathiri utendaji wake. Watu walipoona alama za vidole vilivyowekwa kwa umakini kwenye uso wa saa hiyo, maswali yalizidi kuibuka. Walijiuliza, "Hii ni alama ya nini? Je, Jay Z ana uhusiano na Freemason?" Wengine walikumbuka jinsi Jay Z alivyowahi kuhusishwa na tetesi za Illuminati na Freemason kutokana na ishara alizokuwa akifanya kwenye video zake za muziki. Lakini Jay Z amekuwa kimya juu ya tetesi hizi. Hajawahi kuthibitisha wala kukanusha. Hii inawafanya watu wengi wazidi kuamini kwamba kuna ukweli nyuma ya hadithi hizi za siri.
    0 Commentarios ·0 Acciones ·200 Views
  • Jay Z si mwanamuziki wa kawaida. Alianza maisha kwa shida mitaani, lakini leo ni bilionea, mjasiriamali na mmiliki wa makampuni makubwa duniani.

    Amemuoa Beyoncé, mmoja wa wasanii wenye nguvu na ushawishi mkubwa zaidi duniani.

    Anamiliki Tidal, kampuni ya muziki, ana mkataba na kampuni kubwa za mavazi, anamiliki klabu ya michezo, na ana mikataba ya uwekezaji kwenye teknolojia na mali zisizohamishika.

    Kwa mtu wa hadhi yake, Rockstar ni ishara ya mafanikio yake.

    Kwa Jay Z, hii ni ishara ya kuwa juu ya mfumo wa kawaida wa maisha.
    Ni alama ya kuwa kwenye mzunguko wa watu wenye nguvu duniani.

    Kwa kawaida, saa ni kifaa cha kuonesha muda, lakini kwa Jay Z, hii ni hadithi ya maisha. Ni hadithi ya kupanda kutoka chini kabisa hadi kileleni.

    Ni hadithi ya nguvu za akili na juhudi za kipekee. Lakini pia ni hadithi ya siri na mafumbo ya ulimwengu wa nguvu na ushawishi.

    Kwa wengi, ni saa tu.
    Lakini kwa wachache wenye macho ya ndani, ni ishara ya siri kubwa zaidi duniani.

    Hakuna anayejua kwa hakika, lakini kinachojulikana ni kwamba saa hii imeacha maswali mengi zaidi kuliko majibu.
    Jay Z si mwanamuziki wa kawaida. Alianza maisha kwa shida mitaani, lakini leo ni bilionea, mjasiriamali na mmiliki wa makampuni makubwa duniani. Amemuoa Beyoncé, mmoja wa wasanii wenye nguvu na ushawishi mkubwa zaidi duniani. Anamiliki Tidal, kampuni ya muziki, ana mkataba na kampuni kubwa za mavazi, anamiliki klabu ya michezo, na ana mikataba ya uwekezaji kwenye teknolojia na mali zisizohamishika. Kwa mtu wa hadhi yake, Rockstar ni ishara ya mafanikio yake. Kwa Jay Z, hii ni ishara ya kuwa juu ya mfumo wa kawaida wa maisha. Ni alama ya kuwa kwenye mzunguko wa watu wenye nguvu duniani. Kwa kawaida, saa ni kifaa cha kuonesha muda, lakini kwa Jay Z, hii ni hadithi ya maisha. Ni hadithi ya kupanda kutoka chini kabisa hadi kileleni. Ni hadithi ya nguvu za akili na juhudi za kipekee. Lakini pia ni hadithi ya siri na mafumbo ya ulimwengu wa nguvu na ushawishi. Kwa wengi, ni saa tu. Lakini kwa wachache wenye macho ya ndani, ni ishara ya siri kubwa zaidi duniani. Hakuna anayejua kwa hakika, lakini kinachojulikana ni kwamba saa hii imeacha maswali mengi zaidi kuliko majibu.
    0 Commentarios ·0 Acciones ·276 Views
  • 0 Commentarios ·0 Acciones ·30 Views
  • 😁😁🤭
    0 Commentarios ·0 Acciones ·33 Views
  • Rais wa Senegal , Bassirou Diomaye Faye ametangaza mpango wa kubadilisha majina ya mitaa yenye majina ya enzi za ukoloni na kuyapa majina ya mashujaa wa kitaifa na matukio muhimu ya kihistoria ya Nchi ya Senegal. Mpango huo ulioanzishwa wakati wa mkutano wa hivi karibuni wa Baraza la Mawaziri ni sehemu ya juhudi za kurejesha utambulisho wa kitamaduni wa Nchi hiyo.

    Mpango huyo utahusu pia kubadilisha majina na kuandika upya historia ya Nchi ya Senegal katika kwa umma, alisema Rais huyo ambapo pia aliongeza kwa kusema “Lazima tuelimishe Vijana wetu kuhusu Watu na matukio yaliyounda na kuijenga Senegal"

    Rais wa Senegal 🇸🇳, Bassirou Diomaye Faye ametangaza mpango wa kubadilisha majina ya mitaa yenye majina ya enzi za ukoloni na kuyapa majina ya mashujaa wa kitaifa na matukio muhimu ya kihistoria ya Nchi ya Senegal. Mpango huo ulioanzishwa wakati wa mkutano wa hivi karibuni wa Baraza la Mawaziri ni sehemu ya juhudi za kurejesha utambulisho wa kitamaduni wa Nchi hiyo. Mpango huyo utahusu pia kubadilisha majina na kuandika upya historia ya Nchi ya Senegal katika kwa umma, alisema Rais huyo ambapo pia aliongeza kwa kusema “Lazima tuelimishe Vijana wetu kuhusu Watu na matukio yaliyounda na kuijenga Senegal"
    0 Commentarios ·0 Acciones ·177 Views