• "Mimi sio Mcameroon mimi ni mfaransa, wakati naanza kucheza mpira, wakati nikiwa bado sijulikani Baba yangu aliwasiliana na Fecafoot(shirikisho la mpira la Cameroon) ili wanipe nafasi ya kucheza timu ya taifa ya Cameroon, lakini waliomba kiasi kikubwa sana cha fedha kwetu ndo mimi nipate nafasi ya kucheza"

    "Baba yangu alichukizwa na huo mtazamo wao akaamua kwenda kuomba Ufaransa, Ufaransa walinipa nafasi ili niionyeshe dunia ni kipi nilichonacho, leo hii nimekua mchezaji ghali duniani ndipo Cameroon wananiita na kunisifia kwa uraia usio wakwangu, mimi ni mfaransa na nitabaki kuwa Mfaransa" - Kilyan Mbappé, Mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa na klabu ya Real Madrid.

    "Mimi sio Mcameroon mimi ni mfaransa, wakati naanza kucheza mpira, wakati nikiwa bado sijulikani Baba yangu aliwasiliana na Fecafoot(shirikisho la mpira la Cameroon) ili wanipe nafasi ya kucheza timu ya taifa ya Cameroon, lakini waliomba kiasi kikubwa sana cha fedha kwetu ndo mimi nipate nafasi ya kucheza" "Baba yangu alichukizwa na huo mtazamo wao akaamua kwenda kuomba Ufaransa, Ufaransa walinipa nafasi ili niionyeshe dunia ni kipi nilichonacho, leo hii nimekua mchezaji ghali duniani ndipo Cameroon wananiita na kunisifia kwa uraia usio wakwangu, mimi ni mfaransa na nitabaki kuwa Mfaransa" - Kilyan Mbappé, Mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa na klabu ya Real Madrid.
    0 Comments ·0 Shares ·44 Views
  • "Kupitia kituo cha Wasafi, Kamishna wa mchezo wa Simba na Yanga wa raundi ya kwanza Khalid Bitebo ameomba radhi kuwa aliteleza sio kweli kwamba Yanga walifanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa Mkapa kwenye Derby iliyopita, kifupi ameomba radhi kuwa alijichanganya.

    Na huo ndio ukweli ulio wazi kuwa kwenye historia ya Derby hakuna aliyewahi kufanya mazoezi siku moja kabla ya mchezo pale hata Mimi siku ya kwanza ya sakata hili niliripoti kuwa Yanga alifanya mazoezi pale ila sio kweli hawakufanya, Simba na Yanga hata mechi yao iwe Mwanza au Kigoma hawafanyi mazoezi kwenye uwanja wa game, inaenda mbali hadi pitch feeling wanakwepa.

    Wakongwe wa Simba na Yanga pia wakanikumbusha zamani kwanza walikuwa wote wanapakimbia Dar Es Slaaam sio Mgeni wala Mwenyeji wa mechi, mwingine anaenda Pemba mwingine Morogoro, mara Zanzibar mwingine Pemba, timu zinakutana Mjini Mzizima hapa siku ya mbungi na inapigwa kwelikweli ndio utaratibu wao.

    Kwakuwa Kamishna wa mchezo ameomba radhi nadhani ni muhimu ila sio lazima basi na wale waliounga mkono, wakaaminisha Umma kuwa Yanga alifanya mazoezi pale wakaomba radhi pia, ni muhimu ila sio lazima ni katika kuweka kumbukumbu tu sawa, tunakubaliana?" - Farhan JR, Mchambuzi.

    "Kupitia kituo cha Wasafi, Kamishna wa mchezo wa Simba na Yanga wa raundi ya kwanza Khalid Bitebo ameomba radhi kuwa aliteleza sio kweli kwamba Yanga walifanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa Mkapa kwenye Derby iliyopita, kifupi ameomba radhi kuwa alijichanganya. Na huo ndio ukweli ulio wazi kuwa kwenye historia ya Derby hakuna aliyewahi kufanya mazoezi siku moja kabla ya mchezo pale hata Mimi siku ya kwanza ya sakata hili niliripoti kuwa Yanga alifanya mazoezi pale ila sio kweli hawakufanya, Simba na Yanga hata mechi yao iwe Mwanza au Kigoma hawafanyi mazoezi kwenye uwanja wa game, inaenda mbali hadi pitch feeling wanakwepa. Wakongwe wa Simba na Yanga pia wakanikumbusha zamani kwanza walikuwa wote wanapakimbia Dar Es Slaaam sio Mgeni wala Mwenyeji wa mechi, mwingine anaenda Pemba mwingine Morogoro, mara Zanzibar mwingine Pemba, timu zinakutana Mjini Mzizima hapa siku ya mbungi na inapigwa kwelikweli ndio utaratibu wao. Kwakuwa Kamishna wa mchezo ameomba radhi nadhani ni muhimu ila sio lazima basi na wale waliounga mkono, wakaaminisha Umma kuwa Yanga alifanya mazoezi pale wakaomba radhi pia, ni muhimu ila sio lazima ni katika kuweka kumbukumbu tu sawa, tunakubaliana?" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Comments ·0 Shares ·76 Views
  • Afande Sele, Msanii wa muziki Hip-hop Tanzania

    "Tutusa" limeamua kugawa rasilimali muhimu za nchi yake masikini sana kwa Marekani,kusudi Marekani walihakikishie ulinzi wa cheo chake cha urais tu,

    Kuna wakati fulani pale bungeni Dodoma,Mbunge wa Misungwi mdogo wangu Mnyeti,aliwahi kutania kwa kusema vijana wa Congo kama Mayele,badala ya kubaki kwao kulinda nchi yao,kinyume chake wao wanakimbilia nje ya nchi kutetema na kukata mauno

    Baada ya Mnyeti kutania utani huo wa kweli,chakushangaza wabongo lala kama kawaida yetu,tukaacha kujadili hoja yake,badala yake tukaanza kumshambulia mtoa hoja kwasababu za ugonjwa wetu sugu wa usimba na Yanga,

    Ona sasa matokeo yake ndio haya,,nchi yao inauzwa kwa malipo ya kulinda madaraka ya Rais wao ambae hata hivyo hakushinda kihalalii na wakati huo wacongoman wanaendelea kuuza mauno duniani na sio kupaaza sauti zao au kuandamana kupinga ujambazi huo kwa kumshinikiza Rais wao akae kwenye meza ya mazungumzo na ndugu zao wa M23 ili kumaliza mzozo kama Dunia yote inavyomshaurj

    Kinachosikitisha zaidi nj ukweli kwamba Marekani siku zote huwa wanasema hawana rafiki wala Adui wa kudumu,bali wao wanamaslahi ya kudumu,hivyo sio ajabu Marekani wakatumia ufala huo wa Tutusa kuvuna madini kutoka upande wa serekali na upande wa waasi kwa kugawa silaha pande zote kusudi waendelee kupigana na wao Marekani wapate nafasi nzuri ya kuchukua madini ya kila upande kwa Raha zao

    Bila Marekani.

    Each one Teach one
    I Change Nation
    Sina Hatia

    Afande Sele, Msanii wa muziki Hip-hop Tanzania ✍️ "Tutusa" limeamua kugawa rasilimali muhimu za nchi yake masikini sana kwa Marekani,kusudi Marekani walihakikishie ulinzi wa cheo chake cha urais tu,😞 Kuna wakati fulani pale bungeni Dodoma,Mbunge wa Misungwi mdogo wangu Mnyeti,aliwahi kutania kwa kusema vijana wa Congo kama Mayele,badala ya kubaki kwao kulinda nchi yao,kinyume chake wao wanakimbilia nje ya nchi kutetema na kukata mauno🤣 Baada ya Mnyeti kutania utani huo wa kweli,chakushangaza wabongo lala kama kawaida yetu,tukaacha kujadili hoja yake,badala yake tukaanza kumshambulia mtoa hoja kwasababu za ugonjwa wetu sugu wa usimba na Yanga,⚽ Ona sasa matokeo yake ndio haya,,nchi yao inauzwa kwa malipo ya kulinda madaraka ya Rais wao ambae hata hivyo hakushinda kihalalii na wakati huo wacongoman wanaendelea kuuza mauno duniani na sio kupaaza sauti zao au kuandamana kupinga ujambazi huo kwa kumshinikiza Rais wao akae kwenye meza ya mazungumzo na ndugu zao wa M23 ili kumaliza mzozo kama Dunia yote inavyomshaurj💪 Kinachosikitisha zaidi nj ukweli kwamba Marekani siku zote huwa wanasema hawana rafiki wala Adui wa kudumu,bali wao wanamaslahi ya kudumu,hivyo sio ajabu Marekani wakatumia ufala huo wa Tutusa kuvuna madini kutoka upande wa serekali na upande wa waasi kwa kugawa silaha pande zote kusudi waendelee kupigana na wao Marekani wapate nafasi nzuri ya kuchukua madini ya kila upande kwa Raha zao 😜 Bila Marekani.🌚 Each one Teach one🔨 I Change Nation🌎 Sina Hatia⚖️
    0 Comments ·0 Shares ·35 Views
  • Mazoezi ni muhimu kwa Afya
    Mazoezi ni muhimu kwa Afya
    0 Comments ·0 Shares ·11 Views
  • MNYAMA ANATINGA 16 BORA FA CUP
    .
    FT: SIMBA SC 3-0 TMA


    #paulswai
    MNYAMA ANATINGA 16 BORA FA CUP . FT: SIMBA SC 3-0 TMA #paulswai
    0 Comments ·0 Shares ·6 Views