Rezultatele cautarii
Vedeti tot
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Grupuri
Pagini
Marketplace
Arata mai mult
Grupuri Pagini Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Conecteaza-te
Conecteaza-te Inscrie-te
Theme Switcher
Night Mode
Director
Utilizatori
Postari
Pagini
Grupuri
Events
  • Baraka Sagenge @Bee24 a adăugat o fotografie
    2025-05-29 12:30:01 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·97 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Baraka Sagenge @Bee24 a adăugat o fotografie
    2025-05-29 13:43:34 ·
    Like
    Yay
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·96 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1
    2025-05-30 05:01:51 ·
    Kurudi huku ni tofauti...

    Sifanyi hivyo ili kuthibitisha chochote. Sio kutafuta uthibitishaji. Sio kuangalia kuonekana.

    Hii ni kwa ajili yangu...

    Kwa kila wakati nilikaa kimya wakati nilipaswa kuzungumza. Kwa ajili ya amani niliyoiacha ili tu kuwaweka wengine vizuri. Kwa nyakati nilizobeba uzito ambao haukuwa wangu kushika.

    sina hasira. Nimemaliza...

    Nimemaliza kuomba msamaha kwa kuhitaji nafasi. Imefanya kuhatarisha ukweli wangu. Nimemaliza kutoa nguvu kwa chochote kinachonichosha.

    Kuanzia hapa na kuendelea… ikiwa inaleta furaha, usawaziko, au amani... nasema ndiyo. Kila kitu kingine… hapana asante.
    Msimu huu ni wa kibinafsi. Ni takatifu. Ni yangu.

    Kurudi huku ni tofauti... Sifanyi hivyo ili kuthibitisha chochote. Sio kutafuta uthibitishaji. Sio kuangalia kuonekana. Hii ni kwa ajili yangu... Kwa kila wakati nilikaa kimya wakati nilipaswa kuzungumza. Kwa ajili ya amani niliyoiacha ili tu kuwaweka wengine vizuri. Kwa nyakati nilizobeba uzito ambao haukuwa wangu kushika. sina hasira. Nimemaliza... Nimemaliza kuomba msamaha kwa kuhitaji nafasi. Imefanya kuhatarisha ukweli wangu. Nimemaliza kutoa nguvu kwa chochote kinachonichosha. Kuanzia hapa na kuendelea… ikiwa inaleta furaha, usawaziko, au amani... nasema ndiyo. Kila kitu kingine… hapana asante. Msimu huu ni wa kibinafsi. Ni takatifu. Ni yangu.
    Love
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·530 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Buildneweden Ministry @sikilizaS
    2025-05-30 05:39:53 ·
    *Nguvu iliyoko katika kumsikia Mungu.*

    Kutoka 15:26
    [26]akawaambia, Kwamba *utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako*, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, *mimi sitatia juu yako maradhi yo yote* niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye.

    Wanaislaeri walipo toka misri na kuvuka mpaka bahari ya shamu.

    Walipo fika mbele wakakutana na maji machungu wakaendelea nungunikia musa.

    Na katika hayo Musa alimlilia Bwana na maji yalipatikana.

    Lakini andiko letu linasema ikiwa utasikiliza sauti ya bwana kwa bidiii kuna matokeo utayapata

    Kumbe ukiokoka na ukataka utembee katika nguvu zake za neno lake, watu waponywe kupitia wewe lazima ujifunze kumsikia Bwana Mungu wako kwanza.

    Jicho na sikio lake liko kil mahali sema ni wachache wanao lisikia na kuona kile anacho kisema na kulifanyia kazi lile wanaloliona na sababu kubwa ni kukosa bidii katika kumtafuta Bwana au kukosa maarifa sahihi juu ya neno au kukosa imani kabisa katika neno lake.

    Zaburi 91:14-15
    [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda
    Nitamwokoa; na kumweka palipo juu,
    Kwa kuwa amenijua Jina langu.
    .
    [15]Ataniita nami nitamwitikia;
    Nitakuwa pamoja naye taabuni,
    Nitamwokoa na kumtukuza;

    Kumbe kama tukilijiua jina la Bwana lazima atatupa matokeo yenye tija katkka maisha .

    Hatupati matokeo katika wokovu sababu hatutaki kuweka imani kwa Mungu wetu na kumtukuza katika kila hatua na kuliishi kusudi lake .

    Maradhi na zaifu nimatokeo ya mtu kutoiishi bidii katika yeye .

    Kumbe iko siri kubwa sana katika kutii na kufuata yale aliyo kuagiza ili akulipe matokeo ya ,kustawi kiafya ,kiuchumi kifamilia na kila hatua.

    Najaribu kukuonesha namna gani mtu akiokoka anapaswa kusitawi kwa kukufunuliw siri hii ya kufuata maagizo ,kusikia sauti ya bwana na kumtazama yeye kabla ya kutazama wengine.

    Hesabu 21:2-3
    [2]Basi Israeli akaweka nadhiri kwa BWANA akasema, *Kama wewe utawatia watu hawa mikononi mwangu kweli ndipo mimi nitaiharibu miji yao kabisa*.

    [3]BWANA akasikiza *sauti ya Israeli*, akawatia Wakanaani mikononi mwao; nao wakawaharibu wao na miji yao kabisa; na jina la mahali hapo likaitwa Horma.

    Kwa kuwa islaeri walimtambua Bwana naye akawatambua kwa kuwatimiliza neno walilo liomba .

    Tumekuwa watu tuliokosa matokeo sababu tunaishi nje ya mapenzi ya Bwana wetu kristo au htutaki kumsikiliza ,kumtii na kumfuata arafu tunataka atupe matokeo.

    Daudi kwenye zaburi anasema kwa kuwa umenipenda

    [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda
    *Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu*

    Kumbe ujapata kuwa juu sababu tu ujampenda bwana au ujalijua jina lake .

    Watu wengi wanamfamu Mungu wakati wa kutoa mapepo lakini hawamfahamu Mungu wakati wa kilimo au biashara zao na kwa kuwa hujamjua Mungu ktika kilimo basi na yeye anakupa nguvu au mafuta katika kuomba lakini katika kukuweka juu anakuacha kwa kuwa pia kuna kanuni zake pia.

    Asubui njema na baraka tele katika ijumaa ya leo .

    Tusiache kujifunza jambo jipya katika maisha kwa majina na itwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    Kwa mafundisho zaidi karibu tujifunze kupitia watsap group kwa kujiunga na link hii hapa chini .

    #build new eden
    #restore men position @
    *Nguvu iliyoko katika kumsikia Mungu.* Kutoka 15:26 [26]akawaambia, Kwamba *utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako*, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, *mimi sitatia juu yako maradhi yo yote* niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye. Wanaislaeri walipo toka misri na kuvuka mpaka bahari ya shamu. Walipo fika mbele wakakutana na maji machungu wakaendelea nungunikia musa. Na katika hayo Musa alimlilia Bwana na maji yalipatikana. Lakini andiko letu linasema ikiwa utasikiliza sauti ya bwana kwa bidiii kuna matokeo utayapata Kumbe ukiokoka na ukataka utembee katika nguvu zake za neno lake, watu waponywe kupitia wewe lazima ujifunze kumsikia Bwana Mungu wako kwanza. Jicho na sikio lake liko kil mahali sema ni wachache wanao lisikia na kuona kile anacho kisema na kulifanyia kazi lile wanaloliona na sababu kubwa ni kukosa bidii katika kumtafuta Bwana au kukosa maarifa sahihi juu ya neno au kukosa imani kabisa katika neno lake. Zaburi 91:14-15 [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu. . [15]Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza; Kumbe kama tukilijiua jina la Bwana lazima atatupa matokeo yenye tija katkka maisha . Hatupati matokeo katika wokovu sababu hatutaki kuweka imani kwa Mungu wetu na kumtukuza katika kila hatua na kuliishi kusudi lake . Maradhi na zaifu nimatokeo ya mtu kutoiishi bidii katika yeye . Kumbe iko siri kubwa sana katika kutii na kufuata yale aliyo kuagiza ili akulipe matokeo ya ,kustawi kiafya ,kiuchumi kifamilia na kila hatua. Najaribu kukuonesha namna gani mtu akiokoka anapaswa kusitawi kwa kukufunuliw siri hii ya kufuata maagizo ,kusikia sauti ya bwana na kumtazama yeye kabla ya kutazama wengine. Hesabu 21:2-3 [2]Basi Israeli akaweka nadhiri kwa BWANA akasema, *Kama wewe utawatia watu hawa mikononi mwangu kweli ndipo mimi nitaiharibu miji yao kabisa*. [3]BWANA akasikiza *sauti ya Israeli*, akawatia Wakanaani mikononi mwao; nao wakawaharibu wao na miji yao kabisa; na jina la mahali hapo likaitwa Horma. Kwa kuwa islaeri walimtambua Bwana naye akawatambua kwa kuwatimiliza neno walilo liomba . Tumekuwa watu tuliokosa matokeo sababu tunaishi nje ya mapenzi ya Bwana wetu kristo au htutaki kumsikiliza ,kumtii na kumfuata arafu tunataka atupe matokeo. Daudi kwenye zaburi anasema kwa kuwa umenipenda [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda *Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu* Kumbe ujapata kuwa juu sababu tu ujampenda bwana au ujalijua jina lake . Watu wengi wanamfamu Mungu wakati wa kutoa mapepo lakini hawamfahamu Mungu wakati wa kilimo au biashara zao na kwa kuwa hujamjua Mungu ktika kilimo basi na yeye anakupa nguvu au mafuta katika kuomba lakini katika kukuweka juu anakuacha kwa kuwa pia kuna kanuni zake pia. Asubui njema na baraka tele katika ijumaa ya leo . Tusiache kujifunza jambo jipya katika maisha kwa majina na itwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) Kwa mafundisho zaidi karibu tujifunze kupitia watsap group kwa kujiunga na link hii hapa chini . #build new eden #restore men position @
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·734 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Eras Tour Merch @Erastourmerch updated the profile picture
    2025-05-30 05:45:11 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·262 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Eras Tour Merch @Erastourmerch a adăugat un sunet in Shopping
    2025-05-30 05:48:51 ·
    Taylor Swift Eras Tour Merch: A Swiftie’s Dream
    Taylor Swift’s Eras Tour isn’t just about track; it’s a full-blown cultural celebration. Alongside her splendid performances, the Taylor Swift Eras Tour Merch series has captured international attention. Fans eagerly line up for hours earlier than shows, hoping to snag special clothing and add-ons. The merch superbly mirrors Taylor’s iconic albums, every piece reflecting...
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·407 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Eras Tour Merch @Erastourmerch a adăugat un sunet in Shopping
    2025-05-30 07:17:42 ·
    Discovering the Madhappy Store Experience
    Stepping into the Madhappy Store way immersing your self in a unique combo of fashion and superb strength. This brand has carved out a gap by means of combining present day streetwear aesthetics with a deeper message of mental wellbeing. Every product inside the Madhappy Store tells a story that is going past cloth and layout, inviting clients to join a community targeted around optimism. The...
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·432 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Eras Tour Merch @Erastourmerch a adăugat un sunet in Shopping
    2025-05-30 07:20:07 ·
    Discovering The Madhappy Store Experience
    Walking into the Madhappy Store, whether online or at one among their physical pop-ups, appears like entering a space designed to uplift and encourage. The save is extra than just a retail destination; it embodies a community dedicated to mental health awareness and positivity. Every element, from the smooth lighting fixtures to the curated merchandise, reflects Madhappy’s middle message...
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·418 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Nick Johans @nick005 updated the profile picture
    2025-05-30 09:18:29 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·109 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Nick Johans @nick005
    2025-05-30 09:22:33 ·
    https://medicscaless.com/product/lopimune-lopinavir-ritonavir-200-mg-50-mg/
    https://medicscaless.com/product/lopimune-lopinavir-ritonavir-200-mg-50-mg/
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·129 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Afiseaza (24551-24560 de 26781)
  • «
  • Anterior
  • 2454
  • 2455
  • 2456
  • 2457
  • 2458
  • Următor
  • »
Upgrade to Pro
Alege planul care ți se potrivește
Upgrade
© 2025 Socialpop
Romaian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termeni Confidențialitate Contacteaza-ne Director Developers