نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-25 18:23:49 ·
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·137 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-25 18:24:04 ·
    Yanga SC

    Golkipa wa klabu ya Yanga SC A. Mshery amefunga ndoa leo hii.
    Yanga SC ✍️ Golkipa wa klabu ya Yanga SC A. Mshery amefunga ndoa leo hii.
    Love
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·317 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-25 18:25:34 ·
    Maskari wa Jeshi la Ulinzi la Afrika Kusini (SANDF) waliojeruhiwa katika mapigano Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , limeanza kurejea nyumbani kupitia Jijini Kigali, Rwanda baada ya kukwama katika kambi zao kwa takriban mwezi mmoja DR Congo.

    Wanajeshi hao ni miongoni mwa Askari wa (SANDF) walioko chini ya Kikosi cha Walinda Amani wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SAMIDRC), wanaoimarisha ulinzi Mashariki mwa DR Congo pamoja na kukabiliana na uovu wa Waasi wa kundi la M23 dhidi ya Raia wa DR Congo.

    Televisheni ya Afrika Kusini ya SABC imesema, Wanajeshi hao ambao walishindwa kupambana na Waasi wa kundi la M23 ambao waliitwaa Miji ya mashariki mwa Nchi hiyo, walionekana wakiondoka Mjini Goma kuanzia juzi jioni kwa barabara bila vifaa na sare zao za Kijeshi. Ripoti ya Jarida la Afrika Kusini la Rapport iliyochapishwa Jumapili ilieleza kuwa Wanajeshi wa Afrika Kusini waliojeruhiwa ni zaidi ya 189.

    Kwa mujibu wa Jarida hilo, miongoni mwa waliojeruhiwa ni Wanajeshi wawili (2) ambao ni Wajawazito, huku idadi ya Wanajeshi wa (SANDF) wanaoendelea kukwama Nchini DR Congo ikikadiriwa kuwa kati ya elfu moja (1,000) na elfu mbili (2,000).

    Maskari wa Jeshi la Ulinzi la Afrika Kusini 🇿🇦 (SANDF) waliojeruhiwa katika mapigano Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, limeanza kurejea nyumbani kupitia Jijini Kigali, Rwanda 🇷🇼 baada ya kukwama katika kambi zao kwa takriban mwezi mmoja DR Congo. Wanajeshi hao ni miongoni mwa Askari wa (SANDF) walioko chini ya Kikosi cha Walinda Amani wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SAMIDRC), wanaoimarisha ulinzi Mashariki mwa DR Congo pamoja na kukabiliana na uovu wa Waasi wa kundi la M23 dhidi ya Raia wa DR Congo. Televisheni ya Afrika Kusini ya SABC imesema, Wanajeshi hao ambao walishindwa kupambana na Waasi wa kundi la M23 ambao waliitwaa Miji ya mashariki mwa Nchi hiyo, walionekana wakiondoka Mjini Goma kuanzia juzi jioni kwa barabara bila vifaa na sare zao za Kijeshi. Ripoti ya Jarida la Afrika Kusini la Rapport iliyochapishwa Jumapili ilieleza kuwa Wanajeshi wa Afrika Kusini waliojeruhiwa ni zaidi ya 189. Kwa mujibu wa Jarida hilo, miongoni mwa waliojeruhiwa ni Wanajeshi wawili (2) ambao ni Wajawazito, huku idadi ya Wanajeshi wa (SANDF) wanaoendelea kukwama Nchini DR Congo ikikadiriwa kuwa kati ya elfu moja (1,000) na elfu mbili (2,000).
    Sad
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·580 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-25 18:26:37 ·
    "Naona Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amefunga safari hadi Congo kumuona Rais Tshisekedi, sijui ni kipi hasa kinaendelea katika jumuiya ya Afrika mashariki lakini ni kama kuna muungano ndani ya muungano, eeeh kuna muungano kati ya Congo na Burundi ambao unalenga kupambana dhidi ya Rwanda

    Yaani ukiwatazama Congo na Burundi ni kama wameungana kupambana na Rwanda na M23 eeeh ipo wazi na tayari mapigano kati ya majeshi ya Congo Burundi dhidi ya Rwanda na M23 yameshuhudiwa, EAC wasipodhibiti hali ya Congo mzozo huu utaenda kutanuka na kuwa wa kikanda

    Ngoja tuone ila yajayo sio mazuri kwa diplomasia ya EAC , kiufupi ziara ya Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, nchini Congo inalenga kuonana na mwenzake wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Felix Tshisekedi, huku lengo kuu ikiwa na mazungumzo kuhusu mzozo unaolikumba eneo la mashariki mwa Kongo" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.

    "Naona Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amefunga safari hadi Congo kumuona Rais Tshisekedi, sijui ni kipi hasa kinaendelea katika jumuiya ya Afrika mashariki lakini ni kama kuna muungano ndani ya muungano, eeeh kuna muungano kati ya Congo na Burundi ambao unalenga kupambana dhidi ya Rwanda Yaani ukiwatazama Congo na Burundi ni kama wameungana kupambana na Rwanda na M23 eeeh ipo wazi na tayari mapigano kati ya majeshi ya Congo Burundi dhidi ya Rwanda na M23 yameshuhudiwa, EAC wasipodhibiti hali ya Congo mzozo huu utaenda kutanuka na kuwa wa kikanda 😭 Ngoja tuone ila yajayo sio mazuri kwa diplomasia ya EAC , kiufupi ziara ya Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, nchini Congo inalenga kuonana na mwenzake wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Felix Tshisekedi, huku lengo kuu ikiwa na mazungumzo kuhusu mzozo unaolikumba eneo la mashariki mwa Kongo" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·976 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • ANOLD NGONYA @Noldy أضاف صورة
    2025-02-25 19:19:52 ·
    Chelsea Vs Southampton
    Chelsea Vs Southampton
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·654 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • ANOLD NGONYA @Noldy أضاف صورة
    2025-02-25 19:22:52 ·
    Mashabiki wanataka boss miluzi asepe
    Mashabiki wanataka boss miluzi asepe
    Love
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·405 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet أضاف صورة
    2025-02-25 21:07:47 ·
    Karibu tule ndugu zangu
    Karibu tule ndugu zangu
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·400 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-26 10:47:53 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·116 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-26 10:48:07 ·
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·112 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-26 10:48:20 ·
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·119 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (23311-23320 من 28423)
  • «
  • السابق
  • 2330
  • 2331
  • 2332
  • 2333
  • 2334
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين