• 0 Commentarios 0 Acciones 209 Views
  • 饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: Real Madrid no rasimi wamemtangaza Xabi Alonso kuwa mocha wa kikosi hicho kwa mkataba had June 2028....


    馃毃 饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: Real Madrid no rasimi wamemtangaza Xabi Alonso kuwa mocha wa kikosi hicho kwa mkataba had June 2028....
    Like
    2
    0 Commentarios 0 Acciones 142 Views
  • WINNERS:
    WINNERS馃弳:
    Like
    Love
    2
    0 Commentarios 0 Acciones 91 Views
  • Waamuzi 21:1,18
    [1]Basi watu wa Israeli walikuwa wameapa huko katika Mispa, wakisema, Hapana mtu awaye yote kwetu sisi atakayemwoza binti yake kumpa Benyamini.
    .
    [18]Lakini sisi hatuwezi kuwaoza binti zetu kwa maana wana wa Israeli walikuwa wameapa, wakisema, Na alaaniwe huyo atakayempa Benyamini mke.

    Najaribu kukuwazisha kuwa vipi kama kuwa umeoa ukoo ambao asilo yako waliapa kwamba hawataoa khatu wala hawatawaoza khatu .


    Fikiria sasa umeolewa wewe ni kabila kumi na moja za yakobo umeolewa na benjamini na ukoo wako wallifanya agano la kumlaani benjamini na hata atakaye olewa naye.

    Hii ndio sababu kiroho tunasema always investigate more ukoo unao enda kuoana nao si tu kila familia.

    Fikiria walilazimika kuwatafutia wake mabikra kutoka sehemu nyingine lakini si kuvunja kiapo cha agano.

    Nikifundisha kuhusu agano namaanisha .
    .
    Kuna watu mupo kwenye vifungo hivyo na una Yesu kama Bwana wa agano jipya na ujui namna ya kujinasua katika vifungo hivyo.


    Ila ukijua nguvu iliyoko kwenye damu ya Yesu ndiyo pekee inaweza kukutoa katika vifung
    .
    Luka 4:18
    Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa

    Ukijua ufunuo huu ambao ndiyo neno la kwanza la Yesu basi utaelewa maana ya msalaba vizuri.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden ministry.

    #Restoremenposition

    #build new eden
    Waamuzi 21:1,18 [1]Basi watu wa Israeli walikuwa wameapa huko katika Mispa, wakisema, Hapana mtu awaye yote kwetu sisi atakayemwoza binti yake kumpa Benyamini. . [18]Lakini sisi hatuwezi kuwaoza binti zetu kwa maana wana wa Israeli walikuwa wameapa, wakisema, Na alaaniwe huyo atakayempa Benyamini mke. Najaribu kukuwazisha kuwa vipi kama kuwa umeoa ukoo ambao asilo yako waliapa kwamba hawataoa khatu wala hawatawaoza khatu . Fikiria sasa umeolewa wewe ni kabila kumi na moja za yakobo umeolewa na benjamini na ukoo wako wallifanya agano la kumlaani benjamini na hata atakaye olewa naye. Hii ndio sababu kiroho tunasema always investigate more ukoo unao enda kuoana nao si tu kila familia. Fikiria walilazimika kuwatafutia wake mabikra kutoka sehemu nyingine lakini si kuvunja kiapo cha agano. Nikifundisha kuhusu agano namaanisha . . Kuna watu mupo kwenye vifungo hivyo na una Yesu kama Bwana wa agano jipya na ujui namna ya kujinasua katika vifungo hivyo. Ila ukijua nguvu iliyoko kwenye damu ya Yesu ndiyo pekee inaweza kukutoa katika vifung . Luka 4:18 Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa Ukijua ufunuo huu ambao ndiyo neno la kwanza la Yesu basi utaelewa maana ya msalaba vizuri. Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden ministry. #Restoremenposition #build new eden
    Haha
    1
    0 Commentarios 0 Acciones 995 Views
  • Like
    Haha
    4
    0 Commentarios 0 Acciones 293 Views
  • Casemiro: “Thank you Old Trafford”.
    鉂わ笍 Casemiro: “Thank you Old Trafford”.
    Like
    Love
    2
    0 Commentarios 0 Acciones 103 Views
  • Trent goodbye
    馃憢馃憢Trent goodbye
    Like
    2
    0 Commentarios 0 Acciones 98 Views
  • Like
    Love
    2
    0 Commentarios 0 Acciones 94 Views
  • Viktor Gyökeres amehusika 80 G/A ndani ya msimu huu
    馃槼馃弳 Viktor Gyökeres amehusika 80 G/A ndani ya msimu huu
    Like
    2
    0 Commentarios 0 Acciones 145 Views
  • Sad
    1
    0 Commentarios 0 Acciones 97 Views